ULI SOCIAL CUSTOMS C, Veiten

brary

esturi za Wasuaheli

von

Dr. C Veiten

| i

»r#i

#

■S

»i*i

V«.

••

^KIM

K*

■*•*,

9

*$*

»•<

•#*

&*

'•*

üf

$**

*Jwd£Jl>c,

Desturi za Wasuaheli

na

khabari za desturi za sheri'a

za Wasuaheli

0a*r Sl ^ J~JL'

Dr. C. Veiten,

\\ i

Lehrer des Suaheli am Seminar für Orientalische Sprachen.

Duquesne University Library African Coilection

(Böttincjen.

Dan&enfyoecf & Kuprecfyt. 1903.

«Hl?*

^7 2.<?6 7-4~

*fr

ton

Eine deutsche Uebersetzung erscheint gleichzeitig.

"Vorwort.

Die vorliegenden „Desturi za Wasuaheli" (Sitten und Gebräuche der Suaheli) bildeten ursprünglich eine Sammlung von Berichten , die Eingeborene während meines Aufenthaltes in Ostafrika auf meine Veranlassung in arabischer Schrift aufgezeichnet hatten. Ich habe diese Berichte mit dem der- zeitigen Lektor am Orientalischen Seminar Mtoro bin -^wenvj Bakari aus Bagamoyo durchgesehen und dabeT von ihm noch manches darin nicht Erwähnte, bisher Unbekannte erfahren. Einmal auf den richtigen Weg hingewiesen, hat Mtoro bei der weiteren Ausarbeitung dieses Werkes durch eigene Auf- zeichnungen sehr dazu beigetragen, daß es das Wesentlichste von den Sitten und Gebräuchen der Suaheli birgt, was für uns von Interesse und Nutzen ist.

Bei der Auswahl meiner Gewährsmänner , deren Namen hier alle zu erwähnen zu weit führen würde, bin ich stets darauf bedacht gewesen, mich nur an reine Suaheli-Leute zu wenden. Man kommt, wie es wahrscheinlich schon geschehen ist, sehr leicht in Versuchung, sich an den intelligenteren, eher zugänglichen, weniger mißtrauischen und mitteilsameren Araber zu halten, um über die Sitten der Suaheli Aufklärung zu er- halten , das ist jedoch falsch. Man wird dabei mehr einen Einblick in die Gebräuche der mit der ostafrikauischen Küsten- bevölkerung in enger Verbindung stehenden Araber erhalteu als in die der Suaheli. Wenn auch letztere Vieles im Laufe der Zeit von diesen angenommen haben , so kommt es uns doch in der Hauptsache auf ihre ureigensten Gebräuche an.

APR 12 197f

VI

Die im Anhang gegebenen „khabari za desturi za sheri'a za Wasuaheli" (Rechtsanschauungen der Suaheli) stammen sämtlich von dem verstorbenen Mw'allim Baraka bin Shomari aus Kondutschi bei Darcssalam , die derselbe im Jahre 1895 in meinem Auftrage niederschrieb. Sie geben uns ein getreues Bild von den juristischen Kenntnissen eines gebildeten Suaheli und zeigen uns, soweit dies vom Standpunkt eines Eingeborenen und Laien möglich ist, aufs eingehendste die Vereinigung des muhammedanischen Rechts mit dem Gewohnheitsrecht der Suaheli , wie es im Lande der Suaheli unter den früheren Machthabern ausgeübt wurde.

Ich hoffe mit dieser Veröffentlichung folgende Zwecke zu erreichen : Die vorliegende Suaheli-Ausgabe soll eine weitere Bereicherung der noch in den Kinderschuhen steckenden Suaheli- Literatur werden. Ferner ist es mein Wunsch , daß die des Suaheli Kundigen, sogenannten „alten Afrikaner," wie die am Orientalischen Seminar sich auf den Kolonialdienst vorbereitenden jungen Kolonialleute darin eine angenehme und zugleich be- lehrende Lektüre finden mögen. Schliesslich soll die deutsche Ausgabe dieses Buches vor allem den zum ersten Mal , auch ohne Sprachkenntnisse, in die Kolonie Kommenden ein Mittel an die Hand geben, unsere schwarzen Schutzbefohlenen von vornherein richtig verstehen und sie auch danach richtig be- handeln zu können.

Die Transkription des Suaheli ist die allgemein eingeführte englische , welche auch in unseren Schulen in Ostafrika in Gebrauch ist. Ich habe außerdem noch in meinen bisher erschienenen Arbeiten und auch hier , mit Rücksicht auf die arabische Schreibweise des Suaheli , die aus dem Arabischen ins Suaheli übernommenen Wörter in ihrer suahelisierten Form mit den in der arabischen Transkription üblichen unter- scheidenden Merkmalen versehen, die es dem Studierenden auf diese Weise leicht ermöglichen , auch das in einem arabisch geschriebeneu Suaheli-Text stehende arabische Wort sofort zu erkennen. Man mag diese Einführung für überflüssig halten,

VII

wie jede mit zu vielen unterscheidenden Zeichen versehene Schreibweise für den praktischen Gebrauch kaum Anwendung finden kann; ich habe es jedoch in diesem Punkte bei meiner praktischen Erfahrung in Ostafrika und bei meinem sieben- jährigen Unterricht am Orientalischen Seminar als eine Not- wendigkeit empfunden, die, solange wir es mit einer arabischen Schrift des Suaheli zu tun haben, auch beizubehalten ist. Ich habe dies ausführlicher in der Einleitung zu meinen „Märchen und Erzählungen der Suaheli," Band XVIII der Lehrbücher des Orientalischen Seminars besprochen.

Das Nähere in betreff der Schreibweise ist aus meiner „Praktischen Anleitung zur Erlernung der Schrift der Suaheli" (Vandenhoeck & Ruprecht, Göttingen 1901) zu ersehen.

Die Erklärungen in den Fußnoten sind zuweilen in "Wiederholung der im Kapitel vorher gegebenen Anmerkungen gemacht, und zwar deshalb , damit der Leser jedes beliebige Kapitel zu seinem Studium herausgreifen kann.

Die Interpunktion des Suaheli - Textes habe ich derart gestaltet, dass jeder Leser sich sofort in der Konstruktion der Sätze zurechtfinden kann.

Berlin, im April 1903.

Dr. 0. Veiten.

Orda ya khabari zilizomo zote.

Seite

inwanzo wa maiieno 1

desturi za Wasuaheli qabla ya kuzaliwa mtoto 3

kuzaliwa kwake mtoto na desturi ba'ada ya kuzaliwa kwake . 8

michezo ya watoto 27

khabari ya chuo 39

khabari ya mw'alliniu 49

desturi za adabu 52

kbabari ya kuamkiana kwa Wasuaheli 62

khabari ya kumtia mtoto kumbini 67

desturi za wari 81

khabari ya hirizi 88

khabari ya kuoa 93

khabari ya ngoma za furaha 122

khabari ya pepo 144

ngoma za pepo 149

kazi ya waanawake 168

kazi ya waanaume 177

desturi katika kazi ya kulima 187

khabari ya taläqa 193

khabari ya maradi na dawa zao 198

khabari ya nrtu kuzikwa 213

khabari za majumbe 222

khabari ya 'ushuru 230

kusafiri kwao Wasuaheli 236

khabari ya usare kwa Wasuaheli 251

khabari ya utumwa 253

khabari ya ukarimu 266

khabari ya näziri 271

khabari ya vyapo 273

mifano ya Wasuaheli wanavothanni mambo aliyoumba inuungu . 278

khabari ya siku kuu 285

nianeno ya fuinbo 289

khabari za desturi za sheri'a za Wasuaheli.

vifungo vyetu vya zamani 297

desturi ya sheri'a ya uwizi 302

khabari ya nrwenyi kumpiga ao kunvwua mwenziwe 305

desturi ya sheri'a ya deni 310

desturi ya sheri'a ya kudämini , 313

khabari ya desturi ya be'i 315

khabari ya kuweka rahani 318

khabari ya kuokota kitu njiani 321

desturi ya sheri'a ya amäna 324

khabari ya shirka 326

desturi ya sheri'a ya shähidi na ya yamini 327

desturi ya sheri'a ya kuoa 331

desturi ya sheri'a ya taläqa 335

desturi ya sheri'a ya kuzini 339

khabari ya mali ya mtoto yatima 342

khabari ya desturi ya wasiya 344

khabari ya urithi 354

mwanzo wa maneno.

desturi l) za Wasuaheli , ma'ana watu wa mri- ma , jumla *) ya desturi zao ni moja toka Amu 3) hatta Mvita4), na mwanzo wa mrima wa kideutschi tangu bandari ya Tanga hatta mgau r') Lindi. lakini mna tafauti 6) kidogo za mila 7) kama mfano wa h'a- rusi8) na kuzikana na kulea watoto hufanyiziwa labda desturi nyingine kidogo, lakini mno huwa sawa, kama dini9) yao ni moja vilevile tangu Amu hatta mgau Lindi. na desturi ya majirani10) zao kidogo wametafautiana katika mila. na hao majirani zao watu wa Tanga majirani zao Wadigo na Wasegeju, na watu wa Pangani jirani zao Wazigua na Wabondei, watu wa Sa'adani jirani zao Wadoe, na watu wa Ba- gamoyo jirani zao Wazaramu, watu wa Kilwa jirani zao Wangindo, na watu wa Lindi jirani zao Wahiyao. na desturi za watu hao jumla zimefanana na desturi za Wasuaheli, illa mna tafauti kidogo ndani yake. na mtu anayejua desturi za Wasuaheli, humwelea na desturi hizo , na desturi nyingi za watu wa barra vilevile.

amma mtu kutaka kujua desturi za Wasuaheli, ni kumpata mzee mwanamume ao mwanamke kumwuliza khabari, sababu wao ndio wanaojua khabari zote, nao

1) Sitten u. Gebräuche. 2) Summe. 3) Lamu. 4) Mom- basa. 5) Bezirk, Gebiet. 6) Unterschied. 7) Sitten. 8) Hochzeit. 9) Religion. 10) Nachbar.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 1

2

hnfuata desturi za kizamani, zayidi ya hawa vijana wa sasa. desturi za kizamani wengi wameziwacha, na haba wanazifuata. na wao vijana, killa ikiingia desturi, iliyo mpya, ikiwapendeza, liuifuata. kama zamani wa- lifuata desturi ya Wa'arabu, na maneno yao kati wa- likuwa wakitia ki'arabu. tenna wakatazama desturi za Wahindi, na wengine, waliwozipenda, wakazishika. wa amma sasa, tangu imekuja desturi ya Wazungu, desturi za ki'arabu na za kihindi nyingi wamezi- wacha, wanapenda kushika desturi mpya. wakiona desturi ya Wazungu, ikiwapendeza, huifuata, na batta katika maneno, wakisema, hutia neno la kizungu ndani yake. lakini hao vijana desturi hizo wanazishika zamani za ujana wao, wakipata fahamu1), wanareje'a katika desturi za wahenga ä) wao , kama walivoonye- shwa na wazee wao.

1) Verständnis. 2) Vorfahren.

desturi za Wasuaheli qabla ya kuzaliwa mtoto.

khabari ya kumhota *) mwaiiaiuke iwapo si mzazi.

Msuaheli iwapo hakupata mtoto, hutafuta mganga kimibota yule mwanamke , apate knzaa. na macana mwanamke kukosa kuzaa buwa na mwemimba a), ndio anayemkosesba kuzaa. bassi mwanamume ata- kwenda kwa mganga, akampe kbabari : „nataka ukam- hote mke wangu." wakesba patana, atakwenda mwituni, akachimbe mizizi yake ya dawa, ampelekee yule mwa- namke. marra atataka kuku, na unga wa mtama, na chooko, na künde, na mcbele. mcbele bupikwa na dawa namna nyingine, na unga wa mtama bupikwa na dawa namna nyingine. zikesha wiva zile dawa, atakuja mume na mkewe, wale pamoja, na yule mganga naye bula. wakesba kula, yule mwanamke huzibambika 3) zile dawa katika maji, ikawa ndio maji yake ya kunywa mudda wa siku sabac. nayo bufanyiziwa zamani anapokuwa katika l.iecji 4). liatta bedi ikesba , na siku sabac zime- kwisba marra mwanamume bumwendea mkewe, mu- ungu anapopenda yule mwanamke marra busbika mimba 5).

1) dawa machen. 2) Fehler, Krankheit, auch shango genannt. 3) verbinden, hineinlegen. 4) Menstruation. j"B) Schwanger-

schaft.

khabari ya kutezamia dalili1) za mimlba.

na mwanamke iwapo siku zimekwisha, na damu2) hakuiona, moyo wake huwa na khofu, kama anaclmkua mimba, buenenda kwa wa'allimu kutezamia. naye mw'allim bumwandikia kombe la za'afrani 3) ao la wino wa mchele sura ya „araaita,"4) ao „inna a'ateinaka," 5) kisba buosba lile kombe zile sura zilizoandikwa, akampa kunywa. naye läzima kunywa siku sabac. na bacad ya zile siku sabae kama he<Ji haikuja, buandikiwa jin- gine. ao buenda kwa waanawake wazee ao waganga, wapungao 6) pepo. humwambia : „pepo wako ndiye aliyekuzuia damu." hupewa mizizi ya kunywa na mafusho kujifukiza. ba'ada ya bapo bujulikana kuwa ana pepo ao ni mimba.

khabari ya ucliimgu 7) wa uzazi.

mwanamke usiku anaposbikwa na uchungu wa uzazi, naye kijana, anazaa mtoto wa kwanza, bajui kizazi, bupelekwa nyumbani kwa wazee wake, buwa yeye pa- moja na wazee waanawake , mama zake na bibi zake, kazälika na kungwi 8) lake wa kumzalisba. na huyu kungwi buwa na mwanamke mwingine wa kumpokea yule mtoto anapozaliwa, na jina lake mpokezi ao mpo- keaji. iwapo anakawia kuzaa, marra butuma mtu kwenda kwitwa mumewe. anapokuja bumwambia: „tumekwita umwage mebele," ma'ana kuomba muungu apate kuji- fungua upesi. yule mume marra bupewa mebele, naye husema: „mirni namwaga mchele, iwapo mtoto buyu

1) Anzeichen. 2) Blut. 3) mit Safran einen Teller be- schreiben. — 4) Sure 107, 1. 5) Sure 108, 1. 6) punga pepo Teufel austreiben. 7) Wehen. 8) Lehrmeisterin, die bei den Suaheli-Mädchen sehr oft eine grössere Rolle im Leben des Mädchens spielt als die eigene Mutter.

wangu, mke wangu ajifungue mavi na mikojo1), na kama mtoto si wangu na akae, aje baba yake mwin- gine, amwage mchele." wa kazälika mume husema: „iwapo tumegomba mimi na mke wangu kitumbe cha kuragongo a), mimi namwaga mchele, na moyo wangu ., u radi3), mke wangu ajifungue. " bassi iwapo muungu { amempokea maneno yake, marra yule mwanamke hu- jifungua kabisa kondo 4) zote , ma'ana mtoto kutoka, na damu ya uzazi kumwaika.

khabari ya knkawia uzazi.

iwapo mwanamke anakawia kuzaa, hnitwa mw'allimu kuandikiwa kombe 5) yule mwanamke, apate kujifungua. na kombe lake hutwaa sahani6) nyeupe na wino wa mchele. na huo wino wa mchele hutwaliwa mchele mkavu, ukakaangwa hatta ukaungua, tenna husagwa, makaa yake huchujwa , ukachanganywa na manimani 7) na gundi s) kidogo, tenna huanikwa juani hatta ugande, tenna hutiwa katika chupa, umekuwa wino.

bassi na wino huu mw'allimu huandika aya za qorani9), ma'ana „ayati el-kursi," 10) na „wa qul jaa el- haqqu wa za haqa al-bätilu inna el-bätilu kana za hüqa,"11) na mwisho wake huandika „wala haula wala quwwata illa billahi el-caliyyi el-'athim." '-) na kati ya sahani huandika waqfu 13) kama huu :

1) Excremente und Uriu , d.h. dass sie von allem entbunden werde. 2) Die Kleinigkeit wollen wir auf den Rücken (über die Schulter) werfen, d. h. vergessen. 3) zufrieden. 4) Streit, Kampf, d. h. aus allen Wehen. - 5) Teller. 6) Teller. 7) schwarze Erd-Frucht aus Indien. 8) Leim. 9) Sprüche aus dem Koran. 10) Sure 2,256. 11) Sure 17,83. 12) und es giebt keine Kraft und keine Macht ausser in Gott. 13) Auf- stellung, Figur.

V

L-J

ma'ana haya maneno ni majina ya mitume *) na malaika 2). husoma :

kyaf ha ya cain sad

ha mim eain sin qaf

taha

yasin

muzammil

jebril

isräfil

inikail

'izräil 3). majina mawili ya kwanza ma'ana yake kiapo, ali- choapa mimngu, na majina matatu yanayokuja ma- jina ya mitume, na majina manne ya mwisho malaika makubwa. bacada ya kwisha kuandikwa kombe hili, huoshwa kwa maji, likatiwa ndani ya chupa kupelekewa yule mwanamke kunywa. naye hunywa marra aki- pewa chupa, hunywa kidogo, na lililosalia hunywa wa- qati4) mwingine, akitaka maji hatta ajifungue.

1) Propheten. 2) Engel. 3) Bei einem geschriebenen waqfu laufen die Striche auf der rechten und linken S<ite durch die Buch- staben. Im Druck ist dies hier nur angedeutet. 4) Zeit.

7 -

kama hakujifungua, hufanyiziwa kombe jengine ya aya nyingine na waqfu mwingine , kama zilizoandikwa ndani ya vitabu vyenyi maneno ya uzazi wa mwa- namke , matkali kama kitabu cha „majärabadi ed- deribi."

ao mw'allimu humwandikia na hirizi *) iliyo yote. na hirizi hufungwa jun ya mkono , hatta ajifungue, khalafu hufunguliwa ile hirizi , sababu shughli -) yake imekwisha. lakini mwanamke atakapo kuivaa ana- weza lnrizi haimgluru3), na akitaka kuivua khiyari4) yake mwanamke.

ao iwapo mwanamke amekawia kuzaa na kuji- fungua kabisa, macana kutokwa na vitu vilivobaqi5) kama cbupa 6) bassi huandikiwa hirizi na mw'allim „sura ya tabäraka" 7) mwanzo hatta mwisho, hufungwa ile hirizi tumboni. iwapo bakhti 8) hujifungua , na ile hirizi hufunguliwa. lakini atakapo kuivaa , aweza kuivaa, lakini haifungwi tumboni, hujifunga pahali pen- gine atakapo.

ao iwapo hakujifungua kwa ile hirizi, hufanyiziwa hirizi nyingine kwa sura nyingine, mfano „wa '1-mur- salati corfan." 9) ao huyu mw'allim kuandika hirizi pa- moja na waqfu wa abjed 10).

ao iwapo hawakwenda kwa mw'allimu, huitwa wa- anawake makungwi wengine , waliwo wazee , sababu wale wa kwanza wameshindwa, kumtezama hali11) yake na kumfanzia dawa 12) ya miti shamba. hupikwa ile mizizi kwa kuku na künde, akanywa maji ile yule mzazi.

1) Amulett. 2) Geschäft, Wirkung. 3) schaden. 4) Wunsch. 5) übrig bleiben. 6) Nachgeburt. 7) Sure 25 oder 67. 8) Glück. 9) Sure 77. 10) wie sie in dem kitabu cha abjed stehen. 11) Zustand. 12) Arznei.

kuzaliwa kwake mtoto na desturi ba'ada ya kuzaliwa kwake.

marra kama mzazi amejifungua, hupelekewa kha- bari ') mume ya kama: „mkeo amejifungua." naye atakuja, watampa rukhsa *) ya kuingia ndani, atauliza „baba ao mama" ma'ana mtoto mwanamume ao mwa- namke? watamjibu. atasema: „nipeni mwanangu ni- mwone." makungwi watataka eada3) zao, ndipo wampe mtoto wake. akiwa mtoto mwanaTnke atatoa rupia mbili awape, na akiwa mtoto mwanamume atatoa rupia nne. jina lake hizo „kipokeo." marra mume atakwenda dukani, akanunue kancla la mtama, na deb« la asali ya miwa, na manni moja pilipili mtama 4jTTa tangawizi5), kama ana fed(Ja 6), na kama hana ata- kopa dukani. na huko kukopa ndio desturi yetu, kitu ajapokuwä nacbo hupenda kukopa. akesha nunua vitu, tulivovitaja, mtama hutwangwa, mchele 7) wake hupi- kiwa uji wa fuga mgonjwa, uliwo mkali, pilipili nyingi na asali, killa"~~as-subuhi. na mchele wa mtama hu- p'ikwa chakula ubwabwa, kitoweo chake kuku ao papa

1) Nachricht. 2) Erlaubnis. 3) übliche Geschenk. 4) pilipili mtama genannt, weil die Pfefferkörner wie mtama-Körner aussehen. 5) Ingwer. 6) Geld. 7) jede enthülste Kornfrucht wird mchele genannt, meist versteht man aber unter mchele enthülsten Reis.

'

9

Yf*-0^

mbichi mchanga mudda wa siku saba'. na unga ndiwo uji wake mtoto hupikwa na sukari8).

turejee kunako khabari ya wale wazee. makungwi bacada ya kumpokea yule mtoto, humvua nguo zile, alizotoka nazo katika tumbo la mama yake, huitwa „nguo" ao „kunga ya uzazi." 2) tenna hukatwa na ki- tovu, na khalafu bufimgwa kile kitovu na uzi, na ule uzi hufungwa yule mtoto shingoni, hatta kitovu ki- kauke. ba'ada ya siku sabac labda huanguka kile ki- pande cba kitovu.

ba'ada ya kuanguka kile kitovu, huletwa bua kukuu la mtama, lililopata mwaka, huchomwa lue bua hatta likaungua. tenna husagwa, yale makaa yake hupakazwa yule mtoto juu ya kitovu. ndio dawa yake.

na vitu hivo nguo ya mtoto na kipande cha ki- tovu huvizika uani, wakaweka calama3). na ba'ad ya siku sabac mtoto akisha nyolevva, nywele zake na kucha zake huzikwa pamoja. kisha hupandwa mnazi. na mnazi hupewa yule mtoto. na akikua, huonyesha wen- ziwe ya kama : „mnazi huu ndio kitovu changu." na wanapoupanda ule mnazi husema: „huu mnazi tu- naoupanda muungu amkuze mwanetu4), aje aunywe maji mnazi huu."

khabari ya kiiazziniwa 5) mtoto.

mtoto akizaliwa , ikiwa usiku , as-subuhi huenda aketwa mw'allim kuja mwazzinia yule mtoto. na ku- mwazzinia kwake humshika shikio la kuume , husema : „allähu6) akbar, allähu akbar, allähu akbar, allähu akbar. ashhadu an iläha illä 'Uähu , ashhadu anna Muhammadan rasülu 'llähi. haiya calä 's-saläti , haiya

1) Zucker. 2) Nachgeburt. 3) Zeichen. 4) mwana wetu. 5) zum Gebet rufen, d. h. Aufnahme in den Islam. 6) siehe Uebersetzung.

10

ealä 's-saläti, haiya 'alä el-falähi, haiya ealä el-falahi. allähu akbaru, allähu akbaru, iläha illä 'llähu."

na macana mtoto kuazziniwa, kujulishwa, }ra kwamba huyu mtoto wa kiislamu, ya kama amesbika sasa mila x) ya kiislamu.

khabari ya kumweua2) inzazi.

na bacada ya siku arba'ini atakuja tenna mweallimu, amweue mzazi , ma'ana kumwosba na kumtabarisha 3) na aya za qorani4) na duea5). marra hunyolewa yule mzazi , akavaa nguo nyingine mpya. zile nguo , ali- zotoka nazo nzazini, huwapa makungwi. naA7e bawam- qubalisbiG) kutembea mwanamke, atokaye ndani ya nzazi, qabla kutimia siku arba'ini.

khabari ya kumwonyesha jua na mviia mtoto.

bacada ya siku sabac ynle mtoto wanapotaka kum- toa nje kumwonyesba jua, mkubwa wa makungwi bu- mpa kbabari baba yake ya kama: „kesbo tafuta jogoo na mcbele, tupike „kisingizi." 7) macana ya kwitwa kisingizi wale makungwi bawakulala usiku kucba kumlinda yule mwanamke siku aliyozaa. na mtu akiwa mweza 8), bucbinsba mbuzi , ukapikwa wali , watu wa- kala. mume na mke hupewa pekeyao wakala.

na katika khabari ya kuonyesbwa jua siku ya sabac, hutandika nguo cbini ya kizingiti 9) , ao bumpa- kata mtu, akaja mwanamke mzee, akasbika mcbi, hu- sema na yule mtoto : „muungu amekuleta juu ya ulim- wengu, sbindia moyo wako, na vitu vya watu usiwe

1) Sitten u. Gebräuche. 2) religiöse Waschung ausführen, reinigen. 3) rein machen. 4) Vers, Abschnitt des Koran. 5) Anrufung. 6) erlauben. 7) Einschläferuugs-Essen. 8) ver- mögend. — 9) Türschwelle.

11

mtama'ni1). umekuja juu ya ulimwengu, ziba mashikio yako, usisikilize maneno ya watu. umekuja juu ya ulimwengu, ukapewa kitu chema kikae tumboni, kibaya kitoke. umekuja juu ya ulimwengu, usiwe mgomvi, ukagombanisha watu, sababu wahenga wame- sema :

„lifa'alo kueleza lieleze, lisilofa'a limeze." umekuja juu ya ulimwengu , usipite nyumba zenyi wake wa watu , utapoteza roho yako. muungu ame- kuleta juu ya ulimwengu, sbindia moyo wako na amana za watu. muungu amekuleta katika dunya, ukae kwa heshma na watu, sababu wahenga wamesema: ;,mwiza mwiza 2) si utumwa."

na ma'ana ya kushika ule mchi , kuwekwa juu ya kifua cha mtoto, ni 'alama ya kuonyesbwa moyo wake uwe mzito kama ule mchi , sababu acbelee mali za watu na mambo mengine tuliyotangulia kuyasema.

na ba'ada ya maneno baya kuambiwa mtoto , hu- tolewa uanjani, akadakwa marra sabac, bambiwa „te- zama jua." khalafu hurejeshwa ndani.

tenna walipomtoa nje mtoto, mtu mmoja humpa- kata , na mmoja akatia maji katika ungo , kisba liu- mwitia kwa mkono, husema „mvua mvua mvua" ma'ana jua ameliona, na ndio mvua.

wakesha, yule mume atataka rukhsa kwenda zake, watamjibu : „kam wage mkweo."3) na mkwewe atam- jibu : „sasa nimequbali, kama wewe mkwe4) wangu, na sasa umenipatia mchumba/- ma'ana kama amezaliwa

1) Begehrer. 2) d.h. zu Befehl, zu Befehl zu sagen ist keine Sklaverei, damit ist man noch kein Sklave, mwiza = he waliah. a) Schwiegervater. 4) Schwiegersohn.

12

mtoto mwanamke. marra atamgonga konzi ]) katika kickwa, ma'ana furaka. na kama amezaliwa mtoto mwa- namume, kumwita „mume mwenzangu," ma'ana mke wao ni moja, kumwita wote wawili „bibi."2)

bacada ya kumwonyesba mtoto jua na mvua, mwa- namume atakwenda zake, na jioni watampelekea mkewe. ma'ana yule mzazi amepelekwa kwa wazee wake, aki- sbikwa na uzazi.

iko desturi nyingine iliyoläzima kutajwa : katika nyumba nyingine , anapokaa mzazi , iko desturi siku atakayozaliwa yule mtoto huzima moto, wakawaska mwingine mpya. ule moto mpya hautoki nje. wala wa nje hauingii mwingine ndani, katta kutoka mtoto marra ya kwanza ba'ada ya siku sabac.

kliabari ya mke na munie ba'ada ya knzaliwa mtoto.

mamie b) mtoto mama zake na makungwi zake humkataza ya kama: „mumeo akitaka kulala nawe kataa, sababu mtoto wako ataugua." na kulea mtoto wake mudda wa mwaka hajui mwanamume. na sa- babu ya mwanamke kukatazwa kulala na mumewe huchelea mtoto asivunjike. na kuvunjika kwake kuugua maraijli4) ya nyogea5), hawezi kusimama wala hawezi kwenda, ajapokuwa mtoto wa miaka miwili. naye amekonda, mwili wake mafupa na mishipa bassi. na watu wakimwona, hujua kusema: „huyu mtoto ame- vunjwa na mama yake na baba yake." na watu mji mzima huwasema, ya kama wana nyege 6) sana.

1) Knuff geben. 2) bibi, Frau und Grossmutter. 3) mama yake. 4) Krankheit. 5) Rachitis. 6) Kitzel.

13 -

khahari ya siku ya kuzaliwa.

mtoto akizaliwa siku ya el-jumaei), huambiwa mtoto huyu amezaliwa siku ya kkeri 2) , sababu siku el-jumac ni kama siku kuu. akiwa mwanamume, hupewa jina la Jumac , akiwa mwanamke huitwa Maajuma', ma'ana mwana juma\ na akizaliwa mtoto jumae ya nne, kusema : „amezaliwa siku mbaya mtoto huyu," macana ni siku nzito, nuhsi3) huitwa.

khabari ya inaulidi4).

mtu akijiweza. akipata mtoto, akitaka kumnyoa baada ya siku sabac ao baada ya siku arbanri, ku- mnyoa kwa maulidi. na kama maskini humnyoa pasipo maulidi.

na anapotaka kuyasoma hayo maulidi, huenda kwa mw'allim mkubwa wa mji, naye anaw'arrifu wa'allimu wenziwe, ao yeye mwenyi maulidi huenda, akawa'arrifu wa'allim kama awatakao. hu arrifu na jama'a zake na marafiqi zake na majirani zake, waje kuitikia maulidi. na hao wa'allim wanapokuja, huja na waanafunzi wao na vitabu vya maulidi na matari 5) ya kutikilia 6) vipo- keo 7). na bao wa'allimu hukaa chumba kimoja na hawä watu waanaume walioalikwa, wa'allimu hukaa juu mikeka na mito, na watu wengine katika majamvi. na katika chumba cha pili hukaa waanawake na mtoto, hunyamaza wote kinvya kusikiliza. na mbele yao wale wa'allimu zimewekwa sinia 8). juu ya sinia pana chupa za mirashi9) na visahani vya sukari ya mawe 10) na ya mchanga n) na tangawizi u) na vvetezo 13) vya eüdi u)

1) Freitag. 2) Glückstag. 3) Unglückstag. 4) Tauf- fest. _ 5) kleine Handtrommel. 6) relat. Form von itikia. 7) Refrain. b) Tablett. 9) Roseuwasser. - 10) Würfelzucker. 11) Streuzucker. 12) Ingwer. 13) Raucherschale. - 14) Aloe.

14

na ubani1). ma'ana sukari na tangawizi, mtu anaye- sinzia hutwaa kidonge cha sukari, akala na tangawizi.

tenna huanzwa maulidi mwanzo wa sa'a ya nne ya usiku hatta al-fajiri2). nao katika wa'allim hutoa moja kipokeo mudda wa robo' sa'a, khalafu lmtoa mw'allimu mwingine kipokeo. kikesha kipokeo wana- funzi na watu wengine waliopo huitikia kwa umoja, na hao wanafunzi hupiga matari, kufuata kile kipokeo, huimba „ke alläb he alläh."

hatta waqati wa al-fajiri husema wa'allimu: „tu- nataka kuyasalisha maulidi, fanyeni tayyari." huletwa yule mtoto, wakatia tibu s) katika bakuli, tenna liusi- mama watu wote pia. hutolewa kipokeo cha uzazi: „ya nabiyu salämun 'aleika, ya rasülu salämun caleika, ya habibi salämun 'aleika, salawätu 'llähi "aleika." 4) na watu huitikia vilevile. na mtoto ameshikwa mko- noni na baba yake ao na mw'allimu. hupakwa tibu juu ya kichwa na shingoni yule mtoto. na waqati buu babiye mtoto na jamaca zake buja wakawatunza ma- pesa wa'allimu toka pesa kumi na tano hatta rupia. na tibu iliyobaqi killa mtu kushika kidogo mkononi, hupakaa mikono. na marashi humwagiwa wale watu waliopo waanaume na waanawake , na cüdi hufukizwa.

hatta kipokeo kikesha, watu hukaa kitako, hu- malizwa maulidi, na mwisho wake ndio fätiha5). watu huenenda mskitini kusali, na waanawake hutengeneza vyakula, hupikwa wali wa pilau^) ao wa nazi. wa- kirudi mskitini, huandikiwa vyakula, wakala , kisba huagana na mwenyi maulidi, humwombea: „muungu am- kuze mtoto wako, nawe akupe fäolila7) nyingi." naye huitikia „amin."8) bassi watu huenenda zao.

1) Weihrauch. 2) Morgengrauen. 3) Wohlgerüche. 4) vergl. Uebersctzung. 5) erste Sure. 6) gewürztes Reis- gericht. — 7) Güte. 8) Amen.

15

na maulidi kayä yanasömwa mwezi mfunguo sitta siku ya mwezi kumi na moja jioni kuamkia kumi na mbili killa mwaka. na ma'ana kusomwa mfunguo sitta kaya maulidi ndio siku aliyozaliwa mtume Muhammadi mwezi kumi na mbili na jumac ya tatu waqati wa al-fajiri, ndio ma'ana kufuata tabi'a1) hü. ao kusomwa siku ya k'arusi kuingia ndani, ao kusomwa watuto wakitoka kumbini *), ma'ana ni furaha.

na namna za maulidi kayo mbili : kuna maulidi ya barzanji 3), mno husoma "VWarabu, kuna na maulidi ya sharafa el-anämi4), lnvyo busoma Wasuaheli.

khabari ya 'aqiqa5).

khabari kii ya caqiqa asili6) yake inatoka kwa Wa'arabu, zamani Wasuaheli kawakuwa nayo, lakini sasa wengino wanafanyiza. mtoto akipata siku sabac, hufanyiziwa /aqiqa. na kiyo caqiqa kuja mwcallim ku- soma maulidi ao du'a nyingine. huchinshwa mbuzi wawili, iwapo mtoto mwanamume. mbuzi mmoja ku- kaangwa, ikafanywa kitoweo cka wali, na mbuzi wa pili kuckomwa miskikaki 7), ikanunuliwa asali ya nyuki, ndio kitoweo ckake. tenna kualikwa watu wakala. na mafupa yake kayavunjwi , kuckimbwa skimo yaka- zikwa, ma'ana yake katika hadithi8) zimeandikwa siku ya qiyama 9) yale mafupa mwenye'zimgu 10) hum- fanyia ngamia yule mtoto kupanda katika pepo11).

na ikiwa mtoto mwanamke, huckinskwa mbuzi mmoja, ikafanyizwa karamu12) vilevile.

1) Charakter, doch wird tabi'a oft im Sinne von „Sitte" ge- braucht. — 2) aus dem Versteck, d.i. Beschneidung. 3) Ge- burtstag des Heiligen aus der Stadt Barzanj 4) Geburtstag des Fürsten der Menschheit. 5) Sühnopfer, auch Fest der ersten Haarschur genannt. 6) Ursprung. 7) am Spiess. 8) Ge- schichte. — 9) Tag der Auferstehung. 10) mwenyi 'ezi muuugu, Gott der Allmächtige. 11) Paradies. 12) Fest.

16

na hiyo 'aqiqa, mtoto iwapo ni mdogo, läzima juu ya wazee wake kumfanyia. akipata miaka kumi na mitano, naye ni mweza, analäzima kujifanyia mwenyewe.

ao mtoto akifa hufanyiziwa caqiqa, shurti *) zake vilevile kama tulizotangulia kuzisema , ma'ana mtoto hasomewi khitima2), ndio sababu hufanyiwa eaqiqa.

1) Bedingung. 2) Koranlesung.

khabari ya chakula cha nitoto.

mtoto bulisbwa mtama, na mtama hutwangwa unga, hukatiwa katika mitungi, usipate vumbi na mclianga. na kulla as-subuhi huteka qadri ya chakula cha mtoto, ukapikwa na sukari, akalisbwa mtoto. na kulisba kwao butia uji katika kikungu kidogo, ukapozwa hatta ukapoa, tenna butiwa katika kisahani. mama yake akampakata mtoto, butia uji katika kiganja, akamlisha mtoto na kidole. na mtoto humeza. akisba kula bumpa maji, ao humnyonyesba ziwa. tenna bulala yule mtoto. na kama mtoto bataki kulala, humcbucbia katika ' kitanda , ao humbeba mongoni , akamwimbia mwimbo. na mamaye bumwimbia:

„silie 1) mama 2) silie, silie wangu mtoto, mtoto mtotototo3), mla ubwabwa wa moto, kitumbo kifuke moto."

1) usilie. 2) mama als Kosename für mtoto. 3) ganz kleines Kindchen.

ao huimba:

oa1) mtoto

nyamaa 2) mwanangu mtoto,

1) Ausdruck der Liebkosung. 2) sei still, ruhig.

17

mwana nionee ') uchungu pekeyangu na muungu2) mimi na mkunga 3) wangu. nyamaa kulia mtoto, nyamaa mtoto."

1) du Kindchen, das mir Schmerz bereitet hat. 2) weiss es. 3) Hebamme.

ao huimba:

„maji yakanza kujaa, kujaa kinyelenyele *), yakafika mwambani, kofi na vigelegele. humtumaje mtoto, tonge2) usimwegee?" 3)

1) langsam. 2) Bissen. 3) gönnen. Der Sinn ist folgender: Wenn Mann und Weib freien, gehen sie bedächtig vor (geben sich nicht wie sie sind), sind sie verheiratet, dann gihts Zank und Schläge. Warum zankst du mit der Frau und liebkost nicht mit ihr?

ao huimba :

„silie1) mama silie, ukalia waniliza, wanikumbusha makiwa2), makiwa ya baba na mama. baba na mama watende 3), wanioza dume kongwe4), halisafiri ft) halendi, kazi kumega matonge."6)

1) usilie. 2) Trauer. 3) wollten (Gutes) thun. 4) mume mzee. 5) auf dume bezüglich. G) Bissen zurechtmachen.

ao huimba :

„kile nini kile nini, kilicho ngambo ya mto ? x) nikakita hakitiki, kazi kunipa majuto."

1) eine Frau sehnt sich nach einem Mann, der auf dem andern Ufer des Flusses steht, sie ruft ihn, aber er hört nicht. Veiten, Desturi za Wasuaheli. 2

- 18

ao huimba :

„nalikwenda matembezi

upande wa Mangapwani a),

hakuta papa upanga 2),

hamwuliza „wenda wapi?" „nenda kuhani matanga." „aliyekufa ni nani?" „mkuu wetu Kipanga 3).

tambuu niwatafunaje 4),

popoo zingali clianga?"

1) Ortsname. 2) Haifischsorte; gemeint ist ein hübsches junges Mädchen. 3) kipanga, eigentlich Name eines Vogels, hier ein Mann gemeint. 4) Das Mädchen sagt zu dem Mann, der ihr begegnet ist und ihr nun nachstellt: „Wie wollt ihr den Betel kauen, wenn die Nuss noch nicht reif ist , d. h. ich bin noch viel zu jung, als dass ein Manu mir nachstellen könnte.

ao huimba :

„ukenda nisallimie *), kwa jina usinitaje. mlangoni pana watu -), kidege kitapitaje? ukenda nikonyezee s), jioni mwambie aje."

1) eine Frau schickt einem Mann eine Liebesbotschaft durch ein Sklavenmädchen. 2) nachdem der Mann ihr hat sagen lassen zu kommen, antwortet sie dem Boten: „an der Thür stehen immer Leute, wie soll da das Vögelchen vorbei." 3) Wink geben.

ba'ada ya kuamka mtoto, huoshwa uso wake, hu- pakazwa wanja1) usoni. tenna hnsagwa muru2), na buo muru akapewa kunywa, na mwingine wakampaka maungo mazima , macana dawa ya watoto kwa vi- chango 3). nao huuza Wahindi na Waskikiri. na iwapo mtoto hapati choo, killa marra humpikia mamungunye4)

1) Antimonpulver. 2) ein indisches Gewürz , ähnlich wie Pfeilwurz. 3) chango Bandwurm, kichango kleine Würmer, die Kinder häufig haben. 4) Flaschenkürbis.

19

ya maji, yasiyo sukari wala asali, ao hutia nazi. na kama hakupata ckoo, humramba mkundu yule mtoto, hupata choo. na desturi yao mtoto akenda choo, hum- pangusa kwa makumbi ya mnazi, tenna humwosha na maji.

na akilala kumwekea kisu chini ya mchago x) na mikono yake na miguu kufungwa mvuje 2) kuckelea na kuinamiwa na dege 3) ; na nyumba yenyi mtoto mdogo juu ya paa hutundikwa kaa4) juu ya mti kati- kati ya mwamba kuckelea yule mtoto asipatikane na dege. ma'ana dege juu ya mtoto maradi mabaya. asili yake ndege mkubwa, bupita usiku killa nyumba yenyi mtoto , bukunjua mabawa yake , akakuriguta 5). nyumba yenyi mtoto akasikia mabawa ya dege, ajapokuwa amelala , atasituka 6) , as-subuhi atashikwa na homa. sherti apatikane mtu^ ajuaye dawa ya babu7). kama hakupatikana, mtoto atakufa. na ikawa bakhti8), yule mtoto kama hakufa , ataugua siku nyingi , na mwisho wake macho yake yatakuwa na majlfengeza 9).

na huyu 10), ajaye na dawa ya babu, hupatana kum- zindika11), ma'ana kumfunga dawa yule mtoto, ma'ana yake kuchelea, yule mtoto asivunjike mwili wake kwa wale watu, waliwolala nje na waanawake , na watu kumtazama kwa macho maovu yule mtoto. tenna ku- leta jimbo 12) likatiwa katika jungu, maji yake ndiyo anayokoshewa mtoto as-subuhi na jioni. wasipofanyiza hivo, mtoto, watu waliwolala vibaya, wakimshika, huwa

1) Kissen. 2) Teufelsdreck. 3) grosser Vogel d. h. she- tani. 4) Krabbe. 5) sieb schütteln. 6) erschreckt werden.

7) Grossvater, gemeint ist der Vx>gel oder Teufel. 8) Glück.

9) schielen. 10) mganga. 11) Zauber legen, der bösen Zau- ber unschädlich macht. 12) Kräutermedizin. 13) Kinderkrank- heit, Rachitis.

vctrfTA^,;

20

khabari ya nguo za mtoto.

nguo za'rntoto mdogo hutungwa ushanga mweupe na mwekundu na mweusi pamoja. mapana yake nya- nda l) nne , jina lake shegele. humfunga kiunoni , bu- tunga pamoja na ushanga wa utunda, wakamvika kiu- noni. akipata eomri2) wa miaka miwili, havai shegele, humvua , wakamvika kanzu na suruali 3) , kichwani ki- lotia 4). miguuni humvika vikuku vya fedda , na miko- noni kazälika. na shingoni humvika mkufu utanda 5) moja.

na mtoto mwanamume mavazi yake kanzu na su- ruali na kilojtia, lakini namna mbali mavazi ya kiume na ya kike. mashikioni mwa mtoto mwanamume hutiwa pete za fedda.

majina ya watoto.

watoto wakiwa wadogo , hawana majina , hupewa majina ya mchezo, huitwa „panya/' (;) ao „buku,"7) mashavu8), sanurau). kifimbo, kinyenyere 10), kidagaa'1), mapengo1-), tukwa13), kibarrabarra u), babu15). haya majina, wanayopewa watoto waanaume na watoto wa- anawake.

na wengine huwapa watoto wao majina yao ya killa siku ba'ada ya siku sabac kuzaliwa, wengine ba'ada ya siku arbacini , na wengine bacada ya mwaka. na majina hayo yanatoka katika majina ya wajomba zao, na wakiwa waanawake majina ya mashangazi zao.

wako watu wengine, wanaoweka naziri 16), qabla ya mwanamke kupata mimba , husema : „mimi nikipata

KtUti

1) Fingerdicke. 2) Alter. 3) Hose. 4) Kindermütze.

5) Schnur. 6) Maus. 7) Ratte. 8) Backe. 9) Katze.

10) kleine Ameise. 11) kleiner Fisch. 12) Zahnlücke. lb) Ichneumon. 14) kleiner Schelm. 15) Grossvater. 16) Ge- lübde.

21

mtoto mwanamke ao mwanamume , ntampa jina kaza wa kaza '). akizaliwa yule mtoto läzima kupewa lile jina alilonaziriwa.

na wengine~mno lmitwa „mtoro" ba'ad ya siku sabac ya kuzaliwa. na mafana yake mama yake akipata watoto wawili wamekufa mtoto wa tatu kuitwa mtoro. na kwitwa kwake jina hilo hufungwa kamba shingoni hatta kiunoni , ndio 'alama 2) ya mtoro , naye asitoroke kama walivotoroka nclnguze 3).

ao „mtoro" iwapo mtoto hutoroka chuoni, ao mtumwa hutoroka, naye kuambiwa „mtoro," lakini si jina lake mtoro.

na jina kili la baeada ya siku sabae ao arba'ini ao la mwaka bukaä nalo, hatta akenda kumbini 4). akitoka kumbini, hupewa jina jingine. naye hukaa na jina bilo hatta kufa kwake, lakini iwapo änataka kutawalli5) kama jurnbe, hutwaa lile jina, alilotawalli baba yake.

watu wengine hujigeuza majina nafsi0) zao. iwapo, mji aliwokaa, amefanya qissa 7) kiovu, amekwenda mji mwingine hujita jina jingine. ao mtumwa ame- toroka kwao, amekwenda mji wa ugeni, hubadili jina jingine, watu wasimjue. ao wengine hujigeuza jina jingine, sababu lile jina halipendi.

khabari ya kuota ineiio.

aida8) mtoto akiwa qaribu ya kuota meno, hufan- yiwa „dawa za fungo," ma'ana ya kufunga meno, ya- siote vibaya, yasitangulie meno ya juu. na dawa hiyo hufanya wazee waanaume ao waanawake, huchimba mizizi ya ndago , akatungiwa hirizi kuvaa shingoni , hatta meno yamwote.

1) soundso. 2) Zeichen. 3) ndugu zake. 4) Be- schneidung. — 5) Amt antreten. 6) Seele. 7) Sache. 8) ferner.

22

na meno yakikawia kuota , kukotwa ') yule mtoto na waganga , ma'ana kufanyiziwa dawa , kupewa ma- jimbo 2) ya koga na ya kupakaa. tenna hucbumvva koza3), ma'ana majani mengine ya mwitu, akapakwa yule mtoto. ba'ada ya siku cbacke kutoka meno yule mtoto.

na iwapo mtoto ameota meno ya juu, zamani ba- wamlei mtoto, na hatta sasa wengine kawapendi. wen- gine husema : „siwezi kuitupa damu yangu, nitailea." na wengine wanalca, lakini bawana furaha naye mtoto. na mtoto buyu huitwa kibi4), ma'ana yake „mbaya," lakini khalafu kupewa jina kama desturi ya watoto wengine. na watu wengine bufanyiza kbofu 5) kumpa mkono mtoto kuyu, sababu buckelea kufa ao kuugua.

ao mtoto akizaliwa , akitanguliza kutoa miguu mbele, huitwa vilevile kibi. hawamlei, watamwua, ao kumpeleka mskitini , wakamwacka ndani ya mskiti. watu, wanaokuja kusali al-fajiri, wakimwona kujua, ya kama mtoto huyu amezaliwa vibaya. hutokea mtu, akackukua kumlea , humfanya mwanawe , sababu ya kukatäa kumlea huogopa kufa. desturi hiyo kwa Wa- suaheli imeshikana na Wazaramu.

khabari ya mtoto iwapo akiugua na kuzinguliwa 6) kwake.

mtoto akiugua, wazee wake huenda kwa mw'allimu kutazamia. mw'allimu hutoa vitabu vyake na ubao wa ramli 7) , husema yule mwcallimu „amepatikana 8) huyu mtoto," ao „hawezi tu." humwuliza yule mw'al-

1) mit Zauber bebaudelt werden. 2) Kräutermedizin. 3) Medizin. 4) -bi oder -wi als adjectiv im früheren Suaheli „schlecht, böse." 5) Angst. 6) zingua von einer Krankheit befreien. 7) Zauberbrett. 8) na uchawi.

uJW W* ^U^vvU^

23

limu: „tufanyize nini sasa?" hujibu: „mzingueni." „zin- guo lake linataka nini?" hujibu: „kwanza mkate, na nazi, na kuku wa mawaa *) mawili , na kombe 2) sabac, na mbegu sabac , na komwe 3) moja , na zira'a 4) sabac bafta5) ao doti ya mrekani0)." kuenda wakavitafuta vitu kivo.

marra humwita mw'allimu, naye huja na waana- funzi wake, killa mtu ana msahafu7). mw'allimu hu- sema: „wewe soma sura kii, nawe soma sura hü." na watu wawili hushika ungo wenye vile vitu. huzun- gusha ule ungo. na kombe huwashwa, ma'ana hutiwa inafuta ya uto na utambi wake pamba. wanapokwisna kusoma mwfallim na waanafunzi wake , kombe zote zi- mezimika. na chini pana jungu la maji, hutoa kombe, akatia ndani ya jungu la maji, hatta kombe saba' zishe. kisha hutoa nazi, akaizibua maji, akamwosha yule mtoto kichwani , kisha huivunja kizingitini. yule mtu aliye- shika mtoto huondoka, watoto huokota vipande vya nazi wakasikua 8) , wakawacha vifuu 9). hutiwa katika lile junga la maji, husema : „as-subuhi lipelekeni njia pan- da 10) mkaliwache." naye mw'allimu humpa kitu kama watakacho. mkate na bissi na nazi hupewa wale wa- toto wa chuoni wakala.

kazälika mkubwa akiugua, huzinguliwa kama hivi tulivosema.

khabari ya chale za malole11).

ba'ada ya mwaka moja yule mtoto huchanshwa kichwani pembe ya mashikio chale mbili za malole, ndio

1) zweifarbig. 2) Muschel. 3) eine Frucht. 4) Ellen.

5) weisser Baumwollstoff. 6) amerikani roher Baumwollstoff.

7) geschriebener Koran. 8) Fleisch aus der Kokosnuss holen.

9) Schale. 10) Kreuzweg. 11) Narben des Erkennens = Stammesabzeichen, lala sehen.

24

desturi yao Wasuaheli, ajulikane huyu ni mwana wa kiungwana.

zamani za kwanza mtoto akitaka kuchanshwa,

-* sherti kwa siwa *) na zmnari 2) na ngoma kuu kama

mfano wa h'arusi. khabari ya kizamani imekwiska.

wk Kaw khabari ya mtoto wa mazeru3).

asili 4) yake mrima kuna watoto , liutokea weupe sana , wazee wao weasi. nao wanasadiqi 5) , ya kama mtoto huyu amebadiliwa na mtoto wa shetani 6). mama yake katika siku sabac za kwanza aliondoka usiku kwenda chooni , akamwacha pekeyake , chini ya mto hakuweka koja7) ao kisu, ao mkononi hakufungwa mvuje 8) shetani ameona mtoto pekeyake amem- badili, amewacha mtoto wa shetani, amechukua wa bin Adam 9).

ao wengine husema : mama yake alipokuwa na mimba, amenamiwa !0) na shetani , ndipo akazaa mtoto mweupe. ndio ma'ana Wasuaheli, watoto wao wakiwa wadogo , wanawafunga mvuje mikononi. na mvuje carufun) mbaya, macana shetani mvuje hapatani nao.

na watoto hao , Wasuaheli wakiwaona, husituka 12) sana, wala hawawapendi. wengine huwapenda kuwaua. na wakiwalea , wakiwa wakubwa, hawapeani mikono na watu , kama mfano wa mwenyi mabaranga 13) ao ukoma14). khabari ya watoto wa kimazeru.

khabari ya kulea mtoto aliycfiwa na mamakc15).

mtu iwapo ameoa mke , amepata mtoto , mkewe amekufa, na mtoto mchanga16), akiwa na wazee wake

1) Hörn aus einem hohlen Baumstamm gefertigt. 2) Flöte.

3) Albino, zeru = eupe. 4) Ursprung. 5) glauben. 6) Teufel. 7) Halskette. - 8),Teufelsdreck. 9) Menschenkind.

10) ameinamiwa. 11) Geruch. 12) erschreckt werden. 13) Hautkrankheit. 14) Krebs. 15) mama yake. 16) Säugling.

25

yule murne ao mke , watamtwaa mtoto wamlee. na ikiwa hao hawapo , na tenna akiwa hana ndugu , ata- patana na mwanamke mwingine kulea mtoto wake. na gliarama !) yake zamani ilikuwa si nyingi. kulea mtoto hatta kunyanyiia miguu2) mlezi kupewa riale tatu, lakini sasa riale kumi na mbili; ao beina yao mapatano.

akiwa na mtoto mwanamke yule mwanamke mlezi, na yule anayemlea mwanamume hawaoani , wala wakikutana njiani kawazini. beina yao udugu kwa siku zote. wala yule mwanamke aliyemnyonyeska kamwoi, ni mama yake. juu yake haräm3) kumwoa.

na iwapo watutu hao wamelelewa katika mji moja, kkalafu wakasafiri miji mingine, wakakutana, wakaoana, ma'ana kawakujuana, kuwackishwa , ma'ana beina yao ni udugu, ni ndugu wa ziwa4) jma lake. ^>

khabari ya mwanamke mwenyi kisukumi5).

wa kazälika mwanamke iwapo mzazi, anapata wa- toto, läkin liawakui, marra wanakufa , ao anaolewa na mume, mume hana macisha °) mengi, anakufa, mwanamke kuyu waanaume humwogopa, huitwa mwanamke mwenyi kisukumi. iwapo kisukumi chake cha kuua watoto, hu- tafutwa wazee waanawake waganga. na yule mume huwapa mashauri wazee wa yule mwanamke ya kama: „mke wangu mgonjwa, nataka kumfanyizia dawa." wazee wake hujibu: „sisi tu radi."7) bassi wale wazee waganga kumtwaa yule mwanamke, wakampeleka uani, marra liumvua nguo, wakamfunua mago 8). na äsili ya yule mwanamke kuzaa watoto wasikue kuwa na kinyama kimeota ckini ya pembe ya kisimi 9). kinyama hicho ndicho kinackoua watoto, jina lake kigwaru cha

1) Kosten. 2) Beine strecken. 3) verboten. 4) Milch- bruder. — 5) von sukuma zurückstossen. 6) Leben. 7) zu- frieden. — ü) die Scheßkel auseinanderspreizen. 9) Kitzler.

'.'•

-26-

kuma. bassi wale waanawake wazee hukitafuta killa pembe, hatta wakakipata, marra hukikata, lakini huona uckungu yule mwanamke. waanawake waliwooga, ku- kataa kukatwa. wakesha mkata, marra kumtia dawa, naye kawi na donda, uchungu wake wa marra moja. siku ya pili mumewe akimtaka , huweza kulala naye. bassi akeska katwa kinyama kicho , muungu iwapo amewapa mtoto kwa baraka1) zake, atakua mtoto. ya- mekwisjia maneno kaya.

kliabari ya mrima watn kukosa kizazi kingi.

ma'ana yake Wasuaheli kukosa uzazi mwingi , sa- babu wanaanza ujana kutwaana. hatta wakaoa, ska- hawa a) katika mwili imewakauka. iwapo ni mzazi, kupata mtoto mmoja ao wawili, kana skahawa tenna illa povu 3). lakini zamani walikuwa na kizazi, sababu wazee wa zamani walikuwa wakiwakataza watoto wao kuolewa mapema na kutwaa waanawake mapema.

alikuwa jumbe mmoja Ukami jina lake Skenekambi, amezaa watoto miteni, lakini si kwa mwanamke mmuja, alikuwa na wake wengi na masuria wengi, killa mwa- namke moja amezaa watoto kumi ao zayidi.

na katika barra sasa kupatikana mtu mwenyi wa- toto watano ao sitta , lakini katika mji wa mrima hapana.

na macana nyingine ya mrima kuto' kuwa4) na kizazi kingi wao waanawake, wakisbika mimba, kulia- ribu 5) , ma'ana ya kuharibu kukataa kizazi , kusema : „nikizaa mtoto ntackakaa6), sitatakwa na mwanamume tenna, afatjlali7), nikae kama ujane 8).

1) Segen. 2) Same. 3) Schaum. 4) kutoa kuwa nicht zu sein. 5) zerstören. 6) altern. 7) es ist besser. 8) un- verheiratet, Witweuschaft.

micliezo ya watoto.

mchezo \va geli.

J(a^ o£»

geli kipande cha mti1), lmchimba kiskimo , waka- weka kile kijiti. mkononi liushika fimbo, marra huruska kile kipande , akakipiga na fimbo , nacho huruka , ki- kenda mbali. na knie cbendako, kuna watoto wanakin- goja, kikafika hukidaka kwa mikono, ao hukipiga na fimbo. 3'ule aliyecheza mudda wake umekwisha , ata- ckeza mwingine. na mchezo huu hugawana , wakiwa watano wawili huku na watatu huku. hufanya na mknbwa wao , jina lake mwingizaji 2) , huanza watoto kucheza, mwisho hncheza yeye. akikosä, huja wale wengine, wanaokuwa upande mwingine. na wanapo- kirusha, husema „hiyo," ma'ana kinakuja kipande, na wengine huitikia „na ije."

nao hnfanya ulalamishi 3) katika kubesabu4). he- sabu yake tangu moja liatta kumi , lakini huhesabu vingine moja, mbili, tatu, pumbu la mazeru ligeuka5), nane, kenda , kumi marra watagomba. watatukana wakitaka kwenda zao :

„tumecheza na wazoga6) wamekimbia, wamekimbia kwa oga."

1) 20 cm. langes fingerdickes Hölzchen. 2) Einführer, Lehr- meister des Spiels. 3) Streit. 4) zählen. 5) die Hoden des Albino werden umgewandelt. 6) Cadaver, Aas.

28 -

mchczo wa tiyyara1).

tiyyara qarfasi 2). mwanzo wake wanafunga mabapa 3) ya miwale 4) kwa uzi , kiska wanapika uwanga 5) , hu- bandika juu ya mwale , kesha huweka juu ya qartasi hatta ikauke. kesha hufunga na kinanda6), hutia na mkia. marra huifunga uzi , huenenda pwani , wakai- ruska. na ikiwa juu huvuma. na zikiwa mbili, hupiganislia , moja huskika yake , na moja akasbika yake.

ao bufanya kishadda7). kishadda kama tiyyara, lakini mwale mmoja kati. ao bufanyiza mwewe s). mwewe kana kishadda, lakini hana mkia,

mchezo wa nyama mlindi.

nyama mlindi mchezo wake wanasuka kambaa la nguo, kisha humlaza mtoto chini, akasimama mtu mmoja kumlinda, naye husbika kambaa. tenna bnamru watoto kumpiga yule aliyelala, naye huwavizia wale watoto wampigao. akimpata mmoja humpiga na kambaa, läzima yeye aliyopigwa atalala. na akiwa mlalamishi h3- humfuktiza.

mchezo wa kitangayangaya.

hujikusanya watoto, husema: „nani tumtangaize?" moja atasema: „mimi/' na kumtangaiza humshika juu ya kichwa husema:

1) Drache. 2) Papier. 3) schmale Streifen. 4) Raphia- palme. 5) Stärkemehl. 6) eigentlich Musikinstrument. Hier schmaler Papierstreifen, einmal der Länge nach gefaltet, der beim Durchschneiden der Luft einen summenden Ton gibt. 7) Strauss von zusammengebundenen Papierstreiftu. 8) Habicht.

- 29

„kitangayangaya 1), babiye Mgaya*), mwenyi ndevu mbili, kitumbo baridi 3), mwenyi pembe 4) ndiye mkaidi5), siye." tenna humwambia : „ukasikia »kuru kuru« njoo." wakeska, watoto wote hukimbiä kwendä kujificha. wakesba, humwita „kuru," naye huenda kuwatafuta. atakayempata, liumfunya6) ukuclia, yeye atatangaizwa.

mchezo wa bui 7). / /

bui mchezo wake kama kitangayangaya , lakin humshika mtoto mmoja, akafungwa kitambaa machoni, kisha humwuliza: „bui?" huitikia: „na'am." 8) „watoka wapi?" hujibu: „natoka Maskati." „umekula nini?" hujibu: „nimekula tende." „kitoweo nini?" hujibu: „nazi mbovu." humwambia : „umpataye mfunye kucka." hukimbiä watoto , naye kuwatafuta. ataka- yempata, atafungwa yeye kitambaa.

mchezo wa kibafute. ^ l $ -G^h^

kibafute watoto hunuuna mhindi mbichi waka- choma. mwingine wanatafuna, na mwingine wanachezea kibafute. na kucheza kwake hupukucha punje 9), akatia mkononi mathalan 10) mbili , kisha hufumba ki- ganja11), humwambia mwenziwe : „kibafute." naye aki- jibu „mbili fute," zikiwa mbili, humpa. zikiwa zäyidi,

1) Du bist der Sucher. 2) Du bist iu Nöthen wie der baba Mgaya. 3) d. h. hungrig. 4) Name für den Sucher. 5) un- gezogen , widerspenstig. ü) zwicken. 7) Spinne. 8) ja. 9) Körner herausnehmen. 10) z.B. 11) Handfläche.

30

atamwambia nne, atalipa yule aliyosema mbili ata- lipa mbili.

mchezo wa lalalalalala.

huchezwa vilevile kwa muhindi. mtoto humwambia mwenziwe, wakitaka kula muhindi pamoja: „sema lala- lalala, na mimi ntasema gumgumgum." ma'ana yule, asemaye lalalala, bawezi kutafuna muhindi, na huyu, asemaye gumgum, anaweza kutafuna.

na mchezo huu huchezewa mtoto na wazee wake, anapokuwa na choyo 1). mathali baba yake , ameshika muhindi yule mtoto, ao kitu kingine kinacholiwa, hum- wambia „baba2) nigawie nami," na yule mtoto hampi, bassi humtaka kwa ujanja3), humwambia: „tucheze mchezo wa lalalala."

1) Geiz. 2) Kosename für das Kind. 3) Schelmerei, List.

mchezo wa i>emöea *).

pembea watoto hufunga kamba kätika nguzo za' nyumba. kesha mtu hukaa juu ya ile kamba, mtoto mwingine humsukuma, naye huimba mwimbo: „pembea, iyo ~), pembea,

pembea, iyo, pembea,

wewe Maasiti 3), pembea,

kalaga hasi 4), pembea.

mtama ukigwa 5), pembea

tule tuta6), pembea,

tuta kaya7), pembea,

ya mgambo 8), pembea."

1) Schaukel. 2) Ausruf der Freude. 3) Name eines Mäd- chens, welches der auf der Schaukel stehende Junge einladet zu ihm auf die Schaukel zu steigen. 4) Altsuaheli = kaa kitako. 5) gwa fallen; wenn die Hirse geerntet wird, d. h. wenn das Mädchen herangereift ist, wollen wir heiraten. 6) kaum gereiftes mtama. 7) Ort, Stadt. 8) Freude.

31

mwimbo huu wa pembea huimba katika pembea ya kamba, ao hujikusanya watoto waanaume na waana- wake pamoja, husimama wima , nao hushikana mikono, akemba mmoja, na wote huitikia. anapotaja jina la mwanamke , yule kijana hukaa kitako chini, ao anaye- kwimba kijana mwanamke, akitaja jina mwanamume, yule kijana mwanamume hukaa chini naye. ao huimba: ,k/v*^aW«" yvhiy]/*L

„watoto mnara '), mnara "war-njiay baba akija, iiaja kumwambia .,

»kitanda chako kitabangiwa2).« K v^^ ^cü^^.

^iHMOajxJIo lrka^uma na livume 3) shindo likaingia4), mwambani tega." 5)

1) gemeint ist „ein Mann." 2) kimeharibiwa d. h. dein Bett ist missbraucht worden. 3) auf shindo bezüglich. 4) ich bin des Gerüchtes sicher. 5) an der Klippe (d. h. von dem Kinde selbst) ist es gefangen.

Wie mir mein Gewährsmann mitteilte, haben die Kinder diese Lieder von den Alten gehört , ohne jedoch ihren eigentlichen Sinn zu verstehen.

ao hucheza:

„mama kanambia »winga1) kuku,« nami siwezi kuwinga kuku, nimejikalia kiwetewete 2), mpunga wa mama waliwa na ndege, ish ish." na wakisema „ish ish," hao wasio katika pembea, huruka.

1) fortjagen. 2) ohne Fiisse.

ao huimba:

nalialia oyi!

namlilila kitoto changu,

kitoto changu katwaliwa

32

na watu wa Makonde. „watoto ni wangapi?" „sabae he,

Kitunguja l)

katwaliwa

na watu wa Makonde."2)

1) Name des Kindes. 2) eine Frau beweint ihren Mann, der von einer Frau der Makonde entfuhrt worden. Eine andere Frau fragt sie, wieviel Männer sie noch habe, darauf antwortet sie „sieben," aber der Kitunguja fehlt mir.

mchezo wa kutega ndege.

kwanza hugonga urinibo ') wa mcbongoma *) , wa- kaupika kwa mafuta. ukawiva huupaka juu ya vijiti. tenna huenda masbamba, wakatezama tua linalo ndege wengi, wakaweka vijiti vya urimbo. ndege wa- kafika juu ya vijiti wananasa. na akinasa ndege, husema „kibawa," 3) bukioibia mbio kwenda kumtoa yule ndege.

na wengine wanatega kwa tanzi4), buweka nyenze5) cbini ya tanzi, nyenze akilia kwamba wakiona nye- nze — bushuka chini ya tanzi marra amenasa.

wengine wanatega kwa matundu c) , butia ndege ndani ya tundu, anayelia sana ckiriku ''). butia na mawele 8) ndani ya tundu , wakaliweka lue tundu juu ya mti. na mitego °) wameiwacba wazi. yule cbiriku hulia, na cbiriku aliye nje, akisikia mwenziwe analia, hukaa juu ya mtego , na ule mtego bufiatuka 10), amenasa ndege. kbabari ya wale watoto: ndege waki- wapata wanawacbinsba , buwacboma kwa cbumvi,

1) Vogelleim. 2) Baum. 3) Flügelchen. - 4) Schlinge. 5) ein Insekt. G) Käfig. 7) Vogel. 8) Hirseart. 9) Fallen, das sind kleine Seitenbehälter am Käfig. 10) zuklappen.

33 -

wakala. na wakipata ndege wakubwa wanawauza. na kao chiriku hawaliwi, hufugwa tu ndani ya ma- tundu. kuu mckezo wa kutega ndege.

uichezo wa kueleza1) mashua.

maskua zao kuunda miwale *) , ao wanaangua ma- y kararaj). ya mnazi. kislia kufanya raatanga na mlingoti. maji yakapwa4), huenda pwani kueleza mashua zao. ^ nao hushindana, mashua ya nani inakwenda mbio, hu-' i kaa pwani hatta maji yakajaa. maji kujaa wanavua nguo, wanakoga na kuugelea. na koga kwao hupigana mikambi 5), hujigawa , watano huku na watano huku. na huo mkambi mtu huzama , kisha hunyanyua mguu juu, marra hupiga mkambi, hufikia juu ya kichwa ao mongoni. ao hushindana mbizi 6) , humwambia mtoto : „sisi tutazama, nawe ututafute, utakayempata mfunye 7) ukucha, yeye ndiye atakäyetutafuta." wakesha ckeza mchezo wao , wakitoka nje , wengine nguo zao zimei- biwa , wanakwenda uchi majumbani , nao hulia kwa kuogopa wazee wao. wakifika nyumbani, hutukanwa, sababu wanakatazwa koga pwani, maeana kuna kka- tari 8) chunusi 9). ao marra nyingine maji hujaa, na watoto wamekaa juu ya fungu10), wanacheza, hawana khabari , kama maji yanajaa , wakikumbuka kwenda ufukoni, maji yamejaa, asiyejua kogelea atakufa. ndio sababu wazee wao huwakataza koga pwani.

mchezo wa kibuzi.

kibuzi hujikusanya watoto, hunyosha miguu katika safu u) moja , na moja hukaa kitako , ndiye anayeanza kwimba mwimbo :

1) schwimmen lassen. 2) Palmrippen. 3) holzige Bluten- scheide. — 4) pwa ebben. 5) Rad schlagen. 6) tauchen. 7) zwicken. 8) Gefahr. 9) Seeungeheuer, das Leute tötet. 10) Sandbank. 11) Reihe.

Veiten, Desturi za Wasnaheli. 3

34

„kibuzi *) kibuzi" wototo huitikia:

„mememe mememe"*) yeye huimba :

„mwana mbuzi kajamba" 3) watoto liuitikia :

„kajambile 4) mchunga" yeye huimba :

„clekedeke5) malenga6) >' -k * Ä&^ft - /^ mkono shindika

uende 7) Manga ukatwae fumo 8) na upanga" wote huitikia: „kuku," ao „tutu."

yeye huimba:

„simba kalegea"9) watoto huitikia :

„kalegea köngwe10) köngwe la mwana mzee" yeye huimba :

„täte n) haligonile 12) ligona13) kwa mke mbuya14) na matikiti na matango15) kumi na mbili."

1) er ist wie eiiie kleine Ziege. - 2) ruft mä. 3) kajiamba. 4) kajianibile = ainemjambia. 5) ich habe be- reut. — G) Wasser. 7) auf mkono bezüglich. 8) Speer. 9) regea. 10) alt. 11) Vater. 12) gona schlafen; haligonile er hat nicht geschlafen. 13) er schlief. 14) Geliebte. 15) mit Wassermelonen und Gurken; mein Gewährsmann teilte mir mit, es bedeute „Nacht und Tag" und zwar 12 im Ganzen.

Der Sinn soll folgender sein : Ein Mann hat sich um eine zweite Frau beworben und viel darüber geredet, ist aber abgewiesen und nun klein und reumütig zu seiner ersten Frau zurückgekehrt.

- 35

ao watoto wakinyosha miguu hivo, huimba moja :

„hiki ') cha nani?" mwingine hujibu:

„cha baba" huimba tenna yule wa kwanza :

„hiki cha nani?'' mwingine hujibu:

„cha mama."

1) nämlich kiguu, indem der eine auf des anderen Bein zeigt.

nickezo wa kongoti1). (/T^

kongoti watoto hufunga mabua yakawa marefu, kisha huyavika kanzu , wakafanyiza mkia na mikono, kisha huingia mtu ndani, akenda na lile kongoti hu- enda. nalo huwa refu sana , ndio ma'ana ya kwitwa kongoti. mtu akiona hujituka*). khassaa) watoto wa- dogo. watoto walio watundu4), likipita kongoti, huam- biwa : „na wewe ukiwa mtundu, kongoti litakuchukua. wale watoto , waliwo nyuma ya kongoti , wote ni watoto watundu, kongoti hupita likiwachukua."

na mwimbo wao, wanapozungusha kongoti, moja husema :

„kongoti he leo 5), kongoti" na wengine huitikia: „na mkia wake nyumbani mwenu hamna mwanamke mwenyi kibiongo?"

I) Storch. 2) erschreckt werden. 3) besonders. 4) un- artig. — 5) das kongoti kommt.

- 36 -

mchezo wa konya1).

watoto wakitakana urafiqi, hupingana2) na konya, ma'ana ya hiyo konya hupingana vidole vya mwisho, huja na mtoto skahidi 3) kukata vile vidole, humwambia : „skuhudia mimi, napigana na fulani konya." na yule skakidi kukata vidole vyao. konya kupinga urafiqi.

urafiqi kuo wakeska pingana, mmoja wapo akiwa na kitu kofia mpya ao kitu kingine, wakikutana njiani, mmoja kusema „konya kofia yako," bassi marra avue ampe. na akiwa rafiqi mwema kum- rudisbia kofia yake, kuckelea wazee wake wasimgom- beze, illa kitu kidogo huckukua. ao ukimwona rafiqi anakuja, marra useme : „mbembembe kofia yangu" kawezi kuckukua.

1) Freundschaft. 2) mit dem kleinen Finger in einander haken. 3) Zeuge.

mchezo wa kinyuri.

watoto kuweka mikono juu , kiska bufunyana *) makucka, kesha kuimba mwimbo :

aasJM<) - „kinyuri2) nyurika

IroirciQ nnpiin mKili 3 )

kavaa nguo mbili3) na milango miwili4) mkakasi 5) na urembo wake, aliye juu na aruke." ukeska mwimbo , ule mkono ulio juu , kuondoa mtoto.

1) zupfen, mit zwei Fingerspitzen die obere Handfläche der Hand des Mitspielenden. 2) dessen Hand oben ist. 3) kikoi na kanzu oder shiti mbili. 4) von zwei verschiedenen Farben. 5) Dose mit Wohlgerüchen.

37 -

uichezo wa kilipemoe ao kitikiti.

ma'ana ya kilipembe husimama watoto wawili, wakashikana mabega, kisha huja mtoto wa tatu, akakaa juu ya mikono ya mwenziwe, nao humnyanyua juu, tenna huimba mwimbo:

„kitikiti cha mfaume mwana wa nani? mwana wa jumbe akipatapo akikalia, tumchukue kijuujuu tumchukue kijuujuu."

mcliezo wa nyoka.

nyoka bufanyiza dimba1) katika mchanga. tenna katikati hukaa kitako watoto. na mtoto mmoja hu- simama nje ya dimba, naye husema maneno „nyoka huyö nyoka," na wale watoto buitikia „na apite." tenna husema „yuko Gongoni," buitikia vilevile „na apite." „yuko Mengesani," buitikia „na apite." tenna husema „büyo nyoka yupo miguuni," marra watoto wote husimama wakakimbia. anayekawia husimama, humzomea'2), husema wakapiga makofi: „fulani kaliwa na nyoka fulani kaliwa na nyoka."

1) Kreis. 2) auslachen.

niickezo ya watu wazima na watoto.

na watu wazima bufanyiza michezo mingi na watoto, mathalan huwambia maneno yaliyo magumu, mfano wa:

„kikuku kike, kaka l), kwako kiko?"

wi&JLr m^fÜC '*&**- /**Za Wx*v*fa-

38 -

na maneno hayo mtu hawezi kuyataja kwa upesi, huyachanganya pamoja. ao husema:

„Jana sili1) mananasi sivo nikopokagavyo." 2)

1) kinyume für nimekula. 2) kopoka wund machen. .

ao husema:

„wauawo 1) wawe wao 2) waua wewe wauawa."

1) wanaoua. 2) wafalme.

ao husema:

„nanena x) nane ngapi ? mtoto hujibu kumi na sitta, si kumi na sitta, asili yake nane.

1) Wortspiel zwischen nanena und nane na.

khabari ya chuo1).

khabari ya mtoto kwenda ckuoni.

mw'allimu -) anapoanza chuo kusomesha , huja mtu na mtoto wake, humwambia mw'allimu: „nataka uniso- meshee mwanangu." lramwuliza : „ijara8) yako qiäsi4) gani?" atajibu: „reale kumi ao kumi na tano." wakesha y patana, atamwambia: „kesho kaanga bisi na nazi, um- lete mtoto chuoni."

as-subuhi atampeleka , atachukua na rupia mbili, rupia hizo jina lake „ufito" ao „ubati." na mwanzo wa kusoma mtoto kwanza huandikiwa juu ya ubao. yule mtoto akisliika ubao, akikumbuka mchezo wa geli5) na tiyyära6) uinempita marra hulia. kulla aki- mwona mw'allimu mbele yake, ajiona kama yu pamoja na 'Izraili 7).

kwanza huandikiwa : „a'uzu bi'llähi mina 'esh-shei- täni 'r-rajimi. rabbi yassir walä tu'assir 'aunaka. rabbi mu'inu latifu alläh." 8) akijua , huan- dika alif, be9) hatta mwisho. na anapoandikiwa sura10)

1) Schule. 2) Lehrer. 3) Lohn. 4) Maß d. h. wie teuer ? 5) u. 6) Kinderspiele. 7) der nach Ansicht der Sua- heli auf Befehl Gottes den Menschen von der Erde abruft und die Seele an sich nimmt. 8) Ich nehme meine Zuflucht zu Allah vor dem verfluchten Satan. 0 mein Herr, laß deine Hilfe eintreten und versage sie nicht. 0 mein Herr, o Helfer o Huldreicber, o Gott. 9) Alphabet. 10) Suren des Korans.

40

nyingine , akasoina hatta akajua. as-subuhi huenda mbele ya mw'allim, hushika ubao wake , husoma sura aliyoandika kwa moyo billa kutezama. hatta akijua, mw'aDimu humpa rukhsa kwenda pwani kufuta ubao wake. akisha futa ule ubao, butia jasi1). na bilo jasi udongo mweupe mfano wake kama cbaki. ma'ana yake kutiwa jasi wino waqti wa kufuta ule ubao marra utoke. nao bukatazwa waanafunzi kufuta mbao kwa miguu , ma'ana haramu 2). na asiyejua ubao wake ku- safisha 8), hapewi rukhsa kwenda kwao.

kazälika watoto wakifika pwani kufuta hizo mbao, huvua nguo wakoga na kupigana. na wengine kupi- gana kwa mbao, wakenda cbuoni hawana mbao, zimevunjika. hukimbia, huogopa kupigwa na mw'allimu.

na wale wenyi mbao, zilizo nzima, wakifika chuoni, mw'allimu huwaandikisba. na kuwaandikisba kwake husbika msahafu 4) mw'allimu, akasoma aya 5) ya qorani, humwambia yule mwanafunzi, naye huandika. na ana- potamka yule mw'allimu , mwanafunzi sberti c) atamke vilevile. nao buogopa watoto kuandikisbwa na mwcal- limu. pakiwa na mtoto , aliyekbitimu 7) , yeye hupata rukhsa kwa mw'allimu kuandikisha wenziwe , lakini yule mtoto wenziwe bumpa kao yake , ma'ana pesa moja ao mbili, kama bawakumpa hawaandikishi.

desturi ya watoto kwenda cbuoni killa as-subuhi, sa'a kumi na mbili läzima watoto wawekwe chuoni, atakayekawilia akifika chuoni , hupigwa. na desturi yao wanafunzi wakafika chuoni as-subuhi, humwamkia mw'allimu. na kumwamkia kwake bumpa mkono, wa- kambusu8). na waqati wa jioni kazälika wakipewa

1) Bimstein. 2) verboten. 3) reinigen. 4) geschriebenes Exemplar des Korans. 5) Verse des Korans. 6) Bedingung. 7) Schulzeit beeudigt haben. 8) küssen.

41

rukhsa. na jioni wanapopewa rukhsa, humwombea muungu mw'allimu wao, husema mtu moja „zikru 'lläh,"1) na waanafonzi huitikia : „lä iläha illä 'lläku wa Mu- bammadun rasülu 'lläk. mw'allimna, mw'allimna , ja- zäka 'lläh kheiran wa bacadu '1-kkeiri wa baeadu '1- kbeiri jennatan na'ima." *) Mimpa mkono , tenna hu- enda zao.

fiada3) za ehuoni.

killa al-kkamisi 4) cada pesa mbili kulla mtoto hu- peleka kwa mw'allimu, hatta mtoto akbitimu. na kulla ramadani ikiandama , bupewa mfungo wake mw'allimu pesa nane, kumi, ao sitta'sbara. na kulla siku kuu 5) mw'allimu hupewa siku kuu yake vilevile kama katika ramadani. na wanafunzi bupewa rukhsa siku tatu kucbeza. na mtoto akaingia sura, inayohitaji 6) eada kutolewa, kwanza mtoto akifika „qul buwa 'lläbu" 7) butoa kuku kupeleka kwa mw'allimu ao mapesa. sura ya pili „lam yakuni" 8) akifika butoa mzigo wa kuni ao mapesa. sura ya tatu „wa 's-samäi zäti '1-burüji" 9) bnpikwa uji na maandazi , mw'allimu na waanafunzi wake na watu wcngine huja wakanywa, ao butoa mapesa kumpa mw'allimu. sura ya nne akafika »juzu ya eama" bupikwa mkate, buletewa na reale, akapewa mw'allimu. ma'ana yake afikapo cama, huam- biwa amefungua hija10), ma'ana anajua kusoma pekeyake na kuandika pekeyake. na akafika ;;yä sin," ") bupele- kewa eada yake rupia ao roboc. na eada ya mwisbo

1) Lobpreis Gottes. 2) Es gibt keinen Gott außer dem einen Gott und Muhammed ist der Sendbote Gottes. Unser Lehrer, unser Lehrer , möge Gott dir Gutes vergelten und nach dem Guten und nach dem Guten ein wonniges Paradies. 3) übliches Ge- schenk. — 4) Donnerstag. 5) Feiertag. 6) wünschen, fordern. 7) Sure 112. 8) S. 98. 9) S. 85. 10) Alphabet. - 11) S. 36.

42

ni ile siku ya kwanza endayo chuoni mwanafunzi ku- pelekwa rupia mbili na mkate na nazi na bisi. na akakkitimu , hupewa ijara yake mw'allimu kama wali- vopatana.

na desturi hizi, na 'ada tulizozitaja. zimepita kwa waanafunzi wa zamani na wa'allimu wa zamani. wa'allimu wa sasa shidda1) kupatikana mambo haya yote, sababu huwarusha wale wa'allimu , liuwambia ,.kesko , kesho kutwa."

adalm *) ya mw'allim na mwanafunzi wake.

kwanza : ukiwa kwa mw'allini wako , slierti uwe kama mtumwa. kama kazi, atakayokutuma mw'allim wako, läzima uiqubali 3).

adabu ya pili : mwanafunzi as-subuhi na jioni kwenda kwa mw'allim wake kuamza4) na kutwesha5).

adabu ya tatu : mke wa mw'allim wako umfanye kama mama yako, ajapokuwa ni kijana.

adabu ya nne : ukamwona mw'allimu wako katika njia amechukua kitu, läzima umpokee.

adabu ya tano : kama umefuatana na mw'allim wako, wewe usiwe mbele, mw'allim akawa nyuma.

ya sitta: mw'allimu iwapo amesafiri, akirudi katika mji, marra uende ukamwamkie.

ya saba' : ikiwa anazungnmza na watu , usimkate maneno yake mbele za watu.

adabu ya nane : mtu aliye rnw'allimu , asiyekuwa mw'allimu wako, sherti umheshimu 6).

adabu ya tisa': rafiqi wa mw'allim wako, umpe heshima7) kama mw'allim wako.

adabu ya kumi: kikao anachokaa mw'allim wako,

1) selten. 2) Anstand. 3) einwilligen. 4) guten Morgen wünschen. 5) gute Nacht wünschen. 6) ehren. 7) Respekt.

43

usikikalie, illa iwapo hayupo, amekuachia chuo kuso- mesha.

adabu ya hed'ashara : mw'allimu wako akipita, panapo watu , akitoa saläm , uitikie kwa heshima na kusimama.

adabu ya then'ashara : usikae katika barza, ukam- teta mw'allim wako.

flmbo na 'azabu1) nyinginc wanazopigiwa wanafnnzi.

mw'allimu husuka kambaa, na hilo kambaa ncha za miyaa 2) , husukwa ncha mbili ao ncha tatu, ao hu- ambiwa wanafunzi kwenda mwituni kukata fito za mwafu3). na fito hizo leini4), nazo ndefu kama kambaa. ao mw'allimu hununua khenzerani5) dukani. ndizo wa- nazorudiwa waanafunzi chuoni.

na mwcallimu akisahau ufito wake ao kambaa lake, waanafunzi wakiona huiba, wakachoma moto. as-subuhi wakiulizwa, killa mtu huapa kiapo „mimi sikuona, mimi sikuona."

na cazabu wanayotiwa watoto chuoni, iwapo mtoto mtnndu 6) , anakawia kuja chuoni, mw'allimu humnyima rukhsa 7) kwenda kwao. na chakula huletewa chuoni na wazee wake. na siku ya el-jumac hapati rukhsa, hukaa chuoni.

na akendelea utundu hupigwa, ao hukaa kitako, akanyosha miguu, akafungwa kamba, na mikono vilevile hufungwa kamba katika nguzo ya nyumba. lakini watu wakiondoka, yeye mwenyewe hufungua na meno akakimbia.

na iwapo ni mtundu sana , hutiwa gogo s) mguuni

1) Strafe. 2) Dumpalme. 3) wilder Jasmiu. 4) ge- schmeidig, biegsam. 5) spanisches Rohr. 6) unartig. 7) Ur- laub verweigern. 8) Holzklotz.

44

na kipande cha mnyoo 1). akakaa chuoni, kiska kusoma, na watoto wengine wameondoka, hushika gogo lake, akenda zake. hukaa na gogo siku mbili ao siku tatu, kisha huja rafiqi ya yule mw'allim kumwombea yule mtoto.

mw'allim akialikwa karamu2) shamba pamoja na waanafunzi , hufurahi sana wale waanafunzi , sababu hucheza njiani na kuangua matunda , embe , mapera, hukata mananasi, na wengine hupigana. hatta wakafika shamba, waliloalikwa, mw'allimu huletewa mashitaka3), mambo waliyotenda waanafunzi wake, hupewa 'azabuyao.

desturi ya waanafunzi wakifanya vitendo , visivo adabu, maneno liupelekewa mw'allimu wao. naye hu- warudi 4) kuwapiga. asipowarudi , watu humtukana yule mw'allimu kwa siri 5), husema : „mw'allimu fulani waanafunzi wake kawana adabu." na macana ya kuto' kuwa (i) na adabu yeye hana adabu. na waanafunzi watundu sana, hawaogopi mtu illa mw'allimu wao.

na mw'allimu wao, akiwa rakali, humpa jina ,,ki- paramoto," 7) ao akiwa mfupi, liumwita „nyundo,"8) na akiwa mrefu, humwita „kongoti" 9) ao „korongo," 10) na akiwa na ndevu ndefu, humwita „kibeberu." n)

nao wanafunzi huwa marra nyingi watundu mno. na mw'allimu akikaa barazani , kama hataki kuondoka, nao wanataka kucheza hawapati, mwanafunzi mrnoja humwambia mw'allimu : „amekuja mtu fulani kukuuliza, ataka uende kwake." nayo si kweli uwongo. ata- ondoka mw'allim, wakapata kucheza.

häifai kucheza na watoto wa chuoni kama iliyoan- dikwa katika khabari ya zamani:

1) Kette. 2) Fest. 3) Klagen. 4) eigentl. ruddi zu- rechtweisen. — 5) im Geheimen. 6) verneinter Infinitiv. 7) von paa; Feuergeber. 8) Hammer. 9) Kranich. 10) Storch. 11) Ziegenbart.

45

haditlii1) ya watoto wa chiioni na shetäni2).

shetäni alizaa watoto sabae, mtoto wa sabae jina lake Wasiwasi. mama yao akawausia3) watoto wake

ya kama: „wanangu4), mkitaka ra<Ji yangu, umsickeze na watoto wa chuoni, sababu watundu sana," watoto sitta wakasikia wasia5) wa mama yao, yule wa sabae asiusbike.

siku moja yule shetäni, jina lake Wasiwasi, ame- jigeuza punda, akenda njia panda, akalala, hatta watoto walipolikizwa chuoni. walipofika pale njia panda6), wakamwona punda amelala, wakafurahi watoto wote, wasende majumbani kwao kula. killa mtu akatafuta ufito, wakampiga yule punda. na yule punda asisimame. watoto wakatafuta pilipili bobo 7), wakasaga, wakamtia ukunduni8). akaondoka kwa ile pilipili kumwasha ukunduni , akenda mbio. nao wanamfuata , na huko wanampiga. naye buwapiga mateke 9), nao wanamfuata, wakamta'abiska 10) punda mchana kutwa. hatta jioni watoto wakamwacha punda.

alipofika kwao, yule punda akatoa qissa11) kilichom- pata. mamayakeakamwambia: „nimekwambiam wanangu, usicheze na watoto wa chuoni, leo wametaka kukuua."

khabari ya mtoto mwanamke.

mtoto mwanamke huitwa kigori mwanzo wa miaka sabac, hatta akipata miaka kumi na mitano huitwa mwari. qacida ya watoto hao hukaa nyumbani. kwanza hutogwa1") mashikio kwa miba. na siku ya kutoga hufanya furaha13) naye kama h'arusi u). naye mtoto

1) Geschichte. 2) Teufel. 3) vermachen, ans Herz legen.

4) waana wangu. 5) Testament, Ermahnung. 6) Kreuzweg.

7) roter Pfeffer. 8) After. 9) Fußtritte. 10) quälen.

11) Sache. 12) Ohrlöcher stechen. 13) Freude. 14) Hoch- zeit.

46 -

hufimdishwa killa adabu ya nyumba , huosha vyombo, sahani na mabakuli. na akeska, kupewa, chanzo cha ukili 1) kusuka 2). killa siku kazi yake kusuka mikeka na kufundishwa kupika.

naye hana rukhsa ya kutoka nje, illa usiku kwenda kumtazama watu waliomkhussi3), naye hendi4) pekeyake, hufuatana na kijakazi ao mwanamke mzee. na iwapo mtembezi, killa pahali huenda. hupigwa na wazee wake. naye" shidda5) kupata mume mwema, ma'ana wata hu- sema: „mtoto wa fulani mtembezi, anajua killa pahali. a

kazälika iwapo yumo katika nyumba, na mlangoni anakuja mgeni, mwanamke ao mwanamme, nao hawajui läzima ajificbe katika chumba kingine, asizungumze nao. wazee wake wakimsikia , huragomba sana , hu- mwambia: „ukisikia hodi, unachungulia uso wako, watu wote wakuone?" na watu wakisikia, ya kama uso wake hajifichi, humsema katika mji: „mtoto wa fulani uso wake umemkauka hana haya 6) , si mwanamke wa kuolewa." hupata labda mume, lakini hukawia.

na mtoto mwanamke akipata miaka kumi , huja mwanamke moja, ndio kungwi7) lake, akamvika utunda8) kiunoni. huyu ndio somo 9) yake ya siku zote , na ma'ana ya huo utunda ni pendo, ili kumtia hamu10) mwanamume kumtaka mwanamke. mwanamke asiye- kuwa na utunda, watu husema kiuno chake kimepooza.

khabari ya waanafunzi wasomayo 4iliuuu).

waanafunzi hao wakubwa, 'omri1-) wao tangu miaka cesherini hatta khamsocesherini. watu hao

1) Matteustreifeu. 2) flechteu. 3) nahestehen. 4) ha- endi. 5) selten. G) Scham. 7) Lehrmeisterin ; von kunga verhehlen, verheimlichen. 8) Hiiftschnur aus weißen Perleu, die von allen Suaheli -Frauen und Mädchen auf dem bloßen Leib ge- tragen wird. 9) Freundin. 10) Verlangen. 11) Wissenschaft, Auslegung des Korans. 12) Alter.

- 47 -

bacada ya kujua qoräni, huenda kwa shekhe1), kusoma eilmu, kujifundisha*sherti2) zinazowäjibu3) juu ya sala4), na sherti za mke kuoa na kuacha, na hokumu5) za kuuza na kununua , na jami'ei 6) ya sheri'a 7). lakini watu hao mbele ya skekhe wao hawafanyizi upuuzi kama waanafunzi wadogo , humheshimu 8) sana shekhe wao.

na desturi ya watu, wendao katika darsa 9), waka- fika, iwapo shekhe bado kuanza kusomesha, humwamkia „subalkheri" 10) ao humpa mkono wakambusu n). na iwapo anasomesha. si adabu kumwamkia, illa ba'ada ya kusomesha. na watu walio katika darsa ya eilmu, wa- anafunzi na watu wengine, wanaosikiliza, si adabu ku- zungumza maneno mengine, illa humsikiliza yule shekhe fasiri n) atoayo. na kulla mtu huchukua kitabu, en- dapo katika darsa. na killa kitabu namna mbali, wen- gine huchukua „nahau,"13) wengine „min hajji,"14) wen- gine „tefsiri ya qoräni," 15) vitabu vya cilmu namna nyingi. na desturi ya yule shekhe akesha somesha, hupiga fätiha1''), na watu walio barazani huitikia amin17). kulla mtu huomba duea 18) atakayo. wengine huomba : „muungu anipe cafya19), aniondolee maradi," -°) wengine huomba „muungu anipe fahamu21), nijue cilmu," wen- gine huomba „muungu anisamehe 22) zambi 23) zangu, anistiri24) caibu'-5) yangu," huomba mtu kama atakavo.

na hiyo darsa husomeshwa as - subuhi na jioni. wengine husomesha as-subuhi tu. mashekhe. wengine

1) Gelehrter, Alter. 2) Bedingung. 3) sich beziehen (ver- pflichten). — 4) Gebet. 5) Gesetz. 6) Gesamtheit. 7) Gesetz.

8) ehren. 9) Schule. 10) subh al-kher guten Morgen. 11) küssen. 12) Erklärung. 13) Grammatik. 14) Pilgerreise.

15) Erläuterung des Korans. 16) erste Sure. 17) Amen. 18) Anrufung. 19) Gesundheit. 20) Krankheit. 21) Verstand.

22) verzeihen. 23) Sünde. 24) bedecken. 25) Schande.

48

husomeshea majumbani kwao , na wengine husomeshea meskitini. desturi ya Wasuaheli mtu, ajuayo qoräni na cilmu, humpenda sana. iwapo mgeni, naye anataka kukaa katika mji, akitaka mke kuposa, marra hupewa, killa mwenyi mtoto wake hufurahi yule mwana chuoni kumwoa, ajapokuwa maskini.

lakini ikiwa mtu anatoka mbali , akaja katika mji mwingine, kukaa kule kama mw'allimu, akanena „mimi mw'allimu, nimesoma qoräni na cilmu," na watu ha- wamjui, humwandikia soali1). anapozijibu zile soali, huqubaliwa 2) , ya kuwa haqiqa 3) yeye ndio mwcallimu.

1) Frage. 2) zustimmen. 3) Wahrheit.

khabari ya mw'allimu.

kuna mw'allimu aliyechukuliwa na mkubwa wa mji, kama iliyokuwa zamani. naye lmpewa mshahara x) kulla mwezi kbamso'asherin rupia. mw'allimu huyu hukaa meskitini kusalisha na kuangalia khabari za mes- kiti. naye hupewa katika sadaqa2) zinazokwenda mes- kitini. na jumla3) ya watu katika mji hupigwa mbiu4), ya kama mtu, anayetaka kuoa, bana rukhsa ya kuoa kwa mw'allimu mwingine illa mw'allimu huyu. naye hupata kwa killa mtu , anayetaka kuoa , ijara 5) rupia mbili. naye mw'allimu hupewa nyumba ya kukaa na watu wa mji.

kuna mw'allimu mwingine, huajiriwa6) na watu, kusomesha watoto wao majumbani kwao, hupatana naye killa mwezi kumpa mshahara rupia kunii ao khamust/a- shara. killa as-subuhi huenda marra moja akasomesha, na jioni vilevile, illa el-jumaca na siku za siku kuu. na kulla cada7) zinazohitajia 8) hupewa, mfano wa ramacjani na siku kuu zake, lakini watoto wakikhitimu9), hana ijara tenna, illa hupewa kilemba. nao hawapatani kwa mwezi ao kwa miaka , hupatana watakäpokhitimu

1) Monatslobu. 2) Almosen. 3) Summe. 4) Büffelhoru, eigentl. das Hörn blasen d. i. bekanntmachen. 5) Lohn, Zahlung. 6) in Lohn nehmen. 7) Geschenk. 8) erforderlich sein. 9) die Schule verlassen.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 4

50

watoto, ikawa mwaka moja ao miaka miwili, ndio ma- patano yao.

kazi ya hao wa'allimu kazi nyingi billa ya kuso- mesha. bacada ya kureje'a meskitini kusali as-subuhi, kushika msahafu , akasoma qoräni , ao huvuta auradi *), na huo auradi majina ya muungu, huyataja kwa wingi. akisha vuta auradi, huja mtu, akamwambia: „tafaddali2), nataka unisomee kkitima3) za wazee wangu mbili ao tatu." ao huja mtu anataka kigwe4) cha mtoto , ao mtu anataka kujenga nyumba, mwanzo ataka asomewe „yä sini" 5) juu ya kiwanja chake. bassi mw'allimu huchukua msahafu, akenda pale kiwanjani. ao huja mtu anataka kuoza ao kuozwa. bassi hufanyiza kha- bari hiyo mw'allimu , nao humpa kitu kama wanacko- ja'aliwa 6). kazälika iwapo yeye ni imämu 7) katika mskiti, na ule mskiti una kkeri8), shamba ao nyumba, dukhüli9) ipatika nayo katika shamba, sehemu10) kubwa huwekwa sababu ya mskiti, ukivunjika fedda }ake hujengwa, na sehemu moja mw'allimu na mwazzini !1) na mteka 12) maji hugawiwa.

ao amekuja mtu , ametoka barra , anataka kuwa islämu, huenda kwa mw'alliinu , husema ya kama: „mimi nataka kuwa islämu." humwambia: „nenda ukafue nguo zako, na nywele uzinyoe, ukesha oge, tenna njoo kwangu." kisha atakuja, atamfundisha yule mw'allim, atasema: „sema ashhadu an iläha illä 'llähu, wa ashhadu anna Muhammed rasülu 'llahi. " 13) macana ashhadu „nimepokea kwa moyo wangu, nimebaini M) kwa ulimi hapana muungu mwingine illa yeye moja. nime-

1) Rosenkranz. 2) bitte. 3) Koranlesung. 4) Amulett- schnur. — 5) Sure 36. 6) bestimmen. 7) Vorbeter. 8) Gut. 9) Einkommen. 10) Anteil. 11) Rufer zum Gebet. 12) Wasser- schöpfer. — 13) muhamedanisches Glaubensbekenntnis. 14) aus- sprecbeu.

51

pokea tenna kwa moyo wangu, nimebaini kwa ulimi, ya kwamba Muhammadi ni mjumbe wake muungu , si mtoto wake." yule mtu akiska sema maneno haya, naye ameqirri ') kwa moyo wake, amekuwa islämu.

tenna hufundishwa kufnnga ramadani*), na kusali3), kulla namna ya sala4) huonyeshwa, na kwenda mskitini killa waqti wa sala mcbana kutwa marra tano , na kufundishwa kuelekea qibla5) zamani za kusali. naye kuuliza neno gani la haläli b) . neno gani Ja harämu 7), atajibiwa kama lifa'alo. huyo mtu , atokayo barra, hutaka mwenyewe kwa radi b) zake , kaambiwi kwa nguvu. hutaka na kufundishwa kuchinsha nyama, mbuzi na ngombe, mwanzo wake husema „bismillähi." ")

aida 10) na khabari ya watoto kusomesha ta'abu11) kubwa , pato lake dogo , sababu watoto wakikhitimu, fedda yake mw'allimu hapati yote. wengi wanasoma burre sasa kuliko wanaotoa ijara, ma'ana mwanzo hu- patana kutoa fedda, na mtoto akikhitimu, humzungusha mw'allimu, hawampi kitu.

1) anerkennen. 2) fasten im Ramasanmonat. 3) beten. 4) Gebet. 5) Ricbtung nach Mekka G) erlaubt. 7) ver- boten. — 8) Zufriedenheit. 9) im Namen Gottes. 10) ferner. 11) Mühe.

desturi za adabu1).

adabu za watoto.

mtoto wanapomlea, kkassa-) akipata eomri wamiaka sitta ao sabac , humfundisha mno adabu. naye läzima kusikiliza sana amri ya wazee wake. iwapo wamcm- kataza neno , läzima asikilize. na kama akafanyiza kwa amri yake nana adabu.

aida humfundisha kuwaamkia watu , kkassa akimwona mtu mkubwa, anajuana na wazee wake,

amwamkie. ^^f^tUt.

tenna hufundishwa kuwasogelea watu wakubwa kwa heskima 3) na adabu. na akiwa mju.vi, anatukana watu humpiga.

ao akiwa killa mtu, apitaye njia, humwomba pesa hupigwa.

aitja mtoto akikaa pamoja na watu wazima, asikae kitako qabla ya watu wakubwa havvajakaa kitako. akifanya huambiwa mtoto huyu hana adabur

kazälika iwapo amekaa mbele za watu , si desturi kusema maneno haya na haya, humsema watu „mtoto wa fulani hana adabu."

aida kijana iwapo amekwenda na mzee wake katika hadara4) ya k'arusi 5) ao karamu6), naye amekaa pa-

1) Anstand. 2) besonders. 3) Achtung. 4) Anwesen- heit, Gesellschaft. 5) Hochzeit. G) Fest.

kJdU fL W^\ *ܻu!

53

moja nao wanazungumza wäjibu1) wake kunyamaza kimya kusikiliza amri watakäyomwambia. si adabu marra kuclieka na huyu, marra kucheka na huyu. watu watamwambia „kijana huyu hana adabu , wala haifai kumchukua katika vikao vya watu." illa iwapo yeye amekaa na vijana wenziwe tu, kuweza kuzungumza na kuclieka na kufanya kelele atakavyo.

tenna mtöto humfunza asiwe na kibri2) mbole ya watu.

na iwapo amefuatana na baba yake , si läzima mtoto kutangulia mbele , illa baba buwa mbele. ao amefuatana na mw'allimu wake, kazälika atakuwa mbele. na asipofanya hivo. amemtukanisha mzee wake na mw'allimu wake , naye mwenyewe amejitukana, sababu watu watamwuliza: „baba yako hakukufundislia adabu, wala mw'allim wako hakukufundislia adabu , ndio ma- cana usishike adabu?"'

kazälika mtoto si läzima kutoa caibu3) za watu,

^mathal4) „fulani mkewe hupika /makula kibicbi," ao

„leo wamelala na njaa, hawana cbakula . nyumba ya

kiza, baina taa." mtoto akisema maneno kama haya,

watu hujua, ya kama hana adabu.

wa kazälika mtoto liuambiwa marra nyingi na wazee wake: „kulla ukaambiwa maneno ya sirris), lä- zima uyafiche , si läzima kumwambia huyu na huyu. ufanyapo kama liivo , hukwambia watu „kijana huyu hana adabu, wala usimpe neno la sirri."

na iwapo wamekuja wageni katika nyumba, wana- kula chakula pamoja, mtoto liuambiwa, asitangulie ku- nawa mikono yake qabla wakubwa hawajanawa. na kama katika nyumba hapana mtu wa kuandikia, mtoto

1) Pflicht. 2) Stolz. 3) Schande. 4) z. B. 5) Ge- heimnis.

- 54

hushika birika1)., akanawya watu. ijapokuwa wame- kwenda katika ugeni , waliupo wote wakubwa , yeye ataandikia.- 9^»^-^

na iwapo wanakula , si adabu killa marra kutwaa nyama , illa wampe rukhsa kula nyama. na iwapo anakula, killa tonge2) ya cbakula butwaa chinyango3) ya nyama, watu wote humtezama, khalafu huscma: „kijana huyu hana adabu, siku nyingine usimchukue katika hadara, anatia fedeha."4)

aida na akala, si desturi mbele za watu kula clia- kula akatafuna kama mbwa, hukatazwa sana na wazee wake.

iwapo mtoto adabu, alizofundishwa na wazee wake, hakuzisbika , amefanyiza neno katika mtaa , mätkali ainetukana mtu, ao amemwambia mtu mkubwa „wewe mwongo ," yule aliyemtukana atakwenda kwa wazee wake , akawatukane , wakimwona killa siku mtundu - hufanya mashauri ya kumpeleka kumbini 5) , ma'ana huko endako kumbini hufundishwa sana adabu na ma- kungwi 6) zao.

kulla mtoto läzima kusikiliza amri za watu watatu, iwapo anataka radi 7) ya muungu: auwali8) amri ya mfalme, na ya pili ya wazee wake wawili, na ya tatu ya mw'allimu wake. amri hizo tatu läzima azisikilize sana. na kama akazizarau 9) amri hizo , amekhalifu 10) amri ya muungu.

khabari ya miayo u).

mtoto akenda miayo , killa marra huulizwa „una njaa ao umeclioka?" naye hukatazwa kufunua mdomo

1) Wassergefäß. 2) Bissen. 3) Stückchen. 4) Schande. 5) ins Versteck d. i. zur Beschneidung. 6) Lehrmeister. 7) Zufriedenheit. 8) zuerst. 9) mißachten. 10) sich auf- lehnen. — 11) Gähnen.

55

zama za kwenda miayo. na akiwa mtoto hana fahamu1), akenda miayo, mama yake humfumba kiny wa , sababu huchelea inzi kumwingia kinywani. na akiwa na fa- hamu, ni Vtibu J) , humwambia: „ukiwa mbele za watu, ukenda miayo kinywa kifumbe, usiwache wazi kama kinywa cha mamba." sababu mamba, akiwa na njaa, hukaa juu ya fungu ya mto, akacha kinywa wazi, inzi wakaingia ndani ya kinywa, kesha kufumba kinywa chake. ndio sababu humwambia: „nawe usiwe kama mamba. "

khabari ya kwenda jßliafya 3).

kazalika mtoto hufundiskwa, akenda chafya baba yake ao mama yake, kumwamkia kusema „shikamo." 4) na mzee wake huitikia ,.marhaba/' 5) ao kusema „mwi- nyi,"v na mzee wake hujibu „mwinyi wangu sayyidi."6) na akiwa mtoto mwanamke , kujibu „mwana wangu sayyidi. "

na ikiwa mtoto amekwenda chafya mbele ya wazee wake, humwambia:

kua, uwe tindi1),

utindi male 2),

ukalie kiti

cha mkungo 3), ulingane

na ulanga4).

1) uwe mrefu kama ncha ya mti. 2) utindi uishe, ma'ana 'omri wako uwe mkubwa. 3) kiti cha inkungo (eine Art Eben- holz) haben meist nur die pazi. 4) = mbingu d. h. ulingane mulki wote uwe wako.

kisha humwambia: „shukuru 7) , sema al-hamdu lfflähi.« 8)

1) Verstand. 2) Schande. 3) Niesen. 4) nashika miguu yako. 5) willkommen, danke. 6) mein Herr. 7) 8) Lob sei Gott.

56

khabari ya mbweo1).

mtoto akenda mbweo, wengine huwakataza, husema: „usizoee mno kwenda mbweo." wengine hawawakatazi mbweo illa chafya mbele ya chakula humwambia „unakwenda chafya kama mbuzi aliyefungwa juu ya kigwingwi?" 2)

na kwenda mbweo, kwetn si caibu, ni kama ku- mwonyesha yule aliyo mkirimu 3) , ya kwamba chakula chake kizuri, naye ameshiba.

desturi za adalni za watu wazima.

mtu anapokwenda katika nyumba ya mwenziwe, atapiga „hodi." nao walivvo ndani , wataitikia .,hodi," tenna watamwambia „qaribu." naye atakaa barazani, khalafu atatoka nje mwanamume yule mwenyi nyumba, atamwambia mkewe : „binti mwenyi lete jelba." 4) akiwa mtafuni5), watatafuna tambuu6), na kuulizana hali7): „kina8) mwana hawajambo na kina mwinyi wote?,Y atajibu: ;.hawajambo, watoto wanakushikamö, wakubwa wanakusallimu." 9) iwapo mgeni wa kuzun- gumza, marra moja atakwenda zake, akiwa wa kulala, atahimiziwa 10) chakula na pahali pa kulala.

adabu ya pili mtu akenda katika nyumba ya rafiqi yake ao ndugu yake, atapiga hodi, na wasipoitikia, husimama mudda11) kidogo , hapana mtu aliyemjibu, atakwenda zake.

kazälika akaingia ndani ya nyumba, kama haku- bisha hodi, ao kubisha hodi, marra akaingia ndani si adabu. illa ukibisha hodi, usimame mlangoni kusi-

1) Rülpsen. 2) Pfahl. 3) Gastgeber. 4) Beteldose. 5) Betelkaner. 6) Betel. 7) Zustand. 8) Geschlecht, Familie. 9) grüßen. 10) beeilen. 11) Zeitraum.

- 57

kiliza majibn, sababu watu, wakiwa ndani, wana mam- bo mengi, hutokea ngno hawakuvaa venia, ndio maeana ya kusikiliza majibu ya hodi.

na wanapomjibu watamwambia „qaribu, pitandani." waqati wa kungia ndani , akiwakuta wamekaa mtu na mkewe ukumbini haiduru1), mtakaa pamoja mzun- gumze. na kama nmewakuta wako cbumbani wanaongea, nawe umepita ukumbini , umeona wako cbumbani , si adabu kabisa kuingia chumbani.

ao umekwenda katika lryumba ya rafiqi yako. umepjga bodi , umemkuta mwanamke pekeyake , na mnme hayuko . usikae ukaweka maongezi , rafiqi yako akija ataqasirika. illa iwapo yule mwanamke amepata rukhsa „fuiani akija mwache aningoje." ao iwapo ume- fuatana na rafiqi yako , msiwe mmekwenda pamoja, ukapata panapo nyumba ya mama yako ao yako, ukan- gia ndani, rafiqi ukamwacha nje pekeyake, si adabu.

adabu nyingine nyumba ya jirani 2) }'ako, naye ana mke , na mkewe bäsherati 3) usiwe na baja 4) kwenda nyumbani kule. wakikupata khabari watu, ya kama unakwenda nyumba kwa fuiani, busema anazini na mke wa jirani yako si adabu.

iwapo umekwenda kwa rafiqi yako kumtezama, naye huknmkuta, illa yuko mkewe pekeyake, mwanamke si adabu kukuqaribisha 5) ndani , wala wewe si adabu kuingia ndani. uende zako ao umngojee barazani, hatta aje rafiqi yako.

ao aniekuta katika nyumba kijana mwana mwari, na watu wote wametoka , akipiga bodi , mwana mwari kuja mlangoni, yule mtu atauliza 7;baba yako yuko" atajibu kwa makofi 6) , hasemi naye kwa maneno.

1) schaden. 2) Nachbar. 3) Herumtreiberin. 4) Wunsch. 5) näher treten heißen. 6) ia-drä-ftä-mle klat3ebetfr A\f /**tl/^

va-4itr~tt?crmc klatgehert^ - ß /.

^^A^

58 -

abisema, mtoto mwana mwari humsema hana adabu, mama yake atamtukana sana.

clesturi ya Wasuaheli ukawaona wamekaa pa- hali watu watatu ao wanne , wanafanyiza maskauri yao , nawe ikawa unapita , hawaknkwita afadali uende zako , usikae kusikiliza manono yao. na kama utasikiliza , watakuuliza: „unataka nini kapa?" ao watasema : „nani aliyokwita katika maneno haya ?a watakufukuza , watakwambia ,.huna adabu." na kama , wana mstahi , hawawezi kukufukuza - - wataondoka wao, watafute pahali pengine wakae.

adabu ya Wasuaheli mwanamume akenda kwa rafiqi yake wakaletewa cbakula , nacho kimefunikwa nakawa1), yule rafiqi mgeni si adabu kufunua, ajapompa rukksa ya kufunua,, lakini hafunui. 7f**~ Jkazälika wakiletewa jelba , ndani mna tambuu, mgeni hafunui. killa kitu kilichofunikwa , mgeni si adabu kukifnnua. afunuaye ni yule mume mwenyi nyumba yake, afanyapo hivi mgeni, kwa desturi ya ki- suaheli hana adabu.

kazälika waanawake hawafunuliani vyungu ao kitu kingine kilichofunikwa. mwanamke kama amekwenda kwa shoga yake , akaona ^ßhungu kimefunikwa , naye akakifunua utakuwa ugonwi. ma'ana humwambia: „wewe msungo2), kungwi3) lako hakukufunza mizungu4) miomboni5). na ma'ana ya kuqasirika ni kama aliyem- funua nguo kumwacha uchi. ndio ma'ana Wasuaheli hawafunuliani vitu.

Wasuaheli hawawachi kuambana, kama walivosema wahenga 6) wetu :

1) tadellos, ordentlich. 2) die nichts versteht. 3) Lehr- meistern]. — 4) Verstand. 5) unter dem mwombo-Baum. 6) Vorfahren.

59

„watu nyamba1) wasiposema 2) huamba. " 3)

mathali ni kama mtu knpata fedda, akasema „mwaka huu nimepata bi'ashara" watu humteta , .husema „fulani akipata kitu kidogo. hujitangisha4) mji mzima." ao kama hana kitu , akasema „mwaka huu ni katika shidda 5) na masbakka" (i) watu bumsema vilevile, /tMM/M, » busema „fulani ana moyo wa kibua, akikosa buenda akajifedehi 7) killa pabali." na hiyo si adabu, mtu ku- jishitakia kali 8) yake mbele za watu.

desturi nyingine za adabu : mtu akafanyiza/makula kumwita rafiqi yake , bassi mkewe iwapo siku mo ja amepika cbakula kimetokea kibichi , ao nyama mbichi, yule mwanamke bumwambia mumewe : „bana , leo eha- kula si kizuri, tafaddali usimwite rafiqi yako." mume bujibu: „baiduru, wewe bukuqusudia 9) kupika kibichi. iwapo amekuja yule rafiqi, watakula, atamwuliza: „ki- mekupendeza cbakala biki?" atajibu: „kizuri, u ijapo- kuwa bakikumpendeza, sababu si adabu.

na akiondoka kwenda katika barza za watu, si adabu kusema ya kama: nimekwitwa na fulani, nimekula cbakula cbumvi nyingi, ao nyama mbicbi." watu . wakijua, fulani ndio tabi'a 10) yake, anakasliifu n) ma- jumba ya watu , wakiwa na karamu , bawamwambii, wala marafiqi zake bawamwiti. kazalika na akiposa mke, hupata, lakini kwa shidda12), illa apate mtu maa- rufu13) wa kumsemea uposa wake.

kazalika rafiqi akiwa mgeni , mke wa rafiqi yake

1) nyamba vom Verb amba = mtesi oder mwambaji Schwätzer. 2) sema offen reden. 3) amba heimlich reden. 4) sich breitmachen. 5) Elend. 6) Zweifel. 7) sich beklagen. 8) sich über seinen Zustand beklagen. 9) beabsichtigen. 10) Charakter. 11) schlecht machen. 12) selten. 13) ange- sehen.

60

marra moja hamwoni, illa atamwonyesha mama yake na ndugu yake mwanamke, lakini akiwa kijana harawo- nyeshi. wala nao hawaji, wakijua, ndugu yao anazun- gumza na mtu mgeni. humsema: „kijana fulani uso umemkauka."

kazälika urafiqi wa kisualieli ajapo rafiqi kumte- zama rafiqi yake , akikaa mwezi , khasara ') humläzimu yule rafiqi mwenyeji. na sikn ya kuondoka akimpa kitu hapokei. illa iwapo ameondoka amefika katika mji wake, amletee zawadi2).

na rafiqi yake wakikopana, hawawiani. illa mwe- nyewe rafiqi hufanyiza nazari 3) imeniläzimu kulipa. lakini mambo kayo hufanya wale waliwo wema, watu wabaya huleta daeawa 4) na kutukanana , na urafiqi uishe. na akikopa kwa mtu, asiyekuwa rafiqi, hulipa kwa tacabu 5), wazito wa kulipa, husema : „kukopa h'arusi kulipa matanga."

magomyi ya mtoto na wazce wake na mapatano yao.

mtoto akikosana na wazee wake, akikaa sik>i lryi- ngi billa ya kusema nao , mji mzima Humsema „kijana fulani hana adabu." iwapo maneno mengi katika mji, hutuma mtu humwambia: „tafaddali, nataka ukasnne na wazee wangu , wawe radi." yule mtu atakwenda, aweleze khabari kama iliyotoka kwa mtoto wao. \va- kikataa, mshenga6) kuwabembeleza: „msifanye maehungu mengi , mtoto mbaya huwa naye , na mwema ukawa naye." tenna husema: „kiganja, aliclioir^ia mwana, huosliwa kakikatwi." ^

bassi wakiwa radi wale wazee, mshenga atarudi

1) Schaden. 2) Geschenk. 3) Gelühde. 4) Klage. 5) Mühe. 6) Bote.

61

kwa yule mtoio, atamwambia: „wazee wako wamekuwa radi, lakini kaa kwa adabu, usifanyize ujuvi. na sasa chukua ckangukia miguu tukawape." atachukua kitambi na kanzu ao kitu kingine. vitu hivo jina lake „takar- radi,"1) ao „changukia miguu," sababu desturi ya Wa- suaheli, mtoto akigomba na wazee wake ao mkwewe, akipatana nao, hutoa kitu kuwapa.

turejee kwa yule mshenga. akisha chukua vitu hivo, atapeleka kwa wale wazee. atasema : „nimemleta mwanenu , mambo aliyoyatenda ataka mumsamehe 2) ma'ana „vikombe vikawa pamoja haviwacbi kugon- gana." tenna yule msbenga atasema: „mwamkie baba yako , umpe na mkono." atamwamkia , babiye mtu atatikia, kisha amwombee muungu mwanawe: „yaliyo- pita yamepita, yaliyosalia kitumbe cha mongo. " 3) hayo ndio magomvi ya Wasuaheli na mapatano yao.

1) Zufriedenstelluug. 2) verzeihen. 3) nyuma ya mgongo.

khabari ya kuamkiana kwa Wasuaheli.

zaniani watu wakikutana as-subuhi kuamkiana. iwapo kijana amekutana na jumbe ao mtu mkubwa kuliko yeye humwambia „chelewa," ma'ana „umeamka vizuri ki- tandani?"' naye kuitikia „äye," inacana yake „aksante" ao „vizuri." tenna kumwambia „mwinyi," *) kuitikia „mwinyi wangu sayyid." 2)

naye mwenyi kuamkia akimwamkia jumbe, kusema maneno yaleyale, na kofia na vyatu kuvua, akimkuta nje ao ndani. na iwapo waziri ao skaba3) ao mwinyi mkuu iwapo anamwamkia jumbe vilevile kofia huvua. lakini mtu akimwamkia waziri ao skaka havui kofia, iwapo ni mungwana, mtumwa kuvua.

na vijana kuamkiana kwao ni namna moja, illa kofia kawavuliani.

na watu hao iwapo wanajuana, kuulizana khabari za nyumbani. na kuulizana kwao: „mmelalaje nyum- bani?" kujibu: „batujambo al-hamdu lilläk." 4) „kina5) mwana6) kawajambo na watoto?" kujibu: „kawajambo, illa mpwao ao mjukuuo mwanamke Jana kakulala, ali- kuwa na koma, läkin leo hajambo." kujibu: „muungu amwondolee jambo." naye kusema : „nanyi mu kali gani

1) eigentl. Besitzer, dann Herr. 2) Herr. 3) Nach dem jumben kommt dem Range nach als nächster der shaha, dann wa- ziri, dann mwinyi mkuu. 4) Lob sei Gott. 5) Geschlecht, Fa- milie. — 6) unter mwana wird häufig wie hier die Frau des Hauses gemeint.

63

nyumbani? kina mwana wote hawajambo?" hujibu: „hawajambo." „ukenda nyumbani, nishikiemo *) kina mwana wakubwa, na watoto nisallimie." naye hujibu: „nawe nisallimie watoto wako, na kina mwana nishi- kiemo, na mwanao niskikie shikio." ma'ana akifika nyumbani, bumshika shikio yule mtoto, humwambia: „mjomba wako fulani akushika shikio."

na iwapo mwanamke mzee ameona watu wamekaa barazani, naye anapita njiani, ao anataka kuingia ndani katika ile nyumba, waliyokaa watu huvua ushungi, akawamkia watu barazani, naye husema: ;.mchewa kina mwinyi," ma'ana „mmeamka vizuri kitandani?" hujibu: „äye, tuchewa mwana, mwinyi mwana mwinyi mwana." huitikia: „mwinyi wangu sayyid, mwinyi wangu sayyid." ao humwamkia: „shikamö mwana." huitikia: „marhaba 2), marhaba kina mwinyi."

na akiingia ndani, husema: „kwetu?" huitikia wa- anawake: „tuwamo." ao husema vilevile : „mwinyi mwinyi" waanawake huitikia: tuwamo."

na zamani mtu, akipiga „hodi" katika nyumba ya kimrima, humkataza, humwambia: „si desturi ya kimrima „hodi," nyumba za „hodi" ni nyumba za Wa'arabu.«

na mtoto kumwamkia baba ao mama ao mtu mzee as-subuhi, humwambia: „kuckewa" ao „chelewa?" hujibu: „nichewa." humwuliza: „hujambo?" naye hujibu: „si- jambo." kisha humwamkia baba yake „shikamö," naye huitikia „marhaba." ao humwambia „mwinyi," huitikia „mwinyi wangu sayyid." na kuamkiana kwa watoto sasa vilevile kama zamani.

na mtoto akimwamkia baba yake ao mama yake, iwapo mchana, humwambia: „za mtana?"3) naye hui- tikia: „njema." tenna humwamkia,

1) uishikie miguu. 2) willkommen, danke. 3) khabari za mchana.

64 -

na iwapo jioni humwambia „za jioni?"1) hujibu „njema," tenna humwamkia.

na watu wazima vilevile kama wakikutana marra ya pili mchana ao jioni, husema: „za mtana?" ao „za jioni?"

namtoto, akitaka kulala, kwanza huenda kuwatwesha wazee wake, kusema: ,,nakutweska shikamö." nao humwambia : „kalale unono, lala na nguvu zako, uamke na nguvu zako, lala uli 2) simba, uamke uli ndovu."

na watoto wadogo wakiamkiana , huwambiana za- mani na sasa : „lmjambo?" „sijambo." tenna huulizana : ;.unakwenda wapi," ao „twende knckeza."

na mtu akimwona mpenzi wake, humwambia: „hu- jambo?" hujibu: „sijambo." „kama lulu?" hujibu: ;.kama lulu."

„kama marijani?-' 3) hujibu: „kama marijani." „kama fe<Jdaluku ?u 4) hujibu: „kama feddaluku." na kuamkiana huku kwa mpenzi wake ao kwa mtoto mdogo tu, ma'ana ealama ya mapendano . lakini sasa shidda kuamkiana kama hivi.

kama mtu amekwenda mtazama rafiqi yake mgo- njwa, humwuliza: „je rafiqi hujambo?" hujibu: „sijambo." „umelalaje leo ugonjwa wako?" humwambia: „ya leo si ya Jana," ma'ana magonjwa, niliyoyaona leo, siyo nili- yoyaona Jana, humwambia: „muungu atakondolea 5) jambo." huitikia: „amin." 6)

hio ndio desturi ya kuamkiana zamani katika mrima, na sasa wanaamkiana vilevile katika nyumba za watu wazima wazima, lakini kwa vijana wanapenda kuamkiana kwa kicarabu. kama mfano wa as-subuhi wakikutana, huambiana: „subal-kheri," 7) na mwingine hujibu: „'lläh bi'1-kheri." 8) „umelalaje?" „sijambo al-

1) khabari za jioni. 2) du bist. 3) Korallen. 4) rote Korallen. 5) atakuondolea. G) Amen. 7) subb al-kber Morgen des Guten. 8) Allah mit dem Guten (gewähre Gutes).

- 65

liamdu lilläh." „nawe umelalaje?" Imjibu vilevile: „si- jambo al-hamdu lilläh." na iwapo siku nyingi hawa- kuonana, humwuliza: „za *) siku nyingi?" hujibu: „njema." ;;za siku nyingi nawe?" hujibu vilevile: „njema."

na wakikutana mchana na usiku, husema: „msa '1-kheri,"2) huitikia ,,'lläh bi'1-kher."

na watu wakikaa barazani, na mtu anapita njiani, huwambia wale waliwokaa kitako: „saläm caleikum," nao huitikia „'aleikum saläm qaribu." naye hujibu: „starehe,"3) ao hujibu: „kaeni tafaddalini katika ma- kazi yenu," kama akija ao anakwenda zake.

khabari ya kuagana.

zamani ba'ada ya kwisha kuzungumza, humtwesha humwambia: „nakutwesha." naye hujibu: „äye." tenna humwamkia „mwinyi" akiwa mkubwa, akiwa ni kijana tu humwambia: „nakwenda nyumbani."

illa sasa mno huagana „kwa heri," naye hujibu: 7,kwa heri ya kuonana." arnma humzidishia maneno : „nenda ukaja , waliwokwenda wako wapi ? nenda na njaazako." hujibu: ,,äh, nimeshiba al-hamdu lilläh kule kuonana nawe."

maamkiano ya makntano ya njiani.

mtu akisafiri, watu humwambia: „saläma uendako,, urudi salimini." naye hujibu: „amina." ao huambiwa: „ndege njema, uenende ukale na vipofu." hujibu vilevile „amina."

na mtu akirudi katika safari, humwamkia: „po.n- gezi" ao „hqngea," ma'ana „umerudi saläma?" naye hujibu „tumeuya," ma'ana „nimerudi saläma." i0L4Wt

na iwapo mtu anapita, na watu wanafanya kazi,

1) khabari za. 2) Abend des Guten. 3) laß dich nicht stören.

Veiten, Deeturi za Wasnaheli.

ttAstvvdbwl? 4j\ ^frvysC*^

66

kazi iliyoyote, huwambia: „kazi mafundi?" huitikia: „auwali mnungu,"1) na khalafu huamkiana kama desturi.

na mtu akimkuta mwenziwe katika shamba kulima, humwambia: „fulani konde konde?" naye mwenyi kulima huitikia: „ya kulima na mvua moja konde ndio mchawi."

na mvuvi akirudi baharini, watu humwambia : „ma- vuvi?" naye hujibu: „ya mshipi na samaki," ma'ana yake „mshipi umekamata samaki."

na watu wengine katika mrima wakimwamkia mvuvi akirudi, humwambia: „fulani sayo?"2) akitikia : „zama gayogayo 3) mvuvi huanga 4) na payo." 5)

na mwinda akirudi porini, watu humwamkia : „nya- ma?" naye hujibu ,,wa porini," tenna kumwuliza khabari.

na watu wakipita njiani, akiona mtu anavuna, hu- mwambia: „mavuno?" naye hujibu: „ya mpunga4 ao „ya mtama."

na mwanamke akitoka ndani ya uzazi, huja waana- wake wenziwe kumhongeza 6), nao humwambia : „hongea mwari," husema: „al-hamdu lilläh." tenna humwanTBla: „ndiwo ukubwa huo, umepata bibi ao babu?7) hujibu: „bibi."

1) aliyeanza killa kazi d. h. er ist der größte Meister, der alles geschaffen, womit wir arbeiten. 2) khabari ya baharini?

3) ein länglicher Fisch, gewöhnlich gayogayo nichauga genannt.

4) anga = hangaika. 5) Unruhe. G) begrüßen, Glückwünschen. 7) scherzweise für Mädchen oder Junge.

khabari ya kumtia mtoto kumbini1),

matengenezo.

wengine hupeleka watoto wao comri 2) wa miaka mitano , wengine huwapeleka kwa comri wa miaka sabac, na wengine wakisba soma kwa comri wa miaka tisae.

na babaye mtoto, akitaka kumpeleka mtoto kum- bini, hualika kwanza jama'a3) zake usiku qabla ya kutahiriwa 4) kucbeza manyago 5). na al-'asiri 6) wana- kwenda baba na jama'a zake maqaburini ?) kufyagia 8). na wakifika kule maqaburini, hufyagia yale maqaburi na kumwagia tibu na dalia. na huku wanasema: „tu- mekuja kwenu wazee wetu , mtoto wenn na mjukuu wenu tunampeleka kumbini leo , muungu amjacalie H) salama. ninyi mmekufa , lakini vivuli vyenu vizima, asiugue buyu mtoto kumbini. na akipona, tutakuja wafyagilia tenna." bassi hufyagia lile qaburi, pakiwa na majani hungoa, pakiwa na taka huziondoa. nao huchukua ubani 10) ndani ya chetezo11). wakesha fyagia, kile chetezo hukiweka chini ya kichwa cba qaburi. ma'ana kufukiza qaburi billa ya kutia ubani katika chetezo haifai. na kulla marra mtu akitaka ku-

1) ins Versteck schicken d. i. Iieschneiduug. 2) Alter. 3) Verwandtschaft. 4) tahiri beschneiden. 5) Tanz. 6) Nach- mittag. — 7) zu den Gräbern. 8) fegen, reinigen. 9) be- stimmen. — 10) Weihrauch. 11) Räucherschale.

5*

68

mwombea muungu, kutia ubani katika moto ndani ya cketezo.

na usiku kuja jamaca zake tenna na watu wengine, kukusanyika kucbeza manyago. na manyägo ni jina la ngoma. na äsili ya kwitwa manyago waqati ') wa al-fajiri kufanyiza vituko 2), mfano kufanyiza ma- jani ao miti huyafungafunga, kkalafu kuingia mtu ndani akackeza. kuwa labda kama ngamia , ao tembo , ao mbwa ao nyama mwingine, ndio sababu kwitwa vinyago3).

na desturi ya zamani kupikwa pombe, watu waka- nywa usiku ule waqti wa kucbeza manyago, sasa hutezama wale watu, waliu wakubwa, tenna waliomkkussi 4) yule mwenyi manyago, hufanyiziwa cbakula. na buyu nga- riba 5) ao muwinzi G) kuwapo katika manyago, bucheza pamoja na watu. buwalika wawinzi wenziwe katika manyago. kuja nao wakacbeza vilevile. na wa'ana kualikwa wawinzi wenziwe ni heskima 7).

khahari ya kutahiriwa.

na al-fajiri manyago yakivunjika, ngariba huingia ndani ya banda, lililowekwa tangu usiku wale watoto, wanaotaka takiriwa. ma'ana wao kawana rukksa kutoka kwenda katika manyago. na bilo banda kuitwa banda la „kumbi," macana banda la kujificka, nalo limejengwa ndani ya mwitu. kapana rukhsa waanawake kwenda, hatta waanawaume, wasiwotakiriwa, kawendi.

tenna kuingia ngariba, na wale wari h) wote huwa ucki. na ngariba kuwa na kijembe, kinackokwitwa kirimbo. akifika, kumwita mwari moja, jina lake kuitwa

1) Zeit. 2) Schreckgespenst. 8) kinyago = sanamu Bild. 4) nabestebeu. 5) Beschueider. 6) Beschueider. 7) Höflich- keit. — 8) mwari wird gewöhnlich das junge Mädchen genannt, das zum ersten Mal die Menstruation hat, alier auch die sich der Besclmeidung unterziehenden Knaben werden wie hier so benannt.

69

kiranja, *) naye ni mtumwa. naye kiranja huwekwa juu ya tego , ma'ana kibao cka kukaa mtu moja tu. naye hushikwa na mtu. yule amskikaye kuitwa jina lake shuwali. tenna kuyu ngariba kumpuna 2) kidogo mboo 3) yake , tennä humtähiri kwa kile kijembe. na wengine kushikwa ile mboo kwa mbano 4) wa kijiti kidogo , kkalafu humkata. wengine Euvumilia 5), wen- gine kawawezi kuvumilia, sababu inapokatwa ngozi ya ndani , mtu huona uchungu sana. na wengine waki- mwona mwenzao analia, banda kama halikujengwa kwa nguvu, kulivunja akatoka akakimbia.

na yule ngariba iwapo wapo mangariba wenziwe, aliowaalika yeye , kuwapa keskima , killa mtu kumpa wari wawili kutakiri.

kliabari ya dawa.

bacada ya kwisha kukatwa, wale watoto hupikiwa uji, ao kuletewa madafu kunywa, sababu wapate kuji- hongeza, ma'ana yake wakojoe. tenna kutiwa dawa. na hiyo dawa ni unga wa mti , wengine husagiwa mkumbi 6). wakapaka juu ya kile kidonda, kufunga na kitambaa. na wengine bawafanzi hivo, wao kutia kwanza kitambaa na mafuta 7) ya kizungu, kumwagia juu ya kile kitambaa. na desturi hiyo imekuja sasa zayidi kama ile ya zamani.

tenna killa as-subuki kuja kungwi lake , ndio jina lake anayemwoska na kumtazama. naye hufungua kile kitambaa kilickofungwa siku ya kwanza, kuosha kwa maji ya moto, katta patakate pale palipokatwa. tenna hutiwa dawa marra ya pili, macana unga wa mti. ha- tiwi tenna mafuta ya ulaya illa siku ya kwanza.

1) Anfänger, vnn anza. 2) hin- und herscbieben. 3) penis. 4) Klammer. 5) aushalten. 6) Baum. 7) Petroleum.

- 70

kisha hufungwa terma kitambaa, hufanya desturi hiyo killa as-subuhi mudda wa siku sitta.

siku ya sabae huambiwa wazee wao : „siku sitta __N zimekwisha, kesho watoto wanakwenda mogo." 1) na huo mogo , iwapo wamealikiwa masbamba ya mbali, liupelekwa katika mto wakoga. na iwapo mashamba ya qaribu , hupelekwa pwani koga. nao hutolewa al- fajiri kupelekwa pwani. wanapokwenda huimbiwa mwi- mbo na kungwi lao : ^(ä^kWx „lawa 2) lawa tilgende" 3) nao huitikia vilevile:

„lawa lawa tugende." na kule pwani huenda, wakoga mwili wote, tenna hu- pakwa dawa nyingine, burudi kumbini.

wazee wao wakijua, watoto wamerudi pwani, jioni husaga tui 4) la nazi na pamba. butia ndani ya tui, na lile tui hutiwa ndani ya kikombe, hupelekwa hatta kumbini. wale makungwi wakiwaona waanawake, hu- wapokea vile vikombe, buvipeleka kumbini , kama wa- nawopokea killa siku vyakula , wanavoleta wazee wao, kuwaletea watoto wao. na chakula kikija , kungwi, akipokea kuwapelekea wale wari, huimba :

„cha 5) jumbe chano cba jumbe." 6) nao huitikia vilevile :

„cha jumbe chano cha jumbe." bassi kungwi akisha peleka kile kikombe chenyi tui, huja shuwali na kungwi kuwapaka lile tui na kubandika pamba juu yake. na katika kazi ile huimba mwimbo :

1) von oga baden. 2) herausgehen. 3) twende laßt uns gehen. 4) ölige Saft aus dem Fleisch der Kokosnuß. 5) chano. 6) kommt mit guten Speisen.

71

„nigemapo x) tembo 2) moyo wanitetema nigemapo tembo moyo wanitetema."

1) gema zapfen. 2) Falmwein. wari huitikia vilevile : „nigemapo tembo moyo wanitetema." ba ada ya kwisha kupaka pamba na lile tui, huuguza wale wari madonda yao. na kulla as-subuhi wakesba oska, hupakwa dawa, ma'ana gome *) la mti limesagwa, unga wake ndiwo wanaopakwa.

saba ya pili *) hupelekwa tenna pwani koga. wa- napokwenda pwani , kupakazwa mzimu 3) katika nyuso zao. na huo mzimu udongo mweupe, watoka ndani ya inchi. na kupakwa kule ni calama 4) kujulikana, ya kwamba wale wanaokwenda pwani ni wari. na wakireje'a pwani hawapakwi tenna tui la nazi, sababu wengine wamepona, illa wasiwopona , hupakwa dawa zao zilezile za killa siku.

na kama mtoto moja mlalafi5), killa marra hujigonga akilala , kidonda cbake hakiponi , bupikiwa mafuta ya kondoo yakawa moto. na hayo mafuta yanatoka ndani ya mkia wa kondoo. kupakwa kwake hupakwa kwa pamba, iliyofungwa juu ya kijiti. ba'ada ya haya hupona yule kijana. mno watoto hupona ba ada ya saba' mbili, na wengine hupona kwa saba ya tatu.

khabari zinazofuiidishwa wari kumbini na nyimbo zao.

na hao wari, wanapolala, kuamshwa kwao as-subuhi kungwi huwaimbia mwimbo :

1) Rinde. 2) in der zweiten Woche. 3) weißer Lebm. 4) Zeichen. 5) unruhiger Schläfer.

72 :

, kwere kwerekweche kwere kwerekweche mramba kalia

kwere kwerekweche."

1) der mramba -Vogel zeigt durch seinen Gesang kwere kwere kwecbe = kule knie kumekucha den Sonnenaufgang an.

ao huimbiwa:

„wari ramka1) nyumba ya zimwi." 2)

1) amkeni. 2) kumbi

nao huitikia:

„wari ramka nyumba ya zimwi."

na kungwi na shuwali hukaa siku zote kumbini na wale wari, lakini huyu ngariba huja as-subuhi marra moja kuwatezama madonda yao. na anapokuja, hu- wamkia watoto „wari mbukwa," ') nao hujibu „mbukwa ngariba." tenna wale wari huenenda uchi mbele ya ngariba kuwatezama madonda yao.

na wale watoto kule kumbini hufundishwa adabu 2) na makungwi zao, mfano kuwatezama vema wazee wao, na kumchelea hakimu 3), na kumcha mw'allim wao, na kuheshimu watu wapita njia, na kukaa na wake vema majumbani, na jamie'i 4) ya adabu hufundishwa kule kumbini. na tenna hufundishwa nyimbo, na katika nyimbo hizo mna fumbo 5). ukesha imbwa mwimbo, huulizwa mtoto ma'ana yake. asipojua hupigwa, tenna huambiwa ma'ana yake.

makungwi huimba:

1) wie gi'bt's, guten Morgen. 2) Anstand. 3) Herrscher. 4) all. 5) versteckter Sinn.

73

/£***"

£~~

Uff*ir

jfa*z*~-*\

.

1. „nende na mwamu ') shamba kulima. shamba kulima? namba 2) tashinda.

:^Uw^C 2- shinde papano tege mgono 3) tege* mgono pugu4) kaingia 5). 3) pugu kaingia, nyama wa mwitu nyama wa mwitu nyoka kanduma 6).

4. nyoka kanduma sungu ') handika sungu handika henda hilia 8). 7^/^

5. henda hilia **■ kinjia njia, nikuta na mke masusi matombo 9).

6. matombo manpie msitu mkuu 10) wa kisima manga u) mali maliya n) mali ya rigombe." 13)

1) Schwager. 2J amba sprechen. 3) Falle. 4) Vogel. 5) ich habe mich um ein hübsches Mädchen beworben, sie hat eingewilligt. 6) ein anderer hat sie mir weggenommen. 7) uchuugii. 8) nikaenda nikilia. 9) maziwa yaliyojaa. 10) kuma kubwa. 11) wie ein arab. Brunnen. 12) imeliwa. 13) ich besitze nichts mebr, sonst würde ich der hübschen wieder nachgehen.

ao iwapo wanacheza kumbini , na kutukanana na kupigana, kungwi lao huimba mwimbo wa kuwatacabisha :

|üa4-)

tyl<_

74

,,kwa mkono, tuguye nyenzi *) kwa mkono."

1) tukamate nyinzi.

tenna hukamata inzi kwa mkono na kwimba mwimbo kuu.

ao iwapo wamecheka, na kungwi amewaona wame- cheka, huimba mwimbo kungwi kwa kuqasirika, sababu husema „mnanicheka mimi ?" huimba : „utete utete, chanda na pete, chanda na pete, kinoo na wembe, kinoo na wembe, ulimi na mate, ulimi na mate, wanicheke wanicheke, wanamba l) mlimo

1) wanasema. 2) Arbeit. 3) mäuya nicht wissen.

ao kungwi huimba jua liwapo limekuchwa : „shundi1) likalia zua liswa2) i mwana ndege kalia kalegeza shundi likalia zua liswa."

1) Vogel, auch tipitipi oder dudumizi genannt, giebt durch seinen Gesang „tipitipi" den Sonnenuntergang an. 2) jua lime- kuchwa.

ao kungwi ao ngariba ao shuwali anataka kitu kwa mamaze wari huimba:

„hamna nyemi *) hamna nyemi? i

mkanipa kido 2) hemba3) nyimbo."

1) Mitleid. 2) kidogo. 3) nikaimba. ao huimba mwimbo:

75

„baba nipe mundu hakate miaa hakate miaa, nisuke mabambo nisuke mabambo, nende mkumbi l) hauze kwarara 2) nipone njaa ya masika."

1) Hinterland von Mbueni. 2) Fruchte fies Waldes, die zur Zeit der Hungersnot gegessen werden, ao huimba :

„kantia kantia ndani ya shimu x) nami simo 2)

1) gemeint ist kumbi. 2) ich habe nicht hin gewollt.

ao huimba:

„kule lilawako *) jua na kule lendako jua 2), balangulu 3) kule lilawako liswa *) lili jekundu."

1) lawa = toka. 2) von Sonnenaufgang bis Sonnenuntergang habe ich Hunger. 3) Heuschrecken. 4) Sonne, ao huimba:

„baba nipe mshipi havulie shemnungwi x), shemnungwi nitende chambo havulie kakaguu *), kakaguu nilemea 3) kulipaa 4) nilipike na magamba." 5)

1) Fisch. 2) Fisch. 3) ich kann nicht. 4) abschuppen. 5) Der Sinn ist folgender: Vater gib mir Geld, damit ich mir eine suria kaufen kann. Wenn wir uns nicht vertragen, verkaufe ich sie, und heirate eine Frau. Vertragen auch wir uns nicht, so gebe ich der die Scheidung.

76

ao buimba:

„pweza ') mwana mataraza 2), akaapo hucharaza 3), kakaa cbini ya jiwe panapo mtanga4) na taza5). mchokozi6) si mjinga, mwerevu kamwegeleza. " 7)

1) Fisch. 2) mcheza. 3) tanzen. 4) mchanga. 5) Muschel. 6) Anfänger. 7) dumm macheu. Sinu vergl. Uebersetzung.

ao huimba :

„ngara ') ngarumbwe 2), ngarumbwe mnazi ngarawa mbili, moja ifa 3) maji moja ikiriJ), ipakie pamba na mpilipili mlingote fedda nanga ya zahabu, pita mkunguni 5) na kulolosa." 6)

1) ngalawa. 2) Name des Bootes. 3) imekufa. 4) ime- fika. 5) in den Hafen. 6) kuotesha.

ao huimbä :

„kisiki ') kimile 2) pa 3) mlarigu nipe mundu4) sesengule." 5)

1) kisimi. 2) alte Form für kimekaa. 3) mbele ya. 4) Sichel, hier mboo gemeint. 5) seseugula = kata.

ao huimba :

msituni l) kuna mti mashina manne pamoja, tambi kumi na mbili, tunda zake urembo urembo 2).

1) mwituni. 2) Sinn: Am Sternenhimmel sind 4 Sterne um- )en von 12 andern, die alle sehr leuchten. Das Sternbild kilimia 1

gemeint.

^-^f^?c-wt*

77

ao huimba:

„kuanguka mti chini ya iwe ') tambi simile, sina lingoa2) mwenye kuuchimba, ndiye mwenyewe."3)

1) jiwe. 2) ngoa, lingoa Zweifel. 3) Sinn: Ein König ist gestorben und begraben worden. Seine Kinder (die Aeste) sind zerstreut. Er der das Land geschaffen , war auch der Eigentümer.

ao huimba: „naliona mata'ajjabu kuku1) kuvaa vyatu kanyoosha shingo yake, ikapata zira'a tatu. „unakwitwa Masikati kwa Rashidi'2) mla watu."

1) geraeint ist ein Sklave. 2) der seine Sklaven sehr ge- schlagen Laben soll.

na kama hao mamaze wari wakipika chakula ki- bichi, huimba mwimbo wale makungwi kumbini : „mamiye rawari kapika matebetebe *) kaleta,

anapopika moyo wamwaka moto." 2)

1) wässerige Speisen. 2) brennt ihr das Herz wie Feuer (nämlich vor Verlangen spazieren zu gehen).

ngariba akija kuwatazama wari huimba: „kidau ') changu cha mwale kijile *) kikielea, msukosuko3) wa wimbi chegama4) pa ufuko, nisikia mfu5) maji nizile 6) kuwalola. " 7)

1) gemeint das kumbi. - 2) kimekuja. 3) Schaukeln. 4) kimcegama. 5) kimekufa. 6) nimekuja. 7) kuwatazama.

78

na wari wakitaka kupumzika huimba: „ngariba tu wanao tuleke ') tutuletule." L')

1) leka lassen. 2) von tua niederlegen.

na wari wakiwa na njaa, na chakula khnekuja, kawajapata rukhsa ya kukila, huimba: „paku1), nya 2) paku, njoo utupakulie."

1) Name des Kalfaktors im kumbi; von pakua auftragen. 2) enyi besitzend.

wakesha kula, buulizwa na kungwi : „kula mlile *) ndege, mwenda wapi kunywa maji?"

1) mmekula.

nao bujibu :

„ckura cbalialia mtanda1) hauna maji."

1) Teich.

na wakitaka kushukuru, huimba: „kula tulile *) hamdu, hamdu lilläh, hamdu.

1) tumekula.

kurejesliwa kwa wari majumb.uii Invao.

hatta siku zinapokwisha kule kumbini , ngariba huwaletea khabari wazee wa wari ya kama: „wa- toto wamekwisha pona." na wao wazee wao wame- kuwa tayyari1) kuwanunulia mavazi watoto wao, sababu kulla mtoto, akitoka kumbini, hutoka na nguo mpya. na

1) bereit.

79

siku wanayolalia kutoka *) bucbezwa manyago usiku kucha kama marra ya kwanza kule qaribu ya kumbini. hatta as-sububi bunyolewa wale watoto. na baba zao na ndugu zao wapo pale, lakini bawasemi nao. kunyo- lewa kwao hupigiwa siwa 2) na zumari 3) , nao huwa wamekaa juu ya viti. wakesba nyolewa, bupelekwa vyooni kuosbwa. wakirudi, buvikwa mavazi mapya. na zile nguo kukuu , na mikeka, waliyolalia , bupewa makungwi, ndio cada 4) yao. na wakesba vaa, bufungwa ukingo 5) , na wale watoto butiwa ndani ya ukingo, wasionekane na watu. tenna bupelekwa mjini. na wanapopelekwa, buimbiwa mwimbo na ngariba: „siwalile *) wana wenu

siwalile wana wenu

siwalile wana wenu

siwalile."

1) sikuwala.

na wata buitikia ule mwimbo, waanawake bupiga vigelegele6) na kumwaga mcbele kuwafurabia watoto wao. wakifika majumbani , huwapa mikono mama zao na masbangazi zao, nao butoa tunza kuwapa tangu pesa kumi batta pesa tano. na kama wasipowafichua mama zao, watoto bawana rukbsa kusema nao , sababu makungwi wamewakataza , maeana yale mapesa huga- wana makungwi na ngariba na sbuwali. tenna khalafu bufanziwa chakula cba watoto , ndio karamu yao. sa- babu iwapo ni watoto kumi nyumba zote kumi bufanyizwa cbakula , na nyumba zote kumi huzenda makungwi na wari wao wakala. mudda wa siku tatu

1) am Abend bevor sie das kumbi verlassen. 2) großes Hörn. 3) Flöte. 4) Geschenk. 5) Art Baldachin, verbängtes Zelt. 0) Freudengeschrei.

lmtembezwa katika nyumba zile na nyumba nyingine za jama'a zao. nao popote katika zile nyumba hupewa mapesa kidogo kuwapa makungwi zao.

khabari ya vijana wa kisnahcli.

iwapo kijana mboo yake ndugo , huzungumza kwa mganga ya kama: „mimi mboo yangu ndogo, vijana waanawake wananicheka. " mganga hujibu: „nipe mchele wangu, nikufanyie dawa , itakuwa qiäsi ') utakacko." wakesha patana , kufuatana kwenda shamba kutafuta miegea *) , arnbao ndio kwanza unazaa. nayo miegea matunda yake marefu, nayo manene, wala hayaliwi. wakiupata, hukaa chini wote wawili. yale mganga hushika wembe kumchanja 3) , humwuliza : „unataka ukubwa upi, morta4) ao sbubiri?"5) husema: „nataka shubiri." atamckanja. kisha acbanje na lile yegea0), atatwaa utomvu7) wa yegea, na damu ya mboo achan- ganye pamoja. kisha atamwambia: „litezame sana hili yegea, mudda wa siku sabac uje ulikate hili yegea, sababu usipolikata mboo yako utazidi kuwa ndefu mno." ba'ada ya siku sabac huenda akalikata.

1) Maß. 2) Baum. 3) ritzeu. 4) Spanne zwischen Daumen und Zeigefinger. 5) Spanne zwischen Damnen und kleinem Kinger. 6) Frucht. 7) Saft.

desturi za wari1).

kliabari ya uitoto mwari kuvuirja ungo.

mtoto wa miaka sabae mwanamke kuitwa kigori 2). hatta akipata miaka kumi na mitatu, watu husema, kigori fulani amekuwa mwari. na ma'ana ya kwitwa mwari , ni kutokwa na damu 3) marra ya kwanza. damu hiyo ikimtoka , yule kijana hulia , asiyoslie wala asipanguze pekeyake. wazee wake wakimwona ana damu yake, marra kupelekewa kkabari kungwi4) lake, ya kama kigori leo amekuwa mwari. kungwi lake huja kule kwa wazee wake yule kijana. naye lmmbeba kumpeleka nyumbani kwake kwenda kumwalika5). na killa as-subuhi humpeleka chooni kumwosba kwa maji ya baridi sana, na kumfundisha mambo ya ile damu, inapomtokea tenna

na ma'ana ya kutokwa na ile damu wanasema „huu ndio uzima wa mwanamke," mwanamke asiyekuwa na damu mgonjwa. na Liyo damu inawaanza wa- toto waanawake mwanzo wa miaka kumi na mitatu hatta kumi na minne. na ikikawia , bufanywa dawa

yule mtotö. hubadiliwa miko 6) , marana kamat zamani

.

1) mwari pl. wari wird jedes Mädchen von seiner ersten Men- struation gewöhnlich bis zu seiner Verheiratung genannt. 2) bis zur ersten Menstruation. 3) Blut. 4) Lehrmeisterin. 5) in Behandlung nehmen. 6) es wird der Löffel gewechselt d. h. andere Diät vorschreiben.

Veiten, Desturi za Wasnaheli. 6

82 -

amekatazwa asile kuku, huambiwa „sasa mwaeheni ale kuku," tenna humpa miko mengine. kupikiwa na dawa ya mizizi na kuku mudda wa siku sabac hupikwa, mchuzi akanywa. naye läzima kuckukua mwana sesere1) wake killa endapo, akilala, akipika, akitwanga, akenda cliooni mwana sesere huwa mikonnni mwake ao humbeba, hatta damu imtokee.

na yule kungwi mwari wake humpa kitambaa, jina lake kitambaa hicho sodo, kufunika ile damu inapokuja. nacho liufungwa juu ya utunda2). na mwanamke ha- mwonyeshi mtu kitambaa hicho , mama yake wala mumewe hamwonyeshi, illa kungwi lake pale anapo- kuwa kwa kungwi lake.

na tenna humpa jiwe la msio 3). na ma'ana ya msio ni vilevile kama msingo , macana kujisinga 4). na hilo jiwe ni jiwe la tumbawe5), linalotoka pwani juu ya mwamba. huchongwa na fundi, hatta likawa leini6) na duwara7). waanawake hununua, themani8) yake rupia moja ao rupia u nussu. na katika kulla mji hu- tokea mtu, awezaye kuchonga mawe haya.

na matumizi ya jiwe hilo : kijana mwanamke aki- vunja ungo , hupewa na kungwi lake kusagia viungo 9) kama tibu10), dalia, mana maulidi, na kulla manukato kujisinga yule mwari mwenj^ewe. na pahali pa pili jiwe hili linatumika siku ya mtu kuolewa mwanamke. husagiwa viungo vilevile juu yake kama tulivotaugulia kuyasema. na jiwe hilo likichukuliwa katika h'arusi11), ao mwanamke amekwenda kwa shoga yake kuliazima11) halichukuliwi wazi, hufunikwa nguo, watu wasilione.

1) Puppe. 2) Perlsclmur (weiß) um die Hüften auf dem bloßen Leib getragen , die nie abgelegt wird. 3) Stein der Salbung. 4) sich salben. 5) Korallenfels. 6) glatt. 7) rund. 8) Preis. 9) Gewürze. 10) Woblgerüche. 11) Hochzeit. 12) leihen.

83

lakini iwapo limewekwa nyumbani ba'atla ya matumizi yake halifunikwi, kulla mtu aweza kuliona.

na siku anazokuwa katika damu huvaa kaniki1), ma'ana yake kuficha ile damu , isionekane , inapomtoka kwa wingi. na tenna hana rukhsa kusuka nywele zake, illa siku sabac kwisha. na desturi hiyo hushika vile- vile killa damu ikimjia.

naye buyo mwari baonekani na watu wengine, waliwo wageni , illa kungwi lake na jama'a 2) zake. naye mwari hukaa kwa kungwi lake miezi sitta ao mwaka mzima. na wengine kukaa mwezi moja tu, khalafu burejVa kwa wazee wake. na kule kwa kungwi lake hufundiskwa kupika, na kusuka mikeka, na kukaa venia na watu kuwahesnimu3), na anapoolewa kukaa venia na mumewe.

khabari za wari katika kuiubi lao.

batta waqti ukesha wa kukaa kule kwa kungwi lake, huwambia wazee wake ya kama: „liuyu kijana twataka kumpeleka muyomboni." 4) na wazee wake bupika pombe na togwa. na buko muyomboni buku- sanyika waanawake wengi, na wari wengine buja. marra nyingine buingia ndani ya nyumba yenyi nafasi5) kule sbamba, marra nyingine bujenga banda. nao bao wari bupelekwa usiku, watu wasiwaone. tenna bubebwa na waanawake. ma'ana huyu kungwi ana wari wake, waliotangulia zamani, labda watu sitta saba\ bu- waalika ya kama: „kesbo tunakwenda muyomboni, njooni mumcbukue mwenzenu." nao läzima kabisa waje, sababu mwari bawacbi amri ya kungwi lake. busikiliza sana amri ya kungwi lake kuliko ya mama yake.

1) dunkelblauer Baumwollstoff. 2) Familie. 3) ehren. 4) unter den muyombo-Baum. 5) Raum.

6*

84

wakisha mpeleka yule mwari hatta kumbini, ku- chezewa ngoma jina lake unyago. na hapo panapo unyago, hupigwa ngoma, waanawake wengine wakatiki- tiza kuwaonyesha wale wari, na wao watikitize kama walivotikitiza wale wakubwa. na wasipojua huwafun- disha. nao huimba:

„mkifickaficha vyuno vyenu, njooni mwone changu mgeni." *)

1) ich eure kungwi drehe meine Hüfte so, als ob sie nicht zu mir zu gehören scheint, ao huimba :

„mwalilia kuti1) kuwa2) mwalilia. " 3)

1) kutikitiza. 2) zugegen sein. 3) Sinn: njooni sasa mtikitize.

ao huimba:

„kiiidua1) fidua mbele, nyuma kwa wajinga." 1) fidua = tikitiza. ao huimba :^#t

„kisaga cha msaga mea1), nisage sembe2) unga na wari wangu."

1) Keim. 2) = chembe Körnchen. ao huimba:

„fagia uga *), mgeni aingie." 1) der Hof d. h. kuma nacb der Menstruation. ao hutolewa mwimbo wa mzungu (Verstand): „ngunguru1) katora 2) katora atorire3) na mromo."4)

1) das Begehrte. 2) tora == twaa. 3) ametwaa. 4) = mdomo Mund, Lippe.

85

na huyu mwari huwekewa kitu nyuma ya mongo wake , akakitwaa kile kitu kwa mdomo kujiinamia nyuma. na huku anatikitiza , ikapigwa ngoma na kwimba mwimbo huo.

ao hutolewa mwimbo wa mzungu mwingine: „sage sage, nisagie mume, gomberenga." x)

1) Ort. Gemeint ist: der Mann, der noch in Gomberenga ist, den sie noch nicht besitzt.

ao huimba :

„kuki1) lambamba2) lanilemela." 3)

1) mkuki. 2) layumbayumba schwankt hin und her. 3) drückt zu schwer auf mich, ao huimba :

„mwezi uzengwa x) mtala 2) nalala3) si heza."4)

1) umejengwa. 2) auf allen Seiten. 3) sagt der Mann. 4) ich will keinen Beischlaf.

ao huimba:

„zoka1) kulu2) la mlali3) la pingapinga." 4)

1) nyoka. 2) kubwa. 3) ein Ort. 4) sich hin und her- drehen.

na wakesha kwimba wale makungwi, naye mwari hawezi kutambua ma'ana ya mwimbo , ao akiwekewa mzungu , hakuweza kuutwaa hupigwa yule mwari, tenna huambiwa ma'ana yake hivi. akijua ule mzungu, waanawake wote husema na sauti1) kubwa „chereko

1) Stimme.

86

chereko," ma'ana „kizazi kizazi kizazi changu kizuri." na wari wasipoweza mizungu kuitwaa kuimbiwa: „kazongo he leo kazongo, kuna luliizo." ma'ana yake : ta'abu ') leo ta'abu, kunä leo ta'abu. tenna huwapiga, wasiojua mzungu, na kbalafu kuwaon- yesha.

khabari ya wari knpelekwa inuyomboiii na knrndi kwao.

na siku ya sabac bacada ya kuingia kumbini na kwisha kucheza ngoma zao , hupelekwa wari wote mu- yomboni, na huo muyombo mti. hukaa wote makangwi na wari, wakapiga tenna ngoma na kucheza, na pakiwa na pombe hunywa pombe. nao hukaa mchana kutwa kwimba nyimbo , kama tulizotangulia kuzitaja. hatta jioni hunyolewa wale wari, wengine huchegwa sekini2) usoni. wakapakwa na wanja, na vichwani walivonyo- lewa hupakwa dalia. kisha huvikwa mavazi map}^a, na kupambwa vyombo vya fedda. hatta jioni hiüetwa mjini, hawana nyimbo wanapoletwa. watoto wa kiun- gwana huiichuliwa nyumbani na jamaca zao, knlla kitu huwaletea nyumbani. wengine huwapa mkeka, wengine huwapa timbi 3) , wengine huwapa pete 4) , na wengine huwapa mapesa. na vijakazi hutembezwa katika mji. nao wamepambwa kama walivopambwa wari waungwana, hutembezwa na makungwi zao waanawake. wakiona mwanamume , wanayomjua , humpa mkono , naye hutoa mapesa kumpa fichuo 5) lake. na wakiona mwanamke, wanayemjua, humwangukia miguu, ndio kuamkia kwake. naye hutoa kitu akawapa. nao hawana rukhsa ya ku-

1) Mühe. 2) die Stirnhaare ausrasieren. 3) Armband. 4) Ring. 5) Wiederentdeckung.

-Ai

87

sema na watu , lila mtu aliyemfichua. hutembezwa mudda wa siku tatu. tenna yale mapambo huvuliwa, wakapewa mavazi ya killa siku kuvaa.

makosa1) ya kijaiia mwanamkc.

kijana mwanamke kama kajaolewa, akapata mtu je kumbikiri 2), mji mzima kumclieka. khassa3) akipata mimba4), humwambia watu: „ameuza bikira5) kwa uta- mani6) mwingi." na akiwa na mimba liumjua wazee wake kwa kutaka vitu hiki na hiki, liutaka sana ndimu na ndizi , ao mua , sukari , ao matunda yaliyo mazuri. wazee wake lmmjua marra, humwuliza : „kwa nini weye unataka hiki na hiki?" hasemi. na katika nyum- ba pakiwa mtumwaname ao mwanamke humchu- kia, na kifua chake maziwa humjaa , na kipanda uso. huwa na nuru7), na neno la mwisho damu humwisha wale wazee humvua nguo, wakamtazama, huona kitovu kimemtoka nje, hujua, ya kama huyu ameshika mimba.

watamwuliza: „nani aliyekufanya mambo kaya?" hawezi kuficha, atasema: „fulani amenibikiri.* watate- zama, wakiona mambo yanafa'a kutoka nje, watapeleka maneno kwa wazee wa yule mwanamume. wakipatana - ataoa, lakini, mtoto huyu akizaliwa , si mtoto wa haläli s). lakini Wasuaheli wanasema : „ninalialalisha9) mimba."

kazälika akiwa aliyebikiri mtumwa , na caibu 10) yao hawataki waitoe nje , humpa dawa ya kuharibu n) mimba. hupewa baruti u) , akany wa na maji pamoja, ao hupewa dawa za mwituni. mudda wa siku sabac kunywa, hatta mimba iharibike.

1) Fehltritt. 2) entjungfern. 3) besonders. 4) Schwanger- schaft. — 5) Jungfernschaft. 6) Sehnsucht. 7) Helligkeit d. h. helle Flecken. 8) erlaubt. 9) erlaubt machen. 10) Schande. 11) zerstören, dawa ya kuharibu Abtreibemittel. 12) Pulver.

khabari ya hirizi1).

hirizi ya zamani.

zamani Wasual.ieli hawakujua kusoma, wakitaka hirizi ya mtoto ao ya mkubwa, kuenda kwa mganga, akawapa hirizi. naye mganga, iwapo anataka kufanya hirizi ya mtoto , huchimba mzizi mbali , na hirizi ya wakubwa mizizi mbali. ya mtoto bacada ya ku- chimba mzizi , hukata vipande sabac vya ule mzizi. kisha hutwaa tumba 'i). na hiyo tumba ni kibnyu ki- dogo cha muunye 3). ndani yake mna mafuta ya nyonyo na asali ya nyuki. hutoa kipande cha qartäsi4), aka- paka yale mafuta ya nyonyo , hutia na usira 5). na usira ni ngozi ya nyoka aliyekufa, huichoma hatta ikaungua. makaa yake ndio usira. huchanganya pa- moja na ile mizizi. tenna hutiwa kitambaa cheusi. akaishona. na juu ya kitambaa husbona kwa uzi mweupe , hatta kitambaa kisionekane. tenna huvikwa mtoto shingoni, ma'ana yake asiugue marra kwa marra.

ao hufanyizwa kigwe 6) cha mafundo sabac , na

1) Amulett, das Suaheliwort ist kinga. 2) kleine Kalabasse für allerlei dawa (Medizinmittel), Ricinusöl und Honig ist immer dariu. 3) muunye oder mungunye Flaschenkürbis. 4) Papier. 5) zu Asche geröstete Schlangenhaut. 6) Schnur mit Amulett darin.

89

katikati ya mafundo haya hutiwa vipande vya mizizi, kama tulivosema katika kkabari ya hirizi.

kazälika hirizi za wakubwa, mizizi yake namna mbali. sababu mtu, akenda kwa mganga, husema: ;jmirni nataka lnrizi ya safari1), njiani simba asiniduru."2) ao husema: „nataka lnrizi ya bi'ashara 3) , duka langu kutoka upesi." ao hutaka hirizi „waanawake wampende sana," ao „hutaka hirizi ya vita." mganga hujua mwenyewe namna ya mizizi ya kuchimba kwa hirizi aliyotaka. iwapo lnrizi ya safari, asidurike na simba, hutwaa kitambaa cheusi na usira 4) wa simba , ma'ana uso wake simba huchomwa. mazizi yake hufanyizwa hirizi. nayo vilevile huchanganywa na mafuta ya nyo- nyo na asali ya nyuki , hupaka kitambaa , ndio kuan- dikwa kwake. na iwapo anataka hirizi ya neno jen- gine, hufanyizwa kama hivi , lakini miti ndio mbali- mbali.

waganga wengine mno hushona kwa makucha ya simba ao ya ckui, lakini hirizi hizo mno wanaziuza ghali, wengine hawawezi kuzinunua. na thamani yake tangu rupia moja hatta rupia tano. killa hirizi kwa thamani yake.

hirizi za sasa.

sasa wanatumia hirizi za „miti shamba" na „za qorani." watu wa mashamba wengine wanataka lnrizi za qorani, na watu wa mji wengine wanataka hirizi za miti shamba.

na hizo hirizi za qorani, iwapo hirizi ya mtoto, akiwa mtoto wa siku sabac, hufanyiziwa kigwe cha sini5). na hicho kigwe tamvua6) jeusi, hulisokota mw'allimu.

1) Reise. 2) schaden. 3) Handel. 4) zu Asche geröstete Stirnhaare eines Löwen. 5) Sure 36. 6) Schnur, Band.

- 90

kisba lrasoma sini, kulla sini kesha hupiga fundo, hatta mafundo sabac yeshe na sini sabac zimekwislia. kupewa mtoto kuvaa shingoni, ina'ana yake kumlea kile kigwe.

na akipata comri *) wa miezi sitta , hufanyiziwa hirizi ya jicho la watu. na hirizi yake huandikwa „yä sin," ao „qul kuwa 'llähu ahadu," 2) ao „qul aeüzu bi-rabbi el-falaqi, " 3) ao „qul a'iizu bi-rabbi en-näsi,"4) ao „äyat el-kursi." ft) kisha hufukizwa kwa ubani6), ikasbonwa kwa kitambaa cheusi ao cheupe, kuvikwa mtoto shingoni. ma'ana ya kwitwa lnrizi ya jiclio, watu ma'adui7) wakimtezama kwa jiclio la uhäsidi8) asidurike, ao asipatwe na magonjwa killa marra.

kazälika lnrizi za wakubwa huandikwa „yä sin," ao „tähä anzelna," °) ao „süra äla cimrän." l0) nui- radi11) hutazamwa yule mtu namna ya hirizi aliyotaka, ikiwa ya safari ao ya bi'ashara ao ya vita.

na katika hirizi kubwa sana huitwa „jaubari el- qoräni," '-) ao „anthurüni," 13) ao seifu 'llähu el-qate'i''1). na jauhari el-qoräni na anthurüni na „seifu 'llähi el- qateci" ni du'a za qorani. macana ya kuwa hirizi hizi kubwa, watu wameziqubali, ya kwamba zina nguvu sana. mtu akichukua, moyo wake huingiwa na tama'a15) ya kuto' durika16) na kitu, illa qudra17) ya muungu haizuiliki. na hirizi hizi ni ghali sana. mwenyi mali, akitaka hirizi moja kama hü, läzima atoe tangu rupia cesherini hatta zäyidi. na maskini za muungu hununua hirizi ya rupia moja hatta tano.

1) Alter. 2) Sure 112,1. —3) Sure 118,1. 4) Sure 114,1.

5) Sure 2, 25G. 6) Weihrauch. 7) Feinde. 8) Feindschaft.

9) Sure 20,1. - 10) Sure 3. 11) Wille. 12) Juwel des Korans. 13) Schaut mich an. 14) das Schwert Gottes das schneidige. 15) Verlangen. 16) verneinter Infinitiv. 17) Wille.

91

na hizo hirizi tulizozitaja „jaukar el-qoräni," ao „anthuruni," ao „seifu 'llähi el-qate'i" kuandikwa kwake zina sherti1) nyingi. yataka mtn awe tahara2) maungo yake, na waqti3) wa kuandika kwanza asali4) „raka'a- teini"5) kuomba muungu. na ikisha, hufukizwa ile hirizi na ubani B) na cüdi 7) na uvumba 8).

na mtu mathal9) akitaka kwenda safari ao vitani, inapokuwa amevaa ile hirizi, kwanza huifukiza kwa ubani na 'üdi na uvumba, husema maneno kama atakayo. mäthalan 9) kama anakwenda katika bi'ashara, husema : „muungu anifungulie milango ya kheri10), nende marra, nirejee marra." ao anakwenda vitani husema: „mimi nnakwenda katika vita, nende saläma, nirudi salimini, na ma'adui zetu tuwashinde."

na sherti zake kuivaa hiyo hirizi mtu akenda chooni huivua. na akilala na mwanamke huivua. na iwapo mwanamke yumo katika damu hana rukhsa kuishika hirizi yo yote.

watu wengine hununua „kitabu cha ahl badrin,"11) hukitia kitambaa, akakishona, tenna huvaa shingoni, kitabu kikawa ubavuni. na namna ya hirizi watu huvaa zamani za safari ao panapo vita.

na hirizi iwapo mtoto amefungvva shingoni mwake, liufungwa sana, huchelea yule mtoto asiivue akaitupa, ao asije mtu mbaya kumvua , akenda kuiuza paliali pengine, ao ampelekee mtoto wake. sababu wengine hawawezi kununua hirizi kuwapa watoto wao. na yule mtu aliyoiba, anaweza kuitumia ile hirizi, sababu nguvu za ile hirizi hazipotei.

1) Bedingung. 2) religiös rein. 3) Zeit. 4) beten. 5) Rumpfbeugen beim Gebet. 6) Weibrauch. 7) Aloe. 8) wohlriechendes Harz. 9) z. B. 10) Glück. 11) das Buch der Leute von Bedr.

92

na katika lniizi nyingine mfano wa katika hirizi ya „yä sin" huandikwa mwanzo wake ao mwisho wake waqfu1) kama hivi:

V 9

X

V

> \

> \

f*

1

<J>

1

K

1

i

1

i u

1

t'n^\

V

^ .

r K

L

t V

f

T

u k

ma'ana yake: ,qul huwa 'llähu ahadu 'llähu 's-samadu lam yelid wa- lam yülad wa-lam yakun lahu kufuwan ahadu." 8)

1) Figur. 2) Sprich, er ist Gott, ein einziger; Gott ist der Ewige; nicht gebar er und nicht wurde er geboren und keiner war ihm gleich. Sure 112.

khabari ya kuoa.

kliabari ya kuposa.

mtu akitaka kuoa , kwanza kuposa , ndio maeana mwenyi kuoa huitwa mposaji. na uposa wake hutuma mtu, jama'a wa yule mwanamke, kupeleka maneno kwa baba yake yule mchumba. naye mwenyi kupelekwa kuitwa mshenga1) ao mjumbe. akisikia, ataridi2) ma- neno yake, atasema: „nataka kiatu changu." atamwu- liza : „qiasi gani kiatu cbako?" watapatana tangu riale hatta riale u nussu. na wengine hufanyiza kwa ehsani8) tu. na wengine bumpeleka mshenga kumsemea maneno babaye mchumba , na wengine kuandika barua. wakisba patana mposaji na mshenga , hujibu mshenga : „nipe leso niandike barua." marra yule mchumba mume hutoa leso, na mshenga huandika barua ya kama:

„mvele wangu fulani bin fulani naku'arrifu 4), amekuja mtoto wa fulani anataka binti5) wako kumwoa. na hayo ni mambo ya kheri6). na mtoto mwanamke bida'a 7) mbovu kama baruti na moto , ao kama pamba na moto, ao kama kitunguu. lafaddali ukasoma barua nataka majibu, nawe niwie radi8) sana."

ikesha ile barua , bakhsha 9) yake ile leso , ma'ana ndio heshima 10) kubwa. na mshenga akapewa barua,

1) Bote. 2) einwilligen. 3) Güte, Gefälligkeit. 4) mit- teilen. — 5) Tochter. 6) Gute. 7) Ware. 8) zufrieden. 9) Kuvert. 10) Achtung.

94

apeleke kunako uchumba. babiye mtu, akiska soma, ataweta jamaca zake, wake na waume, kuwapa skauri. wengine wataqubali1), wengine watakataa. wanaokataa wanataka kitu kidogo wapewe na mcliumba mume. yule mchumba mwanamume akisikia ya kama „uposa wako una magomvi," atatoa kitu awape wale wenye ugomvi. watasema sasa „maneno yamekwisha, kuyu ndiye mume."

atajibu babiye mtu : „barua yako imefika fnlani bin fulani kutaka binti wangu, tumeridi wote." naye mshenga atamw'arrifu maneno, yaliyotoka kwa wakwewe. tenna yule mcliumba killa tunu 2) atanunua kumpelekea mchumbawe 3) kama nguo nzuri ao matunda mema ya- nayowiva sasa, lakini hawaonani tangu siku ya kupe- leka fedda hatta siku ya kuoa, ikiwa mudda wa mwezi ao mwaka.

ba'ada ya kurejVa mshenga na majibu , ya kama wamequbali, liumtuma marra kauliza: „qiasi gani ki- lemba4) chake," ao „vitu vyao qiasi gani?" hureje'a tenna msbenga kuuliza: ,.qiasi gani kilemba chenu, na mahari5) yenu?" babiye mtu hujibu: „kilemba changu ao vitu vyetu riale saba'ini." ma'ana wengine hutaka rupia settini , wengine themanini , wengine hatta mia. tenna husema : „na mahari yake mwanamke riale ar- ba'ini," sababu mahari ya mwanamke mungwana riale 'esherini kama ameolewa marra ya kwanza, ameachwa, ao amefiwa, na reale arba'ini mwanamke bikra.

akisha sikia maneno yale mshenga, hurudi kwake, akamwita mchumba , humpa khabari zile zinazotoka kwa wakweze °). naye akiqubali , na fedda anazo marra humhasibia ') yule mshenga fedda ya uposa

1) einwilligen. 2) Kostbarkeit, Seltenheit. 3) mchumba wake. 4) Turban d. i. Ehrengeschenk. 5) Heiratsgut, Morgen- gabe. — 6) wakwe zake oder wake. 7) vorzählen.

- 95 -

kumpa kupeleka kwa mkwewe. na kama mkwewe amekufa, hupewa nduguye ao babu yake. na kama hawapo kao hutazama watu waliomkhussi x) yule mwanamke katika nyumba yao , lakini aliye mwana- mume. na kama hapana kabisa hupewa mwenyewe mwanamke.

tureje'e kwa baba. akiska pewa fedda , huweta jama'a zake wote kuwaonyesha fedda. tenna kugawana. mama hupewa uweleko *) wake rupia kumi, na kondawi 3) lake rupia tano. na iwapo yupo shangazi hupewa kidogo, na akiwapo bibi hupewa. na akiwapo babo mdogo hupewa kidogo, knlla mtu wa jama'a hupewa kidogo kidogo, ma'ana heskima. naye baba fedda yote iliyobaqia huchukua yeyQ. nao fedda hiyo hawaitumii, hununua vitu siku ya h'arusi kumletea mtoto wao.

na iwapo mwenyi kuposa hana fedda yote ya ku- toa, ametoa mäthali 4) rupia kumi tu katika rupia sa- ba'ini, fedda hiyo huambiwa „kifunga mlango" ao „ki- funga uchumba," sababu yule mchumba asiposwe na mtu mwingine. na kama ametoa nussu ya uposa huambiwa „fulani ameposa, ]akini ametoa fedda nussiv'

na iwapo yametokea magomvi mumc hawamtaki, humrejeshca fedda yake.

na ikisha toka fedda ya uposa, maneno yamekwisha, hatta akitaja siku ya h'arusi „nataka kuoa," humwam- bia : „tumesikia maneno yako , lakini twataka mahari yake mwanamke." mume husema „sina mahari sasa hivi, khalafu ntampa, tupatane mudda , kama mudda wa mwaka ao zayidi." wao watasema: „tumequbali

1) nahesteheu. 2) Tuch, in welchem die kleinen Kinder auf dem Rücken getragen werden d. i. hier Ehrengeschenk. 3) Binde der Wöchnerinnen um den Leib, gleichfalls hier Geschenk bedeutend. 4) z. B.

,

96

mudda kama utakao, lakini tuandikie khatti1) tushike." naye mume ataandika katika hiyo khatti:

„mimi fulani bin fulani namwandikia fulani binti fulani, nna mahari yake riale settini kwa mudda wa mwaka kumpa haqqi yake. nimeqirri2) kwa iqrari8) yangu. shähidi4) fulani na wa pili fulani."

ba'ada ya kwisha kbabari , ba'ada ya siku chache mume hutaka mkewe, liumwambia mshenga wake: „mwezi mwandamo nataka kuoa." mshenga hupeleka khabari kwa mkwewe. nao hujibu: „vema, sisi tu tayyari."5) tenna babiye mke hu'arrifu kama watu waliomkhussi ya kama: „siku fulani nna kikombe cha qahawa." neno hili läzima juu ya babiye0) mke, na kama hawezi , kama maskini , hufanya mume , kama y&yQ mweza.

khabari ya kikombe clia qahawa7).

nayo haipik wi qahawa, ni jina tu, hufanyizwa ma- andazi8) na vyakula vingenevo. mume akaalika watu, walio rafiki zake , na watu wengineo , kwenda kwake. hula vile vyakula.

al-easiri hupigwa täri la njia9). vijana wote huvaa majambia na panga mikononi hucheza. na waanawake wamechukua maua na mashadcla 10) , waliyonunua kwa mapesa yao. khassa hununua yasmini , wakazitunga hatta likawa shadda. tenna waanawake huwapa waa- naume wanapocheza husema: „cheza bwana cheza."

ao husema :

„ringa bwana ringa."

1) Schuldschein. 2) anerkennen. 3) Anerkennung. 4) Zeuge. 5) bereit. 6) baba yake. 7) Kaffee. 8) Kuchen. 9) ngoma. 10) Blumeustränßchen.

97

na waanaume huimba kipokeo cha täri: „yä rabbi eaunaka maula siwä 'lläh."1) ao huiinba:

„allähu alläh rabbunä allähu alläh hasbunä allähu latifun."2) nao hucheza polepole. wakiondoka al-'asiri hufika nyumbani pa h'arusi saca kumi na mbili, napo si mbali mwendo wa roboc saca. wakifika waana- wake hupiga kigelegele. inoja husema:

„hiyo bwana, hiyo bwana, hiyo bwana." na wengine huitikia :

„hiyöö bwana." wakifika nyumbani humwagiwa marashi3) wote wa- anawake^ na waanaume. lmpewa tambuu4) kutafuna, na wengine wanavuta sigaretti. ma ana mshenga lm- pewa upatu 5) wa tambuu , na hiyo tambuu imekwisha ungwa, macana ya kuungwa imetiwa popoo G) na tum- baku7) na chokaa 8) na cilikiü) na mdalasini10) na mkun- gumanga11) kufungwa pamoja , ikatiwa ndani ya upatu. mshenga huwapa watu walio barazani kutafuna, tenna huambiwa watu „tafagMalini siku fulani saa ya tatu tunataka mtutokee, macana ndio siku ya karamu, maeana siku ya k'arusi." na maneno haya anasema ndugu yake ao rafiqi yake mume wa h'arusi.

hatta ile siku ikafika, huainrishwa kijumbe1') ku- pita majumbani kuwaearrifu watu hawa. na kuwa'arrifu kwake huchukua ngoma yule kijumbe, inakwitwa mrun-

1) siehe Uebersetzung. 2) siehe Uebersetzung. 3) Rosen- wasser. - 4) Betel. - 5) Tablett. - 6) Betelnuß. - 7) Tabak. - 8) Kalk. 9) Kardamom. - 10) Zimt. 11) Muskatnuß 12) Bote.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 7

98

gura, huenda akapiga killa ny umba , tenna liuwambia : „sa'a tatu mkutano hearusini.Ä

hawa watu walioalikwa kikombe cha qahawa, ba'ada ya kuckeza täri la njia hucheza usiku täri la kudiriji v). nalo liuchezwa kama täri la njia, illa huchezewa pahali pamoja. waanavvake kukaa juu ya viti na waanaume kuckeza. nao hucheza watu wawili kwa panga. na ratibu2) ndiye anayediriji 3), hushika kitabu na täri mkononi , akemba zile nyimbo , watu wakaitikia, na mkononi mwake täri anapiga. na nyimbo zake namna moja na täri la njia. mno huimba nyimbo za ki'arabu, shidda kuimba nyimbo za kisuaheli katika täri la njia ao täri la kudiriji. nao huimba1):

„mwana mamba *) alia mno, mwana mamba alia mno, nipeni mwanangu, nende he, nipeni mwanangu, nende he, kunako mayungi kule." b) 1) Klage einer Mutter. 2) ihr Kind. 3) da wo es mayungi- Blumen gibt d. h. wo es Ruhe und Freude findet. ao huimba :

„watoto jäha ]), jäha he alläh watoto jäha, jäha he." 1) Freude, ao huimba:

„usinitie wasiwasi1), ibilisi 2) nondokea ! ya rabbi mola mkwasi apendalo mola bassi."

1) Eine Freundin teilt einer Frau mit, daß ihr Mann zu einer andern geht, darauf gibt diese ihr obige Antwort. 2) Teufel d. h. die Angeberin.

1) ngoma. 2) Vorsänger. 3) leiten.

99

ao huimba: „rabbi nipo mlangoni, mja da'ifu nimile1) na babu2) muzinibu3) nimewaqifu4) kwa mikono, vidole nyanda kumi, zitile5) safu6), naomba kombo 7) makomboyo 8) kwa takhaffifu 9) kwa baraka10) zako Ahmadi11) mutaqaddamu."12)

1) alte Form für nimesimama. 2) Tür. 3) Sünder. 4) stehen. 5) altes Verb ita machen ; zitile Perfekt-Form für zimeita = zimefanya. 6) Reihe. 7) Gahe d. h. Vergebung meiner Sünden. 8) makombo yako. 9) schnell. 10) Sorgen. 11) Muhammed. 12) der vorausgegangen.

ao huimba :

„yä khäliqa el-makhlüqi

jalla wa-calä fasubhäna

'lläh rabbuna el-caälamina. u x) ao huimba :

„yä rabbi 'lläh

he 'lläh he 'lläh

alläh rabbi alläh

he 'lläh he."2) ao huimba:

as-salätu wa's-salämu

cala shefTei

calä en-nabiyi

alläh alläh3).

1) siehe Uebersetzung. 2) siehe Uebersetzung. 3) siehe Uebersetzung.

na kama huyu mwenyi h'arusi ana kitu, huchezwa täri hili siku nne hatta tano. kama hana kitu siku moja tu, sababu gharama ') nyingi. as-subul.ii na jioni maandazi na vyakula na marashi na tambuu na siga-

1) Kosten.

7*

100 -

retti, sababu hawaji watu kumi ao cefeherini liuja watu thalatha mia ao zäyidi.

khafcari ya kutazamia1) nyiiniba.

siku za kuwa qaribu ya kuoa babiye mke humwam- bia mchumba mume kwenda kwa mw'allimu kutazamia nyumba. naye huenda kwa mw'allimu. mw'allimu humwuliza: „jina lako nani, na mwanamke jina lake nani?" kesha mw'allim kutoa kibao, akayapima majina yao wote wawili mke na mume kwa hesabu "-) kutezama nyumba kuwa njema. maana wa'allim wengine majina hayo huyapima kwa kitabu cha „abjed," na wengine hawana läzima kitabu lmskika kibao, akaandika liesabu ya yale majina kwa 'aqili yake. kwanza butwaa kipande cha mpingo3) kimeandikwa „abjed,Y kwa harufu4) mbalimbali, maana alif mbali, na be mbali, na jim mbali, na dal mbali, kulla harufu moja upande moja. hutupa kile kipande , na akiona harufu juu ya kipande mnamo jina lake hutazama katika „kitabu cha abjed" chini ya harufu, ilryosimama juu ya kipande, ataona hesabu ya harufu ya jina lake. na kupatikana hesabu za harufu nyingine za jina lake hutupa vilevile kipande kile hatta jina lake lishe. na kama haoni marra ya kwanza, akitupa kipande, harufu ya jina lake hamna , hutazama katika kitabu chini ya ha- rufu ileile.

ba'ada ya kujilikana hesabu zote za jina hu- jumlisha. mathalan mwanamume jina lake Muhammadi, mwanamke jina lake Fatuma mw'allimu atafanya hesabu ya harufu. jina la Muhammadi „mim nne, he tisac, mim tenna sabac, dal tano.

1) Prüfung des Hauses (1. h. der Heirat. 2) Zahl, Zahlenwert. 3) Würfel aus Ebenholz. 4) Buchstabe.

- 101

m h m d

4 9 7 5

imetokea jumla khamso wa 'esherini. katika khamso cesherini zimeanguka thelitcashara, baqi x) then'ashara.

na jina la mwanamke Fatuma: fe sitta, te tatu, wau moja, na mim nane

f t u m

6 3 18

imetokea jumla themint'ashara , zimeanguka tisac, baqi tisac. hili jina la mwanamke liko chini, la mwa- namme liko juu, kuweza kumwoa mwanamke huyu, sa- babu nyota 2) yao moja , mlango wao umetokea moja, na mapatano yao ni mamoja katika nyumba.

na ikatokea jina la mwanamke liko juu , na mwa- namume cliini wengine bukataa kumwoa mwanamke huyu. ao wengine hubadili jina, ma'ana huyu mw'allim husema ..tumhasibu huyu mwanamke na jina jengine lenye mapatano nawe , mathalan kama jina la Fatuma halikufaea huitwa Mwana Hadija. likifa'a jina hili huenda zake yule mchumba.

naye humpa khabari babiye mke, kama iliyotoka kwa mw'allim, ya kama jina hili halifai kumwolea. lakini huyu mtoto mwanamke haambiwi neno. na siku ya kuoa mbele ya mw'allim huenda babiye mtu kwa mw'allim na mashähidi mawili na huyu mchumba mume. mwanamke hendi , huwa nyumbani. tenna babiye mtu hutoa amri kumpa mw'allimu kumwoza mke, lakini huozwa kwa jina lile jipya. yule mtoto mwanamke hajui, kama amebadiliwa jina.

macana ya kutezamia majina, wasioane billa kute- zamia, nyumba itokeapo mbaya si nzuri kama ma- neno yaliyosemwa ndani ya sha'iri3):

1) Rest. 2) Stern des Glücks. 3) Gedicht.

102

1. nanze1) jina la illähi2), auwali 3) bismilläki 4), peke 5) asiye shabihi 6) subhäna 7) wa ta'äla 8).

2. nanze hadithi9) katiti 10) ina masemo baidi u), penyi wino hatafiti 12) na qartasi 13) pamoja.

3. hafuta wino kuandika nyote mpate pulika 14), nyoyo msitie shakka 15) nimesafi 16) tawambia.

4. kwani wametakallamu 17j rnaskekhe 1S) na wa'allimu, qusudi * 9) myafakamu mambo matatu sikia.

5. kwanza ni ufalume una nguvu na turne -°) na racia 21) msikimwe ifuateni skeri'a22).

6. na la pili ni safari yataka mtu basiri 23), atazame na qamari24) jumba aliyokukaa.

7. na la tatu ni zuaji25), yataka mtu mbuji 26)

1) nianze. 2) Name Gottes. 3) zuerst. 4) im Namen Gottes. 5) pekeyake. 6) Aehnlichkeit. 7) Lobpreisung. 8) Erhabene. 9) Erzählung. 10) klein. 11) verschieden. 12) des Reimes wegen für tafuta. 13) Papier. 14) hören. 15) Zweifel. 16) d. h. mein Herz ist rein. 17) reden. 18) Gelehrten. 19) Absicht. 20) Befehl. 21) Untertan. 22) Gesetz. 23) Einsicht, Erkenntnis. 24) Mond. 25) Heirat. 26) klug.

103

wa kupata faraji *) hatta ikatengeneä.

8. na sifa 2) zake zatoa tazidi kupambanua, kulla mtu atajua ma'ana yatainwelea.

9. nyumba mlango wa kwanza, rohoni mwangu huwaza, ina utesi3) na kiza,

hiyo si njema kuoa.

10. nyumba mlango wa pili ya matanda 4) na milele 5) ndio beti6) el-mali

na watu kuyawandaa.

11. nyumba mlango wa tatu hutunda7) hupata vitu, illa mke hawi mtu huwa baa akipoa 8).

12. nyumba mlango wa nne ndugu hawatangamani 9) wazazi hawapatani,

si njema kuoa.

13. nyumba mlango wa tano ya mke huzaa mno,

illa mmoja hapono 10) hufa akatangulia.

14. nyumba mlango wa sitta mume hencli n) vita,

1) Glück. - 2) Lob. - 3) Zank und Streit. 4) Kleider. 5) ewig. 6) Haus. 7) pflücken d. k. auf Verdienst ausgehen. 8) wegnehmen. 9) sich vertragen. 10) haponi. 11) haifai kwenda.

104

akenda hurudi uta, na maradi humwingia.

15. nyumba mlango wa sabac wa makonde !) na mahaba 2) kulla kibaba kibaba 3) kisua cha kuvutia.

16. nyumba mlango wa nane ndiyo mbi4), usinene,

ya rnke raajongonene5) na mume kujipania6).

17. nyumba mlango wa kenda wa kusafiri na kwenda, kulla ambalo watenda mola huwatukulia 7).

18. nyumba mlango wa kumi mke buwa na ulimi, akauzwa 8) haungami 9), husingizia 10) wa11) mitaa.

19. mlango wa kumi na moja ndiyo beti el-haja 12),

na kilicho mbali huja, na mtima ,3) hutangaa 14).

20. mlango wa kumi na mbili masbakka 15) nyote wawili wazaa na tahalili 16)

na watu kuwazumia 17).

1) Faust. 2) Liebe. 3) sie haben immer nur eine kibaba.

4) schlecht. 5) jongonene ist eigentlich eine grobgenähte Naht, d. h. die Frau hat geflickte Kleider. 6) hochschürzen. 7) chu- kulia. 8) ulizwa. 9) die Wahrheit sagen. 10) verdächtigen.

11) watu. 12) Sehnsucht. 13) Herz. 14) sich freuen.

15) Zweifel, Sorgen. 16) Grabgesang. 17) zumia = lia weinen; zumo = kelele.

105

khabari ya kupiga pamba.

siku nne ao tano ba'ada ya watu kunywa kikombe cha qahawa, hualikwa tenna waanawake na waanaume na mshenga kwenda kupiga pamba. wapigao pamba ni waanawake, na waanaume huwa barazani, hucbeza bao 1), karata 2) , ao mazungnmzo mengine. na waana- wake katika kazi yao ya kupiga pamba huimba nyimbo za h'arusi :

„nna usingizi *), wanienga ~) mato 3), kanitandikie kitanda na mto, tusowere nacho 5) cha feruzi6) kito."

1) nämlich die Braut. 2) enga = tazama; der mir in die Augen sieht d. h. der mir in die Augen sticht. 3) macho. 4) sowa = cheza. 5) auf kito bezüglich. 6) Kleinod.

ao huimba :

„kibarikinya ') cha moshi kimekuja,

waanawake vaeni makoti, tumwendee bana balozi2), asimamishe mlingoti."3)

1) Schiff, gemeint ist der Bräutigam. 2) Konsul, d. h. hier der Bräutigam. Wir wollen uns so schmücken , daß er uns haben möchte. 3) Mast d. i. penis.

ao huimba :

„sikununa *), najaribu pendo, maneno matupu, wala si vitendo, pangokapo jino, hapakosi pengo."

1) nuna sich ärgern.

na wakisha kupiga pamba yote, hupewa chakula ndizi kwa nyama na muhogo pamoja, na uji, khalafu hu- enda zao.

1) Brettspiel. 2) Karten.

106

ba'ada ya siku mbili ao tatu watu walewale hu'ar- rifiwa tenna na msbenga. naye huenda killa nyumba huwambia : „kina mwana na kina bwana mnakwitwa kwa babiye h'arusi kushona godoro1) na mito." na liilo godoro hushona mafundi na mito vilevile, na watu husa'idia 2) kutia ile pamba katika mifuko. nao wa- anawake lmimba nyimbo zao. wale mafundi hupewa ijara3) yao linapokwisha. tenna hupelekwa ndani, li- katandikwa katika cliumba cha h'arusi mwanamke, na juu ya lue godoro hufunikwa nguo , tenna hupangwa mito, mito mitatu. ikisha watu kuenda zao.

khauari ya matengenczo niengiiie kwa siku ya h'arusi.

siku chaclie bacada ya pamba kisba kupigwa na godoro na mito kuskonwa, tenna mume anataka kuoa. watu walio mbali hupelekewa msbenga kuambiwa : „siku ya el-jumaca h'arnsi4) anaingia nyumbani." na waliwo qaribu hujua wenyewe, buja pekeyao katika 'h'arusi.

na babiye mke atanunua mchele na unga wa ngano na samli, hufanyizia maandazi na vitumbua na kulla andazi la h'arusi. anunue na mbuzi kitoweo cba ka- ramu kuliska watu. biyo jina lake „kombe la h'arusi." na yale maandazi huliwa siku sabac za fungate5), hula wale ma'arusi 6) na watu wengine, wanaokuja waarnkia ma'arusi.

na h'arusi mno hufanyizwa katika nyumba ya wazee wa h'arusi mwanamke, hatta siku saba' zishe. na as-subuhi ya h'arusi hupambwa nyumba ya h'arusi, husafidiwa kwa vikombe na viti na vyoo na kufukizwa kwa 'üdi 7) na chupa za mirashi 8).

1) Matratze. 2) helfen. 3) Lohn. 4) Bräutigam. 5) sieben d. h. die sieben Tage nach der Hochzeit. 6) Brautleute. 7) Aloe. 8) Rosenwasser.

107

khalmri ya mw'allimu anavooza.

siku ya mume anapotaka kuoa huenenda babiye mtu kwa mw'allimu na mume na mashahidi mawili , ao mashahidi hupatikana katika barza aliyopo mw'allim. akifika babiye mtu, lmmwambia mw'allimu: „nimekupa amri, huyu mume umwoze mwanangu." tenna hukaa kitako wote. mw'allimu huuliza: ,.m;ihari yake qiasi gani?" husema kama walivopatana.

na katika hädara ') biyo hununuliwa lialwa 2) kula, waliopo katika hadara hiyo, bacada kwiska kuoa.

na kuoza kwake mw'allimu kwanza hupiga fätiha3), watu baitikia. tenna yule hcarusi bumqabili 4) uso wake mw'allimu . humpa mkono , na mw'allim busoma khii- tuba 5) 3^a nikaha ü), kama aya zilizomo katika qoräni.

ba'ada ya kwisba ile khütuba, mw'allimu humwita yule h'arusi kwa jina lake „'Abdallah," buitikia „la- beka." „umequbali kumwoa Mwana cAsha binti Faqihi kwa mahari yake riale kkamsini?" naye bujibu : „naara, nimequbali." huitwa namna bii marra tatu. marra ya tatu huulizwa babiye mtu : „umemwoza 'Abdallah binti wako kwa mäbari yake riale khamsini?" bujibu babiye mtu: „na'am, nimemwoza." na mw'allim husema: „na mimi nimekuoza." tenna mw'allim bupiga fätiha, na watu huitikia , na kuwaombea muungu waliooana mke na mume. husema: „muungu awaja'ali7) unyumba wenu uwe wa kheri8), su'udi9) na baraka10) na mapendano, mpate na kizazi kwa fadili n) zake muungu rabbi el- caälamina." n)

na ijara yake kuoza yule mw'allim yule k'arusi hutoa rupia mbili kumpa mw'allimu , iwapo mwanamke

1) Gesellschaft. 2) süße Speise. 3) erste Sure. 4) nä- hern. — 5) Predigt. 6) Ehe. 7) hestinimen. 8) Glück. 9) Hülfe. 10) Segen. 11) Güte. 12) Herr der Welten.

108 -

kijana. iwapo ameolewa ckuo clia kwanza ameachwa ijara yake rupia. ba'ada ya kutoa zile rupia kuenda zao.

khabari ya siku ya h'arnsi.

mwanzo wa al-casiri huja waanawake skoga zake na wengine wa kcarusi mwanamke kumsafidi1). kumpe- leka ckooni, wakamwoska na kuckanwa nywele, na ku- singwa kwa tibu 2) mwili wote, tenna kufukizwa, km- suka nywele na kumchega, ma'ana kukata zile nywele kidogü usoni, kuitwa denge. akiska ckegwa, kubadiliwa nguo nyingine kuvaa. tenna kumtoja wanja 3) maclioni na uso kidogo. na kuko wanakwimba waanawake : „mwengeenge4) kama kioo5), raume nduguyo, mwengeenge kama kioo." ao kuimba :

„ukipamba mke, mume kujipamba ni sunna l), usipojipamba, watu kukwambia mtumwa. ackimba ndago 2), ke nana 3). ackimba ndago kwa Silima?"4)

1) arab. = vizuri. 2) Unkraut. 3) Einschiebsel ohne Bedeutung des Reimes wegen, sog. kipokeo. 4) männlicher Eigen- name.

ao kuimba:

„anatangatanga1) kwa killa kibanda kungia -),

ni kama nakkoza, aliyekosa bakaria,

kilo ni juya3) ke nana

kwa killa samaki kuingia."

1) umherlaufen. 2) ein Mädchen will nicht heiraten, sondern treibt sich lieber in allen Hütten herum. 3) Fischnetz.

1) putzen. 2) Wohlgerüche. 3) Antimonpulver. 4) enga tazama. 5) kama unavotazama katika kioo.

109

ba'ada ya uzuri huu kwisha mslmko wa cisha *) hu- letwa mwanamume nyumbani kwa mkewe na rafiqi zake kwa shangwe na furaha. wengine humpeleka mume kwa täri hatta lifike nyumbani kwa h'arusi. naye ame- jifanya uzuri mwenyewe kwa kanzu, na joho*), na ki- lemba, na vyatu, na janibia labda, na upanga, ao ba- köra mkononi.

hatta akifika nyumba ya hcarusi , mume akitaka kuingia, waanawake humziwia mlangoni, hutaka kingia 3) chao, bnmwambia: „tunataka kingia cketu." na nilango wameufunga waanawake. naye hutoa tangu rupia moja hatta rupia tano. ao yeye hutaka kuvvadanganya hao waanawake, huwambia: „nipeni rukhsa, nikamwone mke wangu, kisha ntawapa kingia chenu." waanawake ha- waqubali.

akisha ingia ndani, wale makungwi humpa mkewe. naye humpa mkono, akamwamkia. na hapo ndipo wa- napoonana marra ya kwanza. na mwanamke hasemi na mumewe, illa atoe kono 4) na kipakasa 5) na fichuo G). kono macana ni vile alivompa mkono, anataka ijara ya mkono wake kumshika mwanamke mpya. na kipakasa ni kule kupakatwa. na fichuo ni kule kusema naye, sababu zamani hakuona uso wake , wala sauti 7) yake hakumsikia, ndio ma'ana kutakwa cadas) hizi. na yule mume hutoa. mäthalan kumpa pete kono lake, ao timbi kipakasa chake, na mkufu fichuo ]ake. ao humpa fetjda qadiri awezavyo rupia tano kono lake, rupia tano kipakasa chake, na rupia tano fichuo lake. wengine hutoa zayidi, na wengine haba.

ba'ada ya kwisha toa cada hizo, mume huenda ukum- bini, na mkewe hukaa chumbani mwake. naye h'arusi

1) Abendgebet. 2) arabischer schwarzer Mantel. 3) Eintritt. 4) Handgeld, Erklärung folgt. 5) Betastung, Erklärung folgt. 6) Entdeckung, Erklärung folgt. 7) Stimme. 8) übliche Geschenke.

- 110

huenda kula kombe la h'arusi, naye humega wali, hutia ndani ya sal.iani na nyama, hupelekewa mkewe kula, unakwitwa „wali wa cada."

waqati kuu vijana waanawake liupiga matäri yao na matuwazi, huimba na nyimbo zao za h'arusi, mathalan mwanamke anamwambia mumewe :

„pendo la mashiti?"1) nhalitakiani 2), nunua mtumwa, utie nyumbani :1). naona muhindi makanda makanda, mtwanzi ni nani?;' mwanamume hujibu :

„mtwanzi ni wewe, uliye nyumbani 4). wataka mtumwa ? safiri barrani 5). butwangi muhindi makanda makanda ? kwa ubora gani?"

1) deine Liebe reicht nur für einen sliiti-Stoff. 2) silitaki mimi. 3) damit ich sehe du liebst mich. 4) der ich dich wie einen Sklaven in mein Haus gekauft habe. 5) such dir selbst einen.

ao huimba :

„tazama waraqa *), niliokuletea, na mola jalali, akinijaclia, ni mgeni wako, takuwasilia. "

1) ein junger Mann an seine Geliebte, ao huimba:

„naliona pendo 1), likinidangana, nikithanni wewe, mwingine hapana. wewe mwana maji, wakimbia wimbi? limekubandama. "

1) ein Mädchen klagt ihren ungetreuen Liebhaber an, der sie mit einem Kinde im Stich gelassen hat. ao huimba ') :

1) ein Mann, der eine schöne Frau hat und eifersüchtig ist, gibt der Sklavin Mwana Kombo den Auftrag, auf sie aufzupassen.

111 -

„kijakazi Mwana Kombo bibi nyumbani akwita, uende ukateke maji, hatta ujaze birika." *)

„kisimani maji tele2), wala si ya kulimbika3). alindwani 4) ? kilindo hulindwa, ndege mke mzuri halindwa."

1) bleibe so lange zu Hause und mach dir zu tun bis ich wieder zurückkehre. 2) antwortet das Sklavenmädchen. 3) = ngoja. 4) alindwa nini.

ao huimba : „mkanye *) mumeo, kwangu sikumwita, sikutega tanzi, wala sikuvuta, alipiga hodi usiku wa kiza, hamqaribisha. " 2)

1) kanya = kataza. 2) sagt eine Frau zur andern, um sie zu ärgern.

ao huimba:

„kijaluba changu kimenipotea." J) „na nyumbani mwako, sina mazoea2), ukilia wivu utajikondea."

1) eine Frau sagt zur andern „mein Mann ist mir verloren ge- gangen." — 2) erwidert die andere die sich getroffen fühlt.

ao huimba x) :

„wataka nitinde 2) kwa kisu kikali3), wala sinitinde kwa hili na hili4). nambiwa napendwa, sioni dalili."

1 ) eine Frau glaubt , daß ihr Mann eine andere liebt. 2) tinda = chinsba. 3) so sei es mit scharfem Messer d. h. sage es mir unumwunden. 4) indem du mir dies und jenes vorlügst, ao huimba :

„masikini bwana1) kajisafiria, kajendea kwao, alikozaliwa, ningekuwa ndege, ningemwandamia. " 1) der Liebhaber.

112

ao huimba ]) :

„nasikia shindo, ni khabari gani? haya si vitendo vya kudanganyana ! nachie inwenyewe *), nikuonye ma'ana."3)

1) eine geschiedene Frau, deren Mann eine andere geheiratet hat. 2) üherlaß ihn mir wieder. 3) denn ich kenne seine Ange- legenheiten hesser als du.

ao huimba :

„nacma vishindo ') vya nakhoza kutweka2), ukingia ndani3), hamna mkeka4). chura5) mpumbavu, alinda kisima6), na maji yatekwa."5)

1) eine Frau hat erfahren, daß ihr Mann eine zweite Frau ins Haus nehmen will. 2) Du (der Mann) bist so unruhig, du bleibst ja kaum zu Hause. 3) zum Hause der anderen. 4) so arm ist sje_ _ 5) der Mann. 6) die Frau. 7) sie wird ihm seine Un- treue durch Gleiches heimzahlen.

ao huimba:

„skadda la rehani1) lanisikitisha, kiugia 2) nyumbani, matozi yanosha 3), chema hakidumu4), hakina ma'isha."

1) gemeint sind die Reize einer schönen Frau. 2) nikingia. 3) machozi yaniosha. 4) dumu lange währen.

ao huimba :

1. kinyunya ') cha sumu2), kina laza 3) mno, pale ukilapo, usikaze meno,

kalia demani4), sende joshi5) mno.

2. maji birikani, yameingia panya6), hayafai tenna, illa kutawanywa7). sijaona sumu kuf'anywa kinyunya.

1) Kuchenteig (gemeint ist der weibliche Geschlechtsteil). 2) Gift. 3) Geschmack. 4) rechts. 5) links. 6) penis. 7) ausgegossen werden.

113 -

ao huimba: maji ya ziwa1) ya tainu, hayashindi ya kisima, ukataka kuyateka, uyateke kwa heshima. jike lisilo rnababa*) kama nguo kuazima3).

1) weibl. Geschlechtsteil. 2) Liebe. 3) ist nichts wert. na watu wakesba kula ;.kombe la h'arusi," wata- soma fätiha. na khalafu waanaume na waanawake hu- waombea muungu mke na mume, nao husema:

„muungu awaja'ali unyumba mwema kusema na kusikiliza, awazidie cbumo jingi, awaondolee magonjwa katika nyumba yenu , awape kizazi kike na kiume. muungu awakingie l) mabasidi -), ambaye siye yeye na muungu wake, kwa fätjili3) zake muungu."

ba'ada ya kwisba kula na kusoma fätiha, yule hca- rusi mavazi yake huyavua, buvaa visutu viwili, sababu anataka kosbwa miguu. kisutu kiraoja buvaa cbini, na kimoja bujifunika. naye bukaa juu ya kiti, na miguu yake ndani ya sinia ao cbanu. kungwi wa yule mkewe atamwosba miguu , na kijakazi kimeshika birika ya maji. marra kungwi atakwimba mwimbo, waanawake waitikie :

„tumwosbe mou1) bwana kwa maji ya zämzäm 2) tumwosbe mou bwana

kwa maji ya zämzäm."

1) miguu. 2) maji inayotoka Makka. ao huimba :

„upatu wa masogora x) nawingie mbilimbili upatu wa masogora nawingie mbilimbili."

1) werden die an der Waschung teilnehmenden Männer genannt, sogora = hodari.

1) beschützen vor jd. 2) Feinde. 3) Güte.

Veiten, Uesturi za Wasuaheli. 8

114

ao huimba :

„na utiwe marupia upatu wa Wasuaheli."

wale vijana wakasikia mwimbo huo, killa mtu hu- fanya shauri kitu cha kutia katika upatu. mwingine rupia amma rupia mbili amma tatu , killa mtu kwa uweza wake. na asiyo kitu hendi panapo upatu, huona häya1). watu wote wakesha pita, yule kungwi atahesabu 2) fedda iliyopatikana. kisha ataweta wazee wa yule mwanamke, wazigawe fed(Ja mafungu matatu. fungu moja la kungwi, la pili watapewa wazazi, la tatu wa- tapewa ma'arusi, mke na mume, fea"(Ja waliyockukua makungwi na wazazi hawaitumii, watanunua matumizi ya fungate, hatta ishe fungate.

ba'ada ya kwisha kula kombe la h'arusi na kosha miguu, mume atapanda kitandani. na kungwi ataleta kitambaa cha bafta, atakiweka chini ya matako ya yule mwanamke jina lake kisarawanda. mume atalala naye mkewe, na i]e damu ya kizinda3) itaingia katika kitam- baa kile cheupe. akisha kazi yake mume, marra aon- doke, atakuja kungwi, achukue kitambaa kumwonyeska mama yake ao bibi yake ao shangazi usiku uleule.

kazälika kbabari ya makungwi : humpima yule kijana mwanamke qabla ya kuolewa, kama ana kizinda ao hana. na kumpima kwake humtia mkufu katika uchi wake, uka- ingia mkufu hana bikra, makungwi hujua sasa, ya kama hana bikra. akiolewa na mume, kungwi hukamata kuku mdogo, wakamchinsha, damu huitia katika kisarawanda, na kile kitambaa huweka chini yake.

hatta wakitaka kulala, kitakuja kijakazi na manu- kato dalia na tibu na mkakasi wa cudi, yule mume ata- lala juu ya kitanda, na kijakazi kisinge kwa yale manu- kato maungo mazima, illa uchi hana rukhsa kuushika.

1) Scham. 2) zahlen. 3) = hikra Jungfernschaft.

115

marra kijakazi atapata rukhsa, ende zake, kisha(inke atamskika mumewe amsinge.

turejee kbabari ya kile kisarawanda. damu iliyo- onekana ya bikra kungwi as-sububi tenna atawaonyesba waanawake jama'a wa yule mke, na baba hupewa kba- bari na rnama. nao watafurahi sana , watajikusanya kundi zima, watembeze sbangwe1) killa pabali, wembe mwimbo wa sbangwe:

„kiongoö x) ongoa -) njia, babiye h'arusi atembeza ukingo.0

1) kirongozi. 2) zeigen.

sababu watu wasipoiona damu hawasadiqi2), ya

kama mtoto wa fulani ameonekana bikra. baba yake

na mama yake, wakiwa na vitu, watampa jeuo3) lake,

ikawa nyumba ao sbamba, ao kitu cba feg\la mkufu ao

,/v- mtali. ,kazälika mume naye, akiwa na kitu, atampa jeuo

" mkewe kama kitu alicbonacbo. na kama nana bikra

bapati kitu kwa wazee wake wala kwa mume wake.

a^^^ju^ kazälika yule mumefiwapo khanitbi4), hamwezi yule

mwanamke kumvunja bikra makungwi killa siku wa-

namwuliza mwari: „wamwonaje huyu mume? jissi gani?

siku zimekuwa nyingi ! u na yule mume huulizwa naye,

kama walivomwuliza mwari, na watani zake bumfanyizia

cbeko, humwambia: „anapiga mateke? twambie." ao

bumwambia: ,,bwana mwari kaumbwa." na waanawake

wengine buimba mwimbo :

„buyo mwanamume kamanya1) kula

na kugona2) badodo3) bamlemela4)

6i!5) badodo bamlemela."

1) manya = jua. 2) gona = lala. - 3) kitu kidogo. - 4) = shinda. 5) Ausdruck des Erstaunens.

1) Freude. 2) glauben.— 3) Morgengabe, auch jezwa (arab.) genannt. 4) impotent.

8*

116

naye mume atajitahidi *) kwenda kwa waganga kutafuta dawa. ikiwa bakkti -) yake atapata mganga am- tibu3). kazälika na hiyo dawa mzizi wa mwitu, hu- pikwa na kuku pamoja. na kama hafai, atakaa naye mwanamke miezi sitta, ikisha naye hakumbikiri, she- rica4) itamwachisha , na mähari nussu atatoa, mwa- namke aolewe na mume mwingine. imekwisha kha- bari hü.

khabari ya fungate.

zile siku ba'ada siku ya h'arusi zile siku sitta zilizobaqi zinakwitwa ;,fungate." na hiyo fungate haina karamu tenna, illa hufanywa maandazi tu. killa as-subuki buja watu waanaume na waanawake billa kualikwa , buwaamkia ma'arusi , ma'ana waanaume hu- mwamkia h'arusi mwanamume na waanawake humwamkia h'arusi mwanamke , illa ndugu waanawaume huenda ndani kumwamkia da da yao h'arusi.

na kuamkia kwao watu hao humwambia 'arusi mwa- namume „subalkheri hcarusi," na yule h'arusi mwa- namke huamkiwa ,. hali gani h'arusi?" nayo huitikia kwa ndani „sijambo." khalafu humwuliza khabari „jinsi alivolala." na mwanamke hana rukhsa ya kutoka illa kwa haja5), lakini mumewe huweza kutoka ukum- bini, wakija watu kumwamkia.

na watu vijana hucheza al-'asiri kiuinbizi, ma'ana ngoma ya fimbo, na h'arusi huenda labda kucheza kium- bizi. na usiku vijana hucheza tari la diriji kama tuli- yotangulia kusema katika khabari za tari.

khabari ya inwislio wa ha'rnsi.

ba'ada ya fungate kwiska, ma'ana zile siku sabac walizokaa katika nyumba ya h'arusi, yule mke hupe-

1) sich bemühen. 2) Glück. 3) in Behandlung nehmen. 4) Gesetz. 5) Wunsch, Bedürfnis.

117

lekwa kwa mumewe. naye hufanyiwa ukingo, na huo ukingo ni msutu. kufanywa pazia, lililo kubwa, huingia ndani h'arusi na waanawake wengine. na majakazi hushika matuwazi, na wengine wana mbiu, huenda wa- kemba nyimbo :

„bana ende *) kwao, ende kwa wazee wake wa mzaze2) yeo3)."

1) aende. 2) waliomzaa. 3) leo, bezüglich auf ende, ao huimba:

„iyo iyo kaolewa, ukitaka tembo utaletewa." wakampeleka mwanamke hatta nyurabani kwa mu- mewe. na ma'ana ya kumficha kuyu mwanamke asi- onekane na watu.

akifika nyumbani, mwanamume hualika watu wa- zima waanawake, jama'a za yule mume ao za mke, kuo- nyeshwa jiko yule mwanamke. na kuonyeshwa kwake hufanyizwa chakula kingi, akaalika watu, kama awa- takao, kula kile chakula, lmitwa „mwonyo wa jiko."

baeada ya hilo baifanyizwi tenna karamu, ndio/nwisho wa hearusi.

khabari ya inume na mkewe nyumbani.

kama mtu ana mkewe nyumbani, huyu mke bana rukhsa kufanya neno lo lote illa kwa fzini ya mu- mewe, iwapo amkataza neno kaza sitaki bassi. iwapo amefanya, huambiwa 'aili l) mwanamke , sababu hakufuata ta'a-) ya mumewe.

na mwanamke mungwana hana rukhsa kutembea mcbana billa euzuru3) illa kwa haja. naye lazima kujifunika ushungi 4). kama anataka kwenda kuzungumza

1) ungehorsam. -* 2) Gehorsam. 3) Erlaubnis. 4) Kopf- tuch.

118

kwa rafiqi yake, läzirna kwenda usiku ba'ada ya saea moja hatta sa'a ya tatu. tenna läzirna kijakazi ckake aluatane na}'e pamoja.

na mke iwapo amekhalifu1) amri ya mumewe raclda2) juu ya mumewe, illa makosa makubwa hum- peleka kwa hakim3) akarudiwa.

kha1)ari ya kupata pendo kwa limine.

mwanamke asipopendwa na mumewe ao mwandani4) wake, kuenenda kwa mganga, humpa khabari ya kwamba : „nnataka dawa ya pendo." yule mganga kutoa tumba5) na weinbe, humchansha chale ndogo sana juu ya uso wake, humpaka mafutaya nyonyo6) yaliyo ndani ya tumba.

ao humpa mizizi ya dawa, humwambia: „ukipika cbakula, mizizi kii tia ndani, umpe cbakula ale, lakini asiione mizizi." hufanyiza yule mwanamke.

ao humchansha chale ya sirri7) mfano wakinenani8), humwambia : leo mwambie mumeo akutwae , utapata pendo."

wengine huandikiwa hirizi 8) na waganga. mume akiiona, humwuliza „hirizi ya nini hü," hujibu „ya ma- radi9) tu."

destnri ya mtu mwenyi wake wawili.

mwenyi wake wawili yu katika mashakka lü). kwanza aweze kuapa maneno ya uwongo killa siku, wasigombe, sababu mwanamke na mke mwenziwe haweshi n) mago- mvi kwa uwivu. mwanamume akinunua kitu, akafika nynmbani, asingie katika nyumba na kile kitu. iwapo anataka kugawa agawie nje, killa mtu ampelekee fungu lake. akigawia ndani, itakuwa ugomvi.

1) sich widersetzen. 2) Zurechtweisung. 3) Herrscher, Rich- ter. — 4) Liebhaber. 5) Medizintasche. 6) Rizinusöl. 7) Ge- heimnis. — 8) Schwätzerin, d. i. weibl. Geschlechtsteil. 8) Amulett. 9) Krankheit. 10) Zweifel. 11) hawaishi.

119

kazälika chakula killa nyuniba haifai kula hattä askibe. ukenda nyumba ya pili, kama hukula chakula ugomvi.

kazälika ngono *) sherti agawe sawasawa siku tatu huku na siku tatu huku. na kulla nyumba utaka- yolala, sherti mwanamke ulale naye. ukimlala mwa- namke mmoja as-subuhi ugomvi, atasbitaki mwa- namke kwa wazee wake, atasema: „huyu mwanamume hana ngono nami."

kazälika mume akitaka kuoa mke wa tatu, sherti wale wake wa kwanza awatake radi 2), atoe kitu kuwa- pa, jina lake „mwago."

na akanunua suria asimgawie ngono sawa kama wake, kwa mke akilala siku tatu, kwa suria siku moja. kazälika akinunua nguo kuwapa, suria asimpe namna ya wakewe, wataqasirika sana. lakini juu ya ku- fanyiza wema kama huo , ugomvi kwa mtu mwenyi wake wawili hawishi, sababu mmoja anataka hivi, na mmoja anataka hivi. na wakikaa nyumba moja hawa- patani. khassa usiku, mume anapotwesha, kwenda ku- lala kwa mke wa pili, na ngono si zake, tenna usiku awasikie mke na mume wanazungumza na kucheka as-subuhi ugomvi.

na wanapogomba, ni khatari b) kubwa mno, hu- umana kwa meno, ao hupigana kwa fimbo. wake wa- wili haifai kuweka nyumba moja. wengine wanapatana, lakini si kwa kweli. na desturi ya wake wawili sherti yule mume afundishwe sana, ao asome katika vitabu adabu ya wake wawili. asipojua, itakuwa killa siku magomvi.

khabari ya mwanamke mfiwa.

bacada ya kufa mume wake, hukaa reda*) miezi minne na siku kumi. ikesha eeda kwa miezi ile, atokeapo

1) Beischlaf. 2) zufrieden. 3) Gefahr. 4) Wartezeit.

120

mume kutaka kumwoa, haqubali, sababu ana masikitiko ya mumewe mudda mwaka uishe. na hiyo ceda mwa- namke hukaa ndani ya nyumba, naye huvaa mavazi meupe ao meusi , lakini slierti yule mwanamke awe mweza ao mumewe awe mweza. asipokuwa, bakai feda, maeana miezi minne yataka matumizi. wengine ceda zao wanazikalia nje, wanasema : „mimi kuku, naclmmia mdomo wangu."

kazälika mke mfiwa katika ceda hana rukhsa ku- f'anya urembo *), manukato, ao nguo zilizo nzuri, illa nguo zile, anazovaa katika ceda, zikiwa chafu kufuliwa, na maungo yake ana rukhsa koga, lakini ngomani hendi.

na ma'ana ya ceda ya mwanamke mfiwa kuji- tezama nafsi") yake kwamba bana mimba, bii ndio ma'ana kukaa eeda kuto' kuolewa3). na tenna kwa mwanamke mfiwa ceda ndio sababu ya masikitiko ya mumewe.

na mwanamke mfiwa huweka cada4). killa al-kha- misi bupeleka mafuta mskitini, ao hufanyiza chakula, akaweta watu kumrehemu5) mumewe kwa fätiha6). na kulla mwaka husoma khitima7) qaburini8) ao nyum- bani, na kulla mfunguo tatu hununua manukato eudi, tibu, dalia kupeleka qaburini.

bacada ya mwaka akitokea mume kumposa, atape- leka shauri kwa ndugu za mumewe: „mimi nimeposwa." wakiridi ataolewa. kama bawakuridi, atatokea ndugu mume wa yule ndugu aliyekufa amwoe. huyu jina lake mume mwingilizi.

kazälika h'arusi yao haiwi na furaha nyingi, illa mume buoa, marra akaingia ndani. akampa mkewe mkono, hawafanzi magoma na shereke9).

1) Gesicbtsbemalung. 2) Seele. 3) verneinter Infinitiv 4) herkömmliche Abgabe. 5) barmherzig sein. 6) erste Sure. 7) Koranlesung. 8) am Grabe. 9) Freudenfest.

kliabari ya knlrasn ').

zamani sana wahenga wetu hawakujua labda kha- bari ya kujibusu, lakini sasa wameona Wa'arabu kubusu wake wao na watoto nao wamefuata. Wasuaheli wakiwa ndani na wake wao, wanajibusu katika vinywa. na kutakana kwao husema mwanamme ao mwanamke „kitoto nibusu" ao „ninonee." nao hubusu vilevile mtoto wao mdogo, lakini akipata miaka sabac mtoto mwa- namume mama yake ao skangazi 2) lake ao dada 3) yake ao mkwewe 3) kawambusu, si desturi , lakini babake akitaka kumbusu haiduru4). na akiwa mtoto mwanamke hailai kumbusu baba yake wala ndugu yake mwanamume.

kazälika mtoto mdogo wa mwaka mmoja ao miwili, kama amekuja bibi yake ao skangazi ao mwanamke mwingine, huambiwa yule mtoto „mchobee5) sbangazi lako." naye huenda akamchobea. tenna humwambia „mbusu." kumbusu. tenna huambiwa na mama yake: „mpe tumbaku shangazi lako." hunyanyua juu nguo, akamwonyesha mboo 6) yule skangazi lake, naye hu- vuta ile, mboo, kisha hunusa, kisha huenda chafya 7), tenna husema: „a, tumbaku kali sana!" humwambia: ,.ficha tumbaku yetu." na kama wako waanawake wanne ao watano wote watamnusa, nao hufurahi, tenna hucheka sana.

na kubusu namna ya pili sherifu 8), ukakutana naye njiani. ao mw'allimu anasalisha katika meskiti, ao anasomesha darasa9), ukafika darasani, humbusu. na kubusu kwake humbusu mkono sherifu na mw'allim, si katika kinywa.

1) küssen. 2) Tante. 3) Schwester. 4) Schwieger- mutter. — 4) schaden. 5) chohea lieb halten. G) penis. 7) niesen. 8) Nachkomme Muhammeds. 9) Schule.

khabari za ngoma za furaha1).

ngoma za zainani.

desturi ya Wasuaheli tangu zamani furaha yao kubwa katika h'arusi, na pasipo h'arusi, furaha kubwa ya ngoma. na wakiwa na mashindano 2) , wakackeza na ngoma. nao wanapenda sana machezo ya ngoma tangu wahenga 3) wao hatta vijana wa sasa. zamani wakicheza ngoma hatta majumbe hucheza ngoma, sa- babu wanavoipenda wote.

ngoma kun.

asili4) yake ndio ngoma ya ujumbe. kupigwa kwake huwekwa ngoma mbili kubwa uwanjani, nazo huwa juu ya vitanda. na kupigwa kwake kwa fito mbili. na anayepiga, iwapo si jumbe, huvua kofia na vyatu. na mpiga zumari 5) , iwapo mtumwa , huvua kofia , na mpiga siwa 6) vilevile huvua kofia. akiwa mungwana, havui kofia.

na ba'ada ya zile ngoma kuu husimamishwa goma kuu la tatu juu ya mti, huitwa goma hilo mkuwiro, ndilo lenyi cezi7) katika ngoma kuu. bassi zikipigwa zile ngoma, watu hucheza, nao hucheza watu wawili

1) Freudentänze. 2) Wettstreit zwischen den einzelnen Par- teien, Cliquen. 3) Vorfahren. 4) Ursprung. 5) Flöte. 6) Jumben-Horn. 7) Macht.

123

tu. na wachezao sherti wawe waungwana, watumwa si desturi kuckeza ngoma kuu. na hawa waimgwana wanapocheza, huvua kofia na vyatu, na majumbe wa- kicheza, hawavui kofia wala vyatu. lakini skaha *) ao waziri, akicheza na jumbe, huvua kilemba, kofia kavui. na liao wanaockeza busbika panga mikononi, ndizo wanazochezea, na jumbe akicheza, huwa na wapambe wawili vijakazi wazalia , ndiwo wanaozunguka naye yule jumbe. na machezo hayo hayana nyimbo.

ngoma ya sendemre.

na mno zamani machezo yao, wakiwa na mashin- dano, huchezwa „sendemre." na hilo sendemre buwe- kwa ngoma uwanjani, iliyo kubwa, na chapuo2) mbili na mrungura8) na zumari na upatu4). na ngoma kubwa hutundikwa juu ya panda ya mti, nayo hupig wa kwa vipande viwili vya mti. na mpiga zumari hujengewa dungu juu ya mti. na hilo dungu hufungwa na ma- jamvi mfano wa nyumba. naye huwekewa kitanda juu , hufanyizwa na mwavuli wa matawi ya tambuu. hupiga zumari na mwimbo katika ile zumari, na watu wako chini wanaitikia kwa maneno, mathali kama: „tulikuwa sawa, sasa In vi tuwaj) mbalimbali, mwalia-) mikungu, niajumbani hamna sahani, tulishone fumba mtondoo3) tulitose pwani."

1) wir sind. 2) essen aus. 3) die mtondoo-Leute. Bei den masbindano stehen sich immer 2 feindlich gesinnte Gruppen gegenüber.

ao huimba: „sitirihali1) watumwa, simameni tuwatume, mwenyi mara^i makuu haonani na mtume." 1) die sitirihali-Leute.

1) shaha und waziri kommen ihrem Range nach gleich nach dem Jumben. 2) Trommel. 3) Trommel. -4) Blechinstrument

124

* ao huimba :

usinichokoze kwimba Amri '), utalia, nduguyo kajenga nyumba 2) Unyanyembe ameikimbia.

1) Name. 2) Haushalt.

na kucheza kwao waanawaume liushika vitara mi- kononi ao panga ao bakora. na waanawake huclieza vilevile , na mikononi huskika masbadda ya tambuu *). na kucheza kwao huzunguka ule uwanja. na marra moja hutoka mwanamume pahali aliposimama , humqa- bili2) mwanamke uso kwa uso , wakackeza pamoja. na macbezo hayo huchezwa siku ya siku kuu, ao siku ya h'arusi, ao furaha tu, ao kwa masbindano, lakini sasa hayako machezo hayo.

khabari ya mashindano.

zamani mrima kulikuwa na mashindano mengi. mashindano yao husema: „tufanve chama3) cha umoja beina ya mtaa kaza wa kaza na mtaa kaza wa kaza." huchagua mkuu wao, na waziri mmoja, na hal-mashauri4) na kijumbe. huyo mkubwa killa neno juu yake, akifa mtu, ao mtu ataka kuoa, ao mtu amefiwa, mambo yote huyafanya yeye mkuu. na waziri kazi yake, likitokea neno katika mji, hupewa shauri waziri, naye hupeleka khabari kwa mkuu. na hal-mashauri kazi yake hu- shauriwa neno litokeapo. na mjumbe huwalika watu, macana huenda kuwambia watu „kesho mkutano kwa mkuu, amekufa mtu," ao „tunataka kwenda kuzika," ao „twataka kwenda kuhani." 5) hupeleka khabari killa

1) Betelsträußchen. 2) sich nähern. 3) Vereinigung. 4) hali yake kushauriwa. 5) an der Trauerfeier teilnehmen.

125

nyumba, „tukutane kesho saca ya tatu." hushikana chama hicho kwa umoja. na likitokea neno mjini, mkuu wao halikumpendeza , watu wote hufuata maneno yake. ikiwa mtu amemqasiri mkuu wao karamuni , karamu itavunjika.

kazälika katika mashindano hayo hutokea machezo ya ngoma kukesha usiku kucka , siku sitta ao sabae wanackeza ngoma tu. wanatumia fedda nyingi, ma'ana watu wa chama moja wakickinsha mbuzi wawili wen- gine kuckinska mbuzi wanne. siku ya mwisho wa ngoma kufanya karamu, hu'arrifiwa watu wageni na wenyeji. na kufanyiza maandazi killa nyumba. killa nyumba hupelekwa piski tatu za mckele, na piski moja unga wa ngano na samli na sukari kuandaa , maeana isipokuwa kivo kikao kimoja kimefedeheka. na huo ni mwimbo wao wa mashindano: „mwenyi fulani hojaji1) zache, kesho h'arusi kesTuTkutwa fungate, utafilisika. gongoni2) nyache." a) na chama cha pili huimba:

„sisi twaomba saläma maji yapite, kolekole4) na koana4) wajifiche, panapo cadui yako usipite." kii ndio khabari ya mashindano yao , lakini sasa hawayafanyi mno kama zamani, ma'ana „mikono mitupu hairambwi, ikarambwa ina punje."

ngoma ya chando.

huwekwa chapuo (ngoma) moja na vumi moja (ngoma) na mganda (ngoma) na zumari. na kuchezwa

1) Gerede. 2) Stadtviertel Bagamoyos. 3) mit den Gon- goni-Leuten könnt ihr euch nicht messen. 4) kleine Fische, ge- meint sind die Gegner.

126

kwake huchezewa uwanjani, waanawaume na waanawake.

nao hucheza, tenna hupiga magoti wanapocheza, nao

huimba mwirnbo :

„chando we ndio ngoma, mtoto mdogo wajuaje kwanga?1) chando ndio ngoma."

1) umhertreiben (von Mädchen Nachts)

ao huimba:

tujile *) kutia moto na watoto,

tujile kutia moto na watoto,

na wenyewe ni walele 3), si wa mato 3),

fungua mlango nipite."

1) tumekuja. 2) wamelala. 3) macho.

na ngoma ni ya zamani, lakini sasa hupata siku wakacheza.

ngoma ya kigoma.

asili yake kigoma hupigwa panapo h'arusi ao fu- raha tu. nayo hualikwa waanawake na waanawaume. waanawake wakijua, leo kuna kigoma , hujitengeneza mavazi mazuri na manukato kujitia. na kuchezwa kwake huchezwa nyumba yenyi ukumbi mkubwa. wa- anawake hukaa juu ya dari . hushika mbiu kupiga , na waanaume hukaa chini. mmoja huimba , naye huitwa sogora '), na watu wawili hupiga chapuo , na moja hu- piga vumi, na mtu moja upatu, na moja hupiga zumari.

tenna ngoma ikianza, hutoka vijana waanawaume, nao wamevaa mavazi mazuri , na mikononi wameshika vileso. tenna yule sogora huimba mwirnbo: hao hao hao we."

1) Vorsänger.

127

hucheza tenna wale vijana watu wawili. wakichoka wawili hao , huja wawili huitwa tira yao. na wale waanawake, wakiona waanaume wanacheza, kupiga vi- gelegele juu ya dari, hufunga na mikufu katika visutu, ao timbi, ao pete, kuwapa waanawaume, wanaocheza, ma'ana ni tunza zao.

naye sogora huimba tenna :

„fulani wa bwana fulani anacheza na nduguye." na wale waanawake na waanaume huitikia: ryöyo bwana, yoyo bwana, anacheza na nduguye." ao huimba:

„kalale bwana kalale uleleko J) Jana na leo kalale. Ä

1) ulipolala.

ao huimba:

„kama wewe kama wewe kama wewe he kama wewe kama wewe kama wewe he tutampata mwenzio kama wewe." ao huimba:

„mwendo wa kenge, kenge mwendoe, killa apitapo, kenge mwendoe, mwendo wa kenge." na mwisho wake zile tunza, waanawake walizowapa waanaume, ngoma ikivunjika, hupewa wenyewe waana- wake vile vitu. wenyewe wale waanaume huuliza : „mkufu huu wa nani?" ao „pete ya nani?" mwen- yewe mwanamke hutambua, akaja kuchukua. na yule mwanamume, akimpenda mwanamke yule mwenyi mkufu, hupatana naye, akawa rafiqi yake.

lakini yale maua , yaliyofungwa katika visutu,

128

lmchukua waanawaume , huitwa „vikuba." mno kutun- gwa mkadi1) na rihani2), kutia na mafuta ya manu- katu.

nacko kigoma kuckezwa tangu siku tatu katta siku saba', kakina karamu. na mckezo wake kuanzwa al- 'asiri na usiku.

ngoina ya tinge.

asili yake imetoka barra. mckezo wake kuckeza waanaume watupu. na mackezo yake kupigwa makofi, hapana ngoma. nao lmjipanga safu 3) , wengine upande huu, na wengine upande kuu. na mckezo wao kupiga skindo mguu wa kulia. marra hunyanyua ule mguu wa kulia juu. na mwenyi mguu mwepesi, akinyanyua juu upesi, akiskuska upesi, wa pili akikawia kunyanyua katika ule upande wa pili amefungwa kuja upande huu. na nyimbo zao kuimba: „ajaye hamna1) we ajaye hamna."

1) wer kommt, wird geschlagen.

ao huimba :

„pomboo !) akiinama akinuka."

1) Fisch.

ao kuimba:

„somo *) we, somo,

lubelege *) ke somo.

1) Freund. 2) lu auf lugulu (mguu) bezüglich; belega peleka.

ao huimba:

„mnyanya upandapo huota."

1) Pandaue. 2) Basiliumkraut. 3) Reihe.

129

ao huimba:

„endaye Pemba, endaye Pemba, salämu kwa Mbaruku kisomanga.'

ao huimba:

„hapa pana moja, na moja tenna mcheza katinge kanyamaa *). hapa pana mbili na mbili tenna mcheza katinge kanyamaa. hapa pana tatu na tatu tenna mcheza katinge kanyamaa. hapa pana nne na nne tenna mcheza katinge kanyamaa."

1) Der tinge-Spieler ist geschlagen.

huimba kama hivi hatta kutimia kumi. khalafu hu- imba:

„hapa patupu, hapa patupu." upande utakaoshindwa, huwapiga msokole, husema:

„sökole *) sökole iyoö."

1) mmechoka.

huitikia wote pia, khalafu hucheza hivo hatta waki- choka.

ngoma ya kiumbizi.

asili ya machezo hayo ugomvi. hupigwa ngoma chapuo na vumi na upatu na zumari. na machezo hayo huanzwa al-casiri katika sa'a ya kumi hatta sa'a kumi na mbili. nao hucheza chini ya mti kama mwembe, uliwo mkubwa, wenyi kivuli cbema. huja vijana, wa- mevaa kanzu nzuri, na mpiga zumari hupiga zumari yake:

„shetäni njoo, shetäni njoo, tumpake chokaa."

Veiten, Desturi za Wasnaheli. iJ

K

130

vijana hutupiana fimbo , na ma'ana ya kumtupia fimbo , anamwita, waje waeheze pamoja. na mchezo wao lracheza kwa fimbo. kvvanza hucheza vizuri kwa majivuno , na zile fimbo hugongana , iwapo hawana ugomvi. na iwapo yule anayecheza naye cadui yake, amemtwalia mwanamke wake, ao wametukanana tangu zamani, machungu yao hutoleana kiumbizini. na desturi yake hicho kiumbizi waqati wa el-maghribi *) kinapotaka kuvunjwa, hupigwa msbindo wa bondogea2), hucbezwa kwa fimbo nyembamba, bupigana kwa fimbo bizo. ao huwapa watoto wadogo fimbo nyembamba, hujifundisha kucheza kiumbizi, ao nao bupigana wale watoto.

na kiumbizi huchezwa panapo h'arusi sasa, na zamani wamecbeza killa siku.

ngoma ya kidatu ao msoma.

ngoma hucheza vijana waanawake vigori na wari na waliwoolewa. nayo huchezwa usiku. na ku- chezewa kwake huchezwa uwanjani, hujikusanya waa- nawake, na waanaume huenda wakatezama. nao waa- nawake hupiga makofi, wakemba na nyimbo : „nache *) we nache, Ramadani nache, usinivumbue mti kwa kipande cha fenesi." 2)

1) niache. 2) Yakfrucht.

ao huimba :

„eilimu ') mwaisoma cilimu, qoräni na wivu haikusilimu. "

1) Wissenschaft.

1) Sonnenuntergang. 2) besonderer Trommelschlag.

131

ao huimba :

„kigori kapewa mimba, upande mwana mwari upande. u x)

1) zu ergänzen kigori.

ao huimba :

kalalama *) he leo kalalama, >ni ngali2) mwari«

1) schreien. 2) noch.

ao huimba :

„nache nitwae mimi ') nache nitwae mimi kutwaliwa ku uchungu.

1) Klage eines Mannes, der Ehebruch begangen und von seiner Frau hört, daß sie dasselbe getan.

ao huimba:

„si kwetu si kwetu, Mkwaja1) si kwetu, kula ngano yako, nile chachu yetu." 2)

1) Ort. 2) ein Mädchen weist ihren Bewerber ab.

ao huimba :

„Bori1) kaponzwa -) na kalima3), macheche 4) ya moto mzinga u nyuma, Bori kaponzwa ni kalima/'

1) Mann aus Saadani, der in Folge seiner bösen Redereien über andere ermordet wurde. 2) in Gefahr geraten. 3) Worte. 4) Funken.

ao huimba:

„kaudundu x) unga kaubwi."2)

■'■'■■-\ 1) dunda = twanga. 2) bwia = ramba.

9*

132

ao huimba:

„wa1) eisha wa cisha, mshuko wa 'isha, radi ya kungwile -) yamhangaisha. " 8)

1) mshuko. 2) kungwi lake. 3) in Unruhe versetzen. ao huimba:

„Mwanakere kukataa, nyorryo *) uzia we, Mparango kaitia moto mrima we."

1) Busen, hier Frau gemeint.

na mchezo wao hucheza waanawake wawili wawili pamoja, wakesba wale, huja wengine wawili. nao hucho- beana, ma'ana hupeana chambi, huzunguka mduwara.

marra nyingine hualika mpiga zumari , nao humpa mapesa, ao huwapigia burre, lakini ngoma hapana.

ngonia ya nidnrengc.

kuchezwa kwake cbapuo mbili na vumi moja na upatu na mpiga zumari. nao hucheza watu wawili wawili mwanamke na mwanamume, hushikana mabega, wakazunguka katika uwanja. na mpiga zumari huimba mwimbo :

„mwandani *) wa somo 2) ananipenda, >pesa moja twaa« ananipenda »pesa mbili twaa< ananipenda." 1) Geliebte. 2) Freundin, ao huimba:

„ukizinga1), ukipata mwenyi babu -) sina shakka."

I) zini. 2) ein Kind, ao huimba:

„wawili wawili J) utawatendani,

moja Mwavi moja Shangani?

tuutie moto upande wa pwani.'

1) waanawake zu ergänzen.

133

ngoma ya bondogea.

asili yake ni ngoma ya wazalia. nayo huchezwa hatta sasa Unguja na mrima. na mpigo wake ckapuo na vumi na upatu na zumari , na waanawake kushika mbiu mikononi. na waanaume hushika panga ao fimbo. na kucheza kwake hucheza duwara. lakini marra moja hutoka mtu moja, akaingia kati ya uwanja kucheza. akiondoka, huja wa pili. waanawake hawachezi. wen- gine hupiga mbiu , wengine hutazama tu. na mpiga zumari huimba mwimbo :

„Nasoro naye namtafuta, kanibie pesa langu la mafuta/' ao huimba:

„iyö, kachupa kavunja chupa."

ngoma ya sopai.

ma'ana ya sopai walipokuja mapolisi1) ya ki- hindi Unguja, wakafanyiza ngoma ya sopai. na mpigo wake sopai chapuo mbili na dogori moja na upatu na mpiga zumari. na kucheza kwake waanawaume hushika fimbo, na waanawake wengine hushika fimbo. na waa- naume, wanapocheza, hupania -) nguo. na mchezo wao hutazamana usoni mke na mume. nao hucheza kwa shingo, huzunguka duwara. na mwimbo wao : „sopai amelala nje sopai amelala nje kwa kukosa mke." ao huimba : .

„kanitwalia shoga langu we leo Mazengo." x)

1) Name.

1) vom engl, police. 2) hochschürzen.

134

ao huimba :

„nalikwambia usende kwa Mtambalika x), una nini bata ? una nini bata?"

1) Name eines Mannes.

ao huimba :

„khabari ya Zinjibari kuna mbu na usubi, masopai wamepigwa na wachezao kinubi." ao huimba:

„hapana ugonjwa mbaya, buba na upele, ajapokuwa mkweo, mkono u mbele."

ngoma ya msanja.

ngoma yake hupigwa uwanjani ao katika nyumba, haina zumari. huwekwa dog_ori moja na upatu na chapuo. na waanawake hushika mbiu. huzunguka wote waanaume na waanawake duwara uwanjani. na mghani1) husimama kati, huimba nyimbo:

„Salimu wajivuna, kama mtoto wa bwana." wale waanawake huitikia :

„he walläh" ao „he nana."1)

1) des Reimes wegen, ohne Bedeutung.

mghani huimba tenna :

„tashona kanzu yangu ya marefu na mapana, tezama uwembamba wake, kama mnara wa bwana1), nguo mbili, bwana, sabuni ya kuombea."

1) Leuchtturm des Sultans.

1) Vorsänger.

135

ao huimba: „mwendo wa Mushti1) Mäthiyu*) watu wanautama'ni, khassa avae makoti, akimbilie bandani, khassa atwae tambuu, aitafune kinywani, khassa nguo za hariri, kwake hazina thamani, kicheko chamwenye mwanya, mwenye pengo achekani?" 3)

1) vom engl, mister. 2) Matthews, ein Engländer, der lange Jahre General der Truppen der Sultane von Zanzibar war. 3) anacheka nini.

ao huimba : „njia ya rigambo l), njia ya ngambo, naipitia utumwa, nikenda chooni, birika rubele na nyuma, sikutaki wewe, nataka mwenyi watumwa. " 2)

1) Negerviertel Zanzibars. 2) Klage einer Frau, die einen armen Mann hat, aber gern einen mit vielen Sklaven haben möchte.

ao huimba :

„qitimiri *) tiba 2} kina mazoea, fundi wa mahaba ni yupi? nambia. fundi wa mahaba ni moyo kupenda."

1) ein pepo. 2) mein Gewährsmann gab mir an, daß qitimiri tiba bedeute „Liebe, mein Liebling."

ao huimba:

„nina masäibu1), nami nayaona, naona harubu 2), moyo raha s) sina, bana nimetubu4), sitatenda tenna."

1) Schlechtigkeiten. 2) Krieg, Streit. - 3) Ruhe. 4) be- reuen.

ao huimba:

;;bana wanipenda, t wende zetu Makka, twende tnkazuru *), turudi haraka2). umeniqasiri 3), nimeqasirika."

1) beten. 2) Eile. 3) weil du es abgelehnt hast.

136

ngoma ya dandaro.

huchezwa uwanjani. na ngoma yake dogori moja na upatu na chapuo na mpiga zumari. na machezo yake waanawake na waanaume. waanawake huvaa mbugi miguuni, na waanaume hushika bakora. na ku- ckeza kwao huzunguka na kupiga mguu mmoja mmoja chini. na nyimbo zao hupokeana, sogora wao huimba, na atakayo yoyote huimba. na nyimbo zao ni bizo :

„kutoka natoka kwako, kurudi naona shemu1), nitapita njia gani, katta nitokee kwenu? sitamwacha ubwa 2) wangu, mwenyi mali kemkemu."8)

1) Scham. 2) Liebling. 3) viel.

ao huimba : „mbaramwezi *) rawarawa2) tupakie Wabarawa, teremkia bondeni, maua yamechanua, usinione mdogo, naweza kukucbukua."

1) Mondschein, hier menses gemeint. 2) lawa = toka.

ao huimba : „nime'asi kwetu, sababu nakuja kwako, sikutaki wewe, nataka mwenyi majoho." ao huimba: „Somangara1), wenzio wanakusema, Somangara kachukua mabuyu, kwenda kugema, na uche, dandaro naona shemu."

1) Name eines Mzegeju.

ao huimba: „bwana kanunua ndege l), mlio wa kakatua 2), utumwa wa bwana Sefn mpaka jua kutua."

1) eine Frau. 2) ein Vogel.

137

ngoma ya kasangwa.

machezo yake hupigwa ngoma nne , cbapuo mbili na dogori la tatu na mrungura moja, na, tenna zumari na upatu. nayo kuchezwa kwake hujipanga watu mdu- wara, wa amma waanawake upande wao mbali na waa--' naume upande wao mbali. na mchezo wao ni kuchupa- chupa. hutoka mmuja, akampa chambi mwenziwe, kisha burudi, huja wengine kufanya vilevile. na mwimbo wao:

„kitanda cka msichana *) hakina mkeka, kweli we sorehsaa—

kitanda cha msichana hakina mkeka."

1) junges Mädchen. 2) du bist doch so eitel.

ngoma ya mbenda.

mpigo wake dogori tatu, hupigwa na mtu moja, na chapuo ya nne na upatu wa tano na zumari ya sitta. na mchezo wake huchezwa na waanaume tu. nao huvaa mavazi ya kike , vitambi buraa, na kaya za dismali , na vyombo vya fedda mikononi. na mchezo wao hucheza kwa shingo. nao huimba nyimbo:

„la Mlali1) joka kuu la Mlali, fungeni milango, mzuie wana wari. kazi imekwisha, gobore2) keba mtali."

1) Ort. 2) vergl. folgendes Kapitel „ngoma za sasa."

ngoma ya goma.

mpigo wake chapuo mbili na mpiga zumari. na mchezo wake waanaume pekeyao, waanawake hutezama

138 -

tu. nao hucheza kwa bakora. mpiga zumari hutoa mwimbo, nao huitikia pamoja.

huimba: .m^o

kafungwa na ukole 2) kisekeseke."

1) Vogel , gemeint eine Frau die sich gern herumtreibt. 2) Strick.

ao huimba:

„Mbarangashi *) simama dede 2) ähe sina mwana, tambeba nani?"

1) Name eines Kindes. 2) aufrecht.

nao huzunguka duwara. na marra nyingi husomea kwa umoja , husema : „sökole sökole" *) na wengine huitikia: „iyöo."

1) wir sind müde.

ngoma ya sasa.

ngoma ya banji.

banji watu hufanyiza chama mashindano vikao vi- wili. kikao kimoja huitwa ,.goboreni," cha pili huitwa „seneda." mchezo wao hujenga banda. na banda lake hununuliwa jora za merikani, likashonwa tanga, kina- kwitwa chendarua. husimamisha kwa miti. na kati ya hicho chendarua hutia bendera. wakesha lifunga hilo banda, huweka viti. wakaalikwa waanawake na waanaume. kualikwa kwake hupigwa mrungura killa

139

nyumba, huambiwa „leo banji." nao huwa na mkuu wao na waziri wao mmoja na kijumbe. na waanawake vilevile hutawallishwa l) mkuu mwanamke na waziri na kijumbe. na kutawallishwa kwake hao mawaziri na wakuu, hutoa fedda. na inapotoka kiyo fedda, hupigwa banji. wakenda wanaotaka kutawalli -) na watu wote wanachama na watu wengine, hutolewa ile fedda. hu- simama mtu juu ya kiti, na yule anayetaka kutawalli, hukaa juu ya kiti. yule aliyosimama, husema : „muungu amtawalli mkuu." na watu wote huitikia: „äye." na yule aliyesimama juu ya kiti husema: „amekuja fulani kwetu, anataka machezo, naye ameleta fedda kaza wa kaza, anatawalli ukuu, mnamtaka?" na watu wote huitikia: „tunamtaka." akesha tawalli, hupewa jina ya kwamba: „huyu ni mkuu fulani jina lake." akisha tawallishwa hu- tiwa juu 3'a kiti, watu hushika kile kiti, wakakinya- nyua juu na yeye pamoja, humzungusha katika lile banda la banji. waanawake hupiga kigelegele, hupigwa na mrungura nyuma yake. na ile fedda hugawiwa wanachama na wakuu na mawaziri, waliomtangulia yule, aliyotawalli leo. tenna hupigwa banji , ikiwa usiku kucha ao saca tatu ao nne.

na machezo hayo hupata siku, wakenda viungani, wakapika karamu, hualika watu wa mji na wenyewe. huenenda hushinda kutwa kiungani, hula vyakula na kucheza, hatta jioni hureje'a mjini na shangwe.

na mchezo wao waanawake wengine hukaa juu ya viti wale wakuu na mawaziri na wakuu waanaume, na wanachama kucheza. na kucheza kwao hupangana waanawake na waanaume , huzunguka duwara, huimba na nyimbo :

1) in ein Amt einsetzen. 2) ein Amt antreten.

140

„msafiri we, naomba saläma, mfa maji we, hachi kulalama." ao huimba:

„mwambie mama, nakuta mashakka, rnwambie mama, nakuta mäshakka. tumewadanganya nyabwa *), tumewadanganya nyabwa."

1) Hund.

ao huimba:

„mchagua jembe, wala si mkulima, nachezea khiyari, banji si utumwa."

ao huimba:

tumekula ngombe sabac u thelatha mia1) simtaki huyu Matende 2) kumshuhudia.

1) sagt die eine Partei. 2) Name.

ao huimba:

„njoo bwana, njoo, bwana wangu, unipoze moyo." ao huimba :

nipe mbili nende. nipe mbili nende, kama hukunipa, sileti mshindo wa bwende. ao huimba:

„huyu binti Simba meno kama ngwe '), kazi yake zina*) na kulala nje. Maguru Kutimba inzi kawawinge."

1) Flußpferd. 2) Ehebruch.

ao huimba:

„safinati nuhu J) tutainunua,

1) Name eines Schiffes.

141

tutawapakia, maseneda *) wawe baharia, wakavute kamba, na kutupikia."

1) Name. 2) lockern.

ao huimba:

„msambe1) msambe watoto 2) nimewadanganya.

1) glaubt nicht. 2) die Leute der eigenen Partei.

ao huimba :

„wambiwa wazinga1) kukai kitako, nakwambia kweli, mwenzangu, tunza moyo wako, ukae kitako, lataka2) kwambiwa Ksilo nathari." 3)

1) die seneda-Leute.

ao huimba:

„kanitende kanitende, kanibia kipande changu, panya kanitende." ao huimba:

„njaa mbaya, njaa mbaya, Manga *) kavaa jambia limempwaya." 2)

1) ehebrechen. 2) auf shoga Freundin bezüglich. 3) Verstand.

ao huimba: „nataka kwimba, kijana, niimbe na nani?" J) „takwimba na wewe kibibi, uliye nyumbani." *) „kwanza una ckongo3) na kibiongo4),

1) sagt ein junges Mädchen. 2) sagt ein Mann. 3) Ant- wort des Mädchens: du bist einäugig. 4) Buckel.

142

pili una tende l) na käsende." s) gobo3) lache lende."4).

1) Elephantiasis. 2) Syphilis. 3) goboreni - Mann. 4) laß sie in Ruh.

ao huimba:

„anguruma kama simba kana mama ähe ukasliindwa bassi." ao huimba:

1. „usinitie wasiwasi,

kama hunitaki bassi, songa1), songa, songa unipe nafasi*).

2. unyumba wa makelele siutaki, nenda mbele, songa, songa,

songa unipe nafasi."

1) gehe. 2) laß mich allein.

desturi ya wavikao likaingia neno katika mji, lililo geni, ao mtu amefanya neno la caibu '), naye mki- kao, humwimba katika machezo caibu aliyoifanyiza.

na ngoma ya goboreni na seneda ndio inayo- chezwa sasa killa siku. pakiwa na hearusi ao kwa furaha tu. na zile ngoma za zamani hazichezwi mno, illa hu- tokea siku moja, wakitaka ngoma ya chando, ao ngoma ya kiumbizi, ao waanawake wakitaka kidatu, ao waki- taka sopai, ao vijana wana Farusi ao furaha tu, waki- taka ngoma ya goma huchezwa namna ya zamani. lakini hizi ngoma nyingine za zamani tulizozitaja zote hazichezwi sana.

na Wamanyema sasa wanacheza killa siku ngoma

1) Schande.

143

zao katika mrima, na Wasuaheli kuenda kutazama. na mchezo wao huwekwa dogori, likapigwa pasipo upatu wala zumari. na mchezo wao hucheza waanawake na waanaume. nao hutikitiza vyuno, huimba na nyimbo: „Lubangula1) usimwite bwana." huitikia:

„kahonga maboga." -') songora :

„ukamwita bwana, kichwa kitamvimba. " huitikia :

„kahonga maboga."

1) Name einer Frau. 2) sie hat ihm nur Gemüse gekocht.

khabari ya pepo1).

Wasuaheli wameshiriki 2) pepo waanaume na wa- anawake. mwanamke akiwa na homa siku tatu kujitia pepo kutaka kupungwa, kkassa 3) akijua mwanamume ana kitu. killa siku ugonjwa unazidi, kitandani haondoki. na wazee wake yule mwanamke, wakimwona mtoto wao mgonjwa, kumwambia: ,.mkeo pepo wa bibi4) yake amemrithi5), ndiye anayemwuguza. sababu alipokuwa mdogo , tulimpandiska kichwani bibi yake pepo wake, tukasema naye „mlee huyu mtoto hatta akikua, akipata mume, tutakupa chano6) cliako. na sasa bibi yake amekufa, pepo anataka chano chake, amemshika mju- kuwe." 7) na ynle mume kama hakuyashika maneno ya wakwewe, wote watamteta, husema: „mwanamume huyu ana choyo." 8) humpa jina la fumbo 9) „chuma hamegwa." na iwapo amequbali ,0) maneno yao, ya kama kweli mke wangu ana pepo, sasa nataka kumpunga, wazee wake watafurahi sana, watasema: „mtoto wetu amepata mume ampendaye/' na mwanamke ataqubali, mume wangu ananipenda. marra atamwita mganga, atazamie ubao ' x) „nini kinamwuguza mke wangu?" atajibu: „hana kitu illa pepo bassi." atajibu mume : „nataka umfanyie dawa."

1) böse Geister. - 2) Teil haben 3) besonders. 4) Groß- mutter. — 5) erben. 6) Mulde mit Geschenken für den bösen Geist. 7) mjukuu wake. 8) Geiz. 9) versteckter Name, Spitzname. 10) einwilligen. 11) auf dem Zauberbrett nach-

145 -

mganga atajibu : „kwanza tuinfunulie nyungu1), tum- tezame liali yake." na hiyo nyungu namna mbili, kuna nyungu ya mawe na nyungu ya mvuke 2).

nyungu ya mawe huokotwa vidurazi 3), ni madongo makubwa makubwa, huchimbwa juu ya hivo vilima vya vidurazi. huleta mawe saba\ wakafanya moto. na yale mawe huungua. tenna hujenga banda la jamvi. akaja yule mgonjwa, hukaa juu ya kiti, likackimbwa shimo. kisha huja mtungi wa maji, akafunikwa uso, yakazimwa yale mawe na maji ndani ya shimo, moshi wake hum- pata yule mgonjwa, hutoka na jasho. nyungu ya mawe.

na nyungu ya mvuke huchuma majani ya mvuke, yakapikwa katika mtungi hatta yakawiva. moshi wake huinamia yule mgonjwa, akatokwa na jasho. na maji mengine ya ule mvuke humpaka maungo mazima. hii ndio nyungu ya mvuke.

mudda wa siku sabac killä siku jua linapotua hatta jua kutua hufanya nyungu, hukaa saca moja ndani ya ile nyungu. na yule mwanamke hufurahi nyungu inapo- kwisha, sababu qaribu atapungwa4). ikesha nyungu, hufanya mashauri ya kumpunga, humwambia yule mganga: „kuyu ndiye mteja5) wako, wapashe khabari wateja wako, twataka kufanya ngoma.* mume huenda dukani kununua mavazi ya pepo bendera 6), kaniki 7), bafta8).^ hushonwa na suruali9) moja bafta na bendera| marra litajengwa banda, ikiwa shamba ao mjini. jina lake banda hilo kilinge.

jioni mwanamke yule hupelekwa kilingeni , napo kilingeni kupambwa chano. katika chano hutiwa ndizi,

1) jd. den Topf aufdecken d. h. jd. mit Dampf behandeln. 2) Baum. - 3) Termitenhügel. - 4) punga den pepo austreiben. 5) Klient. - 6) rotes Tuch. 7) dunkelblauer Baumwollstoff. - 8) weißes Baumwollzeug. 9) Hose.

Veiten, Deaturi za WasuaLeli. JQ

146

sukari, mua, mayayi mabichi, mkate, na kulla kitu clia tama. mwanzo wa ceisha ') kurembwa -) uso yule mwenyi pepo, humtona madoa madoa meusi na meupe na mekundu. marra huanza mwimbo wa kumcbucbia 3) yule pepo, apande juu ya kicbwa. na watu wanapiga ngoma. na mwimbo wao wa kumcbucbia: „naomba rabbi ')

he rabbi

nifungua zangu pingu2)

he rabbi."

1) mein Gott. 2) Fessel.

na watu huitikia, huimba labda mudda wa saca nzima. akipanda pepo, kujitingisha4) maungo mazima. marra yule mganga hutaranya, maana busema na yule pepo. na maneno bayo bajui mtu, illa yule mganga na mwele&) wake. fundi') ataamru ngoma kupigwa sana. pepo marra atasimama kucbeza. na watu wote waliwo wanacbama7) wanacheza, na mshindo wa ngoma uka- wapata, wengine wanaanguka kilingeni, wakenda ma- jumbani kwao wagonjwa, wanataka kupungwa nao.

na mtu endaye kilingeni, adabu yake panapo ki- linge , akiwa mganga ao mtu ma'arufu 8) katika mji amekwenda kilingeni kutezama ngoma, hupewa mchele kikombeni kumwaga katika kilinge, maeana ni heskma9) ya yule mganga, kama mfano wa kuamkiana. na kofia buvua, tenna hupewa kiti kukaa kitako.

na mudda wake hiyo ngoma siku sabae. usiku na mchana kucheza. na yule pepo anapokuwa hodari10) kucheza, hupata tunza n) kwa watu, lakini tunza hizo si zake, mwenyewe mganga na wapiga ngoma na zumari.

1) Abendgebet. 2) bemalen. 3) locken. 4) sieb schütteln. 5) Kranke. 6) cl. b. der mganga 7) die früher von dem mganga bebandelt wurden. 8) angesehen. 9) Höflichkeit, Achtung. 10) tüchtig. 11) Geschenke.

- 147 -

sababu killa ajaye kutezama ngoma, bucbukua mapesa, si läzima kuchukua mapesa , illa mtu atakaye. killa ukapigwa msbindo wa ngoma, pepo akacbeza, watu bumweka mapesa juu ya kicbwa.

hatta siku ya sitta ndio siku ya kutaja jina lake la yule pepo, ndio siku ya fecleha1) kujulikana yeye pepo ao si pepo. ma'ana butaja jina la kijini 2), bapana mtu alijuaye. akisba taja, watu bufurabi sana.

siku ya sabac ndio ya kukomoa 3). bucbinshwa mbuzi pwani, bukusanyika na pepo wote kunywa damu ya yule mbuzi. na asiyokunywa damu biyo bana pepo. na wasiwo pepo kicbwani, wakiona wenzao wanakunywa damu, wote pepo huwapanda kicbwani. wakesba ku- nywa damu, pepo atabebwa, apelekwe nyumbani kwake, amekuwa mzima.

nao waanawake wa kisuabeli na wengine wa waananme wanasadiqi 4), ya kama kweli pepo yuko. mtu akiwa na pepo, läzima kupungwa. na mwanamke akiwa mgonjwa, bumwambia mumewe „nipunge." asi- pompunga magomvi bayesbi nyumbani, na kulla siku kukonda. na waanaume wanajipunga wenyewe, wanapokuwa na pepo. wengine wanafanya upuuzi.

zamani moja naliugua mbavu na maungo yote. aka-

alikwa mganga kunifanyia dawa. akaniletea mivuke

ya dungumaro siku sabac, kesba akawambia wazee

wangu ya kama: „Mtoro amepatikana na dungumaro.

sasa msimpe rukbsa kula nyama ya kondoo, wala nya-

ma iliyokaangwa na vitunguu." wazee wangu wakaya-

sadiqi maneno yale. siku moja amesema: „sasa bali

yake njema, lakini tumpunge, pepo apate kumtuliza."

maneno yale ya mganga wakayaqirri wazee wangu.

mw'allimu wangu aliposikia maneno yale ya kutaka

kupungwa, akanikataza, akanambia: „wewe buna baya?

1) Enthüllung. 2) Geistername. 3) befreien. 4) glauben.

10*

148

utacheza katika uwanja, watu wote wakuone?"' nikata- khayyari1) kwa maneno yake, nikawajibu wazee ya kama: „mimi sitaki kupungwa." mama yangu akafanya kliofu ya kukataa kupungwa. na yule mganga alipo- sikia, akanipigia marufuqu 2) kondoo nisile, akasema : „iwapo atakula kondoo Mtoro ataknfa."

siku moja mw'allimu wangu amealikwa karamu na mimi pamoja. na yule Mwearabu alicliinslia kondoo. mw'allimu akanambia : „hiinyamaya kondoo utakula?" nikamjibu „sijui." akanambia „tawakkali3) muungu, ha- kuna pepo, upuuzi." nikala nyama ya kondoo. nili- pofika nyumbani , nikamwambia mama : „leo nimeknla kondoo." moyo wake akasituka sana, akanambia: ;;sababu umekula kondoo, kutaki roho yako?" bassi nikakaa yapata siku tano ao sitta sikuumwa na kicliwa wala mguu, na hatta leo nipo hapo Berlin.

1) das Gute wählen. 2) verbieten. 3) vertrauen. "

ngoma za pepo.

pepo wa kinyamkera.

na katika namna za pepo namna nyingi. pepo wa kwanza kinyamkera, ndiye mkubwa wa pepo wote. na asili *) yake pepo wa kislienzi. wanasadiqi 2) bukaa juu ya vilima. na anapomjia mtu, kwanza kuwa mgonjwa, huwa na kickwab), ao huwa na maeko, ao kuwa na tumbo. naye kupewa dawa za kichwa ao za macko ao za tumbo. zisipomfa'a dawa kizo, hupewa dawa za kinyamkera, ma'ana mafasho ya kinyamkera. na hayo mafuskö ni majani ya mti yaliyokauka makavu. na kulla pepo ana mafusko namna yake, lakini asili yake yote ni majani. nayo kutiwa katika kigaye 4) na moto, ku- fukizwa yule mgonjwa, moski wake humwingia katika maungo ya yule mgonjwa. kayo ndiyo mafusho. aki- pona, ndipo anapojulikana, ya kwamba kuyu alipatikana na pepo wa kinyamkera.

akisha pona, yule mume humwambia yule mganga ya kama: „mskike skikio mwele 5) wako, tuckume nguvu, mwakani tutampunga."' 6) na yule mganga hu- sema naye yule pepo, kumpa mudda katta mwakani.

kbabari ya kupungwa kwake kinyamkera: mganga anapotaka kupunga, kuwalika wateja 7) wake waanawake,

1) Ursprung. 2) glauben. 3) d. h. Kopfschmerzen. 4) Scherben. 5) Kranke. 6) pepo austreiben. 7) die früher wegen pepo in Behandlung waren.

v -

150

hualika na wapiga ngoma ya kama: „siku fulani nna- punga paliali fulani, ckukueni ngoma."

na hao wateja ni waanawake, waliwokuwa na pepo zamani, wamefanyiwa dawa, pepo wametoka juu ya kicliwa. lakini wanapokwenda kilingeni, ikapigwa ngoma, pepo huwapanda kickwani. ao akiwa nyumbani mwake, naye amtaka pepo wake aje, hnjifukiza mafusko, ku- panda juu ya kickwa, akiwa na neno husema yule pepo, na watu waliopo kusikia. anapomtoka yule pepo, watu kumwambia „pepo wako amekuja leo, amesema jinsi1) kaza wa kaza" 2), sababu mwenyewe hajui.

na kuyu murae kununua cada3) za kinyamkera ndizi na mua na mayayi. hatta usiku kupelekwa yule mwanamke skamba, na wale wapiga ngoma wamekuwa tayyari. na ngoma za madogori ya kinyamkera sabac, ma'ana virungura vitatu, kuwekwa pakali pa- moja, kupigwa kwa fito nyembamba, na apigaye mtu mmoja. na ngoma ya nne ni dogori kubwa, na ya tano upatu, na ya sitta cbäpuo na ya sabac ckapuo, ma'ana ckapuo ni ngoma ya kubinda1). na wale wapiga wa- kiwa tayyari, na kuyu mwenyi pepo kwanza kunyolewa kickwa, tenna kupakwa masizi5) kickwani, na uso wake burembwa 6) kwa ngeu 7) na jasi 8) na masizi, kurembwa matone matone uso wote. /"»■»

na kapo panapo ngoma kizo, kuwekwa gogo la mti, kuckomwa moto, likawaka usiku kucba. na ikiwa mckana, gogo hilo huwapo vilevile, ma'ana yake ule moto ku- kaangiwa zile ngoma. ma'ana killa saca moja hupigwa mskindo 9) moja, tenna kukaangwa zile ngoma, ma'ana zimelegea, na wapiga ngoma wakiziqaribiska zile ngoma

1) Art. 2) soundso. 3) Geschenk. 4) mit zwei Trommelfellen. 5) Asche, Ruß. 6) bemalen. 7) rote Farbe. 8) weiße Farbe. 9) derselbe Trommelschlag.

151

panapo moto, huzidi kukazana. na zikapigwa, sauti1) yake husikiwa mbali.

tenna hucheza yule mgonjwa na watu wengine kwa mudda2) waliwopeana, ikiwa siku tatu ao saba'. naye mganga kuimba katika nyimbo zake : „mwari1) we, turatwange kitututu." 2)

1) mwenyi pepo gemeint. 2) wir wollen dir tututu auf den Trommeln schlagen.

nao watu huitikia vilevile. na kulla saea hupigwa rnskindo wa namna nyingine, hugeuza na nyimbo nyi- ngine, kama mfano wa mwimbo huu : „kinyanihunga x) baye gwe-) kinyamhunga."

1) kizaramu-Name für kinyamkera; auch die folgenden Worte sind kizaramu. 2) keiner wie du (d. h. der mich krank gemacht hat), hatta magodori yanapokwisha, wakitaka kukomoa3) , hufanyiza vikate saba' vya mtama na vikate sitta vya majivu na vipande vya mua na mayaji' na kuku mdogo na bisi ya mtama. tenna yule mgonjwa hushika ki- tunga kichwani kitupu, akenda mbio, hatta kunako komoo 4) yake chini ya mbuyu. na watu humfuata, mganga na watu wengine, na vile vitu kuvichukua. akifika huanguka, hupiga kelele. mganga humshika ki- fua mwele wake, tenna mganga huimba mwimbo wa komoo:

„sengwa1) lawa." 2) 1) Name für kinyamkera. 2) toka. na wale watu huitikia:

„sengwa lawa, 6 lawa, 6 na lawe 6." 1 ) Klang. 2) Zeitraum 3) hefreien. 4) Befreiung.

152

naye mgonjwa kupiga kelele kwa sauti kubwa, anapo- taka kutoka yule pepo. akiska komoka yule pepo, yule kuku huchinshwa, na vile vikate vya mtama na vikate vya majivu huwekwa panapo njia panda1). na ile bisi humwagwa kidogo panapo njia panda, husema: „liiki ndicho chakula chao vinyamkera."

khalafu yule mgonjwa humpeleka nyambani. hatta as-subuhi huoga maungo yake na uso wake, na yule mganga hupewa ujira 2) wake qadiri 3) ya riale ao riale u nussu, na wapiga ngoma hupewa wote pamoja riale.

pepo wa kilima.

na pepo wa pili jina lake kilima, ma'ana ya kwitwa kilima wanasema anatoka Kilimanjaro.

ikionekana mtu, amepatikana na pepo, nao hawajui pepo aliyo naye, hupewa dawa za kulla pepo. ile dawa inayomtibu 4), ndiyo wanayosadiqi pepo' aliye naye.

na mgonjwa akijulikana, ya kama ana pepo wa ki- lima, hupatana na mganga kutaka kuinpunga. na mganga hualika waganga wenziwe na wapiga ngoma na mpiga zumari. tenna hujengwa banda la kilinge. na hilo banda hutandikwa majamvi chini, tenna huletwa kitanda cha kukalia wapiga ngoma. na ngoma huletwa chapuo mbili, moja ya kudunda5) na moja ya kugeu- kiza6), tenna na vumo moja, na upatu moja hutiwa juu ya chano, ma'ana ndipo unapokuwa na sauti kubwa. na mpiga zumari husimama juu ya sanduqu 7) ao juu ya kinu.

wakiwa tayyari, huletwa mgonjwa. akifika, hufu- kizwa na mafusho, tenna yule mganga huimba mwimbo kumpandisha pepo kichwani :

1) Kreuzweg. 2) Lohn. 3) ungefähr. 4) heilen, wirken. 5) auf einer Seite zu schlagen. G) auf zwei Seiten zu schlagen. 7) Kiste.

153

,mtitimo mtitimo *)] mtitimo oya he, kilimanjaro ajapo aja na mtitimo."

1) von tetema, weil der pepo Zittern und Schüttelfrost mit sich Dringt.

ao huimba:

„kiserere 1). mguvu akija 'mnyonge hondoka ugeuke rumbi2) mwenda polepole, hamjamba3) he?"

1) Name für pepo. 2) Schlange. 3) amba sagen.

ao huimba :

„nimechoka kutwangia ndugu, nipeni mchele niombe muungu."

na wateja husliika mbugi l) mikononi , huitikia mwimbo, alioimba mganga. na yule mpiga zumari vi- levile hufuata mwimbo katika zumari yake.

na mgonjwa anapojiwa na pepo kickwani, kufungwa kileso kifuani, huckeza. na wateja wengine wakijiwa, hufungwa nao vileso. na wanapockeza, mikononi hu- sbika usinga 2) na rungu 3) mkononi. na ile rungu ime- tiwa njumu4) juu ya kichwa, ndio uzuri wa wale pepo wanapockeza. tenna kufungwa mbugi miguuni, na wa- kicheza kulia zile mbugi.

namna kii ndivo wanavocheza wenyi pepo siku tano. siku ya sitta ndio siku ya kutaja jina. nayo mganga humwambia mume ya kama : „mkeo leo anataja jina pepo wake, tunataka eada zetu. " butoa riale kumpa mganga. bufanyizwa na mkate wa kumimina5), ku-

1) Schelle. 2) Pferde- oder Ochsenschwanz. 3) Knüttel. 4) kleine Messingknöpfe. 5) aus mchele, sukari, samli, iliki, kungumanga, mdalasini.

1 1 '. 0

JtwtWjJte- ÖN^*^ 'ty*

- 154 -

pambwa tenna kile chano na ndizi, na vipande vya miwa, na mayayi, na sukari. kikesha pambwa chano, yule pepo hupigwa kilemba cha bafta na bendera. na hicho kilemba hawa na pembe mbili, ni 'alama1) ya kilemba cha sketani2). ba'ada yake ile riale iliyotoka ya cada ya mganga, mganga humwamrisha kijumbe kuwajulisba Watu ya kwamba: „fulani ametoa cada riale mkewe kutaja jina leo." akisha sema maneno yale kijumbe, watu hupiga kigelegele0) cha furaha, tenna hupigwa ngoma wakacheza wote wateja. khalafu hukaa kitako juu ya viti, ndipo anapoulizwa yule pepo jina lake, na anakotoka ya kama: „mimi fulani bin fulani" kwa maneno ya kipepo. na kilima alichotoka hutaja. watu wote hufurahi, anapotaja jina. na asipotaja jina, hulishwa panjo, ma'ana huchanshwa ulimi kidogo, aka- pewa dawa jina lake panjo. tenna hutaja jina lake pepo. na asipotaja sasa pepo, watu husema: „fulani hana pepo, sababu hakutaja jina."

hupiga tenna ngoma siku ile ya sitta mchana na usiku. hatta siku ya sabac jioni huenda pwani kwenda kunywa mbuzi. wakifika, marra mbuzi huchinshwa, ki- kaletwa chano kukingwa4) damu ya mbuzi. tenna wale pepo hunywa ile damu, lakini kwanza hunywa yule mwenyi ngoma yake. naye yule pepo, akichinshwa yule mbuzi, hawezi kungoja hatta damu kukingwa katika chano, marra huanguka juu ya shingo ya mbuzi ku- nywa ile damu. na watu wakiona hivo, hufurahi sana, ndipo wanaposadiqi, kwamba ana pepo.

wakesha kunywa damu, mbuzi huchukua mganga, hugawana na wapiga ngoma na wapiga zumari. na mkate na vitu vingine vya chano hugawana mganga na

1) Zeichen. 2) Teufel. 3) Freudengeschrei. 4) auf- fangen.

155 -

wapiga ngoma na mpiga zumari na wateja waliwo ki- lingeni, ma'ana ni eada.

tenna hukaa pale kilingeni usiku kucha, hatta as- subuhi mgonjwa hupelekwa kwake. tenna mganga hu- pewa baqqi yake kama walivopatana.

l)epo wa dnngumaro.

ikionekana mtu ana pepo wa clungumaro kupungwa. na kupungwa kwake hujengwa banda, ikiwa mjini ao skamba, na hilo banda kufungwa majamvi juu na chini, na majamvi mengine butandikwa cbini. buwekwa na viti, tenna buwekwa na vitanda na kinu kimoja. vi- tancla vya kukalia wapiga ngoma, na kinu husimama mpiga zumari. na banda buzindikwa1) kwa dawa, ku- cbelea waganga wengine wasije kuliroga-) lile banda, wakaugua wateja waliomo.

tenna huanzwa kupiga ngoma. na hiyo ngoma cha- puo mbili, na dogori moja, na upatu. na zile cbapuo mpigo wake bulia „utumbo wa paka3)." na wanapoanza kucheza, mganga humchuehia 4) pepo, ma'ana kumwita aje kicbwani, na cbucbio zake ni nyimbo : „hache *) lolo 2)

milongo yabinda3) kaye4),

hache lolo

milongo yabinda kaye,

kutwaa mwana kumtambalisha 5),

uchungu wangu he,

hache lolo

milongo yabinda kaye."

1) acha. 2) Name für pepo. 3) siku zimekwisha. 4) Stadt. 5) krank machen.

1) Zauber legen. 2) bezaubern. 3) d. h. Trommelschlag als ob man sagt utümbo wa päka. 4) locken.

- 156

ao huimba :

„hache lolo, he lolo, hache lolo, he lolo, täte x) dungumalo keza2) mkilalu8) ashebukwa 4) na matindingala. a 5)

1) Vater. 2) iza kommen. 3) kumtezama. 4) ame- furahi. 5) Wasserblumen.

ao huimba:

„taileni x) tai 2) nyie 3), taileni waganga he, nipeni kishambo4) ckangu, nimwelekee 5) mwanangu. "

1) loben. 2) Lob. 3) ninyi. 4) ubeleko Tuch, in dem kleine Kinder getragen werden. 5) auf dem Rücken tragen.

ao huimba:

„wanimenya1), lelo wanimenya, simbamwene mazi 2) wanimenya, tatu8) tumtatule 4) tatu, sholozi 5) wanimenya, kwetu kuna bene 6) kulu 7) lya mgu s) simbamwene mazi wanimenya, täte9) kaya10) lya mgu."

1) Klagelied des pepo; menya schlagen. 2) Name, liier Schwur des Kranken. 3) Name. 4) wir wollen dem Kranken Beine geben, daß er gesund werde. 5) Name für pepo-Kranken. 6) Ziege. 7) groß. 8) wunderbar. 9) Vater. 10) Stadt.

na pepo akisha chuchiwa kwa nyimbo hizi, hu- panda kichwani, tenna hupigwa ngoma na zumari aka- cheza. na wateja wengine humsa'idia x) kucheza naye. nao hufungwa vileso vifuani, na miguuni mbugi, na

na

1) helfen.

157

usoni mwake amerembwa wanja 1). hucheza kama siku walizoagana. na kama hawana kitu, hucheza siku moja ao mbili, pasipo kutaja jina na kwenda pwani kunywa mbuzi. lakini hupewa cähadi 2) yule pepo ya kwamba : „usimwuguze kiti3) chako, mwakani tutakupa cada yako mbuzi, na mumewe apate uchumi, maeana ndiye ataka- yekupa mbuzi." tenna hukomolewa yule pepo, na mganga hupawa eada zake.

na iwapo pepo wa kunywa mbuzi, siku ya tano hu- fungwa bene, ma'ana hutwaliwa mkeka mpya, ukatiwa mtama kidogo ndani, kisha hufungwa ule mkeka, hu- wekwa nyuma ya mgongo wa yule mgonjwa, ndiwo mto4) wake wa kuchegamia5) hatta siku ya kutaja jina.

na siku ya sitta pepo akitaka kutaja jina, hutiwa maji katika chungu na dawa, yanakwitwa maji ya u- shombwe, huwekwa mbele ya mganga. tenna huja wale pepo mikono yao nyuma, hupiga magoti panapo lile jungu la ushombwe, tenna kunywa yale maji. tenna hupewa cada yake mganga riale, naye hujulisha watu ile riale ya kwamba: „hü riale ya jina imetoka." watu wote hushangilia. tenna hupigwa mshindo wa ngoma kupigwa kilemba. na kilemba chake bafta na bendera na kaniki, nacho huwa na pembe mbili vilevile. hatta siku ya saba' huenda pwäni kunywa damu ya mbuzi.

pepo wa kigala.

na pepo wa kigala tafauti6) yake si kubwa na pepo wa dungumalo, illa kigala hupigwa kwa matari7), hapana ngoma wala zumari. na kifuani hufungwa vile- vile kileso huyu mgonjwa na wateja. na mkononi hu-

1) das ist entweder Lampenruß oder schwarz gebrannter mchele gerieben, mit Sesamöl angefeuchtet und noch einmal auf dem Feuer geröstet. 2) versprechen. 3) d. h. der Kranke selbst. 4) Kissen. 5) anlehnen. 6) Unterschied. 7) kleine Handtrommel, Tamburin.

158

shika shoka ao mkuki na usinga yule mgonjwa. na ile skoka imetiwa njumu, na mkuki hufungwa udodi. naye pepo kuchuckiwa vilevile kwa nyimbo : „allähu müle1) wa maule1) akulaye nawe mle wa maule." 2)

1) mola. 2) wer dir Böses tut, dem tue wieder Böses.

ao huimba :

„yä maüläna 1), skela 2), maüläna ! kama u mganga 3) inama uokote pembe ya ngombe."

1) o unser Herr. 2) skei '11 'lläh nichts außer Gott. 3) zum pepo gesagt.

ao kuimba:

„njema njema ya mckana njema, nipeni kibao nikae kitako, njema njema ya mckana njema." hatta siku ya sitta hutaja jina vilevile , na siku ya sabac huenenda pwani kunywa damu ya mbuzi.

pepo wa sliamngombe.

kujnlikana kwake mtu ana pepo shamngombe , kujulikana ba'ada ya kufanyiziwa dawa ya shamngombe, akapona, ndipo anapojulikana kwa zile dawa zilizom- ponya. tenna yule mganga knmwambia; „wewe una pepo wa skamngombe, nyama ya ngombe usile." tenna watu hujua, akenda makali, kimefanyizwa ckakula kwa nyama ya ngombe kali, watu kujua, kama kuyu ana shamngombe. pepo wa dnngumaro bukatazwa nya- ma ya kondoo, pepo wa kinyamkera bukatazwa vya- kula vipya billa ya mavumba.

na kupungwa kwake pepo wa shamngombe hupungwa kama pepo tuliwowataja. mwanzo wake hupigwa na

159

ngoma, chapuo mbili na vumi moja na upatu na znmari,' vilevile kama ngoma ya dungumaro. watu husema dungumaro na shamngombe jama'a moja wanakotoka. na mgonjwa akickuchiwa, huiinba :

;;bwana Kisiki1) na bwana Manoru2) nimechoka kutwangia ndugu 3), nipeni mcliele, niombe muungu nimechoka kutwangia ndugu. "

1) und 2) der pepo shamngornbe gemeint. 3) für den Freund zu bitten.

mudda wa siku tano hutaja jina , siku ya sabae kupelekwa pwani kunywa mbuzi.

na mambo wafanyayo kama tuliyotangulia kuya- sema mbele.

pepo wa lewa.

pepo wa lewa kupungwa kwake kujengwa banda, hutandikwa majamvi juu na chini. tenna huzindikwa lile banda , na kuzindikwa kwake hufukizwa dawa lile banda kulla pembe hatta pembe nne zishe. na vilevile kama wakicbeza katika jumba, namo wamejenga banda, hnlizindika. killa ngoma ya pepo banda ao nyumba kwanza huzindikwa kwa dawa ya mafusho , ma'ana majani ya mti. na sababu ya kuzindikwa, wanachelea waganga wengine wa.sije kuliroga lile banda, wateja wakaugua. ma'ana waganga wengine, wakimwona mwen- zao anapunga, wao huwa na kijicho1), sababu atapata fedda.

na kuchezwa kwake huletwa ngoma tatu, moja chapuo ya „utümbo wa paka," na moja ya kugeukiza, na mrungura moja, na mpiga zumari.

na kuchezwa kwake huchezwa kwa iimbo. akijiwa

1) eifersüchtig sein.

160

mgonjwa, hufungwa nguo kiunoni, kuziwiwa nguo ali- zovaa zisimvuke. akapewa fiinbo yule mgonjwa, na mwanamme moja hushika fimbo, wakazunguka pamoja. khalafu hugongana kwa zile fimbo marra moja, waka- zunguka tenna kucheza. killa marra wanafanya kama hivo, ndio machezo yao. na mwanamume moja akichoka kucheza na yule pepo, huja mwanamume mwingine ao mwanamke kucheza naye.

na mwimbo wake mganga huimba:

1. hala hala1) mtelehi2)!

mbnzi yuno 8) ni mkulu 4) mno

hala hala mtelehi!

mkeza 5) kutinda 6) mwikeni 7) mwanangu

hala hala mtelehi!

2. hala hala mtelehi !

mkate uno &) ni mkulu mno hala hala mtelehi! mkeza kukata mwikeni mwanangu hala hala mtelehi ! "

1) allah allah, in der pepo-Sprache hala. 2) Name des Sohnes des pepo-Kranken. 3) huyu. 4) mkubwa. 5) mkija. 6) kuchinsha. 7) mpeni. 8) huu.

ao huimba :

;,nna lidia J), sija 2) künde haja 3) künde, msusi4) navuata5), nna ridia, sija künde."

1) nda Bauch. 2) sili ich esse nicht. 3) nikila. 4) mchuzi. 5) nakunywa.

asili ya mwimbo huu wa kizigua. ao huimba :

„Majuma* kaolewa tutafune mpunga wa lewa." nao hucheza siku tano ao sabac. na siku ya komoo

161

liupelekwa mgonjwa chini ya mti wakamkomoa. na komoo yake hupikwa kande ya rnubindi , na nazi hu- vunja, wakatafuna pamoja na mahindi wote waliopo. tenna mgonjwa kupelekwa nyumbani kwake. katika ngoma kii haina desturi ya kuckinshwa mbuzi.

pepo wa täri.

kupungwa kwake hupungwa kwa matäri bassi. na cbucbiwa zake hucbuckiwa kwa vipokeo vya maulidi, kama mfano wa pepo wa kigala :

allähu ya müle wa maule. u *) ao buimha:

;7yä maüläna shela ya maüläna. " l) na mgonjwa akicbeza , mkononi mwake hushika upanga, na mno butafuna tambuu2). na maji yake anayokunywa buandikiwa kombe kwa sahani3) nye- upe, na bilo kombe huandikwa na za'afrani4), huoshwa kwa marashi 5). na anapojiwa, hupiga ukelele, husema kwa sauti 6) kubwa :

„salämu caleikum." na watu buitikia :

,/aleikum saläm." tenna buwapa mikono watu, kusimama akacheza.

naye hupig wa kilemba ckeupe , na juu ya kilemba huchomeka7) mayungiyungi8) namkadi9) kutaka carufu 10) nzuri.

hucheza kama siku walizoagana. na juu ya cbano cbake huwekwa vitu vizuri kama mfano wa mkate na mayayi na halwa11), sukari ya mawe, ndizi, miwa,

1) siehe Uebersetzung. 2) Betel. 3) Teller. 4) Safran- 5) Eosenwasser. 6) Stimme. 7) eingesteckt werden. 8) Wasserrosen. 9) Pandane. 10) Geruch. 11) süße Speise.

Veiten, Desturi za Wasnaheli. 11

162

kungumanga l) , 'iliki1), mdalasini b) , na tambuu. na yeye mgonjwa hula sana tambuu, na biyo tambuu hu- tiwa vyungo kama kungumanga na ciliki na mdalasini. na chakula anachokula ni halwa na mayayi, na vitu vingine bula waliopo kilingeni.

hatta siku walizoagana zikesba , butaja jina, kisba akakomolewa. naye bucbinskiwa njiwa. na wengine hucbinsba mbuzi, lakini karamu yake kubwa njiwa.

na anapopelekwa pwani kukomolewa, lmfanyiziwa dau la mkarara wa mnazi ao la mwale. dau bilo bu- tiwa tanga na mlingoti, wakatia na vyakula ndizi, mua kidogo, sukari kidogo, na kipande cba mkate. ba'ada ya kwisha kumkomoa yule pepo, buliwacba babarini lue dau, ina'ana wanamsafirisba anakotoka yule pepo babarini.

pepo wa qitimiri.

pepo wa qitimiri na pepo wa täri ni pepo wa ki- carabu. watu wanasadiqi pepo hao wanatoka babarini. na pepo bao wa kisuabeli watu wanasadiqi wanatoka barra juu ya vilima ao juu ya miti, iliyo mikubwa, mfano wa mibuyu.

na pepo wa qitimiri anapoanza mganga kutaka ku- punga , kwanza buvuta ubao , akatczamia siku njema ya kupunga. na buo ubao bupiga ramli 4) , ma'ana buchoracbora 5) mwanzo wa ubao batta kati ya ubao. tenna buandika makoo6),- kuzalisba ile ramli, na ndani ya makoo baya manne buandikwa liesabu 7). tenna hujua yule mganga siku njema ya kufanyia ngoma yake na siku mbaya.

na biyo ngoma bucbezwa ndani ya nyumba, nayo

1) Muskatnuß. 2) Kardamom. 3) Zimt. 4) Zauber. 5) kleine Stricke (wie Komma) macken. G) rundlicke Figuren. 7) Zakl.

163

nyumba imezindikwa kwa clawa. na ngoma zake ni mbili, moja ngoma ya kugeukiza na vumi moja, na tenna upatu na mpiga zumari. na mchezo wake ni namna nyingine kuliko raackezo tuliyoyataja. macliezo yake huenda kimbelembele hnrudi kinyumenyume, naye mgonjwa akichoka , hukaa juu ya kiti. na desturi ya qitimiri kidogo mbali kuliko ngoma nyingine , lakini siku ya sabac hnnywa mbuzi vilevile.

pcpo wa pungwa.

ngoma kuckezwa sana Kilwa na Unguja. na mchezo wake huchezewa ugani. nayo haina zumari, illa ehapuo mbili na vumi moja na debe. na hapo uwanjani hutandikwa jamvi, waanawake hukaa kitako, mganga huimba nyimbo na waanawake huitikia. na nyimbo zake :

„utikiti we na utango1) na utambaye2), mrima una mambo. kwenda kuni na maji

kero hilo la mume.

1) ufitina na u'adwi. 2) sich ausbreiten, ao huimba :

„pita huko we, nipite huku we 1).

OA*-^

tukasimamepi ? 2) ku msagawi 3) nimwene 4) ngwese 5) kajinamia angojea ninga") za ku dari."7)

1) Mann und Frau kommen so überein. 2) tutasimama (ku- tana) wapi. 3) Ort. 4) nimeona. 5) paka. 6) Mäuse. 7) Dach.

ao huimba:

„kuna maganga meupe mengine matiriyanga 1).

1) Sinn: Es giebt Männer, die Mitleid mit der Frau haben andere nicht.

11*

164

tuinbueni *) mbolembole 2), ndui ngazina uganga

kero hili la mume.'

1) zu ergänzen ndui. 2) polepole.

ao huimba:

„za lipi *) we

zikalilima za mwamba 2) he ? Billali3) we utakufa na jambia."

1) ziko wapi pepo. 2) zilizovuma katika mwamba. 3) Name eines Mannes; zu ergänzen hier tulizana.

ao huimba:

rkilingondo *) kilingondo kilawa 2) Malimba3) mwana mwari wakukana?4) na kitu ulile 5) we Mashamanda?" 6)

1) vita d. h. der Mann. 2) lawa = toka. 3) Ort. 4) unakataa. 5) umekula. 6) Name der mwari.

ao huimba :

„mwita1) kimya usambe 2) ninyamaa, wana mama mwasusia 3) imwe 4), uzingwi 5) umenizingia. " c)

1) ita machen. 2) glaube nicht. 3) ihr tut mir weh. 4) ihr (ninyi). 5) Verdrehung. G) zinga drehen.

na mgonjwa anapojiwa , huinuka akacheza. na mchezo wake upande moja waanawaume , upande moja waanawake. na komoo yake siku ya sabac huenenda baharini, wakajitosa pamoja na mgonjwa. tenna hure- jeshwa mgonjwa nyumbani.

l>epo wa nikasia.

na ngoma ya mkasia huchezwa sana Unguja kwa Wahadimu na Watumbatu. na kuchezwa kwake hu-

165

chimbwa shimo uwanjani, ukasimamishwa mti, na nie mti huziwiwa na mawe usianguke. nao ule mti hufun- gwa kamba kumi na mbili. na zile kamba kuziskika wale wachezao kuzivuta na kuzunguka duwara, nao wamepiga magoti1), na mganga wao liuwimbia mwimbo: „na makasia tieni

na makasia

tanga likiwa mtini1)

na makasia tieni."

1) d. k. pepo

likiwa kickwani.

ao huimba

1.

muundao vyombo

mtie na pondo,

na makasia we,

na makasia we he.

hamjamba ') we ?

2.

mwamba wa Kitame 2)

uvundao vyombo

na makasia we

na makasia we.

hamjamba we ?

3.

tambale3) tamba4)

nifike mwamba wa Kitame

na makasia we

na makasia we.

tangu Jana we."

1) hamjasema

, d. h. habt ihr euch noch nicht geärgert? (ich

niclit). 2) Ort.

3) nitambae. 4) langsam.

ao huimba

„Mwana Makame ufilepi *) mai?"2)

nifile 5

') Malindi mtoni Singwaya,

1) umefia wapi. 2) maji. 3) nimefia.

1) knieen.

- 166

mtoni Singwaya, mtoni Singwaya, nifile Malindi mtoni Singwaya." ao huimba :

„yanakuelea we habäbe 1), magome yanakuelea kapewa mti kuskika 2) magome yanakuelea."

1) Geliebter. 2) nämlich der Hüter.

ao huimba:

„walindao we habäbe tuwaole *) walindao, wapewa mti kulinda, tuwaole walindao."

I) ola = tazama. ao huimba :

„ondoka ukasali, kusali si kusali, ukatia nguo maji ') kushongo ukali." 2) „nilelee mwanangu 3) mkasia hoya."

1) du hast nur die Kleider ins Wasser gesteckt, anstatt die richtige religiöse Waschung vorzunehmen. 2) das ist der reine Unsinn. 3) sagt der Kranke zum pepo , damit das Kind nicht krank werde.

na ngoma ya mkasia haina zumari wala ngoma, illa huimba nyimbo, wakaitikia watu. wala siku ya komoo haina mbuzi. hupika kande za muhindi na nazi kutafuna, ndio chakula chao. na ngoma huisha siku moja. saca ya nne ya usiku hukomolewa. na kukomolewa kwake hushikwa na mganga kifua chake yule mgonjwa , akamchua ') mkono wake wa kuume,

1) pressen, quetschen.

167

tenna yule pepo humtoka. na namna hiyo hukomolewa hufanyizwa killa pepo tuliwowataja kama liivi, hufan- yizwa ba'ada ya kunywa damu ya mbuzi.

pepo wa kizungu.

pepo huyu watu kusadiqi anatoka baharini Ulaya. na ngoma yake hupigwa cliapuo raoja na vumi na zu- mari na upatu. na mganga anapomclmcliia , huimba

mw

imbo

nna mambo meupe *) we, nna mambo meupe, mkikaa barazani waanaume, mwasengenya 2) waanawake, mmeziwia vyenu 3) kina bana, mwataka vyetu tuwape."

1) hell, hellsehend. 2) verächtlich reden. 3) vitu vyenu nämlich Geld.

na}7e mgonjwa na wateja liucheza kama siku wali- zoagana. na cliakula ni mkate wa bisi na bisknti ]) na yayi na dafu na embe na machungwa na ndizi. akila vyakula hivo, hufurahi yule pepo. liatta siku ya ku- taja jina hukomolewa yule , naye hanywi damu ya mbuzi , illa husbikwa kifua na mkono , akaja mganga kumkomoa, pepo hutoka akenda zake.

1) Biskuit.

kazi za waanawake.

kazi katika nyuinha.

waanawake majumbani wanapika, na cliakula kike- sha humwandikia mumewe. na kuosha vyombo vya nyumba, na nguo zake mwenyewe kufua, na nguo za mumewe huzifaa, na nyumba yake kuifyagia, na kisimani kwenda kuteka maji kama hana mtumwa. na usiku kumtandikia mumewe kitanda, na kumsinga na kumpaka mafuta miguuni, na kumpapasa liatta alale. na mcbana akisba kula, hutwaa chanzo cba ukili kusuka mkeka.

wengine bufanya vitumbua . ao kufanya ladu '), humpa mtoto kwenda kuuza. ao huchansha kuni ku- weka mafungu kuza. wengine wanauza unga wa mhogo na wa mtama, na wengine wananunua samaki wabicbi, wakawakaanga kwa mafuta ya uto 2) na pilipili hoho 3), wanauza moja pesa, wakiwa ghali moja pesa mbili ao tatu.

na wengine wanapika pombe. pombe wanapotaka kupika, wanatwanga muhogo, kisha huchunga4) unga, khalafu huroweka 5) mtama mudda wa siku sabae. khalafu huutwanga, tenna hupika ule unga wa mhogo siku mbili, khalafu yake hutoa kimea cha mtama, wakachanganya pamoja na ule unga wa mhogo , hu-

1) runde Pfeiferkuchen. 2) Sesamöl. 3) roter Pfeffer. 4) sieben. 5) mit Wasser angefeuchtet sein.

- 169

pikwa marra ya pili siku moja. khalafu huwacha, ikapoa ile pombe, tenna huiekuja *) kuitoa makapi.

na togwa kazälika kama inavopikwa pombe, lakini mukogo si mwingi. sana kupikwa kwa mtama tu, ndipo linapokuwa zuri.

Mnyamwezi anaposhuka , anapenda kunywa pombe sana. wanapata matumizi waanawake katika hiyo pombe, sababu wanauzo kibaba pesa. na Wasuaheli wengine wanakunywa pombe.

na wengine wanauza tembo kali na tamu , lakini tamu si mno kutoka. waanawake wanapatana na Wa- segeju, wanaogema tembo katika minazi. killa siku mwanamke huenda kwa mgema , kutwaa mtungi wa tembo, kuleta mjini kuuza. wengine wanauza mashamba, sababu walewi wengi kuliko mjini , ma'ana mashamba wakilewa, wanafanya kelele nyingi kwimba na kucheza, mjini hawana rukksa.

nao hao walewi wana nyimbo zao wanazokwimba wanapiga kinanda, wakaimba mwimbo huu : „teremkia *) njia ya Kizingo 2) ulikute zoga 3) lenyi pengo, ulikate vinyango vinyango, ulitie jungu lenyi pengo. mpikaji sharti mwenyi chongo na mlaji mwenyi kibiongo. - mambo 4) Maua." 5)

1) hinuntergehen. 2) Ort. 3) Aas. 4) das sind Sachen d. h. gute Getränke. 5) Name der pomhe-Verkäuferin. Sinn des Ganzen vgl. Uebersetzung.

ao huimba:

„'Abdallah mtoto alia, mamaye amejizalia,

1) durchseihen.

170

kiunoni kafungwa jambia thamanie riale mia, bakumbuka mzuri *) nalia. u

1) nämlich die Mutter des 'Abdallah.

ao huimba :

„adunda1) adunda, mcbawi adunda, mcbawi adunda, mcbawi adunda, kitumbaku dawa."

1) dunda eigentlich „mit dem Stampfer stoßen," hier „zaubern" gemeint.

turejee kwa wagema wa tembo. na hao Wasegeju wakiamka, hupanda juu ya mnazi, lakini ukope hawezi kufunua, tembo limecbelewa kichwani, marra nyingi Wasegeju buanguka juu ya mnazi kwa ulewi, sababu wanalewa kama cbozi *).

namna ya kusukana nywele.

mwanamke anapokwisba siku zake kutoka katika miezi, ao anataka kusukwa nywele nyingine, bufunua nywele zake, akazitana kwa sbanua 2) , tenna buziosba kwa maji ya moto , hatta taka zote zitoke. tenna butia mafuta ya kufukiza ndani ya kikombe, buenda kwa msusi 3) , bumwTambia : „nimekuja kwako sboga, nataka unisuke nywe]e zangu." msusi bumwuliza: „wa- taka nywele gani? mardufu4) ao za kufundika4) ao nywele nyembamba?" 4) atamjibu namna ya nywele azitakazo. kisba atakaa juu ya kiti msusi, naye ana- yesukwa cbini, anamsuka na kuzungumza. kuzungumza kwao kuzungumza kbabari zote za katika mji. mazun-

1) Vogel, der gern Palmwein trinkt. 2) großer hölzerner Kamm. 3) Haarflechterin. 4) verschiedene Haartrachten.

171

gurnzo yao hayaeslii liatta nywele zishe. ao huimba mwimbo :

„Sitahamili we wiwu wache, mwanamume ku mgongo kama kenge?" ao liuimba :

„tuli wawili tukipendana, na moyo kama mtana1), utaniua kijana." 2)

1) mchana. -- 2) wenn du eine andere lieben wolltest.

ao huimba :

„ndizi kisukari1) zinauzwa ghali, limenipotea yayi la johali." 2)

1) d.h. guter hübscher Mann. 2) johali Edelstein, Juwel; gemeint ist der Mann, den sie verloren hat.

ao huimba :

„kwetu imekuja khatti yatoka bendari Nuri bwana Salehe na Hamadi wamezidi kwa uzuri."

khabari ya kusugua meno.

meno yao wanasugua na mswaki i). na miswaki yao ni tawi la mti ao mzizi wa mti, jina lake mswaki. nao hukata kipande kidogo cha mti, wakakitafuna ka- tika ncha , huwa kama mfano wa brashi 2) , nayo huwa na richaricha3) zinazochomachoma katika meno kuyasa- fisha.

na iwapo mtu meno yake hayatakati, yameharibika kwa tambuu, ao ndilo umbo lake, hayana takaso, hu- choma maganda ya popoo, kisha huyasaga, makaa yake

1) Hölzchen des mswaki-Baumes , die als Zahnbürste benutzt werden. 2) engl, brush. 3) Spitzchen.

172

ndiyo anayosugulia meno. ao hutwaa makaa ya moto, akayasaga, maivu yake ndiyo anayosugulia meno hatta yatakate.

uzuri wa waanawake.

siku anayaqusudia kufanyiza uzuri, humwatnbia mu- mewe ao mwanamume wake ya kama: „nataka ma- pesa kutumia." kumpa rupia moja ao rupia u tkumni. marra atanunua mafuta ya kufukiza, kisha atakwenda kwa msusi, akamsuke nywele zilizo nzuri, atampa ususi wake pesa 'asherini ao nuss rupia. kiska atanunua eudi l) na maraski 2) na tibu 3) na dalia 4) na jamie'i ya manukato, ataingia chumbani, arawite skoga yake, am- singe maungo mazima. kiska atatia moto katika cke- tezo, atie na cudi katika moto, avae mavazi mengine, tenna atajifukiza. kiska ajimwagie maraski. na kama kuna yasmini nje atanunua, amwagie juu ya kitanda, nyingine azitunge atie juu ya mkufu. marra atatwaa tunda 5) zake, atunge nyingine avae kiunoni.

kazälika manukato aliyonunua, usiku wanapotaka kulala, kupika maji ya moto, mumewe akipanda kitan- dani, skerti amshike miguu kwa maji ya moto, ma'ana kumwoska miguu, kumpangusa vumbi la mckana. akiska mwoska, kumpaka mafuta.

na desturi ya mwanamke anapomskika mume miguu, skerti amwamkie, kusema „skikamo," ndipo amskike. naye mume kutikia „markaba." kumwuliza: ,,wataka nikusinge?" akiqubali, atatia tibu katika kikombe, na maji katika kakuli, marra atamsinga mumewe, katta mwili wote ukeska.

1) Aloeholz. 2) Rosenwasser. 3) aromatische Salhe. 4) Pulver, das durch Zerreihen von Stückchen des mdalia - Baumes gewonnen wird. 5) Hüftenperlschnur.

173

khabari za uiaimkato.

manukato makubwa ni cüdi. na huo cudi kijiti cha mti, cliatoka barra ya Maskati, kinapikwa na sukari na mafuta niazuri. hujifukiza watu katika mrima, khassawaanawake. mwanamke akitaka kutembea, ba'ada ya koslia nywele zake, hujifukiza , akeska huvaa nguo nyingine. na akinuka eüdi, mwanamume hufurahi.

nukato la pili uvumba. nao uvumba mchanga, wa- toka barra el- Hindi na barra ya cArabu. nao hupikwa na manukato mengine. matumizi yake, mtu akiwa na homa, ao amepigwa na mvua, anaona baridi, hujifukiza uvumba, baridi ao homa humtoka.

nukato la tatu tibu. na hiyo tibu mna manukato mengi. kwanza kipande cha mti, jina lake sandali1), husagwa juu ya jiwe, linakwitwa jiwe manga. husaga hiyo sandali, hatta ikawa leini. huchanganya pamoja na maua maulidi -) na qarafuu 3). tenna hutia ndani ya kikombe akaanika. manukato hayo ya kusingana usiku.

kazälika manukato mengine miski4) na za'afarani5), hutuinika mahali pamoja.

nukato la rihani6) manfa'a yake kikuba7). hutungwa hicho kikuba rihani na mkadi 8) , hufunga mwanamke juu ya mkufu kunukiza. na wengine huuza vikuba, waanawake hununua.

nukato la yasmini manfa'a yake hutiwa katika nguo, ao humwagwa katika kitanda, ao hutunga shadda 9) la yasmini kumnukiza ampendaye.

mafuta halrüdi hayo ni bora ya manukato ku- liko yote tuliyutaja. mwanamke mrembo 10) hutumia katika nguo zake. kazälika halwardi11) na haliyasmin1*2)

1) Sandelholz. 2) Rosenknospen. 3) Nelken. 4) Moschus. 5) Safran. 6) Basiliumkraut. 7) Blumensträußchen. 8) Pandane. 9) Strauß. 10) die sich gern schmückt. 11) Rosenöl. 12) Jasminöl.

174 -

na halstambül1) na halsandal 2) yote hutimiwa katika nguo.

kazälika marashi na cüdi hutumika katika halbadri, ma'ana mtu akipotelewa na kitu, lrnenda kwa mw'allinm kutaka halbadri ya kuonekana kitu chake. ikesha soma halbadri, marashi liumwagiwa watu na cüdi kufukizwa. ao hutumika yale marashi katika h'arusi. kazälika ka- tika uzishi hutumika marashi na cüdi. ba'ada ya ku- shona sanda, hufukizwa ile sanda, ikamwagiwa marashi. yaliyosalia humwagiwa watu walio barazani.

kazi ya mkeka.

äsili ya mkeka watu wanakata ukindu3) kokoni4), na huo ukindu mti, una majani kama makuti ya mtende. hayo makuti huanikwa, yakikauka, huleta mjini kuuza, kicha5) kimoja pesa. na mwingine hupakiwa Unguja ao mrima mwingine. waanawake wakiupata, huuchana chane 6) nyembamba, kesha husuka ukili "') namna mbili mweusi na mweupe. na huo mkeka namna mbili nao , kuna mkeka mweupe na mkeka wa kazi. mkeka mweupe ndiwo unawoshonewa sanda, mtu akifa, na mkeka wa kazi ndio wa kulalia, ao hutandika vyum- bani, ao hupelekwa miskitini.

kazälika huo mkeka wa kazi äsili yake ukindu, hupika waanawake kwa rangi. na rangi yake mdaa. na mdaa mti wa mwitu, mizizi yake meusi. watu wa mashamba huchimba, wakaleta mjini kuuza. waanawake hununua kicha pesa. wakesha pika ukindu, hugeuka, ukawa mweusi kwa ile rangi ya mdaa.

rangi ya pili ukindu hurowekwa katika maji, ika-

1) türkisches Oel. 2) Sandelöl. 3) Blätter der Phönix- palme. — 4) im Busch. 5) Bündel. 6) Streifen. 7) Matten- streifen.

175

tiwa shabbu J) na ukindu pamoja. mudda wa siku nne ukindu kugeuka, nussu mweupe nussu manjano.

rangi ya tatu fuwa'2), wanauza Wahindi, umbo lake mizizi midogo midogo. nao bupikwa upindu na hiyo fuwa pamoja, hugeuka upindu, ukawa rangi ya fuwa.

rangi ya nne mkumbi 3). na huo mkumbi magome ya mti rangi yake manjano. nao hupikwa na ukingu.

mwanamke akitaka kusuka cbanzo 4) , kwanza ku- suka ukili mweupe pima thalathini, kisha husuka mweusi pima thalathini, tenna husuka ukili wa kazi. na ukili wa kazi chanzo chake hukusanya namna ya ukindu alivopika mweusi , mwekundn , manjano hushika mkono moja, akapanga chanzo akitakacho. tenna hu- fikiri mwenyewe „nitasuka mwezi ao nyota ao kanga."

kazälika na kazi ya kili majina yake mengi sana. iko kazi jina lake qarafuu , sababu rangi yake kama qarafuu. aida iko kazi jina lake gongo , sababu nye- kundu imechangamana na kimanjano. yuko ndege jina lake gongo, ndiye mwenyi rangi hü. iko kazi nyingine kito cha pete , ma'ana kama kito cha pete. ao ndege, maeana kama manyoya ya ndege yoyote. ao nzi, mfano wa inzi. ao dema, ma'ana ndani ya ukili mna tundutundu kama ndani ya dema ya kuvulia samaki. ao puleki nyekundu, mfano kama uzuri wa zari wa waanawake wa Wahindi, wanowotia katika nguo zao. ao koja la mle , ma'ana hufanyiza vidongevidonge. namna za kili nyingi sana. nyingine huitwa bomba ao upeto, ao mahaba, ao timbi, ao marjani, ao barra- barra, ao mboni, ao mjusi.

na kulla ukili pima 'esherin. kesha hukusanya

1) Alaun. 2) Färberrüte rubia tinctorum. 3) Kopalbaum. 4) Anfang der Matte.

176 -

mweupe na mweusi kushona pamoja. kesha kuskona mweusi na mwekundu. tenna hutia katika eheo , aka- shona, hatta mkeka ujae. na ukesha, hukata mapande, tenna huupinda, umekwiska mkeka.

na msala1) namna yake kama kivo, illa unashonwa duwara 2).

jamvi asili yake muyaa 3). watu hukata muyaa, wakaanika. ukikauka, kuchana ckane, akasuka bambo4), likatimia pima khamsini, kaanza jamvi kushona ndani ya cheo, hatta likajaa hulipinda. namna yake moja tu.

na matumizi yake pakiwa na h'arusi , ao amekufa mtu , hutandikwa jamvi lililo kubwa, na juu yake hu- wekwa mikeka, watu wakakaa juu ya mikeka.

1) Gebetsmatte. 2) rund. 3) Dumpalme. 4) Streifen.

kazi ya waanaume.

khabari ya ucliuuzi1) wao Wasuaheli.

bi'ashara *) zao kuna watu wengine wazito wa kusafiri barra. ajapotokea täjiri3) kumwambia „nita- kupa bicja'a4), uencle ukachume" hataki. watu hao bicashara zao wanachuuza mjini, wanauza vitu vya reja- reja 5). wananunua nazi, na mahindi, na miwa, njugu, vyazi, muliogo mkavu na mbichi , macbungwa , ndizi, mafenesi, na vitu vingine , bassi buweka fungufungu. wakauza tangu fungu la pesa moja hatta pesa cesberini. nao bawapati kitu ndani yake, illa matumizi yake na mkewe. apate mapesa ya mafuta na tanibuu, yanam- tosha matumizi hayo.

sababu mwanamke katika nyumba, ikawa kiza, wala tambuu hana katika jelba yake, huqasirika. na kiza husema: „leo tutalala kama madudu?" sababu Wasuaheli hulala usiku kucha na taa , na khofu yao wanaogopa usiku kutokea nyoka, ao kuumwa na tandu 6), ao nge7).

kazälika mtu akimwambia „sababu nini wewe hu- safiri," bujibu: „mimi sitaki kuwa täjiri, nataka chun- gu meko, täjiri atakufa na mkiwa 8) atakufa, sote 9)

ron.

1) Kleinhandel. 2) Handel. 3) Kaufmann. 4) War 5) stückweise. 6) Hundertfuß. 7) Skorpion. 8) Armer. 9) sisi zu ergänzen.

Volten, Desturi za Wasuaheli. 12

178

sawasawa. ya nini kwenda barra kusumbua roho yangu katika nyika? na kulla kkataii1) juu yangu! mali ya watu yakipotea nipate tacabu2), ao roho yangu ipotee. nimekhiyari3) kula muliogo wa kuchoma na roho yangu imesbuka. "

kazälika wachuuzi wengine hungoja Wanyamwezi, wanaposhuka na ngombe na mbuzi. hao kazi zao hu- nunua ngombe kwa Wanyamwezi, nao buuza kwa Wa- hindi ao Wasbibiri. na kama hawana tbemani ngombe, buwacbinsba , wakauza nyama. nyingine bucboma msbkaki 4), msbkaki moja pesa.

na wasio feokla ya kununua ngombe kufanyiza bi- eashara, bupatana na Wahindi ao Washikiri. mapatano yao husema: „wewe tafuta ngombe kambini, ukipata bidaca kwangu. na kulla ngombe ukaleta ijara5) yako rupia mbili ao nne." yule mtu huqubali.

khabari ya kimia samaki.

kazälika wengine wavuvi wa ngarawa. hulala hatta al-fajiri wanakwenda tanga na tanga na kafi6) na upo "') na sukani b) na mishipi 9). wakifika pwani, marra bushua ngarawa, hatta ikafika majini, wanafun- gafunga, marra wanatweka. na uvuvi wao wanavulia mbali, ma'ana wanakwenda kunako madindi lü) makubwa yenyi papa11) na samaki wakubwa. wakifika butosa nanga, butia mishipi vyambo, wakatupa baharini kuvua. hatta upepo wa kusi ukavuma, wanatweka ngarawa zao kureje'a, wengine wamepata , wengine wanarudi

1) Gefahr. 2) Mühe, Beschwerde. 3) wünschen. 4) am Spieß braten. Der Spieß besteht aus Holz, nämlich aus vijiti vya ukuti. 5) Lohn, Verdienst. 6) Schaufelruder. 7) Eimer zum Wasser ausschöpfen. S) Steuer. 9) Fischangel. 10) Un- tiefe. — 11) Haifisch.

179

na ngarawa tupu. waliwokosa, wakiulizwa „umepata?" liujibu :

„maji mafu1) na mvuvi kaf u. " 2)

1) Nippflut. 2) ist tot.

na inapokuwa skuwali1), hapana upepo , hupiga makasia ao kafi, huimba nyimbo : „na makasia tieni,

na makasia tieni,

tangu likiwa mtini,

na makasia tieni." na wengine wavuvi wa madema r). watu hao hu- suka madema ya miti , maji yanapokupwa, hupeleka madema mwambani, wakayatosa, hutia vyambo. vya- mbo vyao hutia mwani3) ao vichwa vya nguu4). ma- cana ya mwani majani yatokayo baharini. wakesha tega , hulala hatta as-subuhi , wakenda kutazama ma- dema yao , huyapandisba juu ya mitumbwi , hukamata samaki.

na Wa'arabu na Wadigo wanavua kwa juya5). Wadigo wanapokwenda baharini, al-fasiri wanaporudi katika mitumbwi yao, hupiga ngoma, macana wana'arrifu watu, wajue, kama Wadigo wamerudi. nao Wadigo wavuvi mno, hukaa katika miji yote ya mrima. watu wa mashamba wakisikia, killa mtu anakuja na pesa zake , sababu samaki wanauzwa rakhisi. na kulla namna ya samaki huingia katika juya la Wadigo. nao wanauza samaki yao jumla, na wavuvi wa ngarawa na madema wanauza vilevile jumla. wananunua wachuuzi wa samaki. marra huwatia katika mibano 6) waka-

1) ruhige See, Windstille. 2) Fischreuse. 3) Schlingpflanze. 4) Seebarhe. 5) Schleppnetz. ß) Klammer.

12*

180

wachoma, sababu wasivunde. wasipofanya hivo, samaki huoza upesi. nao huuza samaki moja tangu pesa tatu hatta pesa kumi , na wakickelewa, huwapa watoto, ku- watia ndani ya tundn, ao katika mibano, kuwateinbeza. samaki waqati wa maji mafu ghali, amma maji makuu rakhisi.

kazälika uvuvi wa waanawake. maji yanapokupwa, wanakwenda baharini kutanda ushimba *) na dagaa *). na kutanda kwao hushona nguo kaniki na shuka tatu ao nne pamoja , qiasi ya nguo ndefu , kiska hucbukua kapu, wakenda pwani, maji ya kifua ao ya magoti. marra buona madagaa ao ushimba, husema: „namisba upindo." -) watu wawili busbika upindo , na mmoja kuchunga dagaa , liingie ndani }^a upindo. likaingia, buinua juu upindo , ndani mna dagaa na ushimba , hu- chota, wakatia ndani ya kapu. nao wanapata jingi, hatta samaki wanapata wakubwawakubwa. lakini khatari, na khatari yake nyenga. na huyo nyenga mtoto wa taa, bukaa katika pango ya mwamba. aki- sikia kelele za watu, hutoka ndani ya pango. na kha- tari ya nyenga huchoma mguuni, lakini wenyewe waa- nawake wanaijna dawa yake. na mwanamke akicho- mwa na nyenga, huja mwingine, akamtemea mate pale alipochomwa na nyenga. akifika nyumbani, hufanyiziwa dawa ya mizizi. asipopata dawa , donda huendelea, huwa donda ndugu, haliponi.

wakipata dagaa , wanauza fungu pesa na ushimba vilevile. na mwingine wanaanika, hupeleka masbamba kubadili kwa muhogo , sababu watu waliwo masbamba wa katika ta'abu ya vitoweo.

kazälika na usiku, mwezi ukiwa mpevu3), vijana

1) kleine Fischsorten. 2) das Tuch herunter. 3) Voll- mond.

181

waanawake huenda pwani, kuokota nyambua1) na vi- jino1), kupeleka majumbani. wakatia ndani ya ma- jungu, kiska kuckemska. yakiwiva, kuckokoä2) zile nyama.

na wengine kazi yao kungoja maji kupwa, wakenda pwani kupiga kaa, na kuckokoä pweza3) na kombe4). nayo ni kazi ya kkatari kwa mkunga5), maji yakipwa mwambani, mikunga inatembea, mfano wa kao mikunga, kama nyoka urcfu wake, wengine wanakula, wengine kawali.

liyiinbo za mabaharia.

na watu wakienda bakarini na vyombo vyao ao maskua zao, kuimba nyimbo kizi : „kasikazi1) vuma, na umande2) vuma, tukokote dau la bwana, lisirudi nyuma."

1) Nordwind. 2) Frühnebel.

ao kuimba:

„kiko? kiwa mwambani, kiko? kiwa mwambani."

ao kuimba:

„ckombo ckamenyamenya *), ckombo ckamenyamenya, nakkoza nenda joski 2), ckombo ckamenyamenya."

1) hin und herschwanken. 2) nach rechts halten.

1) kleine Fischchen. 2) herausnehmen, hervorziehen. 3) Fisch. 4) Muschel. 5) Aal.

182

ao huimba:

„namtakä Zaina, nicheze naye," „mwenyi dodo kaja *), mkumbatie." 2)

1) sagt Zaina. 2) umarmen.

ao huimba:

„napenda we, napenda we moyoni mwangu kabisa siku ya kuzaliwa ya mama na baba napenda we, napenda we moyoni mwangu kabisa." ao huimba:

„nampenda sana, nampenda sana kibibi mdogo, mzuri kijana." ao huimba:

„nipe mbili *) nende kama hukunipa sileti mshindo wa bwende. " 2)

1) zu ergänzen kanga. 2) ich werde dich nicht durch Bei- schlaf erfreuen.

ao huimba:

„njoo bwana, njoo, bwana njoo, bwana wangu unipose moyo." ao huimba :

„msiba wa nini? Hamadi hakwiba, kafungiwa nini?" ao huimba:

„na kidau changu nisafiri Pemba, meli ya Hijjaji imekwisha kwenda, ahsante Sefu Sefu uliyonitenda, ahsante Sefu Sefu uliyonitenda." J)

1 ) Klage eines Mädchens, das gern eine Pilgerreise mitgemacht hätte.

183

ao huimba:

„nna ubwa1) wangu, mwembamba nrweupe nampenda macho na nyeusi na kope, nakupenda wewe, chako usinipe."

1) Liebling.

kliabari ya kuunda jaliazi.

kwanza mafundi huenda kokoni *) kupasua mbau na kutafuta mkuku2) na mikimili b) na mataruma4) yenyi nguvu. wakiyapata, kuleta mjini, wakamwita mtu mzee fundi wao na mw'allimu kuwatilia ubani, waanze kazi yao, ipate kuongoka.

na mwanzo wake jaliazi kuanza mkuku na mata- ruma na mbele omo 5) na nyuma tezi 6) , na ubau wa maliki7). na mbau wanagongomea kwa misumari, na katika msumari kutiwa pamba na mafuta ya nazi msumari usliike sana. jahazi inapokwisha, wanaunda sitaha 8) ya mbele na ya nyuma. tenna wanakarafati 9). ma'ana ya kukarafati zinazibwa tundu zilizo wazi kwa pamba na mafuta, wakesha wanadeheni 10) kwa sifa, ' na kuijaza maji tele ile jahazi mudda wa siku sabac ao arbaYashara , kutezama maji yanavuja ao hayavuji. kisha wanaunda sukani n). ikesba sukani , wTanashona tanga na kutafuta mlingoti na desturi12) na foromali13) na nanga. tenna husokota kamba za kutwekea na za kutilia nanga, jahazi ikatua.

khabari ya kushua jahazi: inapokwisha, hu'arrifiwa watu: „kesho jahazi kaza wa kaza inashuliwa u), mku- tano pwani as-subuhi." hukutanika Wanyamwezi na

1) Busch. 2) Kiel. 3) Binderippen. 4) Spanten. 5) Bug. 6) Heck. 7) Beplankung. 8) Deck. 9) kalfatern. 10) ölen, firnissen. 11) Steuer. 12) Bugspriet. 13) stange. 14) vom Stapel gelassen werden.

184

waungwana. Wanyamwezi wanaskua kwa ijara, waun- gwana burre. nao huimba mwimbo wanaposkua: „mkono kwa mkono salla eala." *)

1) Friede auf = Friede bei Gott.

kuimba hatta jakazi ingie majini.

mudda wa siku tatu itasafiri, kujaribiwa tanga na mlingoti. kuingia na watu , lakini kawana nauli 1). kuenda mckana kutwa, jioni kureje'a.

tenna kutiwa nanga ile jakazi , mafundi wataka bakkaskiski 2) yao kwa yule mwenyi jakazi. kuwapa, ma'ana rada.

na mwimbo wao masermala 3) , wakiunda jakazi, wanakwimba :

„mwambie niama, aombe, nami niombe,

mwombwa yeye rabbana." ao kuimba :

„pasua mbau, tuunde, pasua mbau, tuunde, masermala, pasua mbau, tuunde." na mwimbo wa kutweka jakazi :

„kod 'Hak, kod 'lläk.«1)

1) ihn o Gott.

ao kusema:

„tumtweke kinyamwezi x) ngombe 2) tumtweke kinyamwezi ngombe."

1) mit der Kraft eines Mnyamwezi. 2) das Segel gemeint.

1) Fahrgeld. 2) Belohnung. 3) Zimmerleute.

I

«s. smpa,

lltD,

185

nyimbo zinazokwimhwa katika kazi.

wafanya kazi hupenda kwimba, nao huimba

„kwanza he leo, kwanza he,

as-subuhi na mapema leo,

kwanza tuombe muungu."

ao kuimba:

„kijakazi kina meno, chauma, sikitaki tenna, kipeleke shamba, kikalime." ao huimba:

,-kwa1) mama Yaya, leo kwa mama Yaya, muhogo 2) kwa terabo tamu kwa mama Yaya."

2) zu ergänzen tukale.

1) zu ergänzen twende.

ao huimba :

„nipande wangu mkunde nnataka kuachwa jina la mume jambo." ao huimba:

„Sitahamili ') uwiwu wache, mwanamume ku mgongo kama kenge?"2)

1) Name einer Frau. 2) die gewöhnlich auf einander hocken.

ao huimba:

„suria mtumwa, leo suria mtumwa, usione kulalia godoro x), suria mtumwa."

1) zu ergänzen „daß du eine Freie vor dir habest."

ao huimba:

„palia, palia, binti Hemedi

184

waungwana. Wanyamwezi wanashua kwa ijara, waun- gwana burre. nao huimba mwimbo wanaposhua: „mkono kwa mkono salla cala." *)

1) Friede auf = Friede bei Gott.

huimba hatta jahazi ingie majini.

mudda wa siku tatu itasafiri, kujaribiwa tanga na mlingoti. huingia na watu , lakini bawana nauli 1). huenda mchana kutwa, jioni hureje'a.

tenna hutiwa nanga ile jahazi , mafundi wataka bakhashishi 2) yao kwa yule mwenyi jahazi. huwapa, ma'ana cada.

na mwirnbo wao masermala 3) , wakiunda jahazi, wanakwimba :

„mwambie niama, aombe, nami niombe,

mwombwa yeye rabbana." ao huimba :

„pasua mbau, tuunde, pasua mbau, tuunde, masermala, pasua mbau, tuunde." na mwimbo wa kutweka jahazi :

„hod ya 'llah, hod ya 'llah."1)

1) ihn o Gott.

ao husema:

„tumtweke kinyamwezi x) ngombe 2) tumtweke kinyamwezi ngombe."

1) mit der Kraft eines Mnyamwezi. 2) das Segel gemeint.

1) Fahrgeld. 2) Belohnung. 3) Zimmerleute.

185

nyimbo zinazokwimbwa katika kazi.

waf'anya kazi hupenda kwimba, nao huimba: „kwanza he leo, kwanza he, as-subuhi na mapema leo, kwanza tuombe muungu." ao huimba :

„kijakazi kina meno, chauma, sikitaki tenna, kipeleke shamba, kikalime." ao huimba:

,.kwa *) mama Yaya, leo kwa mama Yaya, muhogo %i) kwa tembo tamu kwa mama Yaya."

1) zu ergänzen twende. 2) zu ergänzen tulcale.

ao huimba :

„nipande wangu mkunde nnataka kuachwa jina la mume jambo." ao huimba:

„Sitahamili ') uwiwu wache, mwanamume ku mgongo kama kenge?Ä2)

1) Name einer Frau. 2) die gewöhnlich auf einander hocken, ao huimba:

„suria mtumwa,

leo suria mtumwa,

usione kulalia godoro J),

suria mtumwa."

1) zu ergänzen „daß du eine Freie vor dir habest.'

ao huimba:

„palia, palia, binti Hemedi

186

kaupiga jembe mqaraftra,

palia, palia." ao huimba:

„muhogo mchungu

Magwangwara hiyö!

ukasikia toba 7,lä iläha illä 'lläh."

Feruzi kauawa. ao huimba :

,. shungia mgeni yoyö,

shungia mgeni yöyo,

ndio kwanza kuja,

shungia mgeni yoyo."

desturi katika kazi ya kulima.

mtu akianza kufiega ') mwitu kntaka kulima , hu- omba muungu: ..rabbi'-), nipe uzima kulala na nguvu kuamka na nguvu ya kufiega shamba yangu, nipande, nije niile, nisipokula mimi, wale wanangu."

akisha, huchenga 3) mwitu , akakata magogo , kisha huyapiga moto. hatta mvua inapokunya, kwanza bu- pancla chooko na mbindi na künde na matango, sababu vyakula bivo vyepesi kuota na kumponya mtu njaa. batta wingu4) la pili hupanda mbogo na mbegu nyin- gine.

na mwanzo wa kupanda mti, matunda yake yana- yoliwa kama mdizi ao mnazi, husema: „nnapanda mti buu , muungu anipe uzima , niule , kama sikujacaliwa 5) mimi, wale wanangu." tenna buipanda ile mbegu. na atakapo kupanda, sherti kwa mkumbi. na huo mkumbi Wazaramu ndio waliwo nawo. ikawa qaribu ya mpando, huenda Zaramu kutaka mkumbi, nao huchanganya pa- moja na mbegu. wanasadiqi, shamba ikapandwa na mkumbi, waqati wa kuvuna huwa na baraka6). nao mkumbi magome ya mti, rangi yake kama manjano. na anapovuna, humpa cada yake yule mwenyi mkumbi pishi mbili ao tatu.

1) urbar machen. 2) Herr, Gott. 3) abholzen. 4) Saat. 5) bestimmt sein. G) Segen.

188

na vyakula vya sharnba vikianza kuwiva, huamia ndege. na kuamia kwao wanajenga dungu. na liilo dungu miti mitatu. na juu lmweka miti qädiri ya nitu kuweza kusimama knie juu. na mwamizi huzuka kum- beo *) na mawe ya madongo , macho yake kutezama ndege, wasitue juu ya mtama. na wakitua, huamia kwa kumbeo, husema :

„ääah haööö ndege." hupiga dongo la kumbeo.

na wanaoamia huimba mwimbo :

„ndege usile mpungangwa1) ntachinshwa."

1) mpunga wangu.

ao huimba :

„kufa kiüküi1), mwanetu kapewa ndege kuamia.

1) König der Vögel.

asili ya mwimbo huu umetoka katika hadithi ya wazee wetu, ndio sababu watu hupenda kwimba katika kuamia.

khabari ya kuyuiia.

huenda watu na miundu , waanawaume , kukata chini ya mashina ya mtama shamba yote. hawauchukui marra majumbani , wanauacha mudda wa siku tatu, ndipo wanapoleta makapu kuchukua. tenna huuputa <2). na kuputa kwake wanatandika jamvi, killa mtu hushika ufito, wakapiga ule mtama, hupukutika punje. wakesha wanapeta3), mtama wake hutia katika vikanda.

na iwapo amekuja rafiqi kumtazama, humvunjia

1) Schleuder. 2) dreschen. 3) sieben.

189 -

shuke1) la mtama, ukaputwa, hutiwa katika kisahani, akapewa kula. na anapoondoka, humvunjia mapute2) matatu kumpa zawadi3) yake.

kazälika mavuno ya mpunga kama hivo. vilevile akija rafiqi, huvunjwa shuke la mpunga, mwanamke hukaanga, akaletewa rafiqi yake kula. na akiondoka, kupewa mashuke matatu vilevile zawadi.

na mtu akipata mtama ao mpunga mwingi, hutoa sädaqa4) kuwapa maskini.

nao hawali vyaknla vipya illa kwa mavumba5). wengi wana pepo ya kinyamkera, dungumaro, sham- ngombe, na killa namna ya pepo. Wasuaheli haba sana, wasiwo pepo. watu hurithi ü) mali, wao wanaritki pepo. na mtu mwenyi pepo akila billa ya mavumba, jioni atapata l.ioma ao ugonjwa mwingine.

kazälika mavuno ya mubogo ukipata miezi sitta, mtu akiwa na njaa, aweza kuhgoa shina la muhogo ku- pika akala. na anapotaka kuulenga7), illa upate eomri wa mwaka, ndipo unaporigolewa. tenna humenywa, ukaanikwa siku tatu ao nne. unapokauka, hutiwa ka- tika magunia ao makanda.

na mubogo namna mbili, kuna mubogo mcbungu na mubogo mtamu. mchungu unaitwa nangwa bau- tai'uniki, ukiwa mbicbi , illa ukikauka , bupikwa ugali bulika.

na mubogo, uliotambaliwa na nyoka, hauliki kwa ugali, unateleza, illa hupikiwa pombe.

sbamba ya mubogo Wasuaheli wanaipenda, sababu manfa'a8) yake mengi, na chakula chake wanakipenda.

1) Achre. 2) Aehrc. 3) Geschenk. 4) Opfer. 5) be- stimmtes Mehl. 6) erben. 7) lunger im Feld lassen. 8) Ertrag.

190

kkabaii ya mnazi kiipandwa kwake na matumizi yakc.

auwali ya mnazi mbegu yake nazi yenyi makumbi. huwekwa nyumbani , hatta ikawa kavu , hupelekwa shamba kupandwa. nao hupanda kitako mnazi, iwapo wanataka ule mnazi usiwe mrefu sana. na wataka uwe mrefu kuchutama. na mwanzo wa kupanda siku ya kunya mvua, tenna sherti ckini pawe na mnye- vu x). na sherti yake mwezi arbacteashara , uwapo ki- tanga tele, na mudda wake miezi sitta ao mwaka kutoa mche'-). ba'ada ya miaka mitatu unatoa makuti. miaka mitano unatoa kigogo. mwaka wa sabac una- anza kuzaa.

na kuzaa kwake kwanza huanza karara3), ndilo linalockukua vidaka1). ndani yake vinapata tkalatliini karara moja, lakini Impukutika5) vyote mwezi mmoja, hutoka vidaka vingine. ba'ada ya vidaka huja vitale6), vitale mtu akiwa na kiu, aweza kunywa maji, na kifuu7) aweza kukila, lakin bamna nyama. bacada ya kitale huja dafu la ukomba fe), nalo hamna kitu ndani , kama mcliuzi mzito. bacada yake huja dafu, na kifuu chake kipevu. tenna huja koroma9), nussu dafu, nussu nazi. lakini mtn hawezi kula jingi. ulapo jingi, kama hali- kupendi, tumbo hukusokota. ba'ada ya koroma huja nazi, ndio mwisho wa uzazi wa nazi.

tunasema matumizi yake nazi: matumizi yake wa- anawake hupikia vyakula, mehuzi, mboga. killa cha- kula cha kisuaheli sherti kiwe na nazi. na kupikia

1) nyevu naß, hier mchanga zu ergänzen. 2) Seliüßling, Steckling. 3) holzige Blutenhülle. 4) kleine saftlose Nuß. 5) ahfallen. 6) unreife Nuß mit Wasser ohne Kern. 7) Schale.

8) auch kukomha, Nuß mit weichem beginnendem Fruchtfleisch.

9) fast reife Nuß.

191

kwake nazi inakunwa, tui1) lake ndilo wanalopikia. tumio la pili hupikiwa mafuta. mafuta yake dawa kwa mtu mwenyi upele. kuoshwa upele wake, mafuta yakachanganywa na chokaa akapakwa. ao hukaangia vitumbua, na kuwashia taa. manfa'a ya tatu kufanyiza inbata2). na hizo mbata nazi husikuliwa, kutolewa vifuu. kisha huanikwa hatta zikawa kavub). hutiwa ndani ya magunia, hupelekwa killa inchi kuuzwa liatta barra el-Hindi na Maskati. matumizi ya kifuu clia nazi mwanamke kana hana pesa ya kuni, kufanya vifuo vya nazi ndio kuni.

turejee manfa'a yake ule mnazi. auwali kigogo cha mnazi hufanyizwa vizingiti vya milango, wengine hawawezi kununua vizingiti vya mbao.

kazälika tembo latoka katika mnazi. wagema4) huugema mnazi , na kugema kwao bukata kilele 5) cha mnazi, kisha hufunga vibuyu. machozi yatokayo katika kilele ndilo tembo.

tumizi jengine siki. siki yatoka katika tembo kali. likipata siku tatu, hawezi mtu kulinywa kwa ukali, hulitia katika chupa , wakalifanya siki. na siki yake dawa kwa ingonjwa mwenyi baridi yabisi6). ma'ana hupikiwa katika kitoweo , ndicho kiungo chake. kama kakupata kitoweo , hutowea ile siki tu. nayo khassa ikikaa mwaka ni nzuri sana.

matumizi mengine shale '). mnazi ukianguka, shale watu wanakula. ma'ana wa shale ule moyo wa mnazi, hupatikana katika kilele. na watu hula billa ya ku- pikwa, hula bichi.

1) die aus dem frisch geschabten Kern der Nuß ausgepreßte ölige Milch. 2) trockene ganz reife Nuß ohne Wasser. 3) nazi kavu Cöpra. 4) Zapfer. 5) Herz der Spitze. 6) Rheuma- tismus. — 7) Spitze der Palme.

192

matumizi mengine makuti. wanaezekea majumba, na kuti zake wanachomea mishikaki ya nyama.

manfa'a ya makumbi wanatumia waanawake wafi- nyanzi wa vyungu, na watu wafanyao kamba. ma'ana ya kutumia waanawake ndizo kuni za kuokea vile vyu- ngu. na wafanyao kamba, huchuna yale makumbi, keska wakayagonga, hatta yakawa leini, tenna husokota kamba. Im ndio sifa inayotoka katika mnazi.

thamani yake mnazi riali , na thamani ya dafu moja pesa. na nazi kazälika moja pesa. illa wacbuuzi kukata nazi, wakauza kipande pesa. na zikiwa rakhisi masbamba mbili kwa pesa.

aida mwanguzi wa nazi ujira wake killa mnazi, atakaopanda nazi moja. kama walivosema Wasuaheli: „mfa jua ya mnazi kaponzwa na tamaca zake." na waanawake wameimba :

„ya mkwezi moja, akilewalewa ya mkwezi moja."

kliabari ya taläqa1).

niwanzo wa taläqa.

mwanzo wa taläqa mke na mume buanza magomvi. magomvi yao mwanamke huwa mtembezi ao mume. mume akimkanya mkewe „tulia nyumbani," mwanamke hujibu „wataka univundike kamandizi? ukinitaka mimi sberti nitembee , na kama hutaki tafuta mke mtawa."2) mume humwuzi majibu yale. iwapo hataki kugomba naye, atakwenda kwa wazee wa yule mwa- namke , atashitaki A) , kama mambo afanyayo mkewe. nao watamwita, watamgomba sana, watawapatanisha. mudda wa siku chache watareje'a tenna ugomvi. na ma'ana ya kufanya hivo mwanamume hampendi, amepata mwingine nje.

na mambo bayo mwanamke kijana hayajui, illa hupata shoga, ndiye anayemfunza mambo ya nje. bu- sema „mume moja hajazi kitunga," 4) ao humwambia „ukalima sbamba, sberti uwe na gunda."5) mashikio yake huinzibuka yule kijana. kazälika akilala , bam- singi6), wala hamwoshi miguu. na biyo fedeha7) kubwa kwa mke na mume. iwapo hawapatani, mume atamwu- liza: „wataka, tukae wewe nami, ao butaki?" mwa- namke atajibu: „nataka unache." atamwuliza: „ume-

1) Scheidung. 2) fromm. 3) klagen. 4) Korb. 5) Pflanzung. 6) salben. 7) Schande.

Veiten, Desturi za Wasnaheli. 13

194

burai1) mahari?"2) atajilu: „nimeburai/'' ataandika khatti3) ya kama: „fulani binti fulani iwapo ame- burai mäbari, yaliyo juu yangu, nami nimemwacba taläqa tatu."

marra mwanamke atafunga vyungu na mikeka na kulla kilicho chake , atatoka , atakwenda kwao. ata- wambia wazee wake: „mume wangu amenacha." nao watak wenda m wuliza : saliihi 4) mke wako umemwacha ? u atajibu: „nacam5), nimemwacba/' wazee wake wata- mwita kungwi lake, aje am-woshe. osbo 6) buo ni osho wa kule kuacbwa, sababu ataolewa na mume mwingine, na baa 7) la kule limtoke.

atakaa cedas) miezi mitatu na siku kumi, bäna rukbsa ya kuolewa illa ceda isbe. tenna ataolewa na mume mwingine. na iwapo beina v) yao ilikuwa ma- gomvi na yule mume, hufanyiza sbangwe kubwa na nyimbo , maqsudi10) kumkirihisha u) yule mume. biyo ndio khabari ya kuackana kwao.

nanina ya kutamka12) taläqa.

matamko 13) ya taläqa namna mbili. kwanza namna ya sarelie 14). sarelie ni kumwambia mwanamke „fulani nime- kutalleqi15) taläqa tatu ao moja," ao kumwambia „fulani nimekusarelie," ma'ana umekuwa wazi, buna kitu kili- cbokuzuia. ao kumwambia mwanamke „färaqtuki," 16) ma'ana nimekuiäriqi, wewe si pamoja na mimi. maneno matatu baya matamko yake yanakwitwa taläqa ya sarelie, ma'ana mume akasema kumwambia mke , bailii-

1) verzichten. 2) Morgengabe. 3) Schriftstück. 4) richtig. 5) ja. 6) Waschung. 7) Schmutz. 8) Wartezeit. 9) zwischen. 10) Absicht. 11) ärgern. 12) ankündigen, eigentl. aussprechen. 13) Ankündigung. 14) klare Auseinander- setzung. — 15) Scheidung geben. 16) ich habe mich von dir ge- trennt.

195

taji1) kuulizwa yule mume damiri '") yake, hujulikana, kwamba maneno haya taläqa.

amma hiyo taläqa ya kinäya 3) ni kumwambia mwa- namke „anti khaliyati," 4) ma'ana unamwambia mwa- namke „wewe umekuwa mtupu." ao kumwambia mwa- namke „istabrai rahmuki ," ma'ana umekuwa mbali uchi wako na mimi. ao ni kumwambia „alhiqi bi aha- liki,"5) ma'ana ni kumwambia „nenda kwenu." maneno haya, asemapo mtu, ni matamko ya taläqa, lakini mke hajaachika, illa kurejewa, yule mume kuulizwa, ma'ana ya kusema maneno haya ya kumwambia mke „nenda kwenu." asili6) yake maneno ya taläqa, lakini yame- ingia kifungo ?). iwapo yule mume amekifungua kifungo kwamba „nimesema maneno haya huyu mwanamke nimemwacha" bassi ameachika.

barua ya taläqa.

„mimi Ramatjani wadi8) Khamisi nimetundika taläqa kwa Mäsiti binti 9) Mwenyi Bakari. iwapo amesamehe mahari 10) , yaliyo katika shingo yangu nami nime- mwacha taläqa mbili, si mtu mke wangu.

shähidi11) Mwenyi Aflaha bin Mumbi , wa pili 'Abdurrahmani , katabaku12) Ramaolani wadi Kkamisi."

kliabari ya taläqa mluli na taläqa tatu.

mwanamke akiachwa taläqa mbili, mume aweza kumrejVa. lakini atafute mashähidi moja ao wawili, atawambia: „twendeni mkashuhudie, nataka kumrejeca

1) es ist nicht nötig. 2) Wunsch. 3) versteckte Hin- weisung. — 4) Du bist frei. 5) arab. ilhaqi bi-ahliki begib dich zu deiner Familie. 6) Ursprung. 7) kifungo == kinaya. 8) Sohn. 9) Tochter. 10) auf die Morgengabe verzichten. 11) Zeuge. 12) geschrieben hat er.

13*

196

mke wangu." lakini skeiti mwanamke awe ceda yake haijesha. atamwambia : „fulani binti fulani niinekurejeca kuwa mke wangu katika nikalia1) yangu, na mähari yale ya kwanza." mwanamke na wazee wake, kama kawakutaki , mädäm 2) mume ametamka maneno hayo, mwanamke wala wazee wake hawana njia ya kukataa. kulla skeriea 3) , mume atakayokwenda , atawashinda. illa kama kakujua matamko ya kumreje'a, na ceda yake imekwiska hampati kumreje'a, illa ampose vengine na mähari mengine, ndipo awe mkewe, na kama kataki bassi.

na katika taläqa tatu, ma'ana mume akimpa mkewe matamko ya taläqa marra tatu kwa maneno tuliyo- tangulia kuyataja , mume hawezi kumrejVa yule mwa- namke, ameachika kabisa.

lakini iwapo yule mwanamke anaolewa na mume mwingine , na yule mume amwacke , akae ceda miezi mitatu na siku kumi ndio yule mume wa kwanza, akitaka kumreje'a, amrejee.

na mtumwa taläqa zake mbili bassi. akimwacha mwanamke taläqa mbili , hana rukhsa kumreje'a , illa taläqa moja akimwacha, anaweza kumreje'a.

desturi mwanainimie kumwacha inkc.

mwanamume humwambia mkewe „ukaingia katika nyumba ya binti Feruzi, mwanamke wewe, nami nime- kuwacha, si mtu mke wangu" na mwanamke akain- gia katika nyumba aliyokatazwa, mwanamke huyu ame- achika, si mkewe tenna.

ao mtu kumwambia mkewe mathali4) katika mfun- guo tatu: „mfunguo sitta ukija mwanamke wewe umeachika." na yule mke atahesabu5) miezi, ukatimia

1) Ehe. 2) während. 3) Gesetz. 4) z. B. 5) zählen.

197

mfunguo sitta, läzima mwanamke atoke. kwa shurti mwanamume kuachika mwanamke pasipo sababu, lakini kuweza kumreje'a.

ao mtu kusema „nikikuona umesimama na mwana- mume fulani, mwanamke wewe umeackika" naye mwanamke akasimama na yule mwanamume, mwanamke huyu huachika.

ao mwanamke iwapo nyumbani mvivu, kafanyizi kazi, yule mnuie anayo njia ya kumwacha mwanamke.

ao kama mwanamke ni mtembezi , ameshiriki ') ngoma, mwanamume anayo njia ya kumwacha atakapo.

harämu'-) mume kumwambia mkewe : „wewe nakuona kama utib) wa mongo wa mama yangu." mume asemapo hivo , mke hakuachika , lakini hana rukhsa kulala naye mkewe, illa atoe kafära4) kuandikia mtumwa hurru.

kazälika haramu kumwacha mke , naye yu katika miezi 5) , ma'ana yu katika damu 6). macana yake uli- pomwoa, alikuwa mzima, naye akireje'a kwao sasa vilevile awe mzima.

1) teilnehmen. 2) verboten. 3) Rückgrat. 4) Buße, Sühne. 5) Menstruation. 6) Blut.

khabari ya maradi1) na dawa2) zao.

maradi ya lionia3).

homa namna mbili. kuna homa ya bardi4) na homa ya hari5). amma lioma ya bardi asili6) yake yatoka katika mvua. inyapo mvua , na mtu ametoka nje, na mvua ikampata, akifika nyumbani, maungo yake huwa na bardi na kutetemeka. dawa yake homa ya bardi hupikiwa chayi ya moto, akanywa, na kujifukiza uvumba 7) mbichi , moshi umwingie maungoni. kisba marra ajifunike nguo. hatta jasho limtoke.

amma homa ya hari, jua likiwa kali sana, na mtu alikuwa nje, jua limempata, huingiwa na homa. naye huona fukuto 8) maungo yake, marra huona jasho marra huona bardi, na kichwa kumgonga. dawa yake husu- guliwa maungo yake yote kwa dalia 9) ya maji , na nyingine hupakwa jua ya kipanda uso. hatta ikikauka ile dalia maungoni , mwili wake hubaridika , hupata hujambo.

mtoto akiwa na homa, huandikiwa „mafusho" 10) sabac na mw'allimu katika qartäsi11). nayo huandikwa

1) Krankheit. 2) Heilmittel. 3) Fieber. 4) Fieber in Folge Kälte. 5) Fieber in Folge Hitze. 6) Ursprung. 7) ßenzoe. 8) Schüttelfrost. 9) ein Pulver, das durch Zerreiben von mdalia-Holz gewonnen wird, mdalia ist ein indischer Baum und dalia wird wie uvumba von indischen Händlern verkauft. 10) Räucherwerk. 11) Papier.

199

majina baya „alitam faskaz,"1) kisha hutiwa katika mafuta ya uto 2). ukaletwa moto , yakatiwa mafusko ndani ya moto, kufukizwa yule mtoto, katta jasho limtoke.

kazälika mkubwa akiwa na koma, kufanyiziwa ma- fusko kama kivi.

na iwapo mtu ana koma nyingi, na watu wake kutkanni 3) kickwa kimempungua , kusema „tumpime kickwa." kunyolewa kickwa, kiska kutwaliwa siagi4), na tui5) la nazi. tui la nazi kubandikwa juu ya pamba, akawekwa juu ya utosi. na ile siagi busuguliwa kile kickwa katta povu kumtoka. tenna kufungwa kitambaa ckeusi. kufanyiwa kivo mudda wa siku tatu. kujuli- kana kickwa kimempungua ao kakikumpungua.

ugonjwa wa ndui6).

ndui kazina dawa. dawa yake moto. ba'ada ya siku saba\ ndui zikawiva, kutumbuliwä 7). kiska ku- twaliwa kitambaa na mckanga uliwo moto, akackomwa yule mwele 8) wa ndui. na kama kawezi kuvumilia moto , knlemaa 9) maungo yote. ao zikimpata nyingi usoni, naye moto anaogopa, macko kupofuka10). na mudda wake sabac mbili , na killa siku kutiwa moto mvunguni 11).

kazälika macko yake, kama kawezi kuyafunna, sa- babu ndui nyingi, kutiwa mkojo 12) wa mtoto mackoni, mtoto wa miaka sitta ao saba', kuckelea asipofuke.

naye mgonjwa wa ndui kaonekani na killa mtu, illa yule amwuguzaye. wala mtu aliyelala na mwa-

1) Namen von pepo. 2) Sesamül. 3) glauben. 4) Butter. 5) öliger Saft aus dem Kern der Kokosnuß ausgepreßt. 6) Pocken. 7) aufstechen. 8) Kranker. 9) entstellen. 10) blind werden. 11) Raum unter dem Bett. 12) Urin.

200

namke, ao mwanamke amelala na mwanamume, akitaka kuonana na mgonjwa wa ndui , hana rukhsa, sababu kuchelea yule mgonjwa asicjkirike l). na mzio 2) wake samaki, hatta apone, mudda wa miezi miwili ao mitatu ana rukhsa ya kula samaki.

na mwanzo wa ugonjwa wa ndui buanza buumwa na maungo, tenna homa. waanawake wazee wakimwona mtu ana homa na kiuno kamwuma, wanajua atatokewa na ndui. marra hupikiwa muhindi wa kutokosa 3), akala.

na ndui namna tatu. kuna „ndui za mbindi," na „ndui za mtama," na „ndui za ufuta." za ufuta zikam- pata mtu kupona bakbti4) yake. zinakuja kwa ubaya sana.

na waanawake hupenda kwimba mwimbo huu : „kutoka *) natoka kwako,

kurudi naona shemu2),

nalitokewa na ndui

za mbindi na mtama,

ulithanni ntakufa

upate kunila nyama,

sasa nimeondokea 3)

kwa nguvu za maulana. " 4)

1) verlassen. 2) Scham. 3) gesund hervorgehen. 4) unser Gott.

mai ad i ya bul)a5).

buba maratji mabaya. mno hukaa puani , ao kwa-. pani, ao mikononi. na umbo lake kama pesa. mtu akitokewa na buba, sberti awe na watu wa kumtazama.

1) schädlich sein. 2) Verhot. 3) im Wasser kochen, sieden. 4) Glück. 5) krebsartige Hautkrankheit.

201

na kama hana watu, asiwe mchafu. na hao watu bum- peleka pwani, kumwosha na kumsugua kwa mabunzi1) ya mbindi, hatta ivuje2) maji. kisha atiwe dawa, jina lake mrututu 3) , unafukuta 4) sana. akitiwa as-sububi, maji kujaa5), bainyamazi dawa mpaka jioni maji kujaa. na kama mtu, ametokewa na buba, bana wa kumtunza, itamlemaza (') mikono , atavunjika , atakuwa kiwete 7). nayo inanuka. kazälika inakaa pacbipacbi ya ukundu8). mtu akenda, bumwagua, watu bumjua, ya kama buyu ana buba.

maradi ya ukonia9).

haya ndio maradi yaliyokataliwa na watu. mtu mwenyi ukoma, wote bawampendi kula naye, wala kukaa naye. tenna bapana dawa katika mrima pwani wala barra ya mwenyi ukoma. na mwanzo wake ma- ungo buwa na mabumbuza10) na vyoa11). tenna bu- wiva vile vyoa, bufanya madonda maungo yote. batta yakipevuka, bukatika vynngo, vidole, ao miguu. watu bumwita kiratu12), ma'ana busema: „wewe si mwenzetu tenna, wewe na nyama sawa, makazi yako mwituni." akisikia buqasirika sana. majibu yake busema: „kiratu mamayo na babayo."

maradi ya upele13).

upele namna mbili upele mnene na ukurutu. amma upele mnene dawa yake killa siku kuoshwa kwa maji ya moto ao maji baridi, batta utoke maji. kisba bupakaa mafuta ya nazi, ao mafuta ya nazi na cbokaa. "lakini baifai koga maji cbumvi. na ukurutu dawa yake

1) leere Maiskolben. 2) i auf buba bezüglich. 3) Kupfer- vitriol. — 4) brennen. 5) Flut. 6) lähmen. 7) lahm. 8) am Afterring. 9) Krebs. 10) Bläschen. 11) Flecken. 12) Schuh. 13) Krätze.

202 -

ni kama biyo. lakini maradi yake ni mabaya sana. na upele wake mdogomdogo kama punje1) za mchanga, hujikuna mtu mchana kutwa.

maradi ya mti2).

kwanza mtu huumwa maungo mazima, tenna bu- tembea killa kiungo. na dawa zake bucbnliwa 3) kwa mafuta ya nyonyo 4) , na kukandwa 5) kwa kaziki ü) na mafuta. ikiwa mtu bakbti7) yake kupona. kama hana Imkkti, hutokwa na kibiongo b), ao bulemaa mkono ao mguu ao buwa na kiharusi9). na mti cila10) yake unavunja pua.

maradi ya mshipa11).

msbipa mtu buzaliwa nao. kama baba yake ali- kuwa na mshipa, na mtoto hupata. na wengine wanau- pata ukubwani kwa kutwaa mno waanawake. na ma- radi bayo fedelia 1-) sana. bucbekana "Wasuaheli mtu akiwa na msbipa. bumwuliza : „lini mvua itaku- nya?" bujibu: „kwani, miini nna msbipa? nenda kwa fulani mwenyi kitongo13), atakupa kbabari ya mvua/' ma'ana ya kitonga ni buo msbipa. na fedeba ya ma- radi baya mtu akikaa barazani na watu, na nje kuna mawingu, marra pumbu14) yake italia kama vyura vimo ndani. watu wakisikia , mtu mwenyi baya 15), akijua pumbu zangu zinaanza kulia buondoka. mwenyi msbipa mbaya utamtuna16) upande kama chungu, jina

1) Sandkörner. 2) skrofuläre Geschwüre. 3) chua in streichender Weise massieren. 4) Rizinusöl. 5) in drückender Weise massieren. 6) rauhe Fläche eines irdenen Topfes. 7) Glück. - 8) Buckel. 9) Krampf. 10) Höhe. 11) Hoden- bruch, eigentlich Ader, Blutgefäß, Nerv, Muskel. 12) Schande. 13) Hodenschwellung, Bruch. 14) Hoden. 15) Scham. 16) anschwellen.

203

lake unakwitwa „mshipa wangiri."1) kuna na „mshipa wa ngombe," huo si mbaya.

watoto wengine, waliwozaliwa na mshipa, wana- pikiwa dawa wakizaliwa. na mshipa hupikwa kwa dawa zake kuku na mzizi wa mwitu.

kazälika Wanyamwezi na Wasukuma, wakiwa wa - zima, huupenda mshipa, wanaita lurigombe. kwao mtu mwenyi mshipa, hupata keshima2), sahabu ana pumbu. lakini wao wanajua dawa zake.

maraeli ya tego3) na kisonono4).

maradi ya tego yakimpata mwanamke ao kisonono, hafai kutwaliwa na mtu. akimwendea mwanamume yatampata magonjwa vilevile. tenna kujulikana kwake mwanamke mwenyi tego ukimtwaa husituka, kama walivoimba :

„upande wa kusi usende, upande wa kusi usende,

wanitonesha 5) käsende6), ^^^m4i^

wanitonesha käsende." ^_, - na dawa zake hilo tego mvuke7), huchuma majani, akapikiwa nyungu, hukaa juu ya, kiti, na moshi ule humwingia katika uchi 8). na akafanyiza oga , hawezi kuhimili 9) moshi, uchi utamkatika ote; ugonjwa wa tego mbaya. afadali kisonono.

dawa ya kisonono mzizi wa papaye dume 10) na ubani mweupe, hutokoswa na maji, kisha hupewa mgon- jwa kunywa mudda wa siku sabac. kikiwa kisonono cha damu hukatika, akapata nafu'u11). ndio khabari ya dawa ya kisonono na tego.

1) Warzenschwein. 2) Respekt. 3) Syphilis. 4) Tripper. 5) tropfen machen. 6) käsende oder kaswende Syphilis. 7) Baum. 8) Blöße. 9) aushalten. 10) Payaye, die keine Früchte trägt. 11) Gesundheit.

204

maradi ya pumu1) na kifua kikuu2).

pumu maradi yake hushikwa na kifua kukohoa3), na pumuzi4) zake huwa juu kwa jun, wala hawezi ku- sema kwa sauti6) kubwa. wala mgonjwa wa pumu hana nguvu, wala hawezi kwenda mbio , mwili wake mkavu kama samaki wa ngonda ü), hupumuzika kama paka. na maradi yake mno humjia waqati 7) wa mvua. khatari8). akinywa maji, kumsazia mtu, na kitu alicho- kitia kinywani mwake. hayana dawa maradi hayo.

kazalika kifua kikuu. vilevile mwanzo wake ku- kohoa. na akila kitu hutapika !)). na kinapoqaribia ku- wiva , hukohoa hatta akajamba10), na kifua kumlia kana ngoma. akiwa katika nyumba, mpita njia kujua, mna mtu ana kifua kikuu. na makohoo n) yake hutoka damu. khatari kuyakanyaga1") makohoo hayo, sababu hupata maradi yaleyale yule mwenyi kukanyaga. kazalika naye kitu, alichokula, haifai kula mtu mwingine.

maradi mawili haya yakampata mtu, hapana dawa illa jembe13) na kiunza li), ma'ana qabri15). yafa'a mtu kujilinda na watu wenyi maradi haya.

maradi ya mdudu16).

mwanz o wake kidole huvimba ndani ya ukucha pa- sipo sababu. mtu akijua kidole kinaniuma, hujua mdudu. dawa yake hutia sifa 17) ya papa kidole chote, ao hukata tunguja 18). ukisha kata, huvika kile kidole. mudda wa siku tano ao sitta huwiva kile kidole, nacho huuma mno, hawezi kulala mtu. hatta kikesha wiva, usiku hupa-

1) Schwiudsuclit. 2) Asthma. 3) husten. 4) Atem. 5) Stimme. 6) getrockneter Fisch. 7) Zeit. 8) Gefahr. 9) erhrechen. 10) furzen. 11) Husten. 12) auf etwas treten. 13) Hacke. 14) Totenhrett. 15) Grah. 16) Wurm. 17) Haifischöl. 18) nicht eßhare Frucht des Waldes, auch tura genannt, die in der Mitte durchgeschnitten über den Finger gestülpt wird.

205

suka pekeyake, kutoka usaha1) mwingi. keska kupaka tenna sifa, ma'ana yake usibaqi usaha ndani, tenna hui- ondoa ile tunguja.

Ibardi yaMs2).

mwanzo wake mtu hukonda, na uso wake kauwi na nuru 3), wala hana nguvu za kwenda mbio, na moyo wake kumpiga shindo ao kingita 4). na akenda choo kaipati, na akipata choo . kigumu kama mavi ya mbuzi, naye huona uckungu sana. dawa yake huambi- wa: „kula vyakula vyarutba5) kama nyama ya mafuta, ao kunywa maziwa ya mgandisho." 6) kukatazwa kunywa mtindi 7), na kulla vitu vilivo vikavu, mfano wa nyama isiyonona, ao wali usio samli s). ao kuambiwa „kula zabibu9) safi," khassa10) wali wa mtama kuambiwa kula sana, na mboga kulla siku. mudda wa mwezi mmoja hali yake hurejYa njema.

"•\

maradi ya bardi ya rutba11).

mtu kuvimba miguu, akavimba na mashavu u). iwapo mtu mweusi, uso wake huwa kimanjano13) na mikono humvimba, ikawa minene. naye kazälika kawezi kwenda mbio. mzio14) wake kukatazwa kula nyama za mafuta ao samli. iwapo afanyiwa dawa, hula wali wa mtama kitoweo papa mckanga 15), hupikwa na siki ya mnazi mudda wa siku saba'. na chakula ckake hakitiwi ckumvi nyingi huzicli kuvimba, naye hukatazwa kukaa ki- kao kimoja, huambiwa kutembea. na kulla kitu kili- ckonona hakili, vitu vinono kama mfano embe mbivu ao ndizi mbivu ao wali wenyi samli nyingi.

1) Eiter. 2) Rheumatismus. 3) hat keine Farbe. 4) beides Herzklopfen. 5) saftig, fett. 6) Milch mit Sahne. 7) Buttermilch. 8) Fett. 9) Rosinen. 10) besonders. 11) feuchte Kälte. 12) Wange. 13) gelb. 14) Verbot. 15) junger Haifisch.

206

maradi ya tainbazi.

tambazi maradi yake bnmwingia mtu tumboni, ba- yatoki nje. watu wajuao, kama ana tambazi, hnnunua mkaa1), wakansaga katika mkungu, bumpa akany wa. nao mcbungu sana. mudda wa siku tatu butokea nje yale maradi, bujulikana toki 2) ao uvimbe 3). buugua yule mtu, hatta utumbuke pekeyake. bumsagia dawa kumpaka palipotumbuka mfano wa moshi4) wa nyu- mba , ao busaga dalia akapakwa. butezama kama dawa inayomfaea. na mwanzo wa maradi yake bayo. kama hawakusaga mkaa kumpa kunywa, maradi yaka- kaa tumboni, bufa mtu.

maradi ya tende5).

tende asili yake buvimba miguu, ikawa mfano wa kinu. na maradi bayo bayana dawa, bayawivi, wala bayatumbuki. na mwinyi tende bawezi kwenda upesi. wengine buwa na tende mguu mmoja, wengine yote miwili. na "VVasuaheli wanasadiqi tende äsili yake ma- tenzo6), amefanyiziwa kitu, kimewekwa njiani, naye amekikanyaga ndipo miguu ikamvimba. ndio maana kwitwa tende, ma'ana ametendewa kitendo.

maradi ya safra7).

mwanzo wake mtu buvimba maungo yote batta macbo, na rangi yake buwa kimanjano 8). ma'ana yake maungo yake hana damu 9) illa usaha 10). ukimgnsa bu- bonyea11). dawa yake butwaliwa makaa ya cbumau), bu- twangwa, unga wake bupikwa na asali ya miwa13), killa as-subuhi bupewa kidogo kuramba u) mudda wa siku

1) llinde eines Baumes aus Indien. 2) Ausbruch. 3) Schwellung. 4) Ruß. 5) Elephantiasis. 6) von tenda han- deln, jemand etwas antun, matenzo also böser Zauber. 7) Gelb- sucht. — 8) gelb. 9) Blut. 10) Eiter. 11) einsinken. 12) Eisenspäne. 13) Zuckerrohrsyrup. 14) lecken.

207

sabac. na chakula chake wali wa mtama, na kitoweo ckake ni mboga ya mchiclia x) ao papa mchänga 2) ao siki 3) mudda wa siku sabac.

maradi ya jongo4).

asili yake mskipa h) kujikunja 6) mahali pamoja. iwapo nmejikunja juu ya mguu, huchuliwa kwa mafuta ya nyonyo. na kilo jongo hutanibaa maungo 7) yote. na iwapo limcfika juu ya mongo 8), huchuliwa vilevile kwa mafuta ya nyonyo, na kuwekewa kitu kilicho kizito juu ya mongo wake ao kifuani hatta apone.

maradi ya choa9).

choa maradi yake hutunga vipele ,0) vidogovidogo maungoni na kufanya mabumbuza u). dawa yake husaga pesa, maji ya pesa hupakazwa juu ya vile vipele. na asipopona, maradi yakipevuka, hutokewa na ukoma.

maradi ya harara12).

hupatikana waqti wa kasikazi13) kwa sababu jasho jingi ndani ya maungo. maradi yake mtu hututusika u) maungo yote. dawa yake husagwa dalia ya maji, aka- pakwa maungo yote. tenna maungo yake huwa baridi, ikikauka dalia, nayre amepona.

maradi ya kifafa15).

asili yake mtu hupitiwa na kitu mbele yake usiku, akikiona kusituka10). bacada ya kusituka hutokewa na homa, mwisho wa homa yanapoanza hayo ma- radi ya kifafa huanguka. kulla mwezi huanguka. na

1) Spinat. 2) junger Haifisch. 3) Essig. 4) Gicht. 5) Ader. 6) Knoten bilden. 7) Körper. 8) Rücken. 9) Ringwurm. 10) Pickel.— 11) Bläschen. 1 2) roter Hund. 13) heiße Jahreszeit, 14) ausbrechen. 15) Fallsucht. 16) rschreckt werden.

206

maradi ya tauilbazi.

tambazi maradi yake kunrwingia mtu tumboni, ha- yatoki nje. watu wajuao, kama aim tambazi. hununua mkaa1), wakausaga katika mkungu, kumpa akanywa. nao mcliungu sana. mudda wa siku tatu hutokea nje yale maradi, kujulikana toki2) ao uvimbe3). kuugua yule mtu, hatta utumbuke pekeyake. humsagia dawa knmpaka palipotumbuka mfano wa moshi4) wa nyu- mba , ao husaga dalia akapakwa. hutezama kama dawa inayomfaea. na mwanzo wa maradi yake hayo. kama hawakusaga mkaa kumpa kunywa, maradi yaka- kaa tumboni, hufa mtu.

maradi ya tende5).

tende asili yake huvimba miguu, ikawa mfano wa kinu. na maradi hayo hayana dawa, hayawivi, wala kayatumbuki. na mwinyi tende hawezi kwenda upesi. wengine huwa na tende mguu mmoja, wengine yote miwili. na "YVasuaheli wanasadiqi tende asili yake ma- tenzo6), amefanyiziwa kitu, kimewekwa njiani, naye amekikanyaga ndipo miguu ikamvimba. ndio ma'ana kwitwa tende, ma'ana ametendewa kitendo.

maradi ya safra').

mwanzo wake mtu huvimba maungo yote hatta macko, na rangi yake huwa kimanjano 8). ma'ana yake maungo yake hana damn 9) illa usaha10). ukimgnsa hu- bonyea11). dawa yake hutwaliwa makaa ya cliuma11), hu- twangwa, unga wake hupikwa na asali ya miwa13), killa as-subuhi hupewa kidogo kuramba ,4) mudda wa siku

1) Binde eines Baumes aus Indien. 2) Ausbruch. 3) Schwellung. 4) Kuß. 5) Elephantiasis. 6) von tenda han- deln, jemand etwas antun, matenzo also böser Zauber. 7) Gelb- sucht. — 8) gelb. 9) Blut. 10) Eiter. 11) einsinken. 12) Eisenspäne. 13) Zuckerrohrsyrup. 14) lecken.

-

;

!

207

sabac. na chakula chake wali wa mtama, na kitoweo ckake ni mboga ya mchicha *) ao papa mchänga 2) ao siki 3) mudda wa siku sabac.

maradi ya jongo4).

äsili yake msbipa 5) bujikimja 6) mahali pamoja. iwapo umejikunja juu ya mguu, huchuKwa kwa mafuta ya nyonyo. na bilo jongo butarnbaa maungo 7) yote. na iwapo limefika juu ya mongo &), bucbuliwa vilevile kwa mafuta ya nyonyo, na kuwekewa kitu kilicho kizito juu ya mongo wake ao kifuani hatta apone.

maradi ya clioa9).

cboa maradi yake hutunga vipele 10) vidogovidogo maungoni na kufanya mabumbuza u). dawa yake husaga pesa, maji ya pesa hupakazwa juu ya vile vipele. na asipopona, maradi yakipevuka, butokewa na ukoma.

maradi ya harara12).

bupatikana waqti wa kasikazi13) kwa sababu jasho jingi ndani ya maungo. maradi yake mtu hututusika u) maungo yote. dawa yake husagwa dalia ya maji, aka- pakwa maungo yote. tenna maungo yake huwa baridi, ikikauka dalia, naye amepona.

maradi ya kifafa lft).

asili yake mtu bupitiwa na kitu mbele yake usiku, akikiona lmsituka10). baeada ya kusituka butokewa na boma, mwisho wa homa yanapoanza hayo ma- radi ya kifafa buanguka. kulla mwezi huanguka. na

1) Spinat. 2) junger Haifisch. 3) Essig. 4) Giclit. 5) Ader. 6) Knoten bilden. 7) Körper. 8) Rücken. 9) Ringwurm. 10) Pickel.— 11) Bläschen.— 1 2) roter Hund. 13) heiße Jahreszeit. 14) ausbrechen. 15) Fallsucht. 16) rschreckt werden.

208

anapoanguka, butokwa na povu *) kinywani mfano wa frasi. nayo haina dawa maradi kaya. na akila kitu, ao akinywa maji, kaifai mtu mwingine kunywa. anywa- po, hupata maradi yake.

maradi ya cliumjua 2).

asili yake liuota kipele 3) maungoni , nacko kina mdomo. na kinapoota kicko kipele, dawa yake hukatwa kwa wembe, tenna kupakwa taka 4) za mwili palepale palipokatwa, marra kukauka.

asili ya yilcma5).

mtu akiwa na makeng'eza6), mama yake alipokuwa na mimba pevu 7), akitezama mwezi sana, ao akatezama mtu mwenyi makengeza . akizaa mtoto , naye kupata makeng'eza. nayo kayana dawa.

amma mtu mwenyi ckongo 8) asili yake kuugua macko, ao kngomba na mtu, akampiga fimbo ya jicko, likapofuka jicko. na bayo maradi ya macbo kuambiwa mtu koska macko yake kwa maji ya umande9) killa as- subuki. ao kuckuma majani ya mbazi 10), yakasagwa11), maji yake kukamuliwa12) jichoni. ao kusagwa njano13), maji yake kutiwa pamba iliyo safi, akabandikwa juu ya macko. ao kuckumwa majani ya mwingajini 14), ma- jani yake kusagwa vilevile, maji kukamuliwa jickoni. ao majani ya mqabliskemsi 15) yakafanyizwa vilevile. na mwanzo wake kutiwa lile jicko zima kwanza, kkalafu likatiwa la pili.

1) Schaum. 2) Warze. 3) Tickel. 4) Schmutz des Kör- pers. — 5) körperliche Gebrechen. 6) schielen. 7) reife Schwangerschaft. 8) einäugig. 9) Tau. 10) indischer Bohnen- strauch. — 11) saga mahlen. 12) kamua pressen. 13) Gelb- wurz. 14) Baum. 15) Baum.

209

äsili ya kiziwi ') mtu liuingiwa na mdudu 2) shiki- oni, akafa yule mdudu asitoke. mtu huugua shikio, hufanyiziwa dawa. mwanzo wake hutiwa maji shikioni, kisha huinama, maji yatoke, hutoka na yule mdudu vile- vile. na kama mdudu hakutoka, liufanyiza dawa nyin- gine.

äsili ya bubu3) mtu huzaliwa nao ububu, na ki- tembe 4) na kigugumizi 5) vilevile. hayana dawa maradi hayo.

wa amma maradi ya kicliaa6) äsili yake mtu ame- kuwa na mali yakampotea, ao ni kufiwa na mke, ampendaye. mwanzo wake kusema pekeyake, watu wa- kimsikia humcheka, naye huqasirika. tenna bufanyiwa dawa, na dawa yake hutiwa katika chumba chenyi kiza, naye mwenyi hajijui mimi nipo wapi, wala hajui, kwamba watu wananifanyia dawa. hukaa mudda wa mwezi nclani, hutolewa nje kutazamwa caqili ') yake. amma dawa ya pili kuchinsliiwa nyama ya mbwa, naye mgonjwa hajui kama nyama ya mbwa, hupewa pamoja na cha- kula akala. hupewa marra moja, khalafu hutezamwa caqili yake itnerudi ao haikurudi.

khabari ya nzige8).

mwaka, walioshuka nzige katika mrima, yalikuwa ta'abu9) kubwa na maradi mengi.

kwanza yaliingia maradi ya tumbo. mtu akasema „nna tumbo linaniuma" akiwa na jama'a yake, hu- enda kwa Mhindi kununua sanda 10) tayyari11), hatta as- subuhi amekufa.

1) Taubheit. 2) Wurm, Insekt. 3) stumm. 4) anstoßen mit der Zunge. 5) Stottern. 6) Verrücktheit, ana kichaa, ana wazimu oder ana mahoka werden gleichbedeutend gebraucht für „er ist verrückt". 7) Verstand. 8) Heuschrecken. 9) Not. 10) Leichentuch. 11) fertig.

Veiten, Desturi za Wasuajjeli. 14

- 210

tenna akaingia maradi ya ndui. mtu akasema „leo siwezi, nna homa," atalala liatta as-subulii ndui zi- memtoka maungo yote. mudda wake siku sitta, ya sabac amekufa. walikuwa wakizikana hatta kbalafu waanawake bucbukua maiti 1), wakenda wakazika.

bacada ya kayo ikaingia njaa2) kubwa. mimea killa ikapandwa baiji juu, sababu ya nzige, walivosbuka wengi. bamkuwa na kitu masbamba mubogo wala vyazi wala mpunga wala kitu kinacboliwa. kazälika makuti ya minazi yote yalikwisha, sababu wa- naposbuka bao nzige, busbuka juu ya minazi ao ya miembe kula yale makuti. na mtu akataka kutembea njiani, afumbe mdomo, asimeze nzige.

na bao Wanyamwezi- na Wasukuma, waliokuwako katika mrima waqati huo, walikuwa wakenda sbamba kukamata nzige. buwatia katika magunia, huwaleta katika mji kuuza kwa Mabulusbi na Wasbibiri. nao buwakaanga, wakatia cbuinvi, kesba buanika, waka- wapakia kuwapeleka barra eArabu na Makarani zawadi. nao wanawapenda sana kula kama Wanyamwezi. na Wasuabeli wengine wanakula nzige, wengine hawataki.

nainna ya pili ya bawa nzige wadogowadogo, wa- nakwitwa vimatu. wakaingia katika sliamba la miwa ao la ndizi ao mpunga, wakalala usiku kucba liatta as- subulii bapana kitu. na mate yao mabaya. kitu wali- cbokisaza kama mua ao mubogo ao vyazi, mtu akala, huona cbungu sana. ukiwa mua umepooza, ukiwa mubogo mcbungu , ukiwa mpunga wali wake mbaya.

na kuwafukuza kwao wanaposbuka, bupiga madebe ao hufanya maputo3) kuwapiga, lakini bawaondoki.

1) Leichnam. 2) Hungersnot. 3) von puta schlagen ; puto einige Zweige mit Blattwerk daran.

- 211

afadali mvua inapokunya, wengi wanakufa, liatta mayayi yao hayazai watoto.

na mwaka uleule, ba'ada ya nzige kuondoka, likaja baa la jua kuwa kali kushinda baa la nzige, vitu vyote vikakauka mashamba. na baa likawashukia jua kuwa kali, ao maradi mengi katika mji husema „muungu ametuqasirikia, sababu tuna mambo maovu, tuliyofanyiza, " husema „wäjibu wetu tulete toba." ]) na toba yao wa- napokwenda kusali, huomba duca 2) kwa muungu ya ku- taka samaha 3), awaondolee baa, lililowaslmkia, husema: „yä rabbi, wewe ndiwe unayoona yote, tufanyayo, la- kini wewe huonekani, tupokelee duca zetu, utuondolee maradi na shidda4) uliyotuletea kwa fadila5) zako."

khabari ya funza6).

mrima wameingia wadudu, jina lake funza. wadudu hao wabaya sana. nao wadogo kama punje ya mchanga. na äsili yake wametoka kep 7), wameletwa na wapagazi katika mizigo, wameenea mirima yote. na uda'ifu 8) wao anapoingia katika mguu, mtu hajui, illa huona unye- nyefu 9) mguuni amekwisha ingia. mudda wa siku tatu amekuwa kama punje ya mtama ao muhindi. naye huingia killa pahali mkononi ao mguuni ao pahali pengine.

na kutolewa kwake kwa shinclano. na atoaye, sherti yataka mtu anayejua, asiyejua kumtoa, akim- tumbua yule mdudu, hufanya kidonda, läzima amtoe mzima. na hao wanaotoa vibaya wadudu, watu wengi wameharibika miguu na kukatika vidole, sababu mate yao ni mabaya, hufanya usaha. na mtu miguu yake

1) Reue. 2) Anrufung. 3) Verzeihung. 4) Unglück. 5) Güte. 6) Sandflob. 7) Capland. 8) Schlechtigkeit. 9) Kitzel.

14*

212

iwapo michafu , kufanya ndio nyumba , hawaondoki. yaliitaji killa as-subuhi na jionj miguu kuiosha kwa maji ya moto. na anapotolewa yule rndudu, kuoshwa kwa maji ya moto, ijapo wataingia si wengi. na namna yao wadudu hao kama mfano wa viroboto *) vilivo vidogo. na 'azabu 2) kubwa wangiapo 3) katika miguu ya watoto wadogo, wasipotezamwa, kuharibika miguu yao.

1) Floh. 2) Strafe. 3) waingiapo.

khabari ya mtu kuzikwa.

kuzikwa kwake mtu akifa , ukiwa usiku , hutoka mtu kupeleka khabari kwa ndugu za yule aliyekufa. wakifika , wataamru kuckimba ufuo. nao bucbimba chini ya kitanda, alipo yule mtu aliyekufa. ma'ana mtu aliyekufa läzima kutendewa mambo manne, la kwanza akifa huoshwa , la pili hukafiniwa sanda , la tatu husaliwa kwa dini yake , la rme huzikwa katika qaburi.

watu wanaomwosha maiti *) watu watatu. mmoja „msliika kata" humtia maji yule maiti, na maji haya buingia katika ule ufuo uliocbirnbwa cbini. na „mkan- gama" humfinya mavi, na „mwegamu" bumzuia maiti. na kuosba kwetu buosba kwa maji ya majani ya mkunazi2). na mwisbo humwaliza kwa garafuu maiti3). kisba hum- funika mfuniko mpya. bawalali tenna usiku kucba, wake na waume wanalia.

as-sububi watapeleka kbabari killa paliali, ambapo yule maiti pamernpasba masbamba ao mjini. wata- kuja, kulla mtu amecbukua sanda4) fedda ao bafta. wale watu waliofika, bupelekwa katika cbumba, alicbomo yule maiti. killa mtu bummiminia kata tatu za maji kicbwani hatta miguuni.

1) Leiche. 2) Brustbeerbaum. 3) Kampfer. 4) hier Beitrag zum Leichentuch.

214 -

marra hutumwa mtu kuitwa mw'allimu na majumbe. na iwapo aliyekufa kijana wa mji, yule mwenyi maiti yake atawapa shauri majumbe : „tunataka kuzika." watajibu: „qaburi imechimbwa?" kama bado, watauliza wale majumbe: „mtainzika wapi, Kingani ao Nunge ao Pangapanga?" ma'ana katika mrima killa mtu ana pahali pake pa kuzikwa. Wapangapanga sherti wende huko , kama hawakufanyiza hivo beina yao wata- gomba , ao nussu ya watu wataondoka katika maziko. na sababu ya killa mtu ana pahali pake pa kuzikwa

sababu yake katika uzazi wa mrima , hutezama qabila1). qabila ya kina fulani ndio inayofaca kuzikwa Pangapanga, na qabila ya kina fulani kuzikwa Nunge. lakini wageni , watu wa Unguja, bawazikwi maqaburi hayo, wala watumwa hawendi maqaburi hayo. hio ndio ma'ana ya kuzikwa katika pahali mbalimbali. killa mji wa mrima una maqaburi kama hivo, tulivotaja Ba- gamoyo, na majina yake ya maqaburi.

watu wakipatana, watakwenda chimba qaburi upande walioelekezana. majumbe watatoa amri kushonwa sanda, watoe na ta'arifu ya mtu aliyekufa. marra atakwitwa kabiri, ma'ana mpiga zumari, atasimama mlangoni na shaha mmoja , atasema shaha : „kina mwana , pokeni ta'arifu , fulani bin fulani amefariqi dunya."2) yule mpiga zumari marra atapiga zumari , na uwanjani zi- pigwe ngoma kuu. waanawake wanalia ndani, na waa- naume wanashona sanda.

na sanda ya mwanamume nguo tatu , na kanzu na kilemba, na mwanamke sabac, majamvi matano, na nguo ya kujifunika, na ukaya. na katika sanda kushonwa

watani 3) wanataka cada zao. wakesha shona, watatia ile sanda dalia na marashi, wafukize na ubani.

1) Familienstamm. 2) sich von der Welt trennen. 3) Stammesgenossen, Vetternschaft.

- 215

wataingia ndani watu watatu , iwapo aliyekufa mwanamume, wamvike ile sanda waifunge maiti katika mkeka. kiska wamtie katika jeneza *) , waitambuske kizingitini -) , kuganga marra tatu ile jeneza. keska wataskika watu wanne , wawili mbele wawili nyuma, wanyanyue , kusema : „lä iläka illä 'Hak , iläka illä 'lläk, illä 'Hak illä 'lläh, Muhammed er-rasülu 'lläki."3) na wanaofuata jeneza kuitikia, katta wanke mskitini. wakifika, wataitia ndani jeneza, waingie na watu wen- gine, asaliwe yule maiti. keska watakwenda qaburini, azikwe maiti.

na kuzikwa kwao qaburi kufunikwa juu na nguo, kukaa watu watatu katika qaburi kupokea yule maiti. akifika maiti, mtu mmoja hu'azzini4). keska kumlaza yule maiti ndani ya mwana wa ndani 5), wakaweka ubao wa kiunza juu ya yule maiti, keska kufukia lile qaburi.

na kawa watu watatu, waliockimba qaburi, kawa- ondoki katika qaburi , katta lijae , lakini bawafukii pekej-ao , wote kuwasa'idia. na wakiwa watani , na utani wao kawakupata, kawampi rukksa maiti kuzikwa, katta wapate eada yao.

wakesha, kuleta mtungi wa maji, akakaa mw'allimu juu ya kickwa cka qaburi , akafukua tundu , akasoma talaqini6), akatia maji ya shakada, ma'ana yake ni kuwa yeye muslim. tenna kuzika mibono 7) pembe zote nne, miti midogo , kkalafu yake kukua ile miti, ndio uskahidi kwa watu kujua , ya kama kii ni qaburi. tenna kusoma fätika watu, kuenda nyumbani. na yule mfiwa läzima kulia kiwimawima.

1) Bahre. 2) Türscliwelle. 3) inubaniedanisches Glaubens- bekenntnis, siebe Uebersetzung. 4) zum Gebet rufen. 5) Nische unten im Grabe. 6) Belehrung, Anrede an den Toten. 7) Bizinussträuche.

216

kkahari ya kuhani1).

watu waliotoka qaburini , wote huenda kule nyu- mbani kumhani mfiwa. nao humwambia: „makiwa." ") naye hujibu: „yangali yakija," 3) ao husema „yamepita." ao humwambia: „ahsana 'lkiku cazzaka,"4) hujibu: al- lähu al-bäqa," 5) macana muungu ndiye atakayebaqi.

khatoari ya matanga6).

kesha kuhani, watu watauliza: „pana tanga ao hapana?" atajibu : „lipo." watamuliza: „lini utaweka tanga?" atajibu: „sa'a ya tatu ya usiku." saca ya tatu killa mtu atachukua mkeka wake na mto kwenda lala tangani, na waanawake vilevile. usiku hufanyiza hadithi7) ndani, na waanaume hufanya hadithi vilevile. na wengine wanacheza karata. liatta al-fajiri huja mpiga zumari, akapiga mlangoni zumari, waanawake hulia na waanaume wengine hulia. na wengine huenda meskitini.

jua likapata sa'a ya tatu, hukutana tenna waanaume na waanawake kufanyizwa mashauri ya kwenda koshwa mashambizo. wakesha kutana, waanawake hufukia ule ufuo, tenna hutwaa nguo, alizooshewa yule maiti, ndio mashambizo. na mashambizo hutiwa katika chano. wakafan^'iza ukingo , macana ukingo hufungwa nguo, zikawa ndefu, mfano wa chendarua, na watu huwa ndani, qadiri ya waanawake wanne ao sabac. na waa- nawake watatu huchukua yale mashambizo juu ya kichwa kwenda pwani kuyaosha. na mpiga zumari nyuma yao huimba mwimbo :

1) Beileid bezeugen. 2) traurige Sache (ist vorbei). 3) es wird noch mehr Trauer über uns kommen. 4) möge Gott dein Ansehen schön machen d. h. möge er deine Trauer zum Guten wenden. 5) Gott ist der Ewige. 6) Trauerfeier. 7) Er- zählungen.

217

„mwajeje huo1) leo mwajeje leo?"

1) mwaonaje huo msiba.

l.iatta wakifika pwani , hujitosa katika maji koga. na wasiwokoga , wenzao buwambia : „kwa nini ninyi bamwogi?" bufumbiana fumbo , husema : „wengine wana vijani vya mbaazi , bawataki kuonekana." wa- kesba osba masbambizo, hureje'a mjini, vilevile kama walivokuja , ma'ana buwa ndani ya ukingo. wakifika tangani, yale masbambizo buyagawa, lakini bapati mtu ovyo , illa aliyemkhussi yule maiti , ma'ana ni eada kubwa kwao kumkumbuka yule aliyekufa.

na killa mtu akija kuzikani , hucbukua kitu kama alicbonacbo, mathali kama riale ao rupia ao mapesa ao kitu kinginecbo. siku ya kuondoa tanga, ba'ada ya siku sabae labda, vitu vile bufanyiziwa sädaqa ya yule maiti katika nynmba yake , macana busomwa kbitima, wakafanya karamu , wakaalikwa watu kuja kula. na buyu mfiwa buwa na masikitiko mengi sana, hulia kwa kurombokeza :) ya kama: „fulani umenitupa , ume- nacba pekeyangu. watu watanitia vidole vya macho bapana wa kuniuliza." marra buja mtu kumnyamaza, bumwambia : „nyamaza , usilie , baya ndio mambo ya dunya, mwanzo kuzaliwa mwisbo kufa, si yako wewe pekeyako, killa mtu yatampata."

na kama mwenyi kufiwa bana kitu, kbitima yake busoma mwakani, hungoja batta apate fedda kidogo. na bacada ya siku arba'ini bufanyiza sadaqa, jina lake j/arba'ini ya maiti."

na kule tangani wazee waanawake bujifunga vi- tambaa kicbwani. zamani tangani wazee waanawake

1) in weinerlich singendem Ton wehklagen.

218

wengine walikuwa na khatari, sababu wanapotanga huja wanga x), hucheza usiku kucha.

zamani moja alikufa mwanamke knie Bagomoyo. alipokufa, watu wamezika, usiku wamelala watu tan- gani, akaja mwarga, jina lake Mamie Ibrabimu, akaanga tangani. nao wanga asili huenda ucbi. yule Mamie Ibrahimu alijifunga pweza -) kumani, sababu ndio nguo zao wanga.

liatta al-fajiri anarudi kwake , akakutana na mtu jina lake Bwana Mzee. akamkamata, akamwanibia: „tafaddali nisitiri 3) eaibu4) yangu, nitakupa kitu uta- kacho." Bwana Mzee akasema : ;.sikuacbi, wewe mtu cadui sana, umeangamiza roho za watu nyingi." akam- peleka kuyu mwanamke hatta tangani , watu wote wakamwona ucbi.

liatta as-subuhi kulivokucha , wakamfunga mapa- kacba mwili wote pia, wakamtembeza mji mzima. watu wote wakamwona, wakamwuliza: „utareje'a kazi yako ya wanga?" akasema: „sifanyi tenna." wakamwam- bia : „tutakupa yamini , ukafanya marra ya pili ufe." akaqubali , akapewa yamini. ba'ada ya miezi micbacke akareje'a kazi yake kwa sirri. muungu akampa maradi ya wazimu, hutembea uchi katika njia, na kutukana watu, na mvua ikanya, hujitia tope ki- cbwani. comri wake ukawa mcbache akafa.

na khabari ya kukamata mebawi, yataka mtu awe mpevu. kijana hawezi kumkamata, ma'ana ana khofu atadurika , ao ataugua. na iwapo umemwona mebawi mbali anakuanga sumu yake mpige ndimu, akikwam- bia ;,piga marra ya pili" usimpige, marra nenda ukam- kamate. imekwisha kbabari ya kubani pamoja na wanga.

1) zaubern. 2) Fisch. 3) bedecken. 4) Schande.

219

khabari ya tanzia1).

mtu akiwa amefia mbali, huletwa ta'arifu katika mji kwa ndugu zake ya kama : „wa baeadu twawa'arrif u , ndugu yenu fulani amefariqi dunya. innä lillähi wa innä ileihi räj'eüna, haza sebil ed-dunya wa tariq el-äkhera2). ao husema: umetupitia msiba3) wa fulani, amekufa, dunya ni njia na njia ya mwisho. maradi alikuwa na ndui za mhindi siku tano, ya sitta amekufa."

wakisikia ndugu zake ile barua bulia , huam- risbwa na ngoma kuwekwa uwanjani, iwapo ni mtu amezaliwa juu ya ngoma, ma'ana baba yake na mama yake wana daraja ya ngoma.

khabari ya knfa kwake jumbe.

aliyekufa, iwapo jumbe, as-subuhi watu wakipata khabari, jumbe fulani amekufa, watu hukusanyika ma- zikoni. marra hutolewa ta'arrifu ya ta'azia, ya kama: „tunawa'arrifu, jumbe fulani ametoka juu ya ulimwengu." watu wote huvua kofia na kanzu na vyatu, wakabaqi killa mtu nguo moja.

ua iwapo aliyekufa shaha ao waziri, watu wa mji hawavui kanzu, illa vyatu na kofia huvua. na ma- jumbe huvua vilemba.

na mtu wa kimrima akikataa kuvua kwa zamani za kwanza hupigwa , lakini sasa watu wengine wa- namkhasimu4), sababu daula5) imekuwa nyingine.

kazälika kuzikwa kwake jumbe : waqati wa koshwa hana rukhsa mtu mwingine kumwosha illa shaha. na iwapo hapana shaha mtoto wa shaha. na waqati

1) das arab. ta'aziye. 2) siehe Uebersetzung. 3) Unglück, Trauer. 4) feindlich gesinnt sein. 5) Regierung.

220

wa kuzika sherti majumbe wote wakatanike tangani. na waanawake wengine wanapiga ngoma uani, wengine wanalia. ngoma hiyo jina lake mwanamama. na uwan- jani ngoma kuu na siwa na zumari zinalia. na mshindo unaopigwa jina lake kibagaja. kuondoka majumbe ma- wili wakacheza. na killa mtu amechukua sanda yake. na sanda anayozikiwa iliyotoka katika fedda yake, na zile zilizokuja na watu wengine Jiupewa cada za watani na wachimba qaburi na wacliimba ufuo na wa'allimu, waliopo katika hadara.

ikesba sanda, ataingia ndani slialia, akamkafini, ma'ana kuvikwa sanda. kisha atatiwa katika jeneza, apelekwe qaburini kuzikwa.

na tanga lake siku kumi na nne ao siku sabae, iwapo hana kitu. na kulla al-easiri huja watu tangani, hucheza karata na ngoma kuu , na waanawake hucheza mwanamama. liatta siku ya kuondoka tanga kununua ng'ombe. na huyo ligombe , anayochinsliwa , ana eada nyingi sana. majumbe hupewa nundu, na masbaha hu- pewa mkono pamoja na mawaziri, na kiuno cha ligombe nyama yake bupelekwa wacallimu, nyama iliyobaqi hu- pikiwa' karamu.

zamani mtu akafanyiza karamu, amecbinsha ngombe majumbe kama hawakupewa nundu na masbaha ha- wakupewa eada yao karamu biyo bapana mtu ata- kayekwenda, sababu husema fulani hana adabu, khasara yake aliyoifanya, macana majumbe wameqasirika wote. läzimu awaangukie yule mwenyi karamu yake , atoe fedda.

kazälika desturi ya majumbe wanapokula, hawali barazani pamoja na watu, hutandikiwa cbumbani, baingii mtu illa mwandazi , wakitaka kitu , humwambia yule mwandazi. wanapokula, hupigwa siwa na zumari.

221

kazälika iwapo jumbe ni moja, hapana mwingine, lakini katika baraza yupo sberifu, ao mw'allimu, ata- amru kwitwa moja wapo sherifu ao mw'allimu , lakini mtu mwingine hali naye, illa iwapo nyumbani kwake kaina si karamu.

kazälika yule mw'allimu huvua kofia, illa sherifu havui. ao mw'allimu hupata rukhsa kwa jumbe ya kama : „wewe mw'allimu haifai kuvua kofia , ukila na mimi. u

kliafoari ya kuhallilia1) nibwe.

mtu aliyekufa, ba'ada ya kuzikwa zikapata siku tatu ao saba' , wenyi maiti wao hutafuta mbwe. na hizo mbwe mawe madogomadogo , ni magumu sana. kiska kuyaoska kwa maji , hatta yakawa tahara. kka- lafu huenda wakaweta wa'allimu watano ao saba\ wa- takapokuja, hutandikiwa mikeka, wakakaa kitako. tenna liuletwa mbwe mbele zao wa'allimu , wakazihallilia. ma'ana ya kuhallilia : husliika killa mw'allim mbwe moja, husema : „lä iläha illa 'llähu."2) na cidadi3) ya hizo mbwe hupata elfu, nao husema killa mtu: „lä iläha illa 'llähu" marra elf, nao hawasemi na mtu, illa kwisha. na wanapokwisha, hutwaliwa zile mbwe, zi- katiwa katika kitambaa, hupelekwa qaburini, zikawekwa juu ya qabri. na wale wa'allim hufanyiwa karamu kula. kisha hupiga fätiha kumrehemu maiti aliyekufa. nao hupewa ijara yao ya kuhallilia mbwe, kama wali- vopatana toka riale tano hatta khamst'ashara.

1) hallil = taja jina la muungu. 2) siehe Uebersetzung. 3) Zahl.

khabari za majumbe.

khabari ya jumbe kntawalli1).

mtu mwenyi kuzaliwa katika ujumbe, na baba yake jumbe, naye amekufa, bacada ya kuchuma akipata, hu- wapa khabari majumbe waliwomtangulia : „mimi nataka kutawalla." nao hujibu: „vema, lakini twataka 'ada1') zetu." atawapa cada zao, ma'ana nguo ao mapesa, naye buwapa mashaka a), ndiwo wanawopeleka. kisha hutoa cada mashaha na mawaziri na vijana wa mji. sababu wasipopata, yule jumbe akitawalli kawamwamkii, illa ndugu zake na watumwa wake.

na siku zake zikiwa qaribu, bado siku saba' ana- taka kutawalla, hukutanika majumbe wote, jumbe mmoja husema: „twataka katoa ta'arifu, siku fulani Mwenyi kaza wa kaza anatawalli, jina lake jumbe fulani." marra buitwa mpiga biu, akazunguka na mbiu mji mzima, naye husema:

„mbiu4) ya mgambo 5) ikalia baina jambo6) mbiu ya shomvi7) na arbaeini8) mpumbuji °) na mjumbe l0) mbiu ya pazi11) na wana wa pazi na

1) Amt antreten. 2) übliche Geschenk. 3) der zunächst unter dem jumben Stehende. 4) Büft'elhorn. Bei dem Worte mbiu schlägt der Ausrufer jedes Mal mit einem Stock an das Hörn. 5) Bekanntmachung. 6) es gibt nichts zu verheimlichen. 7) jumbe. 8) Leute der Stadt. 9) Die shaha und waziri. 10) die wa- zalia. 11) Herrscher.

223

wasengere *) na wamganda 2) mbiu ya Makame ya Shani 3) na wangwana wa "Winde Uqasimu 4) na waungwana wa Shanga mbiu ya shomvi anawa'arrifu ya kama siku ya jumac a tatu kishina5) na mwanamama 5) siku ya al-khamisi Mwenyi fulani anatawalla jina lake sasa jumbe Mkomatembo."

marra usiku waanawake na waanaume kukutanika ndani ya nyumba, kucheza ngoma usiku kucka liatta as-subuhi. nao huimba:

„yaliyo mumo ya mumo x) wende kutanda uskimba 2) mtu na mkwe we. " 3) 1) was drinnen ist , laß drinnen bleiben d. b. ein Geheimnis plaudere nicht aus. 2) Fische fangen mit Tüchern. 3) Schwieger- mutter.

ao huimba:

„utembezi x) haulei mwana."

1) eine Mutter die viel spazieren geht.

hatta as-subuhi hucheza ngoma kuu. na majumbe wanapoeheza, killa jumbe ana wapambe6) wawili, na kulla mpambe ana upepeo 7), humpepea yule jumbe. na yule jumbe mpyayumo ndani, anapigwa kilemba liatta akiska, hutiwa katika kilili8) na mwanamke pamoja jau ya ki- lili, naye kuyu mwanamke huwa mzalia, ameshika mwa- vuli katika mkono wake. na watu huckukua kilili juu ya mabega kumtembeza mji mzima. liatta wakirudi nyu- mbani, yule jumbe mpya atacheza naye. kesba hukaa barazani na majumbe wenziwe. naye hukalia kikuto 9) cha mkeka. hucbeza killa ngoma za furalia siku sitta ao sabac kama wanavoweza.

1) wazalia. 2) watumwa. 3) jumbe von Winde. 4) jumbe von Shanga, 5) ngoma. 6) geschmückte Sklavin. 7) Fächer. 8) Bettstelle. 9) zusammengelegte Matte.

224

kazälika jumbe si destnri kwenda katika njia kickwa wazi, wala katika nyumba yake kakai kickwa wazi. iwapo hapana mtu atakayemwona, kukaa kickwa wazi. wala juu ya kilemba, alicko nacko, si desturi kuweka nguo nyingine. afanyapo mambo hayo , wakimwona mashaka, watamtoza kokumu1), amefanya mambo siyo desturi. naye kafanyi ukaidi 8), atatoa kama watakacko awape.

qissa3) cha jumbe Simbambili.

ilikuwa qabla ya miaka minne alikufa jumbe Ko- randi. wakaja watu kutaka kumzika. akatokea jumbe Simbambili, akamwita mnyozi, akamwambia: „ninyoe nywele zangu." akamtengeneza nywele. alipokwisha, akenda tangani. majumbe walipomwona, wakamwuliza: „sababu nini umekuja tangani umenyoa?" akasema: „mtaniliokumu na kickwa cbangu?" wakamjibu : „ume- fanya mambo si ya desturi ya kimrima." akasema: mimi nimenyoa, nakulla mwenyi nywele zake na anyoe." wakamkhasimu 4) majumbe wote. wakafanya mkutano majumbe, wakawambia vijana: „msimwamkie Simbam- bili." killa njia apitayo, wanamsema ya kama: „jumbe kuyu ndiye aliyemroga5) jumbe Korandi, sababu amekwenda tangani amefanya uzuri."

siku moja as-subuki ametoka nje kana kilemba. watu wakamwuliza: „sababu jumbe kuna kilemba?" akajibu: „mimi si jumbe, siutaki ujumbe, sababu mji wote kawaniamkii." ndugu zake wakasema naye: „si venia jumbe, kuji'uzulu 6) kiyo ni fedeka7) kubwa." aka- vaa kofia na kilemba, lakini watu wazima katika mji

1) Urteil, Geldstrafe. 2) Widersetzlichkeit. 3) Erzählung. 4) feindlich sein. 5) hezauhern. 6) Kopfbedeckung abnehmen. 7) Schande.

225

wanasema ya kama: „jumbe huyu hatakuwa na ma'isha1) mengi."

ba'ada ya miezi mitatu akasafiri kwenda Khutu, ma'ana ndiko kwao. akakaa miezi miwili, akapata ugonjwa wa mshipa. wakamrejesha pwani. akafikia shambani kwake, akakaa siku sabac, ya nane aketa*) ndugu zake, kuwapa buriani3), hatta usiku akafa. wa- kamleta rajini kumzika, majumbe na vijana wakakataa kumzika. akazikwa na jama'a zake, hakupata hatbthi*) ya maziko ya ujumbe.

desturi ya jumbe ya zamani.

zamani jumbe cbini yake alikuwa na mashaha na waziri na mwenyi mkuu na amiri. huyu amiri alikuwa ndio mkuu wa vijana. likitokea jawabu katika mji, jumbe bumpasha khabari amiri, na amiri huwa'arrifu vijana wote. mathali imekuja barua katika mji, yatoka mji mwingine, amekufa mtu, wanataka kwenda hani, amiri buwambia vijana : „nendeni majumbani mkaage, kesbo tunakwencla inchi kaza wa kaza kuhani." na kwenda kwao kuhani huenda waanawake na waanaume. na jumbe huchukua wapambe wawili ao watatu. na wapambe vijakazi vizalia. hatta as-subuhi huja maka- bili 5) wawili, mpiga zumari na siwa. jumbe hutangulia mbele pamoja na shaha na waziri, ndio anawoongea nao. na siwa na zumari inalia, hatta wakitoka nje ya mji siwa hunyamazwa. illa wanapofika qaribu ya mji, hupigwa tenna siwa. na majumbe wa ule mji huja ku- wahongeza njiani. ikiwa kushinda watashinda, ao watalala. hatta as-subuhi huenda mji mwingine. hatta wakiqurubia mji wendao, hutolewa mtu, kupeleka kha- bari, ya kwamba jumbe fulani anakuja. na ule mji hu-

1) Leben. 2) akaita. 3) Abschied nehmeu. 4) Glück. 5) Musikanten.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 15

226 -

tengezwa majumba ya kufikia wageni. watakuja na majumbe, wenyeji wa ule mji, kumhongeza jumbe mwen- zao na kuingia naye mjini pamoja. nao huingia kwa siwa na zumari. na wale majmnbe huja kwa siwa na zumari. nao iwapo aliyekufa ni jumbe, yule jumbe mgeni bucuzulu yeye na watu wake. tenna huingia ka- tika mji, huonyeshwa majumba ya kufikia. al-casiri huenda tangani, wakifika hupigwa ngoma kuu. majumbe wageni na wenyeji huckeza. nao kukaa katta tanga liondoke.

na iwapo jumbe aliyokufa ni mweza, waliwokuja hani, si desturi kununua vyakula na kulipa qo'di ya majumba kama siku watakazokaa hatta warudi. hio ndio qacida ya kuhani kwa zamani.

amma desturi ya sasa jumbe hana shauri na vi- jana wala masbaha. na mawaziri hawana shauri na vijana. shauri yao wameweka vikao *). katika hivo vi- kao mna wakuu waanaume na waanawake. litokeapo neno katika mji, kama tuliyotangulia kusema, jumbe hupelekewa barua yake ya heshma, na vijana huletewa barua yao, lakini huandikwa jina la mkuu wao. naye akisha soma barua, humwita kijumbe kupiga mrungura -) killa nyumba. wakisikia mrungura, huuliza : „mrungura wa nini?" kijumbe huwambia: „mnakwitwa kwa mkuu." wakifika, huwapa khabari kama iliyomfikia.

amri za zamani zilizokuwa juu ya jumbe.

zamani amri zao walikuwa na inchi na mashamba. na hayo mashamba mwitu, hamna mwembe wala mnazi. ajapo mgeni, Muhindi ao Mw'arabu ao Msuaheli, ana- taka shamba kulima, humwambia jumbe , humwuliza : „wataka kununua ao kupanga?" husema yule mtakaji

1) Partei, Klique. 2) Trommel.

227

kama atakavo. iwapo kupanga, kumwambia : „nipe ubani wangu rupia tano ao sitta." wakeska patana, ku- mwonyeska skamba atakayo. ao kupatana kulinunua. tenna kumwandikia kkatti.

na katika mji walikuwa na viwanja. mtu akitaka nyumba kujenga , kuenda kwa junibe kumpa kkabari, kupatana naye kwa kupanga ao kununua.

amri ya pili wageni wakiingia mjini, nao wame- fikia katika majumba yao majumbe , bi'askara wana- yochukua kawana rukksa kuuza pekeyao illa kwa amri ya majumbe.

kazälika Wanyamwezi safari zao pembe walizocku- kua ngombe, Wakindi, Wasbikiri, na wackuuzi wengine kawana rukksa kununua pekeyao. na kulla anayonunua mbuzi kutoa tkumni, na ngombe kutoa riali. na Mhindi akinunua pembe, bieaskara ikiska, beina yake mapatano na yule jumbe.

amma amri kizo sasa zimewaondokea, sababu ka- wana yale maskamba ya kupangiska na viwanja vya kuuza, na katika safari kawapati kitu.

'ada za majumbe.

cada ya kwanza katika mji, mtu akicbinska ngombe, akiwa wa kuuza ao karamu, jumbe kupelekewa cada yake nundu. na asipopewa, kuqasirika. na iwapo ame- qasirika, kupewa takarracli J) yake kitu kidogo.

cada ya pili mvuvi akivua papa bakarini, ao nguva, ao nya,ma aliye mkubwa, kuletewa jumbe kidogo, kuitwa kii „mboni."

na iwapo kimeokotwa kitu bakarini, ao jakaziimevun- da, ndani yake mna bida'a. ile bioVa itakayopatikana, ku- pelekwa kwa jumbe. mwenyi jakazi akipata kkabari,

1) zufriedenstellen.

15*

228 -

huenda kwake jumbe kutaka mali zake. naye hupewa uokozi wake, ni hijo mboni.

ao mtumwa wa mtu ametoroka, amefika katika mkono wa jumbe, humziwia, hatta mwenyeji aje. na kama hana mwenyewe, huwa mtumwa wa mboni, hum- ziwia jumbe.

na atokeapo mwenyewe, huuzwa yule mtumwa. akapewa mboni yake jumbe, na kilickobaqi hutwaa mwenyi mtumwa wake.

eada ya tatu: kule Bagamoyo pana pahali, jina lake Nunge, qaribu ya Kingani. napo ni jangwani ') ndani ya koko nyuma ya maqaburi ya wahenga. pa- hali hapo killa mwaka huota mlima wa chumvi ya genge 2). zamani wavuvi waanawake wakiona ule mlima wa chumvi, wakifika mjini, huwambia majumbe na mashaha, ya kwamba Kingani genge limeota. waki- pata khabari majumbe, hukutanika kufanya shauri ya kwenda kuvunjwa huo mlima. wakesha shauri lao, hu- tambika3) „tambiko ya ukuu genzi. " 4). na wengine hu- tambika gombo 4) usiku kucba, sababu si desturi kwenda billa ya' tambiko. kwa desturi ya zamani wendapo billa ya tambiko, wakafika qaribu ya hilo genge. hukuta vi- tuko njiani, mfano wa majoka makubwa ao nyuki hu- wafukuza, warejee mjini, ao mwituni hulia simba ao chui. bassi wakesha tambika, as-subuhi huenenda ma- qaburini kufyagilia. wakesha fyagia , siku ya tatu usiku wanakwenda majumbe na watoto wao waanawake na waanaume na wazalia wao kunako chumvi, kwenda kuivunja. na kwenda kwao huenda kwa siwa na zu- mari. hatta wakifika panapo huo mlima, huamrishwa kuvunjwa, kutwaliwa ile chumvi. na cada itokayo ka-

1) wüste Niederung. 2) Korallenfels. 3) Geister der Ver- storbenen anrufen. 4) Name der Anrufung.

229

tika hiyo chumvi nundu vilevile hupewa majumbe, na nussu ya ule mlima ni sehemu yao na ya mashaha na mawaziri. siku ya sitta ndipo wanapopata rukhsa watu wa mji kwenda ckukua ki}ro chuinvi. nao hu- fuatana na wenyeji kwenda kutwaa kiyo chumvi.

amma sasa unapoota huo mlima , wanakwenda ku- twaa hiyo chumvi billa ya tambiko, illa humpa kha- bari serkali tangu mapema, apate jua, ya kwamba watu wanakwenda chukua chumvi Nunge , sababu ghazia huwa nyingi.

khabari ya 'ushimi1).

khafoari za zamani za 'nshuru.

zamani hutozwa eushuru katika mrima, wenyi kutoza 'ushuru ndio majumbe. mathali wamekuja wa- geni kama Wanyamwezi na pembe kufanya bfasbara katika inchi za mrima, wakafikia kwa jumbe moja, zile pembe hupigwa chapa 2) kwa amri ya sirkali. zikesba pigwa cbapa, kulla fräsila3) imeläzimu kutoa riale nane kwa seyyid4) na riale moja ya „yamvi," jumla riale tisa', akipawa jumbe mwenyi mgeni wake, hiyo desturi.

aida qabla ya Mnyamwezi bajaingia katika mji, imemläzimu jumbe kumpelekea mali, akampa, kwa sa- babu ndio qa'ida5), na jina lake ndio „magubiko." mkubwa wa safari na waanawake wake, na walio chini yake, wasagira wake , bassi hao wamelazimiwa na ku- pawa kisua. aida na wanapotangulia katika safari kazälika nao hupawa kisua.

ba'ada ya kuingia mjini , mwenyi safari akapanga. akesba panga, naye imemläzimu kutoa „pembe ya nti"6) kumpa mwenyewe incbi, ya'ani yule jumbe aliyemfikia, ndipo afanye bi'asbara yake.

na isbapo bi'asbara zake, imemläzimu jumbe kutoa kitu „agano," akampe yule Mnyamwezi kuagana naye, ndipo asafiri.

1) Zoll. 2) stempeln. 3) 35 Pfund engl. 4) Sultan von Zanzibar. 5) Gewohnheit, Sitte. 0) inchi.

231

akesha safiri yule, huenenda jumbe, akatwaa kulla frasila riale tatu, ndio „nrrabaha," imeläzimu kupawa kwa amri ya seyyidi. zikiwa frasila mia, jumbe hu- pewa riale tbalatha mia katika pembe zile za mgeni wake.

Banyani na Wabindi kazälika, wanapokuja katika mji na mali zao kufanya bi'ashara na kuweka maduka, hufikia kwanza kwa jumbe, sababu ndio mkubwa wa mji. akiwatakia majnmba , akiwapangisba , wakesha panga majumba , bupawa khabari ya desturi katika inti yote wakijua. aida ba'ada ya bayo kulla nyumba ya täjiri imeläzimu mwaka riale kumi na mbili, hutoa, akipawa jumbe, mwenyi mji läzima, biyo ndio desturi ya mambo ya asili. wa kazälika na kisua na vitu vingine bupawa, qadiri awezavo täjiri.

na majumbe 'usburu waliwo wakitoza safari ikaingia mjini, nao wameebukua ngombe na mbuzi na kondoo ndani ya nyama bao ndimo majumbe waki- toza eusburu. na kutoza kwao mtu akinunua ngombe, läzima apeleke riali moja kwa jumbe , na akinunua mbuzi mmoja, läzima kupeleka tbumni kwa jumbe.

na Mubindi ao Mw'arabu akitaka wapagazi, mtu atakayempelekea Muhindi ao Mw'arabu , hupewa rupia kwa kulla mpagazi cushuru wake jumbe. na cusburu huo haupelekewi jumbe mmoja tu, illa jumbe aliyefikiwa na safari yake.

na majumbe wa barra 'ushuru wao ilikuwa hongo. mtu akifika katika mji, akitoka pwani, läzima atoe vi- tambi kama watakavopatana. na akitoka barra, atatoa vitu vya barra.

khabari za 'ushuru wa sasa.

lakin sasa katika sirkali ya kideutscbi imeweka desturi ya kutoza 'usburu katika majumba, na tenna

232

katika watu wawekao maduka, mfano wa Wahindi na Mabanyani na Wa'arabu na kulla awekaye duka. mä- tkali nyumba za Wasuaheli nyumba ya mapaa manne analäzima mwaka kulipa rupia then'ashara, na nyumba ya mgongo1) analäzima mwaka rupia sitta, na nyumba ya mawe ghorfa 2) moja mwaka rupia sabac u nuss. na mtu mwinyi duka hutezama thamani ya duka lake, likiwa kubwa cushuru wake mwingi,- likiwa dogo 'ushuru wake haba.

na wengi wa Wasuaheli wamethanni, sirkali inataka kula fedda hü, lakini fedda hii sirkali hataki kuitumia, lakini inafanyizwa manfa'a3) ya watu wa mji kama kutengenezwa miji na njia. zamani zalikuwa njia ndogo katika mji na barra, lakin sasa njia pana. na mambo haya yametengenezwa kwa fedda.

manfa'a ya pili : watu wamelala katika majumba yao , na usiku polisi wanawalinda. na wenyi maduka yao wamelala, polisi wanapita kulla waqti kutazama maduka. na mapolisi wanataka mshahara, na msbahara fedda, sirkali analipa.

manfa'a ya tatu : mtu amepigwa vita , mali yake amenyanganywa, ao ameuliwa ndugu yake, marra ana- kwenda kwa sirkali kushitaki, sirkali marra anafanyiza vita kwenda kumtakia haqqi yake.

manfa'a ya nne : visima vya mrima. zamani vili- kuwa vibaya, lakini sasa sirkali amejenga visima vizuri tenna safi. sirkali amelipa fedda katika 'ushuru.

kazälika ametengeneza daraja4) popote katika mito midogo, na mto mkubwa ameweka mashua5), safari zi- navuka hapana khatari6). kwanza marra mtumbwi umepinduka, watu wamezama, ao biaVa7) zimezama.

1) Haus mit zweiseitigem Dach. 2) Oberstock. 3) Nutzen. 4) Brücken. 5) Boote, Fähre. 6) Gefahr. 7) Waren.

233

kazälika watu wengi zamani walikawa hawana kazi, sasa sirkali amewapa kazi. na watu kao hawa- tumiki burre kwa sirkali wanapata fedda kwa sir- kali.

ndio ma'ana sirkali anataka cushuru. juu ya fedda, inayotoka katika eushuru kuo, haimtoshi sirkali. sirkali ya Ulaya anapeleka fedda nyingi kulla mwaka katika mrima kujaliza katika fe(Jda ipatikanayo mrima, kuten- geneza incbi na kuwasa'idia *) watu.

khabari za intoza 'nsliuru katika mrima.

katika majumba ya Afrika ya mrima nyumba zote zimeandikwa namba2) na jina la mwenyi nyumba. la- kini desturi za Wasuaheli nzito, mambo yao ya mtego. mtu wa sirkali akipita kuuliza nyumba kuziandika, marra nyingi watu kawamwambii maneno ya kweli, sababu wengine wanaogopa majina yao kutiwa ndani ya daftari3). na kuuliza kiJla marra: ,/isbara4) yake nini sirkali inaandika majumba yetu na majina yetu?" sababu watu wengi bawajui maeana ya cushuru, sababu gani sirkali inataka cushuru. wengi hutkanni sirkali inataka kula mapesa ya watu. na watu wengine hu- sema: „labda mfalme ameleta khabari kutaka kujua majina ya mrima." na wengine husema: „wanaandika sababu ya eushuru, khalafu labda watataka kuja." killa mtu husema neno lake. na waanawake wazee wakim- wona mwandishi wa sirkali anakuja kuandika majumba hukimbia, wakaacha nyumba, husema: „mimi nataka salama ya roho yangu, wakitaka nyumba na wa- chukue."

na siku hizi iwapo Mzungu anauliza „nyumba hii ya nani," na mwenyewe hayupo, lakini mtu mwingine

1) helfen. 2) engl, number. 3) Heft. 4) Vorzeichen.

234

akijibu , na mwenyewe akasikia „alikuwapo Mzungu hapa pamoja na fulani , ameuliza nyumba hii ya nani, fulani amemwambia" wakionana watagomba, husema „fulani ndio kazi yake fitna."1)

tenna wakikutana na Mzungu , kuwauliza majina yao , ao katika wawili akimwuliza mnioja jina lako nani," mwenziwe akijibu upesi ,.jina lake fulani" watakwenda zao, njiani watagomba.

kazälika khabari ya kutoza qo'di 2) katika mrima ina matata mengi , sababu kuna wengine hulipa na wengine bawalipi. hukusanya qocdi ya miezi mitatu ya mwanzo na ya mwisho, huwa juu yake deni nyingi. sirkali akiona katika deftari, watu wengi hawajalipa, huweta wote, wakaja katika nyumba ya shauri, killa mtu humwuliza: „iwapi qo'di yako?" hujibu: „nimempa fulani." mawazo yake ile qo'di iliyopita, ya mwisho amesahau. sirkali humwambia: „zimefika, lakini kwako bado rupia tatu." naye husema: „nimesikia bwana, nataka nikatafute." akaondoka husema: „watoza qo'di wanatudanganya. " sababu tarikhi3) ya miezi hawaijui, na desturi ya qo'di hawaijui.

nalikuwa nikitumwa na sirkali kwenda katika ma- jumba yote kupokea cushuru, hufuatana na 'askari wa- wili, sababu mna watu wengine wagumu kulipa 'ushuru. na katika hokumu ya nyumba zilizo mashamba killa miezi minne rupia moja. lakini kazi ya cushuru wa mashamba nalikuwa nikipata killa rupia ujira wangu rupia tano, amma kazi ya mjini sikuwa nikipata kitu, illa mshahara wangu. na watu wote wakanichukia.

siku moja nimekwenda shamba kutaka cushuru, nikamkuta mtu nyumbani pake, killa siku hunizun- gusha , halipi 'ushuru. siku hiyo nikamshika kwa

1) Intrige. 2) Miete, Steuer. 3) Datum.

- 235

ngnvu kutaka eushuru wa sirkali, akanijibu: „sina, nenda zako." nikaqasirika, alivonambia maneno yale. naye akaqasirika. akashika shoka katika mkono wake, akataka kunipiga. nalifuatana na mtumwa wangu, Serenge jina lake, akamkamata mkono na shoka yake. siku hiyo sikuwa na caskari. nikataka knmpeleka Ba- gamoyo. wakaja watu wakanibembeleza na kuniskika miguu kumwachia. nikamwacha, akaingia ndani, aka- nipa rupia.

kusafiri kwao Wasuaheli.

desturi yao qabla ya kusafiri.

desturi ya Wasuaheli kama anataka kusafiri ao kwenda kukopa, akenda njiani, akakuta mtu mmoja anayekuja , kurudi , husema: „safari yangu mbaya." safari hiyo hana furaha nayo , kama ataka kwenda. ao atagheiri *) , arejee nyumbani kwake, hatta siku ya pili ndipo asafiri. na akiwa na harakaa), atangoja hatta nussu sa'a ipate, ndipo asafiri.

kazälika iwapo atasafiri, akenda katika njia, aka- kuta watu wawili wanakuja husema: „hü ndege njema3)." khassa iwapo ni waanawake, nao wamechukua vitu katika mikono yao huzidi kufurahi , husema : „hü ndege njema kabisa."

ao akitaka kwenda safari , ao katika shamba , ao kwa Muhindi kukopa, akikutana na mtu mwenyi chon- go4), ma'ana jicho moja, husema: ,. safari yangu mbaya, nimeona kisilani." 5) vilevile hnreje'a nyumbani.

ao anakwenda safari ya barra, ao shamba, akiku- tana nyoka wanapigana, husema : „nendako nitakuta magomvi, ao tutakutana na vita." ikiwa ni safari

1) verändern, andern Sinnes werden. 2) Eile. 3) Glücks- vogel (Glücksstern). 4) einäugig. 5) dasselbe wie ndege mbaya (böse Vorbedeutung).

237

kubwa, wanakwenda kwa nathari1) ya kuclielea yata- kayowapata njiani.

ao akikuta mwanamke mzee pekeyake , husema : „nimekutana na kisirani, kama namwendea mtu kum- tezama, simkuti nyumbani, ao kama nakwenda kopa sipati." vilevile hureje'a.

kazälika na mwinda akitoka nyumbani mwake, akikuta njiani mwanamke mzee, ao mtu mmoja kendi uwinda wake , moyo wake huwa na oga kukhasiriwa na mnyama , ao kwenda burre kupoteza baruti yake, na kitu asipate.

tenna ukienda njiani, akikuona* kima bassi rejeea, usiende safari hiyo, haifai, utaona vibaya.

aida ukienda njiani, ukamwona nyoka, aliye na vidoa viwili, kwetu kuitwa pito jina lake huyu nyoka, naye mbaya, ukimwona joka, utapata khabari mbaya sana.

na iwapo umekwenda safari, ukakutana na cbungu njiani, nao wamecbukua punje ao vitu vingine hu- sema: „safari yangu nzuri," na iwapo umewakuta ha- wana kitu, husema: „safari mbaya."

mtu akitoka nyumbani mwake , akitaka kwenda paliali, akajikwaa na kisiki 2) , mguu wa kuume akaji- chubua, husema: „nendako kubaya, nitakuta magomvi, ao ntakutana na mtu , mbaya wangu , sababu ndege mbaya nnayokwendea." na kule Lindi watu husema, wakijipiga kisiki, wakijiumiza: „mke wangu amezini."

na mtu akijikwaa mguu wa shoto, pasipo kujichu- bua husema: „ndege yangu nzuri."

ao iwapo ndege amekulilia juu ya mti „kwape kwape" safari nzuri.

1) Blick, Vorsicht. 2) anstoßen, kujipiga kisiki oder kukwaa na kisiki.

238

na iwapo mvua nyingi imekunya, akilia ndege huyu, wasafiri liusema „mvua imekwisha."

tuongeze khabari nyingine kama hü, wanazosadiqi Wasuaheli :

ao iwapo katika mashamba akatua bundi ') jim ya mti, akafuuliza2) kulia atakufa mtu katika mji. na kule mgau3) kuna ndege, buitwa matonohi, mlio wake eajabu, hulia „hiimhum." akilia ndege buyu qaribu ya mji hufa mtu mkubwa.

na akilia sborwe juu ya mti, uliwo qaribu ya nyum- ba atakuja mgeni.

na kule mgau husema, ukimwona mbwa kiuno cbake anakokota chini atakuja mgeni katika mjini.

ao mtoto akifyagia uwanja, liusema „atakuja mgeni." ao kuku wakinongonezana, husema „atakuja mgeni."

desturi ya Wanyamwezi : kama anapita katika njia, na mtu akasimama akashika bakora, akafanya mpaka katikati ya njia Mnyamwezi njia hiyo haipiti , ata- geuza njia nyingine apite, nawe akutukane. ma'ana yake anasadiqi, „huyu ameniapiza, nendako nisifike," ndio ma'ana kukataa kupita.

mapatano ya tajiri na uisafiri.

Msuaheli akitaka safari, huenda kusema na Muhindi tajiri yake, humwambia : „nimekuja kwako Mukki, na- taka bida'a unikopeshe, sababu nataka kusafiri." tajiri atamjibu: „mimi sikatai, lakini kalete mtu macarnfu4), aje akudamini 5), khalafu ntakupa bida'a." yule mtu atajibu : „mimi sina mtu wa kunidcimini, illa mimi nafsi yangu, wewe tawakkali6) utoe mali yako kwa nia safi, wala usiwe na kinyongo 7), mambo yute mtenzi muungu,

1) Vogel. 2) fortfahren etwas zu tun. 3) im Süden (Lindi, IVIikindani). 4) angesehen. 5) bürgen. 6) Kisiko übernehmen. 7) überlege es dir nicht so lange, mache nicht so viele Umstände.

239

inshallähu ta'äla nikareje'a utafurahi." täjiri atamjibu: „vema, maneno yako nimeyasikia, lakin nafanyiza sha- uri na moyo wangu." wataagana. atamwambia: ;,lini nije kusikiliza majibu?" atamjibu: „mudda wa siku sabac njoo." siku saba* zikisha, atakwenda kwa täjiri atamwambia: „nimekuja kukusikiliza täjiri." atamwu- liza : „nini ras il-mali *) yako ? una shamba ao nyumba?" atamjibu: „mimi sina ras il-mali, mimi nakwambia mwa- mini2) muungu, liaqqi yako, nikiwa kai 3), inshalläh ta- "ala, nitakupa." täjiri atajibu : nimesikia, lakin nataka sherti uniandikie kliatti ya sirkali." atamjibu: „nime- qubali kukuandikia kliatti." täjiri atamjibu: „unataka bi(Jaca ya qiasi gani?" atasema: nataka riale elfu." atamwuliza: „mudda miezi mingapi?" atasema: „miaka miwili." atamwambia: „mingi, fanya mwaka mmoja." ataqubali mwaka mmoja.

wakesha mapatano yao , watakwenda sirkalini ku- andika kliatti ya riale elfu, na sirkali atatia sahihi4) yake. watakwenda dukani. atamwuliza: „wataka bida'a gani?" atamwambia: „nataka jora cesherini membei na jora thalathini za sün, na jora kumi na tano majigam, na jora kumi gamti hizo ndizo bidaca nyeupe." atam- wambia : „nataka na visua vitambi." atamwuliza : „namna gani?" akasema: „nataka kitambi kareati, na kitambi buraa na kitambi reliani, na kitambi sturbacli na bara- waji na kikoi mzinga, na kitambi pasua moyo, na pipa moja la ushanga, na magunia manne viwangwa 5), na sanduqu sabac sukari, na kata 6) sitta zeiigenge7), na khema moja."

akesha kumhasibia vitu hivo, atataka nagharama8) ya wapagazi, atapatana na wapagazi qädiri ya mizigo

1) Kapitalvermögen. 2) Vertrauensmann. 3) lebend. 4) richtig. 5) flache Muschel, die als Halsschmuck von den Wa- nyamwezi getragen werden. 6) Drahtlast. 7) Messingdraht. 8) Kosten.

240

yake, na kulla mpagazi atainpa upagazi wake, killa mtu nussu ya upagazi. wapagazi wakeska pokea upagazi wao, läzima kufnnga mitumba. wanapokwisha wapagazi kazi ya kufunga mizigo, atakwenda kwa täjiri yake kumwaga. na täjiri atamjibu: „kwa heri, saläma." yule msafiri atakwenda zake.

kkalafu buenda kwa wazee wake kuwaaga na ku- waombea muungu. na kuaga kwake huwapa kitu. na akiwa na mke, humpa masurufu J), lakini wengine bawa- fanyi, sababu waume zao wakiondoka, wanajua kufanya uharibivu 2).

na iwapo wazee wake wamekufa, hucbukua ubani3), akenda qaburini, husenia katika qaburi maneno yale- yale kama wazee wake wa hai husema: „wazee wangu, nimekuja kuwaaga. nimekopa mali ya watu, nnataka safari. na ninyi mmekufa, lakini vivuli vizima. muungu anipeleke salama na mali ya watu, nirudi sa- limini, nilipe mali ya watu. na nikapata, ntakuja ka- wakumbuka kwa sädaqa4) na khitima5)." tenna lm- fyagia juu ya qaburi, kana pana majani kungoa, paki- wa na taka huondoa, kama ameckukua tibu humwaga. huko ndiko kuaga kwa Wasuabeli katika maqaburi wa- naposafiri.

na mwanamume akisafari , waanawake lmimba mwimbo :

„Mradi1) Mradi wangu, ondoka ule, mume wangu kayuko, ondoka ule, amekwenenda masbamba, ondoka ule, kusimamia watumwa, ondoka ule, na mtumwa ali yeve, ondoka ule."

1) der Liebhaber der Frau.

1) Ausgaben, Kosten (für Lebensunterhalt). 2) Schlechtig- keiten. — 3) Weihrauch. 4) Opfer. 5) Koranlesung.

241

wakisha agana na wazee wake na mkewe, huwam- bia buriani *) ndugu zake. na mkewe kumfanyia mkate, naye hufanya karamu 2) kuwakirimu watu. wakesha kula, humwamru mtongi wake kupeleka safari shamba. naye atalala mjini, as-subulri afuatie safari yake.

desturi ya safari huwa na kirongozi, bacada ya kirongozi mpiga mganda, ba'ada ya mpiga mganda mshika kome.

killa safari läzima kuwa na mwongozi; ma'ana ya kwitwa mwongozi, sababu anajua njia. na iwapo yeye ametangulia, na nyuma kuna watu, ambao wasiwojua njia, killa akafika mahala panapo njia panda 3), läzima aweke caläma4), watu waliwo nyuma wapate kujua. na hiyo raläma -- njia ikiwa mkono wa shoto, ataweka caläma yake, ataweka majani mabichi ao makavu, ao hucbimba chini upande wa mkono. waliwo nyuma, waka- ona majani mabichi ao makavu yamewekwa katika njia, kujua, ya kama kunako majani siyo njia.

kirongozi akitika panapo maji mengi ao panapo kambi ya kuterekeza, läzima apige mganda. waliwo nyuma wakasikia mganda wa kirongozi aliyochoka hupata nguvu. ao aliyeshikwa na kiu ya maji, aki- sikia mganda, roho yake kufurahi. na aliyetua, marra huchukua mzigo wake, bukimbilia pahali panapo maji ao hiyo kambi. na hapo katika mapori makubwa waqäti wa jua mna ta'abu ya maji.

safari ikaondoka, läzima marra ya pili kirongozi kupiga mganda, sababu wengine wamelala, wengine wa- mekwenda kutembea katika miji ya pili. wakisikia mganda wanarudi mbio. usipolia mganda, watu wa- tawawacha katika mji, na hiyo si desturi ya safari. na mkubwa wa safari, sberti atezame sana wapagazi,

]) Abschied. 2) Fest. 3) Kreuzweg. 4) Zeichen.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 16

242

sababu wanakula vitu vya watu billa ya kutaka rukksa kwa wenyewe.

aida hiyo kome fimbo, lakini Wairyamwezi ndiyo yenyi safari yao. mfano wake kama hirizi kuwakinga njiani killa mambo ya khatari.

na safari ikifika Nyanyembe, kirongozi hupiga bun- duqi, huja waanawake na waanaume kufurahi ndagu zao na kuwapokea mizigo, liuenda panapo kambi wanayotua. kii ndio khabari ya kutoka pwani kwenenda barra.

khabari ya bi'askara.

ba'ada ya kufika Nyanyembe, wapagazi wakimpa mizigo yake , hubaqi yeye na mizigo yake. hutafuta marafiqi wa kinyamwezi kumsa'idia bi'ashara. nao hu- peleka khabari kwa jama'a zao , amekuja mungwana, ana bioVa nzuri, huja na pembe na kalasha na ngombe, bufanya nao bfashara. na bida'a kama liaikwiska, ata- panda juu ya vilima kutafuta pembe. na mwisho ma- patano beci haishi, illa atoe „kisbika mkono." pembe ikiwa nzuri, atatoa kitambi, ndio kisbika mkono. na usbahidi wa wanyapara asipowapa, beci wataitia fujo ivunjike.

desturi yao, wakanza ao wakanunua, mwisbo sherti wasbikane mkono, nao husema: „uguzi umemala1), ndu- gu yangu/' ao husema „ufwe2)" kwa dihaka3).

naye mwenyi safari akiona bi'ashara nyingi, ataan- dika barua kumletea täjiri yake, na kitu alichopata, ikawa pembe ao mpira ao vitu vinginevo, atampa mtu macarufu pamoja na barua. na katika barua ataandika: „ila jenab täjiri wangu saläm sana. ba'ada ya sa- läm naku'arrifu, anakuwasilia fulani na barua yangu, nimempa amana4) kukuletea frasilä tatu za pembe. zi-

1) das Geschäft ist abgeschlossen. 2) es ist gestorben. 3) Scherz. 4) Pfand.

- 243 -

taqabbadi *) mikononi kwake. nami nataka bida'a nyin- gine, kama niliyofunga kwanza. usilete namna nyin- gine, sababu hiyo inafa'a. uniletee kwa upesi, Wama- kua wamekwenda porini knpiga pembe, qaribu watakuja. nami nataka, wakiwasili Wamakua, na bi<Jaca inifikie, alläh alläh täjiri wangu! na kuyo kijana, aliyoleta barua, mpe kitambi kizuri ahsante 2) yake, sababu ki- jana mwema sana, wa'-saläm."

M'ashara ya knreje'a pwani.

ba'ada ya kwislia nunua pembe na hivo vitu vin- gine, hushuka pwani. na kushuka kwake kwanza hu- twanga „pamba ya njiani" unga wa mtama na wa mubindi. buutia katika ngozi ya mbuzi, ndio mifuko yao wasafiri. na katika safari kazi zote juu ya wa- pagazi, kujenga hema ya täjiri wao, na kutafuta maji kumletea, iwapo hana watu, hatta wafike pwani.

wakiiika qaribu ya pwani, hutoa tarisbi3) kupele- ka kwa täjiri yake na nyumbani kwake ya kama: „Mwinyi fulani amefika Mpapwa, na safari yake njema, amepata kberi, ameagiza kwako, ataka mavazi na vitu kaza wa kaza." täjiri akisikia, kbassa akiwa Banyani, winda4) bumvuka kwa furaha. marra atamfungia yule tarisbi vitu alivotaka. na nyumbani kwake watafanyiza vitu vya tunu, apelekewe hatta akiwasili mtoni.

panapo kivuko. atatoa tarisbi wa pili, ya kama Mwinyi yuko mtoni, anavuka pamoja na safari. wa- takwenda marafiqi zake kumngoja masbamba, na kun- di la waanawake, ili knmbongeza. nao killa mtu ana mcbele katika kikombe. wakimwona , bumwagia ki- cbwani ule mcbele. wazee wake bumwambia „saläma baba! umekwenda saläma, umerudi saläma? ndiwo

1) nimm sie in Empfang. 2) Dank. 3) Eilbote. Lenden- schurz.

16*

244

ukubwa huo, tamba uone, kama hukutamba, huna uo- nacho."

kwa zamani watu hupiga bunduqi za sherehe1), hatta safari ifike forclani. mndda wa siku mbili ao tatu, pembe zitapigwa chapa, zitolewe cushuru. kisha mwenyi safari hupeleka pembe zote kwa täjiri wake kufanya hesabu naye. ndio kbabari ya kurejeca kwake pwani.

kkakari ya M'askara na täjiri wake.

ba'ada pembe kumqabidi *), täjiri atafanyiza hesabu, kitu alichoehukua, mwanzo wa bida'a na wapagazi. wa- kisha fanya hesabu, humwambia: „umechukuä riale kaza wa kaza, na ulieholeta kaza wa kaza, fäyidaa) yako ao khasara4) yako riale kaza wa kaza. iwapo beina yao mapatano na täjiri wake hawagombi. lakini marra nyingi hugombana, sababu täjiri anataka kuchukua fayida yote. kwanza huuza bidara yake ghali, na kama fedda yake imekwisha fika, hutaka tenna fayida nyingi ya pembe. iwapo anataka safari tenna , ataandika khatti ampe bioVa, asafiri tenna. labda atapata fayida zäyidi marra hü. hizo ndizo safari za zamani za Wa- suaheli walivokwenda katika barra kufanya bi'ashara.

saftui za sasa za Wasualieli.

wale watu wa zamani hawasafiri, wanashika kazi ya jembe. na wasiwo mashamba, wanazunguka njiani kama ngombe, wasiwo wachunga, sababu hawataki sa- fari. illa vijana wanawoondokea sasa, ndiwo wanawo- safiri. na safari zao si mno kwenda Unyanyembe na Manyema, sababu wanapata khasara nyingi. Washenzi wa barra wote wameerevuka, thamani ya barra na ya pwani sawasawa. safari walizozishika, huenda Nguu,

1) Freude. 2) übergeben. 3) Gewimi, 4) Verlust.

245

kunmraa mpira na tumbaku, ao Uhehe wanapeleka bi- (Ja'a wakabadili kwa fedda. na Wanguu na Wakehe wameerevuka , lakin wanaona afadali kufanya kazi ya burre kama kutembea burre, kama walivosema wazee „mguu uliosafiri, haukosi fungu lake."

na wengine wanapenda safari, lakin nyoyo zao hazina ^ mwamana , matäjiri hawawapi kitu. na bao wasafiri wa sasa, hawana shangwe wakirudi, sababu „mkono mtupu haurambwi , na ukarambwa una punje," ma'ana ni maneno ya fnmbo. yamekwisha maneno haya.

safari za Wanyamwezi zainani.

Wanyamwezi wakishnka kutoka barra, buchukua ngombe na mbuzi na pembe, meno ya viboko na mbuni. naye hashuki pwani, illa akiwa na rafiqi yake mjini, jumbe ao kijana wa mji. bumpelekea khabari: „mimi nimefika Usako , tengeneza nynmba yangu tayyari, na pombe uweke nyingi.« rafiqi yake atapanga nyumba yake na ya wandewa na wanyapara. hatta as-subuhi yule mwenyeji wa mji atawambia waanawake : „'kesho takamshangilie rafiqi yetu shamba." na kushangilia kwao husema:

„mlo mlo 1), mgeni wetu apendeza."

1) chakula.

akifika mjini, ataingia nyumbani mwake, na pembe zipelekwe fordani. mudda wa siku sitta ao sabae ana- lewa pombe. Wahindi wanakwenda wakirudi kumwu- liza mdewa: „lini utafanya bieasbara pembe zako?" lakini wapagazi wakifika, vitu walivochukua , wame- kwisba uza mbuzi, viboko, vipussa, mikuki. ma'ana mdewa wao huwapa rukbsa kuuza upesi. nao hununua

246

vitu vya tunu kuvifunga tayyari kupelekea ndugu zao barra.

bacada pembe kupigwa cbapa , siku ya kutaka bi- 'asbara buenda yule Mnyamwezi mwenyi pembe zake pamoja na rafiqi yake batta dukani kwa Mbindi, wata- pangia pembe. bfasbara yao pembe moja anataka vitu vya duka lote, lakini Wahindi mabodari wa bfasbara bizo. wanaanza mwanzo wa as-subuhi batta saca sitta pembe moja baijesba. marra anataka rangi bii, marra anataka rangi bii. na katika bfasbara yao sberti waletewe tende na nazi , hufurabi sana, busema : „Muhindi huyu mzuri sana, anajua kufanya bfashara." Mubindi busema : „nnawapa burre , bapana hesabu ka- tika uguzi wetu," lakini yeye Mubindi buandika katika daftari yake.

kisba watarejVa maneno ya bfasbara , batta wa- gombane wakasema: „sasa njaa zitauma, leo tuwacbe uguzi , kesbo tukakuja."' siku ya pili watakwenda, kama hawakupatana baitakwisba bfasbara, labda siku ya tatu Mubindi atapatana na yule Msuabeli: „sema naye rafiqi yako, bfasbara isbe." naye atampa maneno mazuri yule Mnyamwezi, atakata bfasbara. na kukata kwake atawatukana wote wawili Mnyamwezi na yule Mubindi, buwambia: „ninyi wajinga, bamjui bicasbara." bumwuliza Mnyamwezi: „unataka nini mde- wa, na Mubindi nini bataki kukupa?" busema: „nataka rangi kaza wa kazä." bumwuliza yule Mubindi: „buna khasara?" bujibu: „ninayo kbasara." busema: „baiduru, mpe kitu atakacbo , sababu utanunua pembe nyingi kwake." atampa. ba'ada yake haisbi bfasbara , illa wanyapara , waliwo katika bfasbara , wapate besbima yao kitambi ao nguo nyingine. atawasbika mkono awapatanisbe , bfasbara imekwisba. bii ndio bfasbara yao Wanyamwezi.

247

kazi ya wapagazi.

ba'ada ya kufika katika mji, wanalala hatta as-sububi, killa mtu hushika sboka, akenda kokoni kukata kuni. na wengine bukata fito , na wengine pau , wengine vi- guzo , wengine wanachuna kamba. vitu bivo vyote bujengewa nyumba. buleta mjini kuuza, mzigo pesa kumi ao kumi na sitta, ndio matumizi yao. posbo wanapata, lakini baliwatosbi kitu.

na wengine wanafanyiza kazi ya mjini, wanazun- guka katika mji, busema: „wapi mirimo?"1) watu huwauliza: „mirimo gani?a wanajiba: „yoyote, kuteka maji ao kukandika nyumba." lakin ukamwambia „kazi ya kucbimba cboo" baqubali, anasema „katika cboo mnaingia mambo mengi."

wengine bufanya kazi ya ukulima, hupatana na waanawake ao waanawaume , buwapeleka masbamba kuwasa'idia ngwe2) zao. batta jioni bureje'a mjini, buwapa kama walivopatana. wengine bupatana nao kuwapeleka mtoni kuchnkna mizigo ya miwa. nao bu- wapendeza mno kazi biyo, ma'ana bupata miwa ya burre kutafuna. bizo ndizo kazi za wapagazi wa ki- nyamwezi wanazofanyiza mjini.

khabari ya safari kureje'a barra ya kinyaiuwezi.

ba'ada bi'asbara kwisba, Wanyamwezi buenda ko- koni kukata mambo. mambo zao fito za kufungia mi- tumba. kisba bupewa upagazi wao wa kureje'a barra. bununua vitu watakavo. tenna bufunga mitumba. mtumba mmoja ndani yake mna jora kumi na vitambi. na ucbukuzi wao wanacbukulia begani. nao waana- wake na waanaume bucbukua mizigo. na iwapo ame-

1) Arbeit. 2) tägliche Feldarbeit.

- 248

nunua vitakataka vingi, naye läzima kuckukua mtumba wa watu, na vitu vyake hufunga kiunoni.

na furaka ya wasafiri, inapotoka mjini, wote hu- pewa mahia mekundu kuvaa , na wengine miguuni wa- navaa kengele, wakenda hulia zile kengele. na kiron- gozi kazälika. lakini yeye kuvaa ngara. na hiyo ngara manyoj^a ya killa ndege, hukusanya pamoja, akayafunga, kuvaa kickwani. katta safari ikiska, wakaipeleka skamba, mizigo kuipanga ndani ya khema, kiska kurudi mjini. sababu wengine wana vitu wamesabau kununua. ku- ckukua jora kuuza. nao wanauza kwa tkamani ndogo, sababu kitu kikatoka dukani kwa Mkindi, ukinunua rupia kumi , Mukindi atakupa tano , sababu ni vinyozi sana, kunyoa watu nywele zisizo maji. wakeska nunua vitu vyao , wanakwenda maskamba , na safari ina- toka.

zamani walikuwa Wanyamwezi siku ya kulalia safari kuckeza tinge *) ao hutambika mapasa 2). na tambiko yao kupakaa unga usoni na kutukanana waa- naume na waanawake , lakini si magomvi , illa ndio desturi yao. tenna kuckukua unga na kijungu kipya, kupeleka njia panda, ndio tambiko yao, katta as-subuki wanasafiri.

nyiinbo za safari.

nao buimba katika safari :

„mtondowo x) siwo? mtondowo siwo ? Wambwera waskenzi wamekuja mtondowo siwo?"2)

1) mtondo huo ; mtondo Karawane. 2) diese Lieder sind Gemisch von kinyamwezi und kisuaheli.

1) ngoma. 2) Anrufung ihrer Vorfahren, mapasa genannt.

249

ao huimba :

„mayu wane 1), mayu wane, nahuu ! 2) walungwana kutukongola3) wamaweta."4)

1) meine Mutter. 2) horch auf. 3) betrügen. 4) die Nvohlhabenden.

ao huimba:

„tola1) tola, mwana wane limhu 2) hami, ! tola mwana wane limhu hami."

1) nimm. 2) meinen Speer.

ao huimba:

„hongo na hongo maliro *), he baba maliro,

ukagwe 2) nirigwe walungwana. mayu!3) twizire 4) kuwalola 5), somo 6) wize 7), he mama wa mashoto 8), mayu! twizire kuwalola."

1) inakwisha mali. 2) ondokeni. 3) Schwur „bei meiner Mutter." 4) tumekuja. 5) lola = tezama. 6) Freund. 7) watakuja. 8) feig.

ao huimba :

lukucha *) 1 wa nghua 2), lnkucha lwa nghua chimo 8) lya Ugogo, ähe baba ! lukucha lwa nghua."

1) kucha. 2) hua. 3) vita.

baeada ya kwimba husema:

„mliho mliho?"

huitikia wengine :

„tuliho, tuliho."

250

ao huimba:

„walungwana si watu Katate *) wammenya 2) chuma. "

1) Name. 2) menya = piga.

marra nyingi ba'ada ya kwisha mwimbo moja husema: „äho hakutekerwa." *)

1) hapo kakupikwa kizuri.

ao huimba :

„tuwaleke1) walina2) iwuwa3) ya wakima."4)

1) leka = wacka. 2) wana. 3) wana uwivu. 4) waa- nawake.

khabari ya nsare1) kwa Wasuaheli.

äsilF) ya usare.

zamani watu wa barra na wa pwani walikuwa wakiogopana kwa kunyanganyana. mtu wa barra akija pwani na bi'ashara hunyangany wa. na watu wa pwani wakenda barra , hunyangany wa mali zao na kuuawa, ndio ma'ana kutakana udugu wa usare, kutoana khofu3) katika nyoyo4). wakifanya huo udugu, kawanyan- ganyani tenna, huwa mtu na nduguye.

khabari ya usare.

ma'ana yake mtu akataka kufanya urafiqi5), kwanza huchinshwa kuku ao mbuzi kwa mtu anayejiweza. kha- lafu hutwaliwa ini la nyama, likachomwa hatta lika- wiva. kisha huja mtu na wembe na kinoo, jina lake mdumilizi, tenna huwadumiliza. katika watu wawili moja wapo kwa jina lake akamwambia: „Mwenyi Kondo, umemtaka Mwenyi Khamisi kufanya na}7e urafiqi, naye ana ndugu zake , watu hao wataingia katika nyumba yako , wakaona kitu chako watachukua usiqa- sirike 6) , ndugu wa Mwenyi Khamisi na wewe ndugu yako , ukiqasirika ufe. " watu huitikia wale walio- shuhudia7) „mwiza" ao „ndio."

1) Blutsbruderschaft. 2) Ursprung. 3) Angst. 4) moyo nyoyo. 5) Freundschaft. 6) ärgerlich werden. 7) be- zeugen.

252

tenna mdumilizi husema marra ya pili: „kama umeona vita, vyataka kumjia Mwenyi Khamisi, nawe wavijua, ukanyamaza, usimwambie ndugu yako ufe." huitikia tenna watu „mwiza."

„ao unakaa katika mabaraza kumteta ndugu yako Mwenyi Khamisi mbaya ufe." huitikia watu „mwiza."

na waqati wa kusema maneno haya , mdumilizi kunoa ule wembe juu ya kichwa katika kinoo, amma kama hana wembe , hunoa upanga , ao sime , ao kisu. na ma'ana yake anawatia khofu, wakae vema mtu na rafiqi, usivunjike udugu.

akiska maneno haya, huja mtu mwingine kumdu- miliza Mwenyi Khamisi. maneno yake kama tuliyo- tangulia kuyasema. na watu hao hukaa juu ya mkeka mpya. nao hufunikwa nguo mp}^a. hatta yatakapo- kwisha maneno hayo , huletwa ini *) la nyama , tenna huchanshwa wote wawili. damu2) zao hupakwa lue ini, wakala wote wawili. khalafu huondolewa, killa mtu hukaa pahali pake.

tenna huja watäni 3) kutaka utani4) wao. na ma- shahidi5) hutaka utani wao. tenna watu waliopo wata- taka tandula , ma'ana yake kuondolewa mkeka chini na kuvuliwa nguo walizojifunika. na mkeka huchukua mdumilizi moja, na nguo achukue mdumilizi wa pili.

na wengine hawafanyizi usare , wanasadiqiana kwa nyoyo tu. hupika chakula, wakaweta watu, wakala chakula , wakawapigia fätiha 6) kuwaombea muungu, urafiqi wao kuwa mwema. lakini Washenzi7) hawa- qubali , illa kwa usare , ndipo anapoqubali huyu ndio ndugu yangu.

1) Leber. 2) Blut. 3) Stammesgenossen, Vetternschaft. 4) übliches Geschenk. 5) Zeugen. 6) erste Sure. 7) Leute aus dem Innern.

khabari za utumwa.

asili ya watumwa.

asili yake mtu hufikiwa na mawähibu *) kama ku- pigana vita beina ya inchi na nyingine. katika vita, watu wanaopatikana mateka, kawawaui, hufungwa kamba, wakawackukua mjini huwambia: „ninyi kaeni watumwa wetu." nao kukaa, wakajioa wao kwa wao. wakizaa watoto, watoto wao ni watumwa vilevile.

ao utumwa unapatikana katika dia *). mtu ameua, na wakwao 3) wote maskini , naye bana fedda , hulazi- misbwa kutoa dia, asipoweza, atacbukuliwa yeye, atau- zwa ao atakwenda kama mtumwa kunako dia. na kama aliyemwua mungwana , dia yake kubwa. akiwa na ndugu ao mjomba, atamfuata katika utumwa.

ao mtu mcbawi ameua, naye amejulikana kwambani mchawi liuuawa, ao huenda alikoua akawa mtumwa.

ao mgoni4) amelala na mke wa mtu, kulazimishwa ugoni5) kulipa, kama bana atakuwa mtumwa. na ugoni zamani ulikuwa barra na pwani, batta Wasuaheli wakitumia ugoni. ao huingia njaa, wakauzana wenyewe kwa wenyewe.

1) niambo. 2) Blutschuld. 3) Angehörige. 4) Ehe- brecher. — 5) Ehebruch.

254

ao huweka rahani1) mtoto , ao mpwa wake, na fedda ya kukomboa hana amekuwa mtumwa. illa mkewe hawezi kuweka rahani, wala kuuza, ijapokuwa njaa kubwa. kama hawezi kumlisha atamwacha.

turejee maneno ya barra. mateka na rahani na watu waliwotoka katika ugoni, ndugu zao kama hawana fedda ya kuwakomboa wamekuwa watumwa. wa- kenda Wa'arabu barra ao wachnuzi wengine wa wa- tumwa, huwanunua kuwaleta pwani. nao huwauza kwa watu wengine. ndio äsili ya utumwa. nao wanapoletwa pwani , sherti aliyewanunua , awatezame sana , ma'ana hutoroka. na wengine, wakifika pwani, hujida'i2) wa- ungwana.

zamani za Seyyid Barghashi ilikuwa njaa mrima, ikawa wanauzana Wazaramu na kuwekana rahani. Wa'arabu wakapata khabari Unguja, ya kwamba mrima watumwa rakhisi. wakashuka kununua watumwa wa kizaramu. hulala usiku kucha Mzaramu hatta as- subuhi ya pili amekimbia, amekwenda kwao. na akifika kwao, shidda kupatikana tenna, na wanaopakiwa Un- guja, hukaa mwezi mmoja , mwezi wa pili hujidal: „mimi si mtumwa, mimi mungwana." yalikuwa ma- shitaka3) killa siku katika barza. Seyyid Barghash akapata khabari, ya kwamba Wa'arabu huenda mrima wakinunua Wazaramu. Seyyid Barghash akawagombeza Wa'arabu, akasema: „atakayekwenda mrima kununua watoto wa kizaramu fedda yake ametia baharini, naye tamfunga pingu miezi sitta." na äsili yake ha- wakuwa wakinunuliwa, huenda watokao mjini, huenenda mashamba, wakiona watoto wa kizaramu ao waanawake, huwakamata, wakiwatia vitambaa vya kinywa, wasipate kupiga kelele , tenna huwaleta mjini kuwauza kwa wachuuzi.

1) Pfand. 2) fordern. 3) Klagen.

255

na wengi wa Wa'arabu husafiri barra kuwapfga vita Washenzi, mateka yake huwafanya watumwa. ao Mshenzi huenda kwa Mw'arabu, akamwambia: „nime- kuja kukufuata." naye huqubali Mw'arabu. na akiwa na jamaca zake humfuata , mwisho wake huwafanya watumwa. nclio sababu yake watumwa wengine wa barra ao wa Manyema wanaleta matata kulla siku pwani, wanasema: „huyu Mw'arabu hakuninunua , ni- memfuata tu, sasa anataka kunifanya mtumwa."

namna ya watumwa.

mzalia asili yake mama yake ametoka barra. ali- pofika pwani, akaolewa na mtumwa vilevile, akazaa mtoto. huyu anaitwa mzalia. mzalia namna mbili. kuna mzalia wa marra moja na mzalia wa marra mbili, hatta marra sabac. ma'ana ya marra sabac: mama yake amezaliwa katika mji, na baba yake kazalika bassi huyu hokümu yake kama mungwana, huambiwa mtumwa asili tu.

kuna na mtumwa mjinga. mjinga aliyefika pwani, hajui kusema wala hajui desturi za watu, wala nguo hajui kufua, wala kupika chakula huyo jina lake mtumwa mjinga. akiuzwa, themani yake ndogo kuliko mtumwa mwelewa.

lakini mtumwa mzalia si mno kuuzwa kwa zamani, illa iwapo feduli1), hutukana waungwana. nao hawa wazalia waungwana huwaoa. macana huwafanya kama ndugu zao. watoto wanaozaa wazalia kwa mume mungwana si watumwa.

kazi zao watumwa wajinga.

bacada ya kununuliwa hupewa nguo mpya, marra hununuliwa jembe, hupelekwa shamba. na huko shamba

1) anmaßend.

256

kuna nokoa1) na msimamizi. yule bwana akifika shamba, humwita nokoa na msimamizi, huwambia: „nimewaletea mjoli." nao hujibu: „vema tumemwona."

hatta as - subuhi nokoa na msimamizi humpeleka shamba kumwonyesha paliali pa kulima, hukatiwa ligwe 2) yake. akapewa na panga yake, ma'ana kipande ckake cha shamba kulima muhogo wake na kupanda mboga ao künde, kinachopatikana katika panga hiyo , si lä- zima bwana kumpa, illa atakapo mwenyewe. kama amelima mpunga ao mtama, humpa mpunga kidogo, humwambia : „bwana, nnakupa pepeta 3) zako." na ikiwa mtama humwambia: „bwana, nnakupa msima4) wako." naye humpa kwa wema wake.

na siku zao watumwa wengine wana siku tatu, wengine wana siku mbili zao. nao hulima mwanzo wa as-subuhi, hatta saca tano hureje'a majumbani. na al- casiri huenda tenna, hatta sa'a heda'ashara huondoka.

na mtumwa iwapo mgonjwa, hendi shamba kulima. humwambia bwana wake: „mjoli fulani hawezi." na maradi , iwapo makubwa , humtibu bwana wake , hatta apone. na akifa, hutoa sanda, huwambia wajoli wake kwenda kumzika.

iiyimbo za watuunva kazi hiapokwisba.

nao huimba:

„nokoa, kazi yako isha, tupe kinua mgongo."1)

1) Rückenstrecker.

ao huimba:

„ukenda Malindi, kanzu na fulana, ukipata pesa, lifutike sana,

1) Oberaufseher. 2) tägliche Feldarbeit, kleines Stück Land. 3) mpunga mbichi. 4) mtama mbicbi.

257

kama Msengesi1), atakutawanya." 2)

1) Ein in Zanzibar als Päderast bekannter Araber. 2) spren- gen, andere Ausdrücke sind fira und pasua.

ao huimba:

„bwana siwezi, nipeleke skamba, hackimbe mwafu1) na mkoma Manga 2), hizi si ndui, ni tete kuwanga."

1) wilder Jasmin. 2) Granatbaum; Manga Arabien.

ao huimba :

„riale ya Shami1) haisemi uwongo, ujapoiweka juu ya udongo moyo hufurahi, hauna kinyongo." 2)

1) Taler von Syrien; gemeint ist der Maria-Tberesien-Taler. 2) Ärger.

kazi ya wazalia.

kazi za wazalia: hutumika nyumbani kuosha vyungu ao sahani, ao kufua nguo, ao kufundiskwa kupika chakula, na kushona mkeka. na kufyagia nyumba, na kwenda kisi- mani kuteka maji , na kwenda dukani kununua mchele ao nyama. na chakula kinapokwisha pakuliwa, kumwan- dikia bwana wake , na kuskika birika kumnawya , ao siku nyingine humwosha miguu bwana wake , na kum- paka mafuta, lakin kwa rukhsa ya bibi yake. ao bibi yake ataka kwenda sharnba ao tangani ao katika h'arusi, hufuatana naye pamoja. bibi yake kama ana mwavuli, humchukulia.

kazälika ikiwa mzalia mwanamume, hufuatana na bwana wake katika safari , kumtezama akiugua. ao nguo zake zina taka kuzifua, ao anataka kitu dukani akamnunulie, hutumika katika killa kazi kama ata- kavyo bwana wake. ao hupelekwa kiwandani kufun-

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 17

258

dishwa kushona kanzu, kutarizi *) nguo, vyatu, kuskona kofia, hufundisbwa usermala, kufanyamilangoyanakshi2), ao kujenga nyumba ya mawe ao za miti. akijua kazi hizo , pato lake hutumia mwenyewe , na iwapo mzalia mwema, humkumbuka bwana wake kwa kumpa kitu.

adabu ya mtuinwa na bwana wake.

mtumwa ni kusikiliza amri ya bwana wake. akia- mbiwa „tumika" marra atumike. aketwa, marra aje upesi, kusikiliza amri. wala asiseine na bana wake maneno ya ujuvi.

adabu ya mtumwa akiona bwana wake, ameshika kitu, marra ampokee. kazälika akaingia cbumbani kwa bwana wake, avue kofia. na wakifuatana pamoja, ha- tangulii mbele. na wakifika paliali pana viti, hakai juu ya kiti.

na killa as-subuhi na jioni kwenda kwa bwana wake kumwamkia na kutumika kazi iliyoko.

mtumwa , akiamkia bwana wake , bampi mkono, ajapotoka katika safari. wala chumbani kwa bana wake haingii billa ya neno.

adabu ya mtumwa : chakula wanacbokula maseyyidi zake, naye läzima kukila, lakini hali pamoja nao, illa mzalia hula pamoja na bana zake.

khabari ya zamani ya watumwa.

watumwa zamani mrima hawakuwa na hatbthi3) mbele za waungwana. kwanza mtumwa akijulikana katika mavazi, ma'ana katika mavazi comri wake bavai kofia, akifa jumbe ao asife. wala bavai vyatu ao kanzu, iliyo ndefu kufunika miguu. wala mungwana hamtaji jina lake, illa bumwita „mwinyi," ma'ana bana. kazä-

1) besetzen. 2) Schnitzwerk. 3) Glück.

259 -

lika mwavuli njiani, mvua ikrnya, hajifuniki. illa za- mani walikuwa na miavuli ya miyaa1), ikimpata mvua, kujifunika na mwavuli liuo. wala katika nyumba yake haweki vyatu vya mtarawanda 2).

na wakenda katika karamu, hukaa upande wao, si pamoja na waungwana, kama iliyosemwa katika mbiu: „mbiu1) ya mgambo2) ikilia haina jambo, mbiu ya shomvi3) na arba'ini4) mpumbuji5) na mjumbe6) pazi na wana wa pazi wazengere 7) na wamganda." s)

1) Büffelhorn. 2) Bekanntmachung. 3) jurnben. 4) junge freie Leute. 5) die shaha, waziri etc. 6) die im Lande ge- borenen Sklaven. 7) = wazalia. 8) = watumwa.

ba'ada ya maneno haya husema maneno aliyoam- rishwa kusema. na watumwa waanawake, wakifuatana na waungwana waanawake, hawajifuniki ushungi, wala hawavai kaya.

kazälika mtumwa hakai juu ya kiti cha kabesera 3), wala nyumbani mwake hakiweki. na afanyapo, husema „mtumwa fulani ashindana na sisi, aweka viti vya ka- besera ndani ya nyumba yake."

kazälika mwanzo wa watumwa kutakabbari 4) qabla ya miaka kumi na mitano. alikuwako jumbe mmoja, alikuwa na watumwa wengi. siku moja akenda dukani , kuwanunulia kanga na kaya vijakazi vyake, akawapa wakavaa. vijakazi vikata'ajjabu 5) sana. ma- jumbe mjini wakapata khabari , ya kama jumbe Ki- soka watumwa wake amewapa kaya. wakajifunga kwenda kwake kumwuliza. akajibu: „mirni nimefanyiza

1) Dumpalme. 2) Holzsandalen. 8) Stuhl mit Lehne. 4) stolz werden. 5) sich wundern.

17*

260 -

kufurahisha moyo wangu na watumwa wangu, na ata- kaye na afanyize." wakaqasirika majumbe wote. wa- kafanya shauri ya kutaka kumpiga vita. wengine wa- kasema: „haifai," ana watu wengi, naye amezalika, ana ndugu wengi katika mji." wakamkhasimu *) wale ma- jumbe.

ba'ada ya mwaka mmoja mtaa wa Grongoni kuliku- wako jumbe G-ungurugwa, akasema: „nami watumwa nitawapa kaya na miavuli." vijana wa mji wakasema ndivo. akawavika kaya wazalia wake, akawapa na miavuli, wakatembea mjini. majumbe wengine wakaqasi- rika, wakasema: „hawa majumbe wana chura, wanafa- nya mambo wahenga wetu bawakufanyiza. mji huu itaingia cishara2) ya vita. atawalli mfalme mwingine, ikiwa killa mwezi inakuwa namna nyingine kugeuziwa watumwa. marra nyingine jumbe akifa, ba'adi3) ya mtaa wanavua kofia, wana'uzulu4), na bacadi ya mtaa kawa'uzulu."

killa siku masbindano, hatta sasa hawavui kofia. akifa jumbe, baba kabisa wanaovua, sababu huthanni si läzima. kazälika watumwa kazi walizo wakifanya za- mani sasa bäwafanyizi, ni ile kazi atakayo kufanya, na kama kataki bafanyizi.

na iwapo ni casi 5), bana wake hawezi kumrudi, humpeleka katika nyumba ya sirkali, hunena ya kama: „kuyu mtumwa casi, bafanyi kazi nyumbani." sirkali humpa adabu. khabari ya watumwa ya zamani na ya sasa.

nikaha6) za watumwa.

zamani mtumwa akitaka mke, humwambia bwana wake ya kama: „bwana, mimi namtaka mjoli fulani

1) feindlich sein. 2) Anzeichen. 3) Teil. 4) Kopfbe- deckung abnehmen. 5) ungehorsam, widerspenstig. 6) Ehe.

261

kumwoa." bwana wake liuuliza: „umepatana naye?" hujibu: „tumekwisha patana." bumwambia mtumwa wake: „nipe kilemba changu riali." sababu mtumwa mjinga kilemba cbake hutoa riali. moja kumpa bwana wake, na mahari1) yake mwanamke riali tano. akisba toa riali ya kilemba kwa desturi ya zamani nikaha yao, hawendi kwa mw'allim kuwaoza, illa bwana wao husema : ,;nimekuoza mjoli wako fulani." naye huitikia: „ndio." marra huenda akaingia nyumbani kwa mkewe.

lakini sasa wanakwenda kwa mwcallimu kuozwa kama desturi. na h'arusi yao hawana sherehe-) ya ku- fanyiziwa karamu, na kualikwa watu, na kushonwa ma- godoro na mito, hawafanyiziwi desturi hü.

kazälika mtumwa, akiwa ameandikiwa uhurri, ku- posa kwake hamwambii bwana wake ya kama „na- taka kuoa mjoli fulani," illa butafuta mwanamke am- takaye, wakipatana, wakisha buenda kwa bwana wake, kumpa kbabari ya kama: „nataka kuoa." ma'ana yake heshima kumpa shauri. na bwana wake hujibu: „vema, khiyari3) yako wewe mwenyewe."

hatta siku ya h'arusi huja yule bwana wake kusi- mamia karamu, ma'ana ndiye baba yake. na huyo mtu- mwa khädimu4) akioa, kama ana kitu hufanyiziwa furaha kama mungwana ngoma na kualikwa watu wengi. na mahari yake mwanamke tangu riali kumi hatta eesherini. na kilemba riali tano atapewa baba yake yule mwanamke, ao ndugu yake ; kama hana baba wala ndugu, hupewa mwenyewe mwanamke. khädim, ao kama Wasuaheli husema „fungu la muungu," anaoa fungu la muungu mwenziwe. na iwapo khädimu mzalia, huoa mungwana, illa mtumwa mjinga haoi mung-

1) Morgengabe. 2) Art uud Weise. 3) Wille, Wunsch. 4) Freigelassener.

262

kazälika watoto wanaozaliwa mama yake mtumwa na baba yake mtumwa watoto hufuata utumwa, na kulla kinackozaa watumwa, na watoto wakizaliwa watumwa, mungwana akioa mwanamke wa kitumwa, akizaa mtoto mtumwa. illa mungwana mwanamke, akiolewa na mtumwa, mtoto wake hawi mtumwa, sa- babu ungwana umepatikana kwa mama.

khabari ya masuria.

suria mtu hununua kijakazi, akakiweka nyum- bani, kikafundishwa kupika, na kulla desturi ya nyumba, hatta akiwa mwari, yule bwana humwaui- bia: „wewe suria yangu, kuna rukhsa ya kutembea nje, ukitaka kitu, wambie watu wakakununulie. " wajoli wake wakimwona bwana wao amesema maneno yale, kumheshimu nyumbani. naye hununuliwa kitanda na mkeka na mito , akapewa ckumba chake kama mke. yule bwana akiwa na mke siku tatu kulala kwa mkewe siku moja kwa suria. na kama hana mke, suria ndiye mkewe. watu wengine hawataki mke, wanapenda suria, sababu wanasema „suria mkoba," ma'ana ya mkoba akisafiri huchukna suria yake, la- kini mke ukisafiri kwanzä umbembeleze, tenna uwa- take skauri wazee wake ndio usafiri naye. ndio ma'ana kupenda suria.

na wengine wanapenda mke, sababu wakipata mtoto, mtoto atasema : „baba yangu fulani, mjukuu wa fulani, mama yangu fulani, mjukuu wa fulani." maeana ana kuke na kuume J), ndio ma'ana wakapenda wake.

lakini mtoto aliyezaliwa na suria vilevile mung- wana, hana rukhsa kuuzwa wala kuambiwa mtumwa, illa daraja yake hana kukeni.

1) d. b. man kennt seine Vorfahren von mütterlicher und väter- licher Seite.

263

kliabari ya mtumwa kutoroka.

mtumwa akitoroka, iwapo umemnunua katika mji, huenda ulikomnunua , ukawambia: „mtumwa wangu ametoroka, tafaolclali mkimwona mleteni."

ao huenda mtoni ao pwani kuwambia watu wana- ovusha ya kama: „mtumwa wangu ametoroka, eala- ma1) yake kaza wa kaza, amevaa nguo kaza wa kaza, qabila yake Mganda ao Msukuma, naye mjinga, kimo chake mfupi, naye mweusi, mkamwona anataka kuvuka, msimpe rukksa, mkamateni mumlete kwangu, nami na- kaa Bagamoyo qaribu ya fulani, na jina langu fulani." bassi yule mtu atarudi mjini.

akifika mtoni yule mtumwa, wakimwona wavushaji, watamwuliza : „wataka nini?" hajui maneno ya kusema. watamkamata, wampeleke mjini hatta nyumba ya yule mtu, naye läzima atawapa riali moja uokosi2) wao.

kwa zamani za kwanza bufungwa yule mtumwa nyumbani chumba cha pekeyake mudda siku mbili ao tatu, kisha kupewa yamini3), huambiwa: „ukatoroka marra ya pili ufe."

khabari ya 'azima4) ya mtumwa.

mtu akitoroka, hununuliwa kamba ya mnazi, ika- somewa „yä smi" 5) mafundo sabae na mw'allim, hupewa yule mwenyi mtumwa aliyetorokewa, kuichukua kwake ile kamba, akafika nyumbani, husimama mlangoni, ku- mwita yule mtumwa kwa jina ]ake marra saba\ tenna hutundikwa juu ya mlango ile kamba, bakhti6) ikiwako hureje'a yule mtumwa, ao hukamatwa na watu wa- kamleta.

1) Merkmal. 2) Finderlohn. 3) Schwur. 4) herbeizaubern. 5) Sure 36. 6) Glück.

264

khahari ya kumweka mtuniwa rakani1).

killa mwenyi deni aweza kumpeleka mtumwa wake katika rahani, na yule mtumwa akitaka ao asitake, mädäm 8) bwana wake amelazimishwa kuweka kitu rakani. na kuyu mtumwa ana rukksa kwenda siku moja kumtezama bana wake, siku ya pili arudi.

na iwapo kuyu mtumwa ana mke, huweza kuwekwa rakani vilevile, hatta mkewe anaweza kuwekwa rakani. nao läzima wafanyize kazi kama walizo wakifanya kwa bana zao. na iwapo wavivu, aweza kuwarudisba ku- taka fe(J4a yake.

khabari ya mtumwa kutaka kukopa.

mtumwa bakopesbwi mali pekeyake, illa kwa amri ya bwana wake. iwapo täjiri amempa fedda mtumwa, naye anajua , kama kuyu mtumwa , akackukua fedda, akenda barra, akafa, ao akakimbia, asirudi pwani fedda yake imeingia baharini, bawezi kwenda kwa bwana wake kuda'i.

lakini ikiwa ameandikiwa, naye anataka kukopa, ana rukhsa kwenda pekeyake kukopa, kama fedda ata- kayo. sababu akipoteza , itamläzim pekeyake kulipa pasipo bwana wake.

kliabari ya kuandikiwa kurru3).

mtu iwapo ana watumwa wengi, hutazama mtumwa, aliyekuwa katika amri yake , bumwita : „Mabruki ao Majuma' wewe utapata khatti ya uhurru, si mtumwa tenna."

ao iwapo ana mtumwa moja tu, amekaa naye miaka mingi kwa vema, humwandikia hurru. akiwa na ki- skamba kidogo kumpa, tenna kumfanya ndugu yake ao mwanawe.

1) verpfänden. 2) während. 3) freischreiben.

265

na mno desturi ya kuandikiwa uhurru, mtu akiji- ona mzee, naye anataka kufanya neno la thawabu l), akiwa na watoto ao bana watoto, buwambia ya kama: „mimi kijakazi fulani nataka kukiandikia fungu la mu- ungu, nikifa awe kama ndugu yenu, msimtupe." marra kuandikiwa kbatti, akapewa, amekuwa mungwana. na mtu akiandikiwa, bauzwi wala bawekwi rahani.

khatti ya uhurru8).

mtu akitaka kumwandikia mtumwa wake hurru, ataandika katika kbatti yake: „nimeqirri3) fulani bin fulani, ya kwamba nimemwandikia fulani hurru kwa mweny'ezimgu, mungwana ma'ana. hana mtu wa kum- ta'arradi4), hai5) yangu hatta nikifa, bapana njia ya kumta'arradi. na mtu mwenyi kupindua haya, niliyoyaan- dika katika khatti hü, atapata zambi6) kwa muungu kwa kupindua khatti bii mimi niliyemfanyiza mu- ngwana. akija mtu, akamfanyiza mtumwa juu ya khatti yangu huyu atapata zambi."

amma hio ndio aqarri kama bayo. lakini sasa wa- nakwenda katika nyumba ya sirkali, ikaandikwa khatti yake kule na kutiwa calama ya sirkali juu.

1) Gott gefälliges Werk. 2) Freibrief. 3) anerkennen. 4) sich entgegenstellen. 5) Leben. 6) Sünde, Strafe.

khabari ya ukarimu1).

mtu akiwa na kitu, hupenda kufanya karamu1), kuwalika watu marafiqi zake, ao wageni wa mji. hu- enenda kwake, wakala vyakula.

na mtu akipata fed(Ja kidogo ao fayida3) ningineyo, hununua mbuzi, liufanyiza chakula, aketa watu, wakala. hatta mpagazi, akipata npagazi wake, hufanyiza karamu ndogo, aketa wenziwe wakala.

ukarimu mwingine karimu ni kumwona mtu hana nguo , humpa rupia za kumtoska mavazi yake, tenna humwalika kuja kula. lakini yule atoaye karamu, iwapo ya fedda , si adabu kusema „fulani nimempa jinsi4) kaza wa kaza."5)

karimu mwingine ni kumwona mtu hana pahali pa kulala, na nyumba yake nafasi 6), kumwita, akamwonyesba chumba cha kulala, billa ya kumtoza qoedi7), tenna hu- mpa chakula.

na mwingine huwaona maskini katika njia watano ao sitta, huwapeleka nyumbani kwake, humpa killa mtu pesa mojamoja ao zayidi, ao huwapa mpunga ao mtama.

na kama mtu ametoka sokoni, amenunua muhindi ao embe, akimkuta mwenziwe, humwambia: „tafaddali8) twaa embe moja ao muhindi kidogo." na iwapo wa-

1) Freigebigkeit, Gastfreundschaft. 2) Fest. 3) Gewinn. 4) Art. 5) soundso. 6) Raum. 7) Miete. 8) bitte.

267

mefuatana pamoja sokoni, naye anataka kmranua ma- tunda, kununua mafungu mawili, fungu lake na la pili kumpa mwenziwe.

na iwapo moja anavuta sigaretti 1), äkimkuta mwenzi- we njiani, kumwambia: „vuta unisazie." naye kuvuta ki- dogo, keska kumpa, aokumwuliza: „unaitaka tenna, ao nickukue?"

khabari ya ingeni.

kazälika mgeni akifika katika mji, kana nyumba, kufikia mskitini '-). akimwona mtu, kumwuliza: „unatokä wapi?" kujibu kusema: „mimi sina pakali pa kukaa wala ckakula." mtu kumckukua nyumbani kwake, aka- mwonyeska ckumba, kumwambia; „kaa katta siku una- zotaka/' kamlazimiski qo'di. na ckakula kikeska, kula pamoja. na akiwa na wasa'a mwenyeji wake nguo kumpa na akiwa si msafiri wa kuondoka, naye mtu mwema, kumtafutia mke, wakampa, kuwa jama'a yao. na iwapo hajui kazi ya kufanyiza, kumwonyeska bi- caskaraya mji, na akiwa mkulima, kumpeleka skamba waka- mwonyeska konde ya kulima, katta awe mwenyeji wa mji. lakini iwapo ni uvivu, kataki kazi, illa kula na kulala, kumtolea maneno ya fumbo kama ;,ikiwa mno ni mno." ma'ana mtu, akikaa sana, kuckukiza, kama iliyosemwa ndani ya „uska'iri wa mgeni." 1.

mgeni siku ya kwanza

mpe mchele na panza3),

mtilie kifuuni 4),

mqaribiske mgeni.

1) Zigarette. 2) Moschee. 3) Rest, der in der ausge- schabten Kokosnuß bleibt. Es gilt als besonderes Zeichen der Liebe, wenn die Frau ihrem Manne oder Kinde in die Kokusnuß selbst etwas Reis mit dem Rest des weichen Fleisches (panza) der Kokos- nuß mischt und zum essen überreicht. 4) kifuu Kokosschale.

268

2.

mgeni siku ya pili mpe maziwa na säinli, mahaba1) yakizidia mzidishie mgeni.

3.

mgeni siku ya tatu, nyumbani hamna kitu, mna vibaba vitatu pika ule na mgeni.

4. mgeni sika ya nne, mpe jembe akalime. akirudi mwagane, ende kwao mgeni.

5.

mgeni siku ya tano mwembamba kama shindano. nyumbani hauishi mnongono2), atetwa yeye mgeni.

6. mgeni siku ya sitta mkila mkijificha, mwingie vipembeni, afichwa yeye mgeni.

7.

mgeni siku ya sabac si mgeni, ana baa, hatta moto mapaani ametia yeye mgeni3).

1) Liebe. 2) Geflüster. 3) d. h. wenn es irgendwo brennt, sagt man „das hat der Gast gethan," um ihn los zu werden.

269

8. mgeni siku ya nane „njoo ndani tuagane." akitokea nje, „kwa heri, nenda mgeni."

9. mgeni siku ya kenda „enenda mwana kwenenda, usirudi nyuma, usirudi mgeni."

10. mgeni siku ya kumi kwa mateke *) na magumi 2), hapana afukuzwaye afukuzwa y&y& mgeni."

khabari ya kushangilia3) mgeni mkubwa.

kama guverneri mgeni amefika mrima, watu waki- pata khabari „leo anafika guverneri mgeni," wote hu- kutanika pwani kumtezama na kumwamkia. na wana- pokwenda huckukua ngoma na zumari, wakipata rukhsa kwa sirkali.

hatta akishuka marra hupigwa ngoma na zumari nao hufurahi r'no. shangwe4) lao wanalochukulia mgeni :

„yöyo5) mgeni wetu, mwana wa s'üdi6) na jäha7), yöyo mgeni wetu, muungu ametuletea, yöyo mgeni wetu,

1) Fußtritte. 2) Faustschläge. 3) empfangen. 4) Freude, freudige Begrüßung. 5) Freudengeschrei. 6) Glück. 7) Freude.

270

ampe chenia kikao,

yoyö mgeni wetu,

hatta kurejea kwao,

yoyö mgeni wetu!" watampeleka na shangwe hatta wamfikize kwake, nao warejee. na iwapo wakipata rukhsa, liuckeza siku mbili ao tatu.

kazälika desturi ya kuskangilia mgeni, alikuwako tangu zamani mtu wa mji, aliye ma'arufu1) kama ame- safiri miaka mingi, akirudi hushangiliwa. naye hu- toa kitu kuwapa.

ao Mnyamwezi ameshuka, ana mali mengi, akifika, hushangiliwa. naye hutoa tunza kuwapa watu. lakini sasa desturi ya kushangiliwa Wanyamwezi imeondoka. ndio khabari ya shangwe la mgeni.

1) angesehen.

khabari ya näziri1).

näziri ni kuwa mtu yuko baharini , nkatokea upepo, ikawa jahazi2) inataka kuzama kwa upepo, wale waliomo katika jakazi butokea mtu, akanena: „sisi mweny'ezimgu 3) akatunusuru 4) saläma 5) , tunanäziri kwa sherifu 6) fulani kupeleka fedda kaza wa kaza. " 7) na ule upepo ukiwa umeondoka, läzima kumpa fedda yake yule sherifu , waliyemtaja , sababu naziri kama mtu aliyekopa deni8), kulipa ni läzima.

wa amma ni kuwa mtu bawezi, akanena: „mimi nikipoa mara^i haya, ntasoma »ahli badri.«" 9) läzima asome, iwapo amepona.

kazälika ni kuwa bana mtoto, akanena: „mweny'e- zimgu akanijacali10), nikapata mtoto, ntapeleka ukaango wa wali katika qabri n) ya sberifu fulani." akipata läzima apeleke.

wa amma ni kuwa mtumwa wake amempotea, aka- weka näziri: „nimwonapo mtumwa wangu, ninanäziri kuteka maji kupeleka miskitini 12).

wa amma akiwa mtu bawezi, akaweka naziri, aka- nena : „niponapo , ntapeleka mafuta miskiti wa el-

1) Gelübde. 2) Fahrzeug. 3) Gott der allmächtige. 4) helfen. 5) heil, unversehrt. -- 6) Scherif, Nachkomme Mu- hameds. 7) so und soviel. 8) Schuld. 9) Buch der Leute von Bedr. 10) bestimmen. 11) Grab. 12) Moschee.

272

juma'a." *) läzima akipoa kupeleka miskiti wa el- jumaca, lakini sherti uwe miskiti wa el-juma'a unaosa- liwa 2).

wa amma iwapo amenena : „nikipata sijambo tapeleka mafuta miskitini," naye hakutaja kama mi- skiti wa el-jumaca ao si wa el-juma'a, yafaca3) kupeleka miskiti uliwo wote.

1) Moschee el-juma'a (Freitag). 2) sali beten. 3) taugen.

khabari ya vyapo1).

kiapo cha niundu2) ao cha shoka.

mtu iwapo amekwiba, lakini hapana mtu aliyemwona, watu wanamshuku 3) , ao mwanga 4) amekamatwa , ao wanamshuku, kana „wewe mwanga," watu hawo wali- wotuhumiwa 5) hutaka vyapo. hualikwa mganga, akapewa kiapo cha mundu. na mundu chuma, huan- dikwa äya ya qoräni 6) : wa qul jaa el-haqqu wa za haqa el-bätilu inna el-bätilu kana za liuqa." 7) kesha hupepewa katika moto kwa kuni za mpingo 8) , katta chnma ki- wive. ao hutwaa shoka, likatiwa katika moto, hatta likawa jekundu. marra hupewa kuramba9) yule, ana- yekula kiapo, kwa waqati wa as-subuhi qabla hajala kitu. naye husema yule anayeramba : „mimi nimesin- giziwa10) uchawi, nami siujui kama mweusi ao mweupe. sasa nakula kiapo. iwapo usiku nnatoka nje kwenda kwanga, ao nafanya chakula kumpa mtoto wa jirani, apate kufa kiapo clia liaqqi nigwie n). la mimi wala mama na baba hawaijui kazi kii, illa ninasingiziwa kiapo nikongeze." marra huramba mundu na ulimi. akisha ramba, mganga humwambia „funua ulimi," naye

1) Gottesurteil. 2) Sichel. 3) im Verdacht haben. 4) Zauberer. 5) verdächtigt werden. 6) Koranspruch. 7) Sure 17, 83. 8) Ebenholz. 9) lecken. 10) beschuldigt werden. 11) gwa fallen, gwia auf jd. fallen.

Veiten, Deeturi za Wasnaheli. 18

274

humwonyesha. uwapo ulimi haukuchubuka kiapo ki- memhongeza, kama amechubuka amenasa.

khabari ya kiapo iwapo kimemnasa yule mtu, hum- suta1) na wote kumsomea, ya kama fulani eadui2), ndiye anayekwisha watu mtaanis). humwambia: „sasa tuta- kupa yamini4), usirejee kazi hü. naye huridia5) kula yamini.

iwapo kiapo kimemhongeza , yatakuwa matata ma- kubwa, yatamshukia yule mtu, aliyemshika uchawi, sa- babu yule aliyeshikwa , baeada ya kukongea atalia, ma'ana ya kulia amesingizwa uchawi. kwa desturi ya zamani utakuwa ugomvi, na watu wapigane, macana uchawi neno kubwa kwa Wasuaheli. ao atoe hongezi kumpa , na hilo hongezi fedda , ndio ugomvi utakapo- kwisha. khabari ya mwanga na kiapo cha mundu.

kiapo cha mchele.

mtu iwapo amekwiba, naye anakataa ya kama „sikwiba," akamtuhumu mwingine, humwambia: „kesho twendeni kwa mw'allimu, tukasafi 6) nyoyo zetu , tum- jue mwizi, na asiyekuwa mwizi." wakesha patana, watakwenda mpa khabari mw'allimu: „kesho tunakuja kwako." atawambia: „leteni mchele." watanunua mchele kidogo, watie katika sahani, wampelekee mwcallimu. atawambia: „njooni kesho as-subuhi, lakini msilale na waanaume , na waanaume msilale na waanawake." kesha mchele atausomea mw'allimu , maeana atashika mchele mkononi, asome äya ya qoräni. wengine wa wacallim hupeleka nie mchele mskitini usiku kucha, as - subuhi akauleta kwake. na wengine humwacba nyumbani mwao.

1) zur Rede stellen. 2) Feind. 3) im Stadtviertel. 4) Eid. 5) einwilligen. G) reinigen.

275

as-subuhi watakuja wote. mtu mmoja atasema: „mimi nataka kuanza kuapa." mw'allimu atateka gao la mchele, asomee tenna äya ya qoräni, kisha ampe yule anayeapa. naye yule mwenyi kuapa atasema: „kiapo cha haqqi1) iwapo mimi nimekwiba haqqi ya fulani, ao nimemwona mtu mwingine amekwiba, nasi tumegawana kiapo cha haqqi niskike. la sikwiba, watu wananisingizia kiapo nihongeze." marra gao la mchele hulitia kinywani kutafuna. na mchele huu haukupikwa mkavu. na mw'allimu husoma siniL') hatta mwisho. kama mwizi smi haiishi, marra yule mtu mchele umemjaa kinywani, hawezi kutafuna, umekuwa unga, mw'allimu husema: „kiapo kimemshika." na kama si mwizi mchele atautafuna, marra ki- nywani hamna kitu, amehongea.

na iwapo amehongea, watagomba , watatukanana, hatta wapigane. „sababu umenambia mwizi, na kiapo kimenihongeza?" watapatanishwa na watu. ikawa ku- pewa kitu atapewa, na kama hataki kitu, atasema: „mimi nimesafi moyo wangu, sitaki kitu." hii ndio khabari ya kiapo cha mchele.

kiapo cha uiwari3).

mwavi iwapo mtu mchawi ao mwizi, hupikwa uji uliwo moto, ndani yake hutiwa dawa za mwavi. ukiwiva uji, huja watu, wanaotaka kuapa, mbele ya mganga, naye hutia uji katika kijungu, hupewa mtu yule anayeapa. na huo uji u moto. marra hunywa yule mtu, lakini asiogope. iwapo mwizi ulimi na mdomo utamchubuka, kama si mwizi haungui, ataona kama anakunywa maji, kiapo hicho huwapisha mno

1) Recht, Forderung. 2) Sure 36. 3) ein Baum, dessen Blätter oder Wurzel zur dawa-Bereitung genommen werden.

18*

276

watu wa barra. na wengine wa Wasuaheli hufanya vilevile. ndio khabari ya kiapo cba mwavi.

kiapo cha shindano *).

kiapo hicho anaapisha mw'allimu. kuapisha kwake wanakuja watu, watakao kiapo, huuliza: „nani atatan- gulia?" mtu atajibu: „mimi." mw'allimu atashika shindano, aisomee äya ya qoräni. yule mwapaji2) ata- sema: „kiapo hiki cha haqqi, kama mimi nimekwiba shindano isipenye, kama sikwiba itoke kama uzi na shindano." marra mw'allimu humshika shikio, akam- choma shindano. iwapo mwizi shindano haipiti, naye huona uchungu. na kama si mwizi shindano marra itapita upande wa pili, amehongea.

kiapo cha sanga3).

asili yake kiapo cha watu wa barra, nayo shindano.

alikuwako mzee mmoja Bagamoyo , jina lake Dogori,

alikuwa akiapisha sanga. na kuapisha kwake hushika

shindano, akamtiamtu katika jicho, humwimbia mwimbo :

„sanga ndekera4)

mwanangu. "

iwapo amekwiba, sanga haitoki upesi katika jicho, illa watu wembe5) mwimbo huu sana, tenna itatoka. na kama hakwiba, shindano haikai ndani ya jicho. na katika kitako 6) cha ile shindano huwamo uzi , ndio anaoushika, iwapo shindano imekaa ndani ya jicho. na macho ya yule mwizi yote mawili huwa mekundu. na asipokuwa mwizi, hayamgeuki kuwa mekundu. marra atawambia, kiapo kimemhongeza , „nipeni cada yangu,"

1) Nadel. 2) der Schwürende. 3) Nadel. 4) leka = wacha ; lekera relative Form von leka ; ndekera = nilekera. 5) waimbe. 6) Oese.

277

ma'ana yalikuwa ndio kazi yake kuapisha, na watu walimqubali l) sana kiapo ckake. ndio khabari ya kiapo cha sanga.

yyapo vya kisuaheli vya zainani.

mtu iwapo hakutenda jambo 2), na mwingine amshuku ya kwamba vumetenda," naye hukataa, humwambia : „waweza kuapa?"' na vyapo vyao, iwapo anayeapa ni mwanamume, husema: „kana raama yangu" 3) neno hili sikulitenda.

ao huapa: „kama dumbu4) langu Maatumu" neno hili sikulitenda. ao husema: „kama shangazi5) langu Mwana Fatima."

na iwapo anayeapa mwanamke, huapa kama hivi, husema: „baba, Mwenyi Amiri/' ao „ndugu yangu Mwenyi Khamisi" sikulitenda neno hili.

ao huapa waanaume na waanawake , lakini zayidi waanawake: „palipolala6) wazee" sikufanyiza neno hili, ao „vigononi7) pa wazee."

ao husema : „mwana Makuka 8) anikate" 9) siku- fanyiza neno hili.

ao huapa: „jua likitua, nitue nalo." ao huapa: „dungumaro 10) linipinde u). ao huapa : „pepo punda 12) linipinde."

waanawake hatta sasa huapa vyapo hivi vya za- mani na watu wengine wa mashamba, lakini waanaume hawaapi vyapo hivi, huapa kwa jina la muungu „wal- lähi." 13)

1) annehmen. 2) nichts begehen. 3) d. h. haramu kama uchi wa mama yangu. 4) Schwester. 5) Tante. 6) d. h. Grab.

7) gona schlafen. 8) eine Frau aus Ukami, die vor langer Zeit in Bagamoyo gestorben. 9) nämlich den Hals. 10) pepo.

11) spanne mir den Leib. 12) pepo. 13) bei Gott.

mifano1) ya Wasuaheli wanavotliaMii2) mambo aliyoumba muungn.

kkabari ya jna.

dunya3) hatuijui mwanzo wala mwisho, illa tunaona siku zinaingia zinatoka, na jna tunaliona linatoka likacliwa. illa sisi tunasadiqi^)-, ya kama jua lina- pokucbwa qaribu ya katua, kama wabenga5) wetu wamesema lina msbindo mkubwa kana mzinga, liki- tua majini, lakini watu bawasikii, illa watoto wadogo na nyama.

jua nalo tunaliona killa siku likitoka, lakini maca- rifa6) yake batuyajui. na majira ya saea 7) batayajui, zamani hatukuwa na saca. ukimwuliza mtu „saea nga- pi?" atakujibu: „tezama jua." ao butezama kivuli chake, akapima nyayo 8). jua likawa kicbwani, hujua waqati huu sa'a kaza wa kaza. na kivuli kikawa nyayo tisae, busema : „sasa saca tisac." na usiku hawajui saca tano wala sitta. na siku za mvua wanajua kwa majogoo 9) kuwika 10). jogoo likiwika, wanajua sa'a tano ao sitta, majogoo yasipowika, majira 3'amewapotea. buko ndiko kusadiqi kwao Wasuaheli katika jua.

1) Gleichnisse, Vorstellungen. 2) glauben. 3) Welt. 4) glauben. 5) Vorfahren. 6) Wissen, Kenntnis. 7) Zeitrech- nung nach der Uhr. 8) Fußspuren. 9) Hahn. 10) krähen.

279

khafoari ya mwezi.

hatnjui kama ni kioo ao kitu gani, tunaona nuru *), ameumba muungu. lakini tunasema mwezi unapo- patwa, nnakamatwa na joka2). sababu umepita njia, iliyowekwa joka, joka likiona mwezi, linauliza : „sababu nini umekuja kwangu?" mwezi unajibu : „leo nimepotea njia." joka huumezas) ule mwezi, ndipo ulimwengu ukawa kiza. tenna desturi yetu hupiga ngoma kwa nyoyo zetu kuwa na khofu. na joka husema : wewe mwezi watu wanakupenda katika dunya." marra joka huuta- pika4) ule mwezi. tenna joka husema na ule mwezi: „jua linaposhikwa, watu hawaliombei, killa mtu anafa- nya kazi yake. " hayo ndio mawazo 5) waliyokuwa wa- kiwaza6) Wasuaheli. wengi sasa wanayashika, wengine hawayashiki.

na mwezi ukipatwa, usiku watu huamka, wakipasha khabari watu waliwolala ya kama: „mwezi ume- patwa, msilale sana." marra watashika madebe7) ku- piga, na wengine waliwolala wakisikia wote wata- amka. killa atokaye ndani ya nyumba, ana debe mko- noni ao jembe8), huenda wakigonga 9) mji mzima. na siku hiyo sirkali hawakatazi , ma'ana anajua mwezi umepatwa.

nao wanaimba mwimbo:

„tuombe, tuombe, watumwa tuombe."

ao huimba:

„nipande mkunde x) wangu juu ya msikiti,

1) Bohnenstrauch; gemeint ist der Mond.

1) Helligkeit. 2) große Schlange. 3) herunterschlucken. 4) erhrechen. 5) Gedanken. G) nachdenken. 7) Blechgefäße. 8) eiserne Hacke. 9) auf einanderschlagen.

280 -

sijaula künde1) muungu kautwaa."

1) ich habe den Mond kaum gesehen, da hat ihn Gott wieder weggenommen.

ao moja huimba:

„yä 'llah1) toba2)! 'lläh toba!"

na wengine wote huitikia:

„yä' lläh toba ! yä' lläh toba!"

1) = ewe muungu o Gott. 2) Reue.

lakini wa'allimu wakijua mwezi umepatwa, huenda meskitini *), na watu wengine huwafuata. wakifika hu- tawädda 2), inarra mw'allimu hutangulia mbele ya qibla 3), akasalisha4), na watu kumfuata nyuma. kesha hukhu- tubu 5), lakini sala 6) ya mwezi kupatwa ina mudda 7) mrefu; yule mw'allim asalishaye, sherti ajue sura ndefu kwa moyo 8). ba'ada sala inapokwisha, husoma fätiha 9) kuomba muungu, awaondolee maradi10) katika mji.

kazälika jua likapatwa, wa'allimu wanasalia, watu wa mji hawaombei jua.

kliabari ya ulimwengu11).

khabari hawaijui Wasuakeli, hawajui umbo lake dunya12). kwamba ni mti ao ni jiwe, illa wanajua jina la ulimwengu. na maeana ulimwengu ni „ule mawingu." l3)

nao husadiqi, ya kwamba ulimwengu umeziwiwa na ngombe katika pembe zake.

1) in die Moschee. 2) religiöse Waschungen vornehmen. 3) Seite der Gebetsrichtung, Altar. 4) beten lassen. 5) pre- digen. — 6) Gebet. 7) Dauer. 8) auswendig. 9) Eröffnerin, 1. Sure des Korans. 10) Krankheit. 11) Welt. 12) Welt. 13) Ich glaube, daß ulimwengu zusammengesetzt ist aus der Vor- silbe u, dann limwi Sonne, Tag und enga = tazama oder anga = nuru.

281

khabari ya kitingisha 1).

kazälika ba'ada ya kulla mwaka mrima hushuka kitingisha. mji mzima hutingishika, vikombe na sahani huvunjika, na watu buwa na kizungu 2). Wasuaheli wa- nasema: „ngoinbe, aliyeshika dunya, amegeuza pembe." khabari wanayosadiqi juu ya kitingisha.

khabari ja bahari3).

äsili4) yake ya baliari, inapotoka baliari, hawaijui; husadiqi, ya kwamba bahari imezunguka inchi yote, na wao wamekaa juu ya kisiwa, na kuna inchi nyingine vilevile visima, navyo vimezungukwa na bahari ileile. na ndani ya bahari mna majini 5), nayo majini mfano wake kama ngombe, lakini wakubwa kuliko ngombe wa dunya, nao huzamisha jahazi zinapopita, hawali watu, illa huwanyonya 6) damu 7). na natu aliyekufa baharini, mawimbi yakimleta pwani, husema: „huyu maiti damu yake imenyonywa na majini."

khabari ya ra'di8) na umeme9).

tangu zamani Wasuaheli wakisikia racdi, wanasema : „muungu anazungumza na malaika 10) wake." na umeme ukimulika * '), wanasema: „muungu amefurahi, anacheka, mwaka huu utakuwa mvua nyingi na vyakula."

kama ra'di haikunguruma12), wala umeme hawa- kuuona kumweka13), wanasema „mwaka huu muungu ametuqasirikia 14), tutakuwa na ta'abu 15) ya vyakula.

kazälika racdi ikanguruma na umeme, wanakataza watoto wao kuvaa nguo nyekundu, wanachelea umeme usiwaue.

1) Erdbeben. 2) Schwindel. 3) Meer. 4) Ursprung. 5) Ungeheuer. 6) aussaugen. 7) Blut. 8) Donner. 9) Blitz. 10) Engel. 11) leuchten. 12) rollen. 13) mweka, meta, metameta blitzen. 14) sich ärgern über. 15) Sorge.

282

nao Wasuaheli wanauteka umeme, wanaweka su- furia sabae, safuria ya rnwisko wanafunika kitambaa clia bafta *) na kitambaa cba bendera '), na chini buwa shimo, nako kuna tope. umeme unapopiga, unatoboa sufuria zote, hatta sufuria ya mwislio umeme unazama. wanajua sasa umepatikanä. lakini haushikiki umoto, lakini kukaa hatta siku ya sabac, huenda ukatwaliwa hukuta cbuma. na chuma hicbo kighali 3) sana, ki- nakwitwa suwesi. nao bufanyizwa lhno visu ao panga, lakini ghali sana.

khal)ari za nyota.

nyota kusadiqi ni kama vijiwe4), muungu ameviweka katika mbingu kumeta 5) ulimwengu.

na iwapo zinapigana, wanasema: „mashetäni6) wa- nataka knpanda mbinguni kusikiliza khabari kwa mu- ungu." malaika wakiona, masbetäni wanapandana, wa- nasbika vijinga7) vya moto, huwapiga, wakarudi. na wengine wanaanguka, na wengine wanapanda. ndio macana ya nyota kupandana.

na umbo la masbetäni mguu moja na jicbo moja na mkono moja, lakini marefu kuliko mnazi. mno ku- tembea kwao jioni, ndio sababu Wasuaheli jioni watoto wao bawawacbi kutembea njiani, wala kula cbakula njiani wima, buwakataza, sababu masbetäni yanatembea mcbana na jioni.

kazälika nyota zinazoangnka, mtu akiiokota, aki- pata mtoto, butunga katika koja 8) la mtoto, akavaa yule mtoto. nalo nino ya bilo koja killa namna ya mbegu ya matunda. anapolala yule mtoto, buwekwa

1) weißes Baumwollzeug. 2) rotes Zeug. 3) eigentlich ghali. - 4) kleine Steinchen. 5) erleuchten. 6) Teufel. 7) kijinga ist ein im Feuer angebranntes Holzscheit, hier sind „Sterne" gemeint. 8) Halskette.

283

chini ya mckago !) wake, na akiamka hutiwa shingoni mchana kutwa, mtoto asipate kuolurika 2). ndio kama lririzi3) yake yule mtoto.

khabari ya mawingu na pinde4).

asili ya mawingu Wasuaheli kawayajui mwanzo wake wala mwisho, kusema „mawingu yametanda, ita- kunya mvua." na tukiona pinde kusema „pinde lime- pinda, mwaka huu yatakuwa masika5) makubwa." la- kini asili ya pinde linapotoka katulijui.

kazälika mwezi ukifanya kitanga6) tunasema vile- vile „mwaka huu masika makubwa."

khabari ya kuomba mvua.

Wasuaheli siku nyingi kama mvua hawakupata, maskamba yamekauka, huomba muungu. na kuomba ]jWao kwanza huenda maqaburini kwa wazee wao, kufyagilia. na wakifika maqaburini, huvua vyatu na kofia na kanzu, kesba kufyagilia, husema: „tumekuja kwenu wavele7) wetu, mwaka huu jua liinetudiqi 8), masbamba hayana kitu. tumekuja iyagia, muungu aturehemu9) kwa fadili10) zenu wazee wetu."

na kama kaikunya mvua, huenenda kwa wa'allimu kuwapa kkabari: „mwaka kuu muungu ametughadibikia11), kapana mvua, tuna maskauri gani?" wa'allimu kusema: „tufanyize shauri ya kununua ngombe , tufanyize sa- daqa la) katika mji, ma'ana jua limekuwa jingi, na ma- ra$i mengi." marra watanunua ngombe mweusi ao mwekundu , ao ngombe wa mawaa la) mawili , macana ndio ngombe wa sadaqa. akipatikana, wataalikwa14)

1) Kissen. 2) geschädigt werden. 3) Amiüett. 4) Wolken und Regenbogen. 5) große Eegenzeit. 6) Hof. 7) mvele der Alte.— 8) in Not bringen.— 9) barmherzig sein. 10) Güte. 11) ärgerlich sein. 12) Opfer. 13) zweifarbig. 14) eingeladen werden.

284

wa'allimu wa mji mzima na waanafunzi wao. watatia moto katika cbetezo1) na ubani2), wampe mtu yule ngombe kunishika, atangulie mbele na wa'allimu nyuma. huenda wakisoma „yä sini" 3) qadiri 4) killa mtu kumi, na wakesba, husoma „burdai"5) killa mtu. waa- nafunzi husoma sura ndogondogo wanazozijua. wataanza mwanzo wa mji kuzunguka na ngombe hatta mwisho wa mji, na kupita killa panapo maqaburi, na kusomea fätiha yale maqaburi. wakesha, yule ngombe watam- chinsba, nyama yake igawiwe maskini. na kulla wa- naposali katika meskiti huomba du'a6): „yä rabbi" 7), tushushie mvua waja8) wako, utuondolee balai9) la maraoli katika mji kwa baraka10) zako illähi el-eaäla- mina."11)

muungu apokeapo duea ya waja wake, siku baziwi nyingi busbuka mvua. wakafurahi watu wote mjini na wa masbamba. bii ndio kbabari ya kuomba mvua kwa Wasuaheli.

1) Räucherschale. 2) Weihrauch. 3) Sure 36. 4) un- gefähr. — 5) Sure des Korans. 6) Anrufung Gottes. 7) o mein Herr. 8) von kuja; mja der von Gott kommt = kiumbe Ge- schöpf. — 9) üebel. 10) Segen. 11) Gott der Welten.

khabari ya siku kuu.

khabari ya „koga niwaka."1)

mwaka kwa Wasuaheli siku zake zinapokwisha, zikibaqi1) siku mbili kuingia mwaka mpya, siku hizo ya kwanza inakwitwa „kibunzi," na siku ya pili inakwitwa ..chenda utupu." siku ya kibunzi hukaanga bisi3) na maivu, wakamwaga ile bisi pamoja na maivu pembe4) za nyumba. tangu zamani ni desturi yao. na ma'ana yake wanasadiqi 5) , siku ya kibunzi na chenda utupu mashetäni6) butembea killa pahali, buwawekea bisi ndio kiziwio 7) chao.

na siku ya chenda utupu killa nyumba, mtu ana- yejiweza, bupika jungu la kande yamhindi8) na künde pamoja , zikawiva hupakua , wakatoa barazani, killa mtu apitaye hula kande hiyo. si desturi kulia ndani, imekuwa kama futari 9) ya ramadani. hakatazwi mtu kula, ni yule atakaye.

kazälika watoto wa chuoni siku tatu wana rukksa siku ya kibunzi na chenda utupu na siku ya mwaka. lakini siku ya mwaka mbao zao huzipamba kwa rangi killa namna ya rangi. nao hutoka na mbao zao , nao huimba, mwimbo wao :

1) Baden bei der Jahreswende. 2) übrig bleiben. 3) ya mtama. 4) Ecke. 5) glauben. 6) Teufel. 7) von zuia oder ziwia; kiziwio Abwehr. 8) Topf voll in Wasser gekochter Kasawa. 9) Fastenessen am Ramasan.

286

„si cbetu si chetu, cha mw'allimu wetu, upanga1) na mbao na kalamu zetu, tupeni kidogo tujendee zetu. kaina ni waume tujieni kwetu, tuwapondeponde 2) tuwasagesage. caqida 'Abdallah kibebeza." 3)

1) Stock hier. 2) schlagen. 3) läuft den Frauen nach.

tenna huimba :

„Magubeda, ya Magubeda, utumbo wa chafi1) kwa kunona."

1) Fisch.

mwimbo huo huenda wakemba killa nyumba, husi- mama killa nyumba hupewa pesa. zamani walikuwa wakipigana siku ya mwaka beina ya chuo kiki na kin- gine wakikutana.

kazälika watu wa mji killa inchi siku ya mwaka huamka as-subuhi sana, waanawake na waanuume, wa- toto na wakubwa, kwenda pwani kujitosa, macana ndio koga mwaka. lmchukua mikeka na vitanda kwenda kuviosha, ma'ana yake wanaondoa baa *) lililopita ka- tika nafsi zao na katika vitu vyao, kutezama mwaka mpya uliwoingia.

na mtu akijitosa husema : „muungu anondolee maradi a), anipe uzima, noge mwaka huu na mwakani." tenna hujitosa.

kkabari ya raniadaiii8).

desturi ya Wasuaheli katika mwezi wa rama^ani: Wasualieli wote hufunga mwezi wa ramadani siku thelatliini , macana mcbana bawali , -wala bawanywi

1) Schmutz. 2) Krankheit. 3) Fastenmonat Eamasan.

287

maji, wala hawavuti tumbaku, mwanzo wa saca nne ya al-fajiri1) hatta saca sitta ya jioni, ndipo wanapokula vyakula, jina lake futari. vyakula vyao uji na maan- dazi na tambi, ao kupika muhogo na ndizi na nyama, ao samaki wa kupaka. na usiku katika 'saca ya tatu wanakula daku wali na nyama mpaka saea nne. na desturi hiyo mpaka mwezi wa ramacjani ishe.

na unapokwisha mwezi, hufanya karamu51) jina lake „siku kuu ndogo." watu, walio matäjiri 3) , huweta4) watu wengi, wakenda wakala vyakula. na wengine hupika kombe la wali, akenda jirani5) zake wakala. na mtu mwenyi mke humnunulia mavazi mapya, na mtoto kazälika. na watu wakubwa hnenda wakapewa mikono, wanaambiwa „mkono wa ceidi." 6) nao kutoa vitu kuwapa , tenna kapika na karamu kubwa kualika watu kula, na marashi kuwamwagia, na eüdi 7) kuwa- fukiza.

kazälika kkabari ya waanawake katika mwezi sabae u 'esherim ramadani: kupika vyakula, wakapeleka kwa wapenzi wao. cbakula hicko huitwa „bembe," lakini kuwa gkarimu 8) sana , ma'ana hufanya maandazi na nyama za kukaanga, na killa tunu9) iliyo nzuri. wen- gine kupelekea wazee wao na wackumba wao. na wale waliwopelekewa bembe, wakeska kula, kununua vitu, mavazi yaliyo raema, kurejeska lilikotoka bembe.

na katika mwezi wa ramadani aliyulazimiskwa kufurga mtu mkazi wa mji ao mzima, mgonjwa kana läzima kufunga, wala msafiri kana läzima, lakini watu kao wana läzima kuzilipa saumu10) zao, mgonjwa anapopona, na msafiri anaporudi katika mji.

1) Tagesanbruch. 2) Fest. 3) reich. - 4) huwaita. - 5) Nachbar. 6) Fest. 7) Aloe. 8) kostspielig. 9) Selten- heit. — 10) Enthaltung, Fasten.

288

na hokumu ya waanawake: mwanamke akizaa, ananyonyesha, ana rukhsa kula mchana. na mwanamke, akiwa na mimba *) , kama hawezi kufunga, ana rukhsa kula mchana. nao wana läzima kuzilipa kwa siku nyingine, bacada ya mtoto kuwa anakwenda.

na watu wazee , iwapo hawawezi kufunga , wana rukhsa kula mchana, lakini saumu zao hufungiwa na watu wengine, nao hulipa fedda.

na watoto huamrishwa kufunga mwanzo wa miaka sabac, lakini hawafungi wote si läzima kabisa. la- kini akipata miaka kumi na mitano, ni läzima juu yake.

na mtu anayefunga, akilala na mkewe mchana, saumu yake imebatilika *) , ana läzima juu yake siku moja kuilipa kwa siku settini, ao kutoa kafara3). kafara yake mtumwa huacba lmrru4), ao kutoa vibaba settini vya mtama kuwapä maskini.

kliabari ya 4eidi6) kubwa.

na eeidi katika mrima marra mbili marra ya kwanza mfunguo mosi, marra ya pili mfunguo tatu mwezi kumi, jina lake ,/eidi kubwa." na siku ya ceidi vijakazi hununua mua6) mrefu ao mwanzi 7) , wakau- pamba. vikombe na mabaquli madogomadogo na visa- hani na bendera hutundika juu ya ule mua, wakatem- beza mji mzima mudda wa siku tatu , huimba na mwimbo :

„tuyatungeja maua? hayana shindano maua, hayana shindano maua, tuyatungeja maua?" na watoto waanaume huimba mwimbo wao :

1) Schwangerschaft. 2) ungültig sein. 3) Sühne. 4) frei. 5) Beiramsfest. 6) Zuckerrohr. 7) Bambus.

289

„Kindu Kindu hana meno, pwani for(Jani." ma'ana ya Kindu jina la mtu alikuwa kibogoyo x).

killa watoto kwa kikao*) chao, sababu miwa huwa miwili ao mitatu, na killa mtaa kutoka mua mmoja na watu wake.

na usiku waanawake kucheza msoma 3). kazälika waqti wa al-casiri4) vijana waanaume kuvaa kanzu zao, wakenda chini ya mwembe, pana kivuli, hupiga kium- bizi5) hatta wakickoka.

1) ein Zahnloser. 2) Partei, Klique. 3) ngoma. 4) Nach- mittag. — 5) ngoma.

maneno ya fumbo1).

macana ya maneno ya fumbo wanayasema Wasuaheli mtu afanyapo neno lisilo njia, watu husema maneno ya fumbo, asipate kujua. akijua fumbo, butambua mwenyewe, na kama hajui katambui. kulla wakitaka maneno yao, mtu asiyajue , kusema kwa maneno ya fumbo, mathali a) kama kusema :

„tilcega3) tembo, Jcunya, utapasuka mlcunda." ma'ana yake kama kumwona mtu amejenga nyumba nzuri, nawe waitaka kama ile, lakini huna fedda ya kujengea, ukitaka kujenga utakwiba, upate cizara4); hii ndio ma'ana yake.

ao „wa mbilib) havai moja." ma'ana yake aliyo- ja'aliwa na stara6), atakufa na stara.

„wa wh'lc hahai nyuma." ma'ana yake mtu aliye mbele za watu, harejei nyuma.

1) versteckte Redensarten, fumha zumachen, fumbo zugemachte versteckte Rede. 2) z. B. 3) iga nachahmen. 4) Tadel, Zurechtweisung. 5) mtu wa nguo mbili. 6) Ruhe.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 19

290

„mti hauend i, '4lla kwa nyenzo."1) ma'ana yake neno halipatikani, illa kwa kutoa kitu.

„mpanda ngazi hushuka, usingie ujingani." maeana yake mtu alikuwa mfalme katika inchi, akawa na kibri*) na watu, kisha akaondolewa katika ufalme.

„paka akiondoka, panya hutawalla." 3) macana yake

mw'allimu ameondoka, ao mfalme ameondoka katika mji, watu hufanyiza watakavo.

mwezeka4) vi u-i b), mtupie nyasi." 6) ma'ana yake cadui yako mzidiskie . wema.

„mwenda pole haumii miguu." ma'ana yake mtu mwenyi subira 7), hapati liasära s).

ufoenga9) haambiwi mwqna." ma'ana yake maneno ya asili haifai kuambiwa mtoto yote.

majuto hu ja kinyume." ma'ana yake mtu ame- fanya neno la kuua, mwisho wake ataleta majuto.

„mwana umleavyo, ndivyo dkuavyo." macana mke ao mtu mwingine ulivomzoeza, ndivo atakavofuata.

„wigema akisifiwa, tembo hiäitia muß." ma'ana yake

mwimbaji akemba sana, na watu wakimtunza, ku- badili nyimbo zisizofaca.

„mkono huu haukati htm." ma'ana mtu na nduguye, ao mtu na mtoto wake hampendelei maovu kumfikia.

„mtoto aldlilia wembe -- mpe.u ma'ana yake mtu asiyesikia neno akakatazika mwacke ende.

„kidole kisicho pete huvikwa." l0) macana yake mtumwa amefanya kazi nzuri kwa bwana wake, hupewa ijara11).

„tangu Vembamnazi u) hattet gogo la Mivenyi Shebani. " Vi)

1) Beihülfe. 2) Stolz. 3) herrschen. 4) Dachdecker. 5) -wi schlecht. 6) Gras. 7) Geduld. 8) Schaden. 9) Vorzeit. 10) nämlich pete. 11) Lohn. 12) Ort. 13) Name.

291

ma'ana mwanzo wa mrima hatta mwisho wa mrima, ao mwanzo wa mji hatta mwisho wa mji.

„mtaka cha mvuntjunl, slierü uiname." ma'ana yake

mwenyi kutakä haja1), sherti awe chini ya watu.

„ashibaye, hamjui mwenyi njaa." macana täjiri2) hamjui maskini.

„mrima nyarima3), usipoliwa na nyani, utaliwa na Mma." macana yake mrima ni barra, usipoliwa na watu wa mji, utanyanganywa na watumwa shambani.

„Jcendwa4) hayendwa, mkenda Jcumi, hitrudi kenda." maeana kendwa ni mrima, ukichukua mia, utarudi na tisa'ini, fedda ningine imechukuliwa ; ao wakienda watu mia, kumi hufa njaa.

„pendo la mwana llwab) magoni6) hm nina."1) ma- cana yake mtoto hapendezi , illa mama yake kupen- dwa na mume.

„uchungu iva mwana wajua meazi." inaeana yake aonaye uchungu yule neno lililompata, mtu mwin- gine hana uchungu.

„eazabas) ya qabitri'3) yajüa maiti."i0) ma'ana aonaye uchungu ni yule mgonjwa kitandani.

„Jeher/11) kuwa mbichi Jculiko Icuimgua." ma'ana yake

afadali12) kupata nussu kuliko kukosa kabisa.

„ahmvingaye13) hwake, hakwambii ndökea1*), huku- tendea vitendo, ambavyo vya hukuchuMa." ma'ana anayekufukuza nyumbani kwake , hakwambii „nenda zako," hukufanyia mambo yasiyokupendeza.

jjukichungua lö) alacJw kuku hutamla." ma'ana ukimpeleza sana mke hamkai sana.

1) Wunsch. 2) Reiche. 3) räuherisches Land; enya rima hesitzend Fallgrube. 4) Bezeichnung für die Küste (mrima). 5) praes. von kuwa. 6) im Schooß. 7) seine Mutter. 8) Strafe. 9) Grab. 10) Leiche. 11) gut, es ist besser. 42) es ist besser. 13) winga fortjagen. 14) niondokee. 15) hinsehen.

19*

292

„ulacho näicho chako, IcilicJiobaqi cha mchimba lindi."1) macana yake haqqi 2) yake mtu atumiayo katika uzima, akifa watachukua mawaritki3).

„maskini akipata, matako hwmlia mbwata."4) ma'ana

maskini akipata, kufurahi5) sana.

„njia ya mwongo fwpi." ma'ana muddaü) mdogo hujulikana kama ni mwongo.

„ukungiao"1) jichoni Jmujui." ma'ana yake - wakikaa watu thalathini, hujui yupi mwema wangu yupi eadui 8) wangu.

„tnaji faniihe9) na kinyweo10), matupu yasonga11) moyo." ma'ana yake maji mtu hawezi kuyanywa, illa kupata kifungua kinywa1'2), ukinywa matupu, yata- kuumiza tumbo.

„maneno fedda13), majibu zahabu." u) ma'ana yake kunena si kazi, kujibu ndio jambo kubwa.

„moyo ni nyongoXb), ukigeuka udongo." macana yake

moyo wa bin Adam 1G) marra hugeuka hivi , marra ukageuka hivi.

„mungwana asiyo'ari11) kama ngombe asiye pembe." ma'ana yake mtu asiyekhofu watu kama nyama.

„ukiona xvciko waungua wa mwenzio wateketea." macana yake ukisema mimi sina rupia tatu mwen- zio hana hatta pesa tatu.

„wewe jiwe mimi nazi." ma'ana yake wewe mfalme, mimi ra'ia18), ao wewe kisu mimi kipini.

„makaa hayakoka nyama." ma'ana kkasära 19) mimi sikuwako kule.

1) Gral); mchimba lindi. Totengräber. 2) Recht. 3) Erben.

4) macht mhwambwa. 5) sich freuen. 6) Zeitraum. 7) uku- ingiao. 8) Feind. 9) Grund. 10) Trinken. 11) drücken.

12) erste Morgenbissen. 13) Silber. 14) Gold. 15) Galle.

16) Menschenkind. 17) fürchten, Achtung haben vor jd. 18) Untertan. 19) Verlust.

293

„hulimbika1) Iniclia ugonjwa im Jcujitakial" ma- cana yake kuvumilia neno la kutaka , asipotaka aweza kwenda zake.

„joJca2) la mdimu halitundi3) ivala halili, hitwasa4) watunäao na walao." ma'ana yake ni mtu cadui5) ao fitna6), akatazaye watu kupewa vitu.

„msliare usiwo ngoya1) hauendi mbali." ma'ana yake mfalme asiyo caskari hana nguvu.

„dau la mnyonge*) halendi joshi9), na likenda joshi, litazama." ma'ana yake neno la mtu maskini hali- sikilizwi, na likisikilizwa , ikatokea jawabu yatam- pata matata 10).

,,yalv) tnkiwa12) haiti13), na ücatau) hupapattLuu) ma- cana yake bi'ashara16) ya mkiwa haitii fayida17) upesi, na ikipata fayida imekuwa ni bakkti18).

„jongo mavunda." ma'ana yake ni mtu eadui ao fitina anayegombanisha na watu.

„mbuya 19) Jcaßwa , nikamhani20) mbuyangu21) , leo nibuya kafa, nikamhani nani?" ma'ana yake rafiqi yangu amefiwa, nikamhani, leo rafiqi yangu amekufa, ni- kamhani nani ? hapana atakayenijua.

„gombaJcwanguruwe, Jcwa walimivengu22) U23) uchungu." ma'ana yake qasirani24) ikufikie wewe, utaona uchungu, lakini ikinifikia mimi, huoni uchungu kama ilivokufikia wewe.

1) lang werden lassen. 2) kleine Schlange, die sich gern auf Zitronenbäumen aufhält. 3) tunda = chuma ; li hier auf dimu bezüglich. 4) wasa = kataza. 5) Feind. (3) Intrige. 7) Ge- fieder. — 8) Armer. 9) nach links. 10) Unannehmlichkeiten.

11) zu ergänzen kazi oder bi'ashara. 12) Armer. 13) ita tun. 14) ikaita. 15) hin und hertasten. 16) Handel. 17) Gewinn. 18) Glück. 19) Freund. 20) Beileid bezeugen-

21) mein Freund. 22) Menschen. 23) ist. 24) Aerger.

294

„tneno pembe1) liayanyimica2) mchesi."3) nia'ana yake

mimi ninacheka tu, lakini nimeqasirika4).

„umeingiwa mtl." ma'ana mtu mkubwa mgonjwa, ameingiwa na maradi5).

„tembo ameanguka." ma'ana mfalme amekufa.

„mjengo begani." macana yake mwanamke agom- baye na muuiewe killa siku , nao hawatulii pahali pamoja , kupenda kukaa inarra nyumba hii marra nyumba hii.

„Jtenda qaribu ya Tcumi." ma'ana yake vumilia.

„ukimpa paha utumbo , mwenyewe utakula nini?" ma'ana yake afumbiwa mtu bakhili c), asiyetoa kitu.

„mwim1) mbili moja humwacha." ma'ana yake

ni mtu mwenyi tamaea s) nyingi.

„hämadi9) Mlicho Undoni." 10) maeana yake kitu kimfa'acko mtu kilichomo katika mfuko.

„dua ya Tcukn haimpati mwewe." ma'ana yake mtu anayemwapiza mwenziwe pasipo sababu, hakufanyiza neno, duca yake haimpati.

aida11) desturi ya Wasuaheli iwapo amekaa na jirani zake ao watu wengine kawakukaa kwa vema, akinunua intumwa, kumpa jina la fumbo12) kuwafumbia majirani zake na watu wengine, kama kumwita: „mwata- kani," ma'ana yake mnanitaka nini ninyi walimwengu? ao humwita „mambo kwa muungu," ma'ana yake killa jambo latoka kwa muungu, kalitoki kwa waana Adamu, machukivu13) yenu kayafai.

1) meno kama pembe. 2) nyima verbieten. 3) Lacher. 4) ärgerlich, sein. 5) Krankheit. 6) geizig. 7) von ku-iza kommen , mwiza tama'a mbili wer zwei Wünsche hat. 8) Ver- langen. — 9) Lob , Dank. 10) oberer Saum des Lendentuchs, in dem der Suaheli gewöhnlich sein Geld aufbewahrt. 11) ferner.

12) Spitznamen. 14) Haß.

Khabari za desturi za sheri'a

za Wasuaheli.

vifungo1) vyetu vya zamani.

khabari ya kongwa.

zamani hatuna gereza 2) wala minyororo 3). watu hufungwa gogo 4) la rnti , jina lake kongwa. hutiwa katika mguu moja, nayo hufungwa killa mtu na gogo lake. na akitaka kwenda, anaweza kwenda kidogo, lakini läzima ashike kamba mkononi kuinua lile gogo, apate nafasi5) ya kwenda.

na iwapo watu wamelala, anaweza kufungua kwenda zake, lakini si desturi yao kufanyiza kivo. huchelea kuwaletea matata") ndugu zao. sababu desturi ya watu mtu aliyefungwa akakimbia, watu watakwenda katika mji wao, aliwotoka, kukamata kole, ma'ana ya kole ni watu waliomkhussi7)- wakipatikana wata- fungwa, hatta arudi yule mkimbizi. sababu hawa- wezi kukimbia , illa watu wasiwo mji , wakifungwa, hutezamwa säna. hao huvunja kongwa, wakenda zao. na kuvunja kwao hutia mti katikati, akilivunja komeo 8) , marra butoa mguu wake , akenda mbio. hii kkabari ya vifungo vya zamani katika mrima na kwa watu wa barra.

1) Haft. - 2) Gefängnis. 3) Kettenstrafe. 4) Klotz. 5) Raum. 6) Unannehmlichkeiten. 7) nahe stehen. 8) Riegel.

298

khabari ya mbano1).

mtu iwapo mchawi, wamemwuliza „umeroga" 2) naye anakataa, hufungwa mbano. na huo mbano ni mti, hufanya pembe mbili, humfunga juu ya kichwa, wakafunga kamba. iwapo ameona uchungu, naye kweli ameroga, busema: „mimi nimemroga fulani." bumfungua mbano, kumwuliza: „na nani tenna?" butaja kama ali- wowaroga. tenna humfanyizia hokumu3) ya ucbawi. ikiwa kncboma moto ao kutoswa4), ao kumpa yamini5), asiroge tenna. ndio khabari ya mbano.

ao mtu amekwibamtoto, amempeleka mbali kumwuza, na watu wamemwona, wamemwuliza amekataa, hum- fanzia hokumu kama hiyo ya kumfunga mbano juu ya kichwa, apate taja.

khabari ya magandalo 6).

walipokuja maluwali 7) katika mirima , wakaleta miqatale. gandalo ndiwo mqatale. na hilo gandalo gogo la mti, urefu wake pimas) nne ao tano, lililoziu- liwa9) tundu katikati. na cidadi10) ya tundu zinazo- ziuliwa tangu kumi hatta 'esherini. mtu akiwa ame- fanyiza neno la ukbalifu11), hutiwa katika gandalo. na kufungwa kwake mtu hukaa kitako, likanyanyuliwa gandalo la juu, marra mtu hutia mguu wake, kesha hufungwa. na watu , walio katika kifungo hicho , ha- wakai upande mmoja, wawili upande huu na wawili upande huu, hatta hesabu12) ya tundu zilizo katika gandalo zijae.

1) Kopfklammer. 2) jd. durch Zauber umbringen. 3) Urteil.

4) ins Wasser werfen. 5) Eid. 6) große Fußfessel, Be- schreibung folgt, gandalo ist die Suaheli-Bezeichnung, mqatale die arabische von mqantar (auf Bogen ruhendes Holz). 7) die ara- bischen Statthalter der Sultane von Zanzibar. 8) etwa. 2 Meter.

9) ziua durchbohren. 10) Zahl. 11) Widersetzlichkeit. 12) Zahl.

299

nao huwa na mabawabu *), wakitaka kwenda chooni, humwambia bawabu, illa choo kidogo huwa na chupa ao kibuyu. hatta as-subuhi huenda wote pwani kumwaga mkojo -) wao.

kazälika kufungwa kwake hilo gandalo mwisho wa lile gandalo kuna kipande cha mti, jina lake ki- kwamizo. watu wakitia miguu yao yote, marra ba- wabu kuleta gandalo la juu na hicko kipande, akagon- gomea.

kazälika zamani hawakuwa na niagereza , illa ku- tiwa katika chumba cbenyi kiza majumbani mwao wanamolala, ndio gereza lao.

zamani moja qabla ya miaka tkalathini kulikuwa na jamadari3) mrima, jina lake jamadari Saburi, alimleta Seyyidi Majid4) mrima, kuwa ndiye luwali wa Wasua- heli. amekaa mrima, hana gereza. watu wakkalifu kuwatia katika gandalo, kiska huwawacka nje, amejenga banda. siku moja watu wote wamelala, wakaja ckui wawili, wakafika pale panapo watu waliofungwa, wa- kataka kuckukua wale watu, lakini kawackukuliki , sa- babu wamefungwa, ikawa wale chui wanaruka huko na kuko , wakatia madonda watu wengi. mtu mmoja alikufa, sababu alimparura sana. wale waliwofungwa, walipoona chui , wakalalama. wakaamka Mabulushi 5), ndio caskari wa yule jamadari. wakatoka nje, wakaona chui. palikuwa Bulushi moja ana mraho 6) , ametaka kumpiga chui, isimpate, ikampata Bulushi mwingine. palikuwa na Bulushi mwingine , naye ana mraho, huyu ndio aliyempiga chui akafa, lakini risasi7) imepisha khasära8), imeua mtu mwingine.

1) Türhüter, Wächter. 2) Uriu. 3) Befehlshaber. 4) Sultan von Zanzibar. 5) Beludschen. G) lange Flinte der Araber. 7) Blei. 8) Schaden.

300

turejee kwa Seyyid Majid. alipopata khabari, ili- yopita mrima, akamwita jamadari, akamwuliza : „sababu watu unawafunga unawawacha nje?" akajibu: „mimi sina gereza." Seyyidi marra akapeleka watu kujenga gereza mrima. ndio mwanzo wa gereza katika mrima, na pahali palipokuwa gereza, ndio qaribu ya nyumba ya shauri sasa kule Bagamoyo.

khabari ya gereza na minyororo.

na ba'ada ya kujengwa gereza katika mirima, hao Wa'arabu, maluwali wa sultäni wa Unguja, ndiwo wa- liwoleta vifungo vya minyororo na pingu, wakafanya na chumba cha ukhalifu *) na cha wadeni 2).

mtu mwenyi kusliitakiwa 3) kwa äjili4) ya deni, ao amempiga mwenzi wake fimbo, ao amefanya neno la makosa, neno lile si neno kubwa sana amma cazabu5) yake kufungwa katika chumba cha wadeni. walakin si läzima kumfunga katika minyororo kabisa, ajili tu- kinena kayo : hiki kifungo cha minyororo ni kifungo kikubwa sana, nacho hakimu hiki kifungo cha minyororo katika desturi yote Wa'arabu na Wasuaheli yahitaji6) mtu, aliyokhalifu amri kubwa sana.

na akiwa mdeni, aliyofungwa katika chumba hiki, ikiwa yuko mtoto wake ao ndugu yake ao rafiqi 7) yake, qadiri8) ya mtu anayomjua, akitaka rukhsa9) kwenda onana naye hupawa rukhsa, ajili labuda hutokea katika watu wale yumo mtu atamletea shauri ya kum- letea mali, alipe deni yake.

walakin10) hicho chumba cha ukhalifu hatiwi mtu, illa aliyokhalifu amri ya hakim, mathali kama kuua

1) Gefängnis für schwere Verbrecher. 2) Schuldgefängnis.

3) angeklagt werden. 4) Grund. 5) Strafe. 6) erfordern.

7) Freund. 8) das Maß des = ungefähr. 9) Erlaubnis. 10) aber.

301

mtu, ao amefanya vita kupigana na hakim, ao amefanya shauri kupoteza milki1) ya hakim huyo ndio atiwaye katika ckumba kicko, naye hufungwa pingu. naye hana rukhsa ya kufunguliwa mlango , illa kwa kupelekewa chakula, wala hana rukksa ya watu kwenda mtazama illa siku ya el-juma'a 2), ndipo apatapo rukksa ya watu kwenda mtazama. na mlango wake kufunguliwa, ukiwa wazi siku hiyo el-jumaea, naye siku ile katiwi minyororo, illa pingu bassi.

desturi ya zamani : bivi vifungo si namna moja, sababu makosa nayo kazälika si namna moja. yule mtu aliyokosa neno dogo bassi na kifungo chake kazälika, na hokumu yake huwa kidogo, yaliitaji atiwe chumbani, ndio cazabu yake.

na iwapo yule aliyofanya amri ile mtu yule mtumwa yafa'a kutiwa katika minyororo, sababu yule mtumwa äsili yake ni mtu wa kutumika, na iwapo atatiwa minyororo, atapata kutumika vilevile. na mun- gwana kafanyiwi kayo, illa afanyize makosa makubwa, walakin haiyumkini3) mtu aliyoua atiwe katika minyo- roro, na mtu mwizi atiwe katika minyororo, na mdeni atiwe katika minyororo, na mtu mätbali anayemtukana mwenzi wake atiwe katika minyororo, na mtu aliyo- kkalifu amri ya hakimu atiwe katika minyororo. na makosa hayo kulla neno lina daraja4) yake, liko neno kubwa na neno dogo si sawasawa. kazälika na hokumu yake vilevile kaiwi sawasawa. haiyumkini mtu aliyoua adabu5) yake ikiwa pamoja na mtu anaye- wiwa mali, wa amma mtu mwizi adabu yake ikiwa pamoja na mtu anayowiwa mali, nayo haiyumkini.

1) Herrschaft. 2) Freitag. 3) es ist nicht möglich. 4) Stufe. 5) adabu Anstand und 'azabu Strafe werden beide für Strafe gebraucht.

I.

desturi ya sheri'a1) ya uwizi.

maneno hayo yaliyomo humu yameandikwa katika vitabu vya sheri'a, lakini hao wazee wahenga wa za- mani hawakayaona, labuda yametendekana katika inchi yetu qabla ya miaka miten ao zayidi.

iwapo mtu amekwiba, naye mwenyi kuibiwa ameona kweli, ya kama kile kitu kilichoibiwa ni chake, amma hapo ndipo alipokuwa mwizi, hokumu yake yule mwizi kwa desturi ya zamani hukatwa mkono, na mkono wenyewe unaokatwa wa kuume. lakini yahitaji 2) yule mwizi ni kuwa bäleghi3), asiwe kijana. shuruti4) ya pili ni kuwa yule mwizi ana caqili 5) kicbwani mwake, asiwe ana wazimu. hapo hakatwi mkono, kwa sababu majununi0) bana caqili. sburuti ya tatu ni kwiba kitu cba thamani 7) bapo hukatwa mkono, isiwe emekwiba pesa mbili ao nane ao kumi ao kitu kilicbo nd^ini ya birizi 8) hapo hakatwi mkono. amekwiba , lakini hokumu u) y ake huhokumiwa ya tartibu 10).

inapokuwa amekwiba marra ya pili, naye amekwisba katwa mkono, hokumu ysike hukatwa mguu wa kushoto chini.

1) Gesetz. 2) es ist erforderlich. 3) mannbar. \) Be- dingung. — 5) Verstand. 6) verrückt. 7) Wert. 8) Amu- lett. — 9) Urteil. 10) Ordnung d. i. bedächtig.

303

inapokuwa amekwiba marra ya tatu , hukatwa mkono wa kushoto.

inapokuwa amekwiba marra ya nne, hukatwa mguu wa kuume.

amekwiba tenna hu'aziriwa *), na qaüli2) nyi- ngine huuawa. walakini kusaburi3) zäyidi4), aji- li 5) roho 6) ya mtu nzito kumwua mtu zambi 7) kubwa i no za cajabu 8).

wa amma kwa mila yetu ya kisuaheli mwivi aki- patikana, na kitu alickokwiba anacho, hunyariganywa kile kitu, naye hupigwa bakora9), kisha akaaswa10) asi- tende marra ya pili.

wa amma hokumu walizokuja nazo Wa'arabu ka- tika mrima, bacada ya kule kupigwa, hupelekwa gere- zani akafungwa. na akifunguliwa, huambiwa asitende marra ya pili.

aida11) na desturi ya zamani: mwivi akija usiku, akichimba nyumba, akiingia ndani qäsidi u) yake kwiba mali, akiondoka mwenyewe nyumba katika usingizi, aka- mwua mwizi bassi hana läzima 13), kwa sababu mwizi hapo zamani akiingia nyumbani, akimwona mwenyewe nyumba, desturi yao walikuwa wakaduru 14), humwua mwenyi nyumba yake, ndipo nayo anapotanabbahi15) mwenyi nyumba, akamtangulia kumpiga mwizi akamwua. bassi fabamu 1G) biyo ndiyo desturi ya zamani.

na hokumu ya mwizi katika barra ya Suaheli mathali mwizi amekwiba shamba, ndani ya shamba ma- takataka mangi, naye mwizi asiende mchana, aenende usiku, endapo usiku akauawa bassi hapana läzima

1) gezüchtigt werden. 2) Wort. 3) Geduld haben. 4) mehr. - 5) Grund. - G) Seele, Leben. 7) Sünde. - 8) Wunder. 9) Stockschläge. 10) verboten werden. - 11) ferner. 12) Ab- sicht. - 13) es trifft ihn keine Schuld. 14) verletzen. - 15) aus dem Schlaf erwachen. - 16) verstehen.

- 304

kwa desturi ya zämani. anapokuja, ukimwona mchana, haifai kumwadiri 1), si läzima kumwua, läzima kumka- mata na kumpeleka mbele ya hakim.

aida na khabari za wanyanganya njiani: iwapo mtu akaa njiani kuwavizia watu , wanaopita njiani, akawaua, lakini mali yao, akesha waua, asichukue bassi mtu huyu hokumu yake kuuawa naye , kama alivomwua mwenziwe. ikiwa mwenziwe amempiga risasi 2) naye atapigwa risasi , ikiwa mwenziwe ka- mwua kwa upanga naye atapigwa kwa upanga, ikiwa amemwua kwa kisu naye atauawa na kisu, na ikiwa mkuki ao mskare vilevile alivomfanza mwenziwe.

na anapokuwa akikaa njiani, akiona watu akiwaua, akatwaa na mali, kuuawa naye bassi, akeska akasulu- biwa 3), ma'ana watu wote wamwone.

aida na ikiwa yeye kukaa njiani, akiwanyanganya mali ya watu, walakin kawaui wale watu, hokumu yake huyo hukatwa mikono yake na miguu yake.

na akiwa yeye huwatisha watu njiani, na wale watu wakimkhofu 4), walakin liatwai mali zao , wala hawaui wale watu, lakini wao kukimbia tu, na vitu vyao walivyocbukua buvitupa, walakin hatwai yeye vile vitu bassi hokumu yake mtu huyo kufungwa, wala hauawi wala hapigwi, lakini hucaziriwa5). na anapotubu ü) yale aliyoyafanyiza, ma'ana akiletamajuto 7) rohoni 8) mwake huondoka kile kifungo, akiwa hakim yafa'a y) kumsamehe 10).

wa kazälika mtu mwenyi kuqusudia11) kutwaa mali yako, ukamjua, ya kama huyu anakuja nyanganj-a mali yangu, ao atakuja twaa roho yangu, ao ikiwa una mtoto

1) Leid antun. 2) Blei. 3) ans Kreuz gehängt werden. 4) Angst haben. 5) getadelt werden. 6) bereuen. 7) Reue. 8) in seiner Seele. 9) es taugt. 10) verzeihen. 11) be- absichtigen.

305

wako njiani, anataka kuja kunyanganya bassi mwue, umjuapo, ya kama lmyu atakuja nyanganya ao atakuja niua, tangulia kumwua weye. na umwuapo huna qisäsi ') kuuawa weye kwa hakim, kwa sababa alitaka kukunyanganya ao kukuua, nawe ukanena „afao'ali*) ntamwua yeye," ndipo ilipokuwa huna qisäsi. lakini yahitaji wawepo mashahidi3) watakäyokushuhudia , ya kama alitaka kukuua weye.

wa kazälika na mtu mwenyi kupanda nyama farasi ao punda mle njiani, akaharibu4) kitu cha watu, hulipa yule mwenyi kupanda nyama, kwa sababu ameharibu kitu cha watu, ni vilevile kama kunyanganya mali yao.

khabari ya mwenyi kumpiga ao kumwua mwenziwe.

hatta wahenga 5) wetu wamesema zamani : „maneno ya mrima hayaeshi illa katika mwitu." iwapo pana maneno zamani, ameuawa mtu, bassi hukutana watu jeshi 6) mbili za wale watu wanao maneno, wakija kwa jumbe, mkubwa wa mji. na yule jumbe hupeleka zamani maneno yake kwa pazi , akamwambia ya kama : „kwangu yako maneno ya khitilafu7), walakini maneno hayo takupa wewe, ndio hakim, utazame maneno ^ao mwenyi haqqi8) na batili'J», uwapatanishe watu wangu." na pazi humjibu jumbe, akimwambia: „nimequbali 10), kwa siku fulani, na tukutane katika uwara11) fulani."

1) Strafe, Vergeltung. 2) es ist besser. 3) Zeugen. 4) zerstören. 5) Vorfahren. 6) Heer d. i. Partei. 7) Unter- schied. — 8) Recht. 9) ungültig d. i. Unrecht. 10) einwilligen. 11) freier Platz außerhalb des Ortes, wo die Gerichtssitzungen abgehalten wurden.

Veiten, Desturi za Wasuaheli. 20

306

bassi siku, walizopana äbadi *) kukutana, kulla mtu hutafuta jeshi yake katika wale watu wawili wenyewe maneno yao , kulla mtu na jeshi yake na silaba2) zao, na yule pazi kazälika naye huja na jeshi yake na si- lalia zao.

wakesha fika mawarani, hukaa ba'adi3) tatu. ba- ca(Ji mbili za hasima4) wawili, wanaosemezana, na bacadi moja hukaa yule pazi, ndio bakim, na jeshi yake. wake- sha kutana, auwali bakim butaka masahafu5), akaapa yamini6): „billäbi, ya kwama katika maneno yenu ta- pendelea ba'adi, illa tasema maneno ya haqqi. nnenapo maneno ya bätili yamini ineue, nnenapo maneno ya haqqi, ntaqabali yamini bii, nilayo, iwe ndio hirizi7) yangu."

akesha apa yamini, ndipo anapowasaili s) ya kwama: „nenani maneno venu." ndipo anapotagusa kitaray) pazi, akasikiliza. watasema mwanzo wa saca ya tatu illa saca ya kumi, kulla mtu kumpindua mwenzi wake kwa maneno, ili10) qasidi11) yamsbinde maneno yake. zama inapotimia saca ya kumi, bakim wao pazi maneno yao waliyoyasema yamekwisba mwelea, buwakataza, ndipo anapowabokumu, akawambia: „kulla mtu na ashike silaba yake tayyari1-), niwahokumu kama sheri'a." ls) bassi kulla mwenyewe silaba yake hukamata, wakiwa tayyari akiwahokumu, nao hufuata.

illa inapokuwa bokümu ya damu 14), kama bawaku- ona vyema wenyewe damu yao 1B) marra hupigana papo hapo, ikiwa vita vyao na basimu zao. ndio desturi ya zamani sana.

1) Versprechen. .2) Waffen. 3.) Teil, Gruppe. 4) feind- liche Partei. 5) Koran. 6) Eid. 7) Amulett. 8) fragen. 9) Gerichtsverhandlung leiten. 10) um. 11) Absicht. 12) bereit. 13) Gesetz. 14) Blut d. h. daß jemand ermordet worden war. 15) d. h. wenn sie mit dem Urteil nicht einverstanden waren.

307

ba'ada ya haya: ikiwa mtu amemwua mwenziwe, läzima mtu yule hakim amkamate ainfunge. naye ha- uawi wala hahokumiwi , illa kwa sbauri *) ya wale wenyi kuuliwa mtu wao. kwanza askauriwa baba ya maiti '-). bana baba atasbauriwa ncluguye baba moja mama moja ao mama moja. na kama hawapo hao atafutwa aliye afatjali3) ya yule maiti. na yule hakim atawasaili: „ndugu yenu ameuawa, na fulani ndiye ali- yemwua, na sasa nimemfunga, sbauri yenu mwanenaje? mwataka auawe, kama alivouawa ndugu yenu, amma inwataka, tumtoze dia4), awape fe(Jda?" bassi zama hiyo kbiyari5) iko kwa wale wenyi ndugu zao, wanenapo „twataka auawe kama alivouawa ndugu yetu," hakim huzidi6) kuwanasihi7) watu wale, walakin si kwa nguvu, hatta waridi8) dia kwa nasaha9), wenyewe wawe radi10).

na wasiporidi nasaha ile ya hakim, wanenapo „sisi twataka qisäsi" läzima hakim atawatolea qisäsi cbao wale wenyi ndugu yao, aliyouawa, naye atamwua.

na iwapo wataridi dia watu wale, läzima atapatana nao tangu riale 'esherini hatta thalathini awape, na yule atafunguliwa.

wa kazälika na rupia bizo za dia mafungu manne, moja la hakim na matatu watwae wenyewe. na katika matatu mawili ya baba na moja ya mama, kama hana baba wala hana mama wale nduguze baba na nduguze mama bugawana mafungu matatu, ndio desturi yetu ya zamani.

na iwapo mtu amemwua mtuinwa wa mwenzi wake, läzima hakim atamtaka amfunge, apate cazabu u) kwa hakim. kisba yule hakim atamtaka yule bana wake, anene dia ya mtumwa wake. iwapo yule, aliyouawa,

1) Rat, Anhörung. 2) Leiche. 3) näher stehend. 4) Sühne. 5) Wunsch. 6) vermehren. 7) ermahnen. 8) ein- willigen. — !)) Ermahnung, Rat. 10) zufrieden. 11) Strafe.

308

ameuawa maqsüdi !) bassi ile dia huwa ya gharadi 2), na iwapo si maqsüdi bassi ile dia itakuwa mkha- fafu3). amma hiyo ni desturi ya zamani.

wa kazälika na watu wenyi kugombana, wambao waraepigana, wala wasitoane damu amri mwenyewe liakim qadiri atakavofanza, kufunga siku mbili tatu pia amri kwake. na iwapo amemduru"1) kwa darba5), humfunga mwenyi kupiga mwenziwe, jumbe akaweta nduguze na babaze, akawauliza shauri: „arnernkata, naye tumkate, ao tumtoze mali?" watakapo mali, atawambia haderina6): „watu mliopo hapa, utliaminini1) mkata huu, wapataje?" bassi wakaseina watu watatu ao wanne, watu wa eaqili : „ünekuwa ndio themani qadri kaza wa kaza. "

na iwapo arnernkata, pua yote imeondoka, ao shikio lote ao jicbo limeondoka, halioni kabisa, ao mkono ameukata, kipande kinakunga, ao umo, lakini hauskiki, ao mguu ameukata kipande, enda kwa mguu mmoja, ao amemngoa jino, ao akimkasi8), ma'ana kumkata mboo vitu sabac hivi tkemani kulla kimoja tangu rupia khamso u 'esherin hatta tkalathin, lakini mungwana si mtumwa.

na kwa mila yetu watu husema „mwenyi kumtoa mwenziwe jicho naye hutolewa lake, na mwenyi kumkata shikio mwenziwe naye hukatwa lake, na mwenyi kumiigoa jino naye kungolewa lake, kulla ki- ungo kwa hokümu yake sawasawa. lakini mtu aten- dapo kama bivyo, wendapo kwa liakim wao, naye ha- sema: „fulani naye läzima atendwe, kama alivotenda; kama amemtoa mtu jicho, naye lake läzima litolewe, ma'ana bii ni haqqi ya muungu." lakini hawa wasemi waliopo bumnäsihi hakimu na mwenyi kutolewa jicho

1) mit Absicht. 2) Ziel, Absicht, Wunsch. 3) gering. 4) verletzen. 5) Schlag. 6) Versammlung. 7) abschätzen. 8) kastrieren.

309

na ndugu zake, hatta wapatane, wakiwa mashauri ma- moja kutoza dia.

na iwapo mwenyi kutolewa jicho mtumwa, kimba ') chake ni ile themani yake, na nussu2) ya themani ndio apewayo bana wake, akagawa mafungu matatu, mawili bana wake moja la mtumwa. ndio desturi ya zamani.

na iwapo mtu amempiga mwenziwe kisu ao mkuki, bassi hakim humfunga kutazama donda la yule aliyo- pigwa. akipona, kulazimishwa themani ya donda, na akifa hulazimishwa dia.

aida3) ikiwa amempiga fimbo, na aliyopigwa ame- kufa, hulazimishwa dia, tenna ile dia itakuwa hafifu4), kwa sababu fimbo si qasidi ya kuua, kilichokhussika 5) na kuua chuma, ndicho kinachoqasidi ya kuua.

1) Sühnegeld. 2) Hälfte. 3) ferner. 4) gering. 5) eigentümlich sein.

IL

desturi ya sheri'a ya deni1).

zamani sana iwapo mtu anawia2), na yule mdeni3) hataki kulipa, yule muda'i4) huenenda kwa watu, aka- wambia ya kama: „fulani hataki kunipa haqqi 5) yangu, nataka tafaddalini 6) twendeni mkanisa'idie." 7) naye hutoa kitu kuwapa tangu rupia mbili hatta kumi. nao hujifunga, wakenda kwa yule mdeni, humwambia: „mpe fulani haqqi yake." na kama hakutoa, akiwa na mtumwa ao kitu kingine kukikamata. na yule mdeni akiwa na jama'a 8) na marafiqi , wakiona anaonewa humsa'idia kwa maneno ao kwa mapigano, hatta watokee watu kuwapatanisha.

desturi nyingine ya zamani : mtu anayowiwa deni na Mhindi ao Banyani, na deni ile ikiwa imempata kwa ajili9) ya hasära10) ya bfushara 11), mathali1-) ni kuwa kampa bi<Jaca 13) kwenda barra kufanyiza bi'ushara , na kule barra ikijiri u) khitilafu ya vita15), ikipotea mali ile, ao ni kujiri khitilafu ya wezi, ile mali ikiibiwa na wezi , ao ni kujiri khitilafu ya moto , yale mali ikiwa yalikuwa katika nyumba , na ile nyumba imewaka moto kama khitilafu tatu hizi zote zikimpata mtu,

1) Schuld. 2) fordern. 3) Schuldner. 4) Forderer, Gläubiger. 5) Recht. 6) bitte. 7) helfen. 8) Familie. 9) Grund. 10) Verlust. 11) Handel. 12) z.B. 13) Waren. 14) sich ereignen. 15) Kriegszustände.

311

aliyokopa mali liiyo läzima atalipa mali ya watu. walakini kulipa kwake. iwapo anayo mali ya ku- lipa ndivo , na iwapo hana mali bupawa mali mengine, akenda akifanyiza bi'ushara tenna. kile ata- kachopata katika fäyida ') yake , akalipa deni ile, wala hafungwi wala hafilisiwi-) kwa äjili ya mambo matatu haya.

kazälika neno la nne ni kuwa mtu amekopa mali, anakwenda fanyiza bi'usbara ya pembe ao mpira3) ao sandarusi4), na pale mjini vitu vile thamani5), aka- ondoka kwenda barra, ili hali6) ya knjua vitu hivi ki- moja vipo ndicho kinacho tbamani , akanunua barra vitu vile, hatta kbalafu anarudi, ao kulekule barra akapata kbabari, ya kama kitu fulani kimesbuka tha- mani, naye kesba nunua, akanena „sina bila7), äjili ni- mekwisha nunua", akija nacbo kitu kile kwa täjiri8) yake , akamwuzia kwa tbamani ya hafifu 9) , ikimpata hasära katika mali ile läzima atampa mali nyingine, akafanyiza bfasbara , hatta amlipe mali yake. wa amma atampa mudda10), kilichombaqi n) amtafutie, wa- lakini haiyumkini 12) kumsbitaki13).

na ikimkinika14) kumsbitaki kwa hakim 15) , na hakim akamsaili 16), akamjibu khabari kama hiyo ya kbabari yake ya ile hasära läzima hakim atamwam- bia: „patana naye mtu wako, mpe mudda kutafutia mali yako, wa amma mpe mali, akafanyize bi'ashara, na atakachopata katika fäyida yake ujilipe." wala haiyumkini hakim kumfunga yule kwa äjili ya deni kama hiyo, amma kumfilisi yule kwa palepale kwa äjili

1) Gewinn. 2) bankrott erklärt werden. 3) Kautschuk. 4) Kopal. 5) Wert. 6) im Bewußtsein. 7) List. 8) Kaufmann. 9) gering. 10) Frist. 11) übrig bleiben. 12) es ist nicht möglich. 13) verklagen. 14) nötig sein. 15) Herrscher, Richter. 16) fragen.

312 -

ya deni kama hijo, qabla hajapawa mudda kutafuta mali ile.

iwapo watu wawili wanawiana , moja akakana, anena „haniwii," na yule anena „namwia" läzima yule hakim amsaili yule anayowia, amwulize : „weye unayo baina1) ya kumda'i -) huyu fulani?" na yule anayoda'i atamjibu hakim ya kama „nnayo baina," atamwambia „lete baina." atatoa baina yake, ikiwa anayo kkatti 3) , wa arama anayo masbähidi 4) , waliom- sbubudia5) yule, ya kama baqiqa6) anamwia watanena. na kbalafu hakim atamsaili yule, anayo wiwa, atamwam- bia: „baina yako ni hü."

na yule anayodaciwa, iwapo atakana, na yule ana- yoda'i mashahidi hana, läzima kwake mwenyi kuda'iwa aape yamini 7) , ndipo awe bana da'awa 8), ao baqiqa yule anayoda'iwa atanena „mimi sitaki kuapa, walakin na aape yeye , khalafu mimi tatoa mali ntampa" läzima yule anayoda'i aape yamini ya näqala9), acbukue mali yake. wala bawezi kumrejesba ile yamini yule mtu aliyomda'i.

wa aida 10) mdeni hafungwi kwa ajili j^a deni , illa iwapo mali anayo, bataki kulipa, naye ni kuwa ame- sbitakiwa marra ya kwanza, akataka mudda, marra ya pili akitaka mudda, marra ya tatu hakim bumfunga. na iwapo anayo mali atalazimishwa ") kulipa. na iwapo aliyo nayo machacbe12) hufilisiwa, wakilipwa wadeni wake.

na äsili 13) ya kule kumfunga ni sababu ya kuwa anayo mali, naye kulla siku hunena urongo u) kwa hakim,

1) Beweis. 2) fordern. 3) Schuldschein. 4) Zeugen. 5) bezeugen. 6) Wahrheit. 7) Eid. 8) Klage, Prozeß. 9) Uehertragung. 10) ferner. 11) gezwungen werden. 12) wenig. 13) Ursprung. 14) Lüge.

313

bassi imekuwa yeye äuwali l) hana adabu 2) kwa kule kunena urongo kwa hakim , pili tkälim3), kuwa na mali anaya, naye asilipe, hapo ndipo anapofungwa.

na iwapo bana mali, hufungwa, ili kutiwa adabu na kutezama, kama kweli ana mali ao hana. akijuli- kana hana mali, kufunguliwa.

desturi ya sheri'a4) ya kudamini 5).

shurti6) za damäna7) ni hizi: damini 8), na mwenyi kudaminiwa, na yule mwenyi mali yake, na mali yanayo- daminiwa yajuikane.

haifai kudamini kitu, kisickojuikana qädiri9) yake kile kitu cbenyewe. mäthali10) ni kuwa mtu anawiwa fedda11), ukanena „nimemdämini fulani," na zile fed$a zenyewe huzijui qiasi12) chake, kama kumi ao casherini buzijui, ikiwa utadamini tu, kwa sababu umesikia jina la fedda anawiwa fulani amma hapo haifai kuda- mini kwako. illa ukijua kile kitu chenyewe qiasi chake, kama yule anawiwa fedda kaza wa kaza, udämini kwa neno lijualo. amma ni kuwa anawiwa watumwa kaza wa kaza, ao anawiwa fräsila kaza wa kaza za pembe, ao fräsila za mpira, ao fräsila za sandarusi13), hapo umejua qiasi chake, ukaweza kudamini. na ikiwa san- darusi — sharti ujue , ya kama unamdämini sandarusi ya chini ao ya juu. na usipojua qiasi cha kitu chenyewe bätili 14) kudamini kwako.

wa kazälika hiyo damäna yahitajia huyo mwenyi

imini ewe mungwana, na akiwa mtumwa haifai

1) zunächst. 2) Anstand. 3) Betrüger. 4) Gesetz. 5) bürgen. 6) Bedingung. 7) Bürgschaft. 8) Bürge. 9) Maß. 10) z. B. 11) Silber, Geld. 12) Betrag. 13) Kopal, das Suaheli-Wort dafür ist mnangu (II). 14) ungültig.

314

damäna yake. tenna awe na 'aqili, na akiwa ana wazimu, haifai naye damäna yake. tenna awe mwanamume, asiwe mwanamke. wala akiwa mtoto, haifai (Jamäna yake, läzima awe bäleghi ') , ndipo itakäpofa'a damäna j^ake.

tenna imeläzima huyu mwenyi deni akaqubali , ya kama fulani amdämini fulani.

wa kazälika imeshurutiwa, ile deni iwe deni, iliyo- läzima kwa kuwa sahihi *) anawiwa. utakapojua kweli anawiwa qadri kaza wa kaza umdämini.

bassi zama ufikapo mudda 3) , yule mda'i4) ana kkiyari 5) kuda'i 6) kwa watu wawili , kwanza kwa mwenyi kudaminiwa, pili kwa mwenyi kudämini, ijapo- kuwa amepata nnssu 7) upande moja , na kilichobaqi atakwenda taka kwa mtu mwingine. pindi inapokuwa yule mwenyi kudämini liana kitu, atareje'a kwa mwenyi kudaminiwa, atake haqqi8) yake apawe. wala haifai kunena yule mwenyi kudaminiwa ya kama „mimi sitoi kitu. nenda kamda'i fulani aliyodämini" kayo baifai. ikbiyari biyo ina yule mwenyi kutaka haqqi yake, popote atakapotaka atataka.

na knatti9) za kudämini ni namna mbili. namna ya kwanza kumdämini mtu na fedda, namna ya pili kumdämini mtu apoteapo ao akifa.

khatti ya kudämini mtu na fedda huandika:

„mimi fulani bin fulani nimemdämini fulani katika fedda, anayomwia fulani, riale kaza wa kaza. pindi asipomlipa fedda yake, läzima juu yangu mimi kulipa. nimeqirri10) kwa haya, shähidi fulani bin fulani."

khatti ya kudämini mtu :

„mimi fulani bin fulani nimemdämini fulani katika fedda, anayowiwa na fulani, riale kaza wa kaza. pindi

1) mannbar. 2) richtig. 3) Termin, Frist. 4) GLäubiger. 5) Wahl. 6) fordern. 7) Hälfte. 8) Forderung. 9) Schriftstück. 10) anerkennen.

315

apoteapo ao akifa mimi läzima kulipa haqqi Mi. nimeqirri kwa haya. shähidi fulani bin fulani."

khabari ya desturi ya bei1).

beei ina shuruti2) hizi:

skurti ya kwanza kile kinackouzwa kiwe mali yake, kisiwe clia mtu mwingine. mäthalan 3) ainepanga nyumba, amekuja mtu mgeni, amemwambia ya kwa- mba: „nyumba nitakuuzia wewe kwa beei rakhisi4), sababu mimi msafiri." na yule mgeni atamsadiqi5), akainunua be'i yake bätili6).

skurti ya pili yule mwuzaji 7) asiuze kitu kilicho kibovu, watu wasicboweza kukitumia, sababu kile kitu, utakackonunua, läzima kiwe na manfa'a8).

na shurti ya tatu ni kununua kitu, kilichosifiwa 9) na yule mwenyi kitu cliake. ikiwa mtumwa ni ku- kwambia „mtumwa wangu mweusi, naye mrefu sana, na miguu yake minene," akakutajia sifa10) qadiri aliyo nayo yule mtumwa wake. bassi kama inapokuwa ile sifa aliyokusifia - thäbiti11) imejüzu1-) beci yake, na kama sifa alizokwambia zimepungua be'i bätili.

skurti ya nne inahitajia 13) yule mwenyi kuza awe bälegbi14), asiwe kijana, tenna awe na caqili15), asiwe ana wazimu, tenna awe mwanamume, tenna awe mung- wana, asiwe mtumwa.

akiwa mtumwa, skerti apewe izini 16) ya bana wake, haijüzu kuuza wala kununua kitu, illa kwa izini ya bwana wake. na iwapo ameuza kitu, amma amenunua

1) Kauf und Verkauf. 2) Bedingungen. 3) z. B. 4) billig. 5) glauben. 6) ungültig. 7) Verkäufer. 8) Nutzen. 9) beschreiben, loben. 10) Lob, Beschreibung. 11) wahr, richtig. 12) erlaubt, zulässig sein. 13) erforderlich sein. 14) mannbar. 15) Verstand. 16) Erlaubnis.

316

kitu, ijapolmwa inali yake yule mtumwa, ajapo bwana wake, akakataa kule kununua kwake ao kuuza kwake

yajüzu be'i yake kwa sherica kubatilika, kwa sa- babu yule mtumwa mamelüki 1), na kile alicbo nacko kimemmilikiwa 2).

wala haijuzu kumkopesha fecjda 3) mtumwa wa mtu, illa kwa izini ya bwana wake. umwite bwana wake, umwambie: „mtumwa wako anataka fedda kwangu nimkopesbe . nimpe ao nisimpe ?" akupe izini bwana wake bassi, akwambiapo „mpe" mpe, na akwam- biapo „usimpe" usimpe. na anenapo „mpe," ijapo- kuwa amekufa yule mtumwa, naye anayo ras il-mali4)

läzima atatoa bwana wake. na iwapo hakukhälifu 5) mali yule mtumwa, läzima bwana wake kulipa ile deni ß) sababu yeye kama dämini7) kwa mtumwa wake.

tenna haijuzu be'i ya kughuriana8). na huko kughu- riana ni kuondoka mtu mjini, akenda masbamba kungoja wasafiri, wanaosbuka na bi'ashara9), akawambia: „bica- sbara hizi, mlizocbukua, sasa mjini bazifai, sababu fräsila ya mpira sasa mjini rupia tano, lakini mimi nitanunua kwenu kwa rupia sitta." na wale wageni wakayasadiqi maneno yake, wakamwuzia, na wakija mjini , bupata khabari, ya kama mpira frasila rupia kumi. wakimjua yule mtu, wanaweza kumshitaki10), na beci inabatilika11).

wala baijüzu be'i ya fe(Jda kwa fedda, illa kwa sburti tatu. sburti ya kwanza ni kama rupia kuvunja kwa riale, shurti ya pili ni kuwa imevunjwa ile fedda yenyewe mtali amma mkufu, pale inafa'a kununua kwa fedda, kwa sababu ni cbombo za manufa'a. sburuti ya tatu ni kuwa kumkopesha mtu, akakurejesha vilevile inafa'a.

1) Sklave. 2) beherrscht, verwaltet werden. 3) Silber, Geld. 4) Vermögen, Kapital. 5) hinterlassen. 6) Schuld. 7) Bürge. 8) einander betrügen. 9) Handel. - 10) verklagen. 11) ungültig sein.

317

imejüzu kuza zahabu1) kwa fedda, kwa sababa imezidi ile zahabu, tbemani yake kubwa, wala haijuzu kuza mtama kwa mtama, illa mtama kwa mpunga, amma mtama kwa mhindi, kwa macana namna yake ni mba- limbali. si moja, kulla kitu kwa tbemani yake.

wala haijuzu kuuza nyama iliyokwisha cbinshwa kwa nyama mzima.

wala haijuzu kuuza matunda yaliyo mtini kukata beci mathali kama embe. kutokea mtu. naye ataka embe zilizo juu ya mwembe, yafaca kupatana, walakin ha- mkati tbemani kabisa haifai.

wala haijuzu mhogo kukata themani kumwuliza mtu, qabla haujangolewa katika shamba haifai.

wala haijuzu kuuza kitu, ulichokinunua, illa uwe nacho mkononi mwako, ndio uze.

wa kazälika wale watu wawili wenyi kufanza befi, yule mwenyi kuza na yule mwenyi kununua, wana kki- yari 2) shurti yao mudda 3) wa siku tatu kama amenunua kitu. mathali kama mtumwa akamnunua mtu, mudda wa siku moja amma mbili akamwona hawezi, humre- jesha kwa mwenyewe mwenyi mtumwa wake, huenda akimwambia: „huyu mtumwa wako ana eaibu4) ya ugo- njwa fulani." läzima kutwaa mtumwa wake.

ndio sababu tunazo be 1 namna mbili, be 1 maqteaä5) na be'i khiyari6).

be 1 maqfaä ni kuuza kitu, mtu akanunua, marra akatoa fedda, akachukua kitu chake, akenda zake.

na be 1 khiyari mtu ni kuuza kitu, na mwenyi kununua akapatana naye mudda siku tatu, kitokeapo eaibu kitu alichokinunua kukirejesha kwa khiyari ya wote wawili, na fedda kureje'a.

1) Gold. 2) Wunsch. 3) Frist. 4) Schande, Fehler. 5) endgültiger Kauf. G) Kauf unter Vorbehalt.

318

khabari ya kuweka rahani.

khabari ya rahani kulla kilichojüzu2) kuuz- wa na kununuliwa, imejüzu kuwekwa rahani, kama shamba, ao nyumba, ao nguo, arnma chombo, ao kitu cha fedda cha kuvaa, ao mtumwa kilicho chute qa- diri kifa'acko kuuzwa na kununuliwa yafaea kuwekwa rahani. kumweka mtumwa rahani sheri'a imeziwia, la- kini kwa desturi ya mila watu wanafanya. bassi na hiyo rahani huweka mtu kwa ndia s) mbili. ndia ya kwanza anawiwa, naye hana cha kulipa, yaf'a'a kuweka rahani mali yake, alipe ile deni anayowiwa. hiyo lä- zima, iwapo ile deni yenyewe anayowiwa ya tbäbiti 4)

huweka rahani kitu chake.

ndia ya pili huweka rahani haqqi5) yake kwä diqi6). iwapo emedikika, hana chakula cha nafsi 7) yake ao ku- walisha alio nao watoto wake ao watumwa wake ao mkewe, na hao läzima kuwapa chakula, naye anaye tama'a8) kama siku moja mbili ao mwezi ntapata fedda, mathali yake kama mtu anakaa mshahara makala, na mwezi haujafika kupata mshahara wake, na yule ana- yokaa kwake kwa mshahara Jbataki kumpa fedda, illa utimu9) mwezi wake, na kungojea hawezi kwa siku hizo, kwa sababu hana kitu nyumbani läzima aweke rahani, apate fedda ao chakula, ale na watu wake. iki- pata mudda wa mshahara wTake, arejeske fedda ya watu.

na ikiwa hana taratibu lü) ya kupata fedda , hakai mshahara, wala hana mtu, anayomwia, kama atamlipa fedda, wala hakusafirisha, kama itakuja safari yake hapo yafa'a alicho nacho kuuza.

1) Pfand geben. 2) erlaubt sein. 3) njia. 4) wirklich.

5) Recht. 6) Not, Hunger. 7) Seele. 8) Sehnsucht, Aus- sicht. — 9) zu Ende sein. 10) Ordnung, Gelegenheit.

319

wa kazälika na yule mwenyi kuweka rabani ya- bitajia ') awe mtu mzima, asiwe kijana. amma hnyu kijana , ijapokuwa nialiyake, mädäm 2) kijana, kaja- bälegbi3) baijüzu rabani yake.

tenna asiwe mwanamke yule mwenyi kuweka ra- bani. na akiwa mwanamke, yahitaji kushuhudia ma- waliyi4) zake wawili vile anavoweka rabani.

na yule mwenyi kuwekewa rabani yabitajia awe mwanamume, asiwe mwanamke. na akiwa mwanamke, yabitajia wasbubudie mawalii zake, anavotwaa rabani. tenna na yule mwenyi kuwekewa rabani yabitajia awe mtu mzima, asiwe kijana.

tenna imemläzimu mwenyi kuweka rabani awe na caqili, asiwe mwenda wazimu, ote watu wawili mwenyi kuweka na mwenyi kuwekewa.

wa kazälika ajapokuwa ana "aqili, asiwe mbaziri5), sbugbuli u) yake butwaa mali zake akiweka rabani kwa ajili ya ulevi baifai rabani yake.

tenna mgonjwa bawezi kitandani bana caqili baifai rabani yake.

na mtumwa, asiyopewa izini ya bwana wake baifai rabani yake.

wa kazälika na kile kinacbowekwa rabani yabitajia iwe mali yake yule mwenyi kuweka rabani, isiwe mali ya watu, hapo baifai kuweka rabani.

wala isiwe mtoto kaweka mali ya babaye rahani, si tbäbiti rabani yake, ma'ana mtoto bana rukbsa ya kuza ao kuweka rabani haqqi ya babaye, mädäm bajafa, yu hai7) dunyani 8). na ikiwa ameweka rabani haqqi ya babaye iliyo yote, akija mwenyewe babaye, ikiwa bakuridi9) läzima atatwaa haqqi yake.

1) erforderlich sein. 2) während. 3) erwachsen sein. 4) männliche Anverwandte. 5) Verschwender. 6) Arbeit. 7) lebend. 8) in der Welt. 9) einwilligen.

320 -

amma babaye mtu, aonapo mtum^a wa mwanawe, akimweka rahani yafa'a rahani yake, haibatiliki, kwa sababu yule mtoto na baba yake mameluki mtoto, na mädam amemilikiwa mtoto, na alicho naeho kimem- milikiwa.

amma mtoto haifai kuwekvva rahani. illa ameridi mwenyewe kuwekwa rabani. hapo mbali, babaye ana rukhsa ya kumweka, sababu ametoa rukhsa mwenyewe.

rabani bukaa hatta deni imelipa kwa mwenyi fedda, hokümu yake kama mtumwa wa bana wake. ajapo- kuwa mungwana butumika killa kazi kama mtumwa. kutumika kwake ndio fayida ') ya yule mwenyi fedda. naye ana rukhsa kutazama bana wake ao kama ni mun- gwana kutazama wazee wake ao ndugu zake siku moja, kisha hurejVa. mudda wao akikombolewa hurejVa kwao, huwa mungwana kama zamani.

na yule, aliyepewa mtu rabani. bana rukhsa ya kuuza rabani ile, ijapokuwa fedda imekawia kuja.

kazälika rahani ya nyumba hupatana : „mimi nita- shika nyumba yako rahani, lakini ukae kwa qo'di2), killa mwezi unipe riale tatu ao nne, ndio fayida yangu." na rahani ya shamba kazälika hupatana: „kaa katika shamba yako, lakini i katika mikono yangu, huna rukhsa kuuza illa kwa amri yangu."

ikawa yule mtu hawezi kukomboa, na mudda ume- kwisha, hutaka fedda yake, shamba hutiwa mnadani n). ikawa deni nyingi , kilichobaqi 4) atalazimishwa kulipa. iwapo deni haba, kilichobaqi mwenyi shamba lake.

aida kama mtu amepewa rahani mtumwa. ameto- roka yule mtumwa, ao amekufa yule mtumwa, ao ame- pewa farasi ao punda, ikiwa wamekufa ao wamekimbia halipi mwenyi kuwekewa. haifai kusema „mtumwa

1) Gewinn. 2) Miete. 3) zur Versteigerung. 4) übrig- bleiben.

- 321

wangu amekufa „mlipe," ao „amekimbia mlipe. a walakin hulipa, iwapo amempiga yule mtumwa, akatoro- ka yule mtumwa kwa uckungu ya fimbo zilizompata hapo läzima atalipa, macana amemtorosha. lakini kule kumpiga kwake yahitajia wawepo na mashahidi, wa- mwone anavompiga ndipo itakäpokuwa läzima kulipa.

na pili ni kumkamia ') yule mtumwa akimwam- bia „weye ikifika usiku, ntakupiga, amma ntakuua" akatoroka yule mtumwa kwa kbofu 2) ya maneno aliyo- mwambia, na pale aliponena ikiwa mashahidi wapo wa- namsbubudia kule kunena kwake läzima atalipa.

na watu wakiweka rabani, wanaandikiana kbatti3) kwa mudda. na biyo kbatti:

„mimi fulani nimetwaa fedcla kwa fulani riale kaza wa kaza. nimempa sbamba yangu rabani katika mikono yake kwa mudda wa miezi kaza wa kaza. jirani ya bilo sbamba kusi fulani, na kaskazi fulani. sbäbidi fulani."

khabari ya kuokota kitu njiani.

desturi ya zamani : mtu aliyookota kitu njiani, wä- jibu4) kitu kile, kikiwa cha mali, apeleke kwa hakim 5). na bakim atampa amri ya kukitembeza 6) kile kitu killa panapo njia panda na panapo soko , hatta apatikane mwenyewe, akampe mbele ya bakim. ao hakim ataweka kitu- kile, zama atokeapo mwenyewe, akitafuta kitu cbake, läzim yule hakim atamsaili ') : „kitu cbako namna gani? kimekupotea siku gani '? mahalagani?" ni iwapo ni fedda, atamsaili: „riale ngapi?" iwapo yule mtu haqiqa") amepotelewa, atamjibu hakim: „riale kaza wa kaza, nazo zilikuwa katika kitambaa, na kita-

1) drohen. 2) Furcht. 3) Schriftstück. 4) Pflicht. 5) Herrscher. 6) öffentlich bekanntgeben. 7) fragen. 8) Wahrheit.

Velton, Dotituri za Wasuaheli. 21

322

mbaa hicho namna yake cheupe ao cheusi ao chekundu. na iwapo yale maneno anenayo ni kweli, läzima apawe haqqi1) yake.

na isipokuwa maneno anenayo si kweli, mathali kama kunena „mali yangu riale settin," na ile fedda iliyookotwa ni riale arba'm ao nakhis 2), hutazamwa bassi katika ma'arifa 3) kwanza, li äjili4) labuda yu- mkini5) yule aliyookota ameficha kitu, khitilafu6) ile imekuja kwa äjili }7ule aliyookota, huangaliwa, naye iwapo anayo dalili7) na baina8), bassi maneno ya yule aliyopotelewa sahihi9) läzima apewe haqqi yake.

na iwapo yule aliyookota ni mtu sälihi10), naye akitazamwa hana dalili ile, imekuwa maneno ya yule khitilafu, huzuiwa haqqi hii kwanza.

na kama hakuonekana mwenyewe, nacho ni kitu cha mali, hakim ätakizuia. na kama hakina thamani11) kubwa, hakim atampa mwenyi kukiokota.

ao iwapo mtu ameokota kitu kidogo hukinadi 12), na kukinadi kwake huenenda katika mskiti13), mno ka- tika mskiti wa el-juma' 14) , sababu huja watu wengi kule, tenna huuliza: „hapana mtu aliyopotelewa?" na iwapo yupo mtu, aliyopotelewa, akanena: „ni mimi, ki- menipotea kitu kaza wa kaza." iwapo sahihi, atampa mwenyewe. na iwapo sicho hampi, atazidi kutafuta mtu mwingine.

wa aida mathali imeokotwa kitu katika bahari15) ao katika barra, kikawäsili 1G) kwa mkubwa wa inti17), kama mathali ya jumbe, bassi fahamu 1S) yule mkubwa wa nti 17) huamru l9) kngawiwa mafungu mawili, fungu

1) Kccht. 2) weniger. 3) Kenntnis. 4) Grund. 5) vielleicht ist es möglich. 6) Unterschied. 7) Anzeichen. 8) Beweis. 9) richtig. 10) rechtschaffen. 11) Wert. 12) öffentlich ausbieten. 13) Moschee. 14) Hauptmoschee (Freitags- moschee). — 15) Meer. 10) ankommen. 17) inchi. 18) ver- stehe. — 19) befehlen.

- 323

moja lake mkubwa wa nti, na fungu la pili hupawa mawaziri wa mji pamoja na watu walio katika nti, wa- kagawana. desturi anayookota kitu cha mali, hana rukhsa kukitwaa yeye, illa kupeleka kwa jumbe.

na iwapo natu ameokota kitu, amekula ataho- kumiwa, atozwe mali, awapo ana mali, kama hana mali bassi hana hadara l). ikitokea karamu 2) ao neno jingine kama mathali h'arusi3), qadri ya jawäbu4) lina- lohuduria5) mkubwa wa inti, henendi yule aliyokula mali ya inti, labuda atoe mali kwanza, kama alivokoku- miwa kwa mila ya Wasuaheli, ndipo enende katika ka- ramu ya watu.

na mtu anayokaidi6), hutolewa katika mashauri asiwemo, wa kazälika huandikwa barua, zikipelekwa katika miji, waka'arrifiwa 7) ya kwamba: „fulani hayumo katika mashauri ao karamu. bassi fahamu kulla endapo, ikiwapo karamu ao h'arusi ao amekufa mtu. mkimwona katika baraza, hufukuzwa asikae."

aida iwapo huyu mwenyi kukhälifu8) akenda kwa mkubwa wa nti akaangukia, humpokea yule mkubwa wa inchi, naye humpeleka kwa jumbe ya kama: „fulani ame- kuja kwako kuangukia kwa makosa aliyoyatenda." naye humpokea, wakiwa naye kama zamani.

desturi ya kuokota mtumwa:

mtu humpeleka kwa jumbe, naye jumbe humziwia yule mtumwa. mwenyewe anapokuja, akisema, ya kwamba amepotelewa na mtumwa, humwuliza: „qabila9) gani?" hujibu. tenna humtoa nje yule mtumwa kumwuliza : „huyu ndiye bwana wako?" hujibu: „ndiye bwana

1) Gegenwart, Anwesenheit d. b. hier „er hat kein Recht an- wesend zu sein." 2) Fest. 3) Hochzeit. 4) was immer für eine Gelegenheit. 5) anwesend sein. 6) widerspenstig sein. 7) mitgeteilt werden. 8) zuwiderhandeln. 9) Stamm.

21*

324

wangu/' bassi humpa, naye hutoa uokosi]) rupia mbili. na zile rupia mbili kupewa yule aliyookota.

na kama mtumwa akikataa, akasema : „huyu si bwana wangu bumziwia jumbe, kamwambia bwana wake, alete masbäbidi, washuhudie, kama kweli kuyu mtumwa wake.

na kama bana mwenyewe yule mtumwa , buwa mtumwa wa jumbe, buambiwa mtumwa wa mboni 2).

na iwapo mtumwa amegomba na bwana wake, wala kamtaki bwana wake, butoroka, akenda akasbika ngoma kuu za jumbe, macana ameangukia miguu, naye anataka hemäya3) ya jumbe. naye humwuliza jambo alilo nalo, tenna huitwa bwana wake. huulizwa mtumwa : „wataka kwenda kwa bwana wako?" akikataa, liumziwia yule jumbe, akafanya kazi kwake.

desturi ya sheri'a ya amäna4),

desturi ya Wasuaheli amäna zao skidda 5) kuweka majumbani mwao, wanapatana na matäjiri 6) zao ku- wawekea, sababu majumba yao mabovu. marra huingia mwivi, marra huingia moto, na pahali pema pa kuweka hana. na iwapo anapatana na Msuaheli mwenziwe, hu- mtezama sana mwenyi moyo wa imani 7), na nyumba yake iliyo njema humpa kumshikia.

mtu aliyompa amäna mwenzi wake, kumwekea nyumbani mwake, na mle nyumbani wakija wevi, wa- keba amäna ile, ao ikija vita, vikacbukuliwa vitu vyake katika nyumba pamoja na amäna ile, ao ukingia moto, ikiungua nyumba na amäna ile, katika desturi ya skerfa haimläzima kulipa yule, aliyopawa ile amäna kuweka.

1) Finderlohn. 2) Sklave des Augapfels, weil er mit dem Auge gefunden wurde. 3) Schutz. 4) Sicherheitsdokument, De- positum. — 5) selten. 0) Kaufleute. 7) Vertrauen.

325

na iwapo yule mwenyi amäna liakusadiqi *), ya kama amäna yake imeibiwa, ao imekhitalifu 2) kama hivo nilivonena kwa vita ao kwa moto bassi läzima atam- sadiqia kwa yamini3).

iwapo mtu ametoa amäna kumpa mtu „niwekee," na yule, aliyopawa, akimpa mtu mwingine kumwekea, na kule alikoweka ikapotea ile amäna läzima yule aliyopawa amäna ile kwanza atalipa, kwa sabatm ame- ta'adi4) kuaminiwa5) yeye, na yeye akatafuta amini6) wake, amtakayo, kwa juu ya amäna ya mtu mwingine kapo ndipo atakäpolipa.

lakini amwambiapo yule mwenyi amäna yake ya kama „umenipa amäna yako kuweka, lakini mimi katika nyumba yangu si amini kuweka kitu, vitu vyangu mimi huweka kwa fulani, na amäna yako kazälika nta- kwenda weka kwa fulani, iwapo umeridi7) haweke8) huko, takwenda weka, na iwapo hukuricli, nijibu" akamjibu yule mwenyi amäna yake „nimeridi kaweke," akenda akiweka kwa izini9) yake yule mwenyi amäna yake, amma ikija kkitilafu 10) haimläzimu kabisa. illa akanapo yule mwenyi amäna yake, ya kama ha- kumpa rukhsa kapo da'awa11) yao kukatika katika yamini.

na iwapo mtu amempa amäna mwenzi wake kwenda mnunulia kitu ao mtumwa barra, kitu kile kikaibiwa, ao yule mtumwa akikimbia kaimläzima, illa iwapo amäna ile naye alimpa mtu mwingine kwenda nunua ile biacsbara, hokümu yake kama tuliyoinena äuwali. amma hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuakeli.

1) glauben. 2) zu Grunde gehen, verderben. 3) Eid. 4) sündigen. 5) vertraut zu werden. 6) Vertrauensmann. 7) einwilligen. 8) nikaweke. 9) Erlaubnis. 10) Verderb. 11) Klage.

326 -

khabari ya shirka1).

shirka mwanzo wake ni kuondoka watu wawili wa- kataka kufanyiza kazi pamoja, wakeska patana, killa mtu hutoa mwanzo wa maliyake kumwonyesha inwenziwe. tenna hupatana katika bi'ashara 2) ambazo 3) watanunua. wakisha, hupatana fayida4) na kkasära5), tenna huingia katika bi'asbara.

na hiyo bfashara iwapo mjini, killa mtu huenda upande wake kufanya bi'ashara atakayo kunza na kunu- nua. hatta jioni hukutana pahali pamoja, kuoneshana walichokipata. na wengine kwanza hupatana kupeana yamini6) kuckelea kufickana na kudanganyana katika kupata na kukosa.

kazälika na iwapo wanafanya bi'ashara ya barra ni kama hivyo, killa mtu huenda barra, ao huagana mmoja kwenda barra, na mmoja kukaa katika mji. yule anayekaa mjini, kazi yake huuza bidac 7), itokayo barra, na kununua bidac ya mjini, kumpelekea mwenziwe barra. na wakipata fayida, hugawa sawasawa, na khasära vilevile.

kazälika na shirka yao hukaa, mädämu wanataka, wala hawathulumiani 8) , amma huisha shirka yao kwa sherti mbili kufa moja wapo, ao mmoja mlevi, na kutumia mali billa ya nathari ö), hapo shirka hubatilika 10).

na sharti ya hao washirka sharti wote wawili wawe mabäleghi11), tenna wawe na 'aqili, haifai shirka kwa mtu asiye bäleghi, wala asiye eaqili.

wa kazälika hawana rukhsa wote wawili katika fe<Jda ya shirka kukopesha wala kukopa fedda, illa kwa kushauriana.

1) Gesellschaftsunternehmen. 2) Handel. 3) veraltetes Re- lativ. - 4) Gewinn. 5) Verlust. 6) Eid. 7) Waren. - 8) betrügen. 9) Ueberlegung. 10) ungültig sein. 11) erwachsen.

327

na wao hawalazimishani fedda ao mali, iliyopotea, sababu nyumba alimokaa imeingia moto, ao mwizi ame- kwiba, na watu wote wanajua.

na iwapo wamesafiri, sherti wendako wote wa- weane radi1). lakini moja akimkataza mwenziwe ya kama „mahali kaza wa kaza usende," naye akenda kwa khiyari 2) yake, akapata khasära yake pekeyake.

na iwapo wainepata khasära, na mwenziwe anakataa khasära, billa hakufanya neno lisilo njia, naye hataki kulipa ile khasära sheri'a haimsikizi , ma'ana alivo- kula tamu na uchunga läzima aule.

desturi ya sheri'a3) ya shähidi4) na ya yamini5),

äuwali6) yule shähidi yahitaji7) awe islämu8), naye ewe9) anasali10), knlla siku anasali, na kufunga hufunga, ikifika mwezi wa ramadani11) mtu huyu ushahidi12) wake huqubaliwa 13) kwa hakim M). khassa15) iwapo yule rnwenyi kushuhudiwa anasali, läzima na yule shä- hidi awe anasali, ndipo ukamilike ushahidi wake. na iwapo yule shähidi hasali , na yule anayoshuhudiwa akanena „kuyu si shähidi , kwa sababu hasali" hu- batilika16) ushahidi wake kwa hakim.

na pili yule shähadi yahitaji awe mungwana, wala haufai ushahidi wa mtumwa, ijapokuwa mwanamume.

wa kazälika ushahidi wa mwanamke bätili17), hana ushahidi kabisa.

1) zufrieden. 2) Wille. 3) Gesetz. 4) Zeuge. 5) Eid.

6) zunächst. 7) es ist erforderlich. 8) dem Islam angehörend.

9) awe. 10) heten. 1 1) Fastenmonat Ramasan. 12) Zeugnis.

13) angenommen werden. 14) Richter. 15) hesonders. 16) ungültig erklärt werden. 17) ungültig.

328

haqubaliwi mtu kwa shahidi mbele ya hakim , illa ajuilikane, ya kama huyu 'adili '), na ma'ana ya cädili ni mtu, anayokucha muungu, hataki haqqi ya mtu kutkulumu 2), tenna asiwe fasiqi3), shughli4) yake kuzini5) amma ku- lewa kaufai ushäbidi wake , ajapokuwa mungwana.

wa kazälika yule shahidi yahitaji awe bäleghi 6), asiwe mtoto mdogo , na tenna awe na 'aqili 7) , asiwe mwenda wazimu, haufai ushahidi wake.

wa kazälika haufai ushahidi wa mtoto kumshuhudia babaye. mithili 8) kama mtu anamwia mtu , na huyu mwenyi kuwiwa akikana, ya kama hawiwi kitu, na yule hakim akimwuliza yule mwenyi kuwia: „unayo shahidi?" na yule akanena „nnayo shahidi mtoto wangu, ya kama namwia huyu" bassi hauqubaliwi ushahidi ule kwa hakim, kwa sababu yule mtoto na yule babaye hana buddi9) kumpendelea babaye, ndipo ulipokuwa haufai ushahidi ule na mtoto kumshuhudia baba yake. wa kazälika hauqubaliwi ushahidi wa mtoto kumshuhudia mama yake.

wa kazälika haifai mtu kumshuhudia eadui 10) yake. mithili kama watu wawili wanagombana , hawasemi beina11) yao, bassi watu wawili hao haifai kushuhucliana, ma'ana beina yao u'adui, kulla mtu hampendi mwenziwe, bassi haifai kushuhudiana.

wa kazälika yule asiwe nduguye anayoda'i, wala asiwe mshirika wake yule anayoda'i, wala asiwe anamwia yule anayodaei, anashuhudia qäsidi 1Jä) apate yule , naye apate mlipa. ushahidi wa watu hao haufai.

wala haiqubaliwi barua ya qädi 13) kwenda kwa

qädi katika hokümu u) illa washuhudie mashähidi

watu wawili maneno, anayosema qa<Ji, na maneno wa-

1) gerecht. 2) jd. an seinem Rechte schädigen. 3) liederlich.

4) Geschäft, Arheit. 5) Ehehruch treiben. 6) mannbar. 7) Verstand. 8) z.B. 9) Ausweg. 10) Feind. 11) zwischen.

12) Absicht. 13) Richter. 14) gerichtliche Angelegenheit.

329

nayosema wale wagomvi wawili. inakitajia wawe watu wawili.

wa kazälika mashakidi, wanaoskukudia watu wawili, wanaowiana , skerti waqubali kushuhudia , wawambiwe ya kama: „sisi watu wawili moja anamkopeska mwenziwe, na moja anakopa, bassi tunataka mtuskuhudie tunavowiana." na wale maskäkidi watauliza: „qadri gani ') mnacho wiana ? " watanena : qadri kaza wa kaza. " a) wale mashakidi watanena: „mmeridi3) tuskukudie na wale wanenapo „tumeridi , tushukudieni" kusku- kudia wale mashakidi, na uskabidi wao tamma4).

wala kana yamini skabidi kuambiwa marra : „uta- weza kuapa, ya kama umeskukudia weye fulani kuwiwa qadri kaza wa kaza?Ä amma kii si läzima kumwapiska sbakidi, na aape mwenyi kuwia ao mwenyi kuwiwa kwanza.

na iwapo hakim anataka kumwapiska mtu yamini, atamwambia: „wewe unakana? kukutwaa kitu cka fulani, wala kakuwii fulani na yule atasema: ,,na- kana, sikutwaa, wala baniwii." atamwambia: „utaweza kuapa yamini?" na yule atasema „naweza." asemapo „naweza," läzima liakim kumskauri yule mwenyi mali yake kumwambia: „kuyu anakana, naye ameridi kuapa yamini, tumwapiske ao tusimwapiske?" anenapo mwenyi kaqqi5) yake ,.mwapiske" läzima kumwapiska. na anenapo „usimwapiske, na mimi nimesameke6) da'awa7) kii" kana lwjab) kakim kumwapisba, iwapo mwenyi kuda'i9) kataki.

na skerti10) ya kiyo yamini kula yule mlaji11)

1) welche Summe. 2) soundsoviel. 3) einverstanden sein. 4) vollkommen. 5) Recht, Forderung. 6) verzichten. 7) Klage. 8) Verlangen. 9) fordern. 10) Bedingung. 11) der Schwörende.

330

yamini kwanza hutawadcja *) , ma'ana hunawa viganja vya mikono, kisha akaosha uso, tenna huosha mikono mi- wili, tenna hupaka maji juu ya kipanda uso, tenna hutia maji mashikioni , tenna huosha miguu. na shurti hizo killa pahali hnosha marra tatu , macana yake awe na üdü 2), ma'ana awe tahara 3), ndipo ashike ule msahafu 4), tenna ndipo anapokula yamini.

na maneno yake ni haya tunayoyasema:

„wallähi wa billähi wa tallähi el-eathimu kama amri nimetenda yamini inangamize 5) , na kama sikutenda yamini inilee."

ao husema :

„a'üzu bi'llähi mina 'n-näri wa-min sherri '1-kuifäri wa-min ghadabi '1-jabbäri ; el-cizzatu li'llähi , wa-li ra- sülihi wa li'1-mu'minina barä'atun mina 'llähi." 6)

na wengine huapa süra mia wa arba'ta'shara.

1) religiöse Waschungen vornehmen. 2) religiöse Waschung. 3) rein. 4) Koran. 5) tüten. 6) Ich flüchte mich zu Gott vor dem Höllen - Feuer und vor der Bosheit der Ungläubigen und vor dem Zorn des Tyrannen; die Macht gehört Gott und seinem Sendboten (Propheten) und die Gläubigen haben einen Freibrief vor Gott.

III.

desturi ya sheri'a ya kuoa.

akiwa mwanamke, akija mwanamme kuja kutaka kumwoa, huenenda kwanza kwa baba yake, si lazima kumshauri nitoto wake. iwapo yule mtoto kijana, ha- jaolewa na mume mwingine, 'illa huyu anayomtaka sasa bassi huoza baba yake aliyomzaa. na yule mtoto akimtaka yule mume, amma akimkataa babake hu- mwoza kwa nguvu. wala si lazima yule mtoto yule mume iwe sherti l) anampenda , liatta asipompenda humwoza baba yake kwa nguvu. nayo inajüzu'') katika sheri'a yote "WVarabu na Wasuaheli.

na yule babaye mno huenda, awatake mamaze3) yule mtoto, awape mashauri yale. iwapo wameridi4) kwa ote, humwoza mume yule mtoto wao. na iwapo wale mamaze hawataki, lakini yule babaye anataka, atamwoza mume mtoto wake. na iwapo mamaze wa- namtaka mume yule, illa babaye kamtaki kapana rukksa kuolewa kijana huyu, ndio kabisa kwa skeri'a na desturi.

na kama huyu mwanamke amekwisha olewa na mume mwingine, akiwa emeachwa na yule mume, ao mume amekufa haifai baba yake kumwoza kwa

1) Bedingung. 2) erlaubt sein. 3) raama zake d. h. Mutter, Tanten etc. 4) einwilligen.

332

nguvu , illa amshauri mwenyewe kwanza ya kama: „amekuja fulani, anakutaka akuoe." akiricli mwenyewe mtoto, hapo ndipo anapomwoza.

na mtoto yatima ') si läzima kumwoza mume kwa nguvu , illa aridi mwenyewe , ijapokuwa kijana , kwa sababu yatima , na yatima läzima kumtaka shauri mwenyewe, katta yari(Ji, ndio aolewe.

na mtoto auwali humwoza mume babaye. ikiwa babaye amekufa hnsimama babuye. na ikiwa hana babuye husimama nduguye wa baba moja mama moja. kama hana nduguye wa baba moja mama moja

husimama nduguye wa baba moja mama mbalimbali. kama hawapo hao huozwa na mtoto wa nduguye baba moja mama moja, lakini yule mtoto sherti ewe mwanamume. kama hayupo mtoto wa nduguye hu- simama mtoto wa nduguye wa baba moja mama mbali- mbali. kama hawapo watu hao huoza nduguye babaye, babaye mdogo, baba moja mama moja na babaye. kama hayupo huyo huozwa na nduguye babaye, baba moja mama mbalimbali. kama hawapo hao huozwa na mtoto wa nduguye babaye, baba moja mama moja. kama hayupo huyu huozwa na mtoto wa nduguye babaye , baba moja mama mbalimbali. kama hawapo hao, tuliowataja huozwa na nduguye wa mama moja baba zao mbalimbali. kämä hayupo huyu

huoza hakim -), kwa sababu hana asili 5).

na mwanamke aliyoandikwa hurru4) humwoza bana wake, aliyemwandikia hurru.

mwanamume mungwana ana rukhsa kuoa wake wanne kwa sheri'a. akizidisha wa tano ao wa sitta, si wakewe wale, huhesabiwa5) katika masuria6) yake.

1) Waise. 2) Oberhaupt des Ortes. 3) Ursprung. - 4) frei. 5) gezählt werden. 6) Kebsweiber.

- 333 -

na masuria yafa'a kuweka qadiri atakavyo na awezavyo kwa mali yake.

aida mtumwa ana rukhsa kuoa wake wawili, na akitaka kuweka masnria liatta kumi na aweke.

wa kazälika kaijüzu mwanamume mungwana kumwoa kijakazi cha mtu illa kwa shurti tatu. äuwali awe hana chakula cha kumlisha mwanamke wa kiungwana, ya pili awe kapati niäkari1) ya kuinwolea mwanamke wa kiungwana, na tatu ewe ana kkofu2) nafsi3) yake kuchelea kuzini4), ao labuda katafa'a, atakuwa khanithi 5), hataweza kulala na mwanamke mungwana hapo mungwana kumwoa mtumwa wa mtu mwingine.

na skuruti ya kuoa haijüzu kumwoa mwanamke, illa kwa waliyi 6) wake mwanamke, wapatikane na masbähidi wawili, waskuhudie ile nikahi7).

na kawa mawaliyi na kawa mashahidi butazamwa kwa skuruti sitta : kwanza wawe islämu , pili wawe bälegki, tatu wawe wenyi caqili, nne wawe waungwana, tano wawe waanaume, sitta wawe cadili 8).

na ikiwa mwanamme amemwoa mwanamke, na hapo alipomwoa anazo nguvu za kulala naye, lakini khätima1') akiwa hana nguvu aonapo namna hiyo mwanamke mudda wa mwaka hufäsikhi 10) nikahi, mwanamke akenda zake, akaolewa na mwanamme mgine.

wala haijüzu kumwoa mwanamke, aliyefiwa na mumewe, illa ishe 'eda11) yake, ma'ana miezi minne na siku kumi.

na ikiwa ameachwa na mumewe, haijüzu naye kuo- lewa kwa^ siku zile anazoachwa illa kupata miezi mitatu ba ada ya kuachwa, ndipo aolewe na mtu mwin- gine.

1) Heiratsgut. - 2) Furcht. - 3) Seele. - 4) außerehelich verkehren. 5) impotent. - 6) männliche Anverwandte. - 7) Ehe. - 8; gerecht. - 9) schließlich. - IQ) trennen. - 11) Wartezeit.

334

ikiwa mwanamke aliyoachwa ana mimba1), naye siku mbili tatu ba'ada ya kuackwa akazaa mtoto, na ceda yake imekwislia hana njia kukaa miezi mitatu eeda. akitokea mume, anayo rukhsa kumwoa.

aida hurejeshwa mwanamke kwao kwa eaibu 2) tano :

kwanza: mwanamke akiolewa, akionekana ana wa- zimu3) yule mwanamke hurejeshwa kwao.

pili: akiwa yule mwanamke ana maradi 4) ya ukoma 5).

tatu : yule mwanamke akiwa anachunika mkono (;).

nne : akiwa mwanamke akikojoa kitandani.

tano : ikiwa mwanamke ana kipembe 7) katika ule uchi8) wake, hawezi kumchukua mume.

wa kazälika na mwanamke humkataa mumewe, inapokuwa ana caibu tano :

auwali: akawa na wazimu mwanamme.

pili: akiwa na ukoma.

tatu: akawa na mabalanga.

nne: ikiwa mboo yake itakuwa ndefu sana ya ku- mwuma mwanamke.

tano: anapokuwa mwanamme hafai, hawezi kulala na mwanamke.

na watu, wasiofa'a kuolewa, ni watu uliozaliwa nao kama : mamayo , ao bibiyo , ao mtoto wako, ao mjukuo, ao nduguyo, ao mtoto wa nduguyo, ao ndnguye babayo , ao mtu uliyonyonya 9) naye ziwa 10) moja , ao emenyonya na mamayo ziwa moja. tenna imekatazvva kulala na mamaye mkeo, inapokuwa yule mkeo umelala naye. iwapo yule mke hukulala naye, ulipomwona ali- kuckukia, ukamkataa, qabla hujalala naye ukamwona mamaye, ukampenda hapo yajüzu kulala na kumwoa mamaye. tenna haifai kulala na moja wa wakewe ba-

1) Schwangerschaft. 2) Fehler. 3) Verrücktheit. 4) Krankheit. 5) Krehs. 6) Hautkrankheit mabalanga. 7) auch kishipa genannt. 8) Blöße. 9) saugen. 10) Brust.

335

bayo , ao na mkewe wa mtoto wako , ao na nduguye mkeo, wala haifai mwanamke na shangazi lake kuwaoa pamoja. watu hawa karämu1) kuwaoa.

desturi ya sheri'a ya taläqa2).

aida mwanamume akitaka kuacha mkewe , naye hana sababu, anataka kumwacha tu läzima mwana- mume ampe mahari 3) yake riale arba'in. na tenna imemläzima knmpa jumla4) ya vitu katika nyumba nuss bi nussu5). ba'ada ya hayo mwanamke anakwenda kwao.

na iwapo mwanamke anataka kuachwa na mumewe, naye hana sababu, anapata kula, anapata na nguo, na mwanamme anafa'a kulala naye, halali nje kwa waana- wake wengine mahawara6) zake yule mwanamme, ana- taka kuachwa yule mwanamke kwa upuzi 7) wake tu, hana sababu wala hana sheri'a läzima mwanamke huyo kununua taläqa kwa mwanamume, vile atakavotaka mwanamme. akimwambia „nipe rupia arbacin," ao akim- wambia „nipe rupia settin," ao „nirudishe mahari" läzima kutoa mwanamke kumpa mumewe, ndipo apate taläqa, amwacbe.

na mwanamume akisema „nipe rupia khamsin, nime- kuacha," naye mwanamke akitoa palepale, usipite mudda8) hapo mwanamke ameachika, naye ana rukhsa kwenda kwao.

na iwapo yule mwanamke hakuweza kutoa pale- pale zile fedda, ikipita mudda kakuachika, kwa sababu mwanamume kamwambia „nipe papahapa."

1) verboten. 2) Scheidung. 3) Morgengabe, Heiratsgut. 4) Summe. - 5) zur Hälfte. G) Geliebte. 7) Unsinn. 8) Frist.

336 -

illa anenapo mwanamume, akimwambia mwanamke: „zama utakaponipa rupia kliamsin nimekuacka,'1 ija- pokuwa amekaa mwanamke miezi miwili , akapata zile fedda kumpa mwanamme kapo ameackika, kwa sa- babu amemwambia: „popote utakaponipa rupia kkamsin nimekuacha." kana kila *) mwanamume kunena „mimi siqubali," läzima akitoa ameackika, atakwenda kwao.

na akiwa mwanamke anataka kuacbwa , na mwa- namme kataki kuacba bapo si läzima mwanamke kuondoka nyumbani, qabla kajaackwa.

na iwapo mwanamke ana mwanamume, anayomkka- daea2), qäsidi3) mumewe amwacke, bassi buleta skuruti 4) yule mumewe, akimwambia: „mimi nimeridi5) kukuacka, walakin fulani asikuoe, sababu namtukumu6), yeye ndio aliyokuiitini 7) wewe , katta ukanikataa , na sasa fulani asikuoe." kapo läzima, akiwa amemwacka kwa skuruti kizo , yule mwanamme kaifai kumwoa mwanamke yule.

na iwapo atamwoa, beina8) yao kudakkiliana ,J) kwa kakim10), na kakim atamsaili11) yule mwanamme: „sa- kibi 12), weye umezini 13) nayo kuyu zamani , alipokuwa mkewe?" akinena „sikuzini naye, wala sikumfundiska, mumewe amwacke, nipate mwoa mimi" kakim atam- saili: ;;utaweza kuapa yamini14), ya kama kukuzini naye, amma kukumfundisba mumewe amwacke, qasidi umwoe weye? sababu kuyu mwanamume, aliyokuwa mumewe, ametukumu weye ndio fitina , uliyomfitini na mkewe." na yule mwanamme iwapo ataweza kuapa yamini, ya kama kakuzini naye mwanamke yule, wala kakumfundiska, amwambie mumewe amwacke , kana lä- zima mbele ya sheri'a, na nikaka 15) yake bätili lü).

1) List, Ausweg. 2) betrügen. 3) Absiebt. 4) Be- dingungen. — 5) einwilligen. G) im Verdacbt baben. 7) auf- stacbeln. 8) zwiscben. 9) Vermittlung sucben. 10) Herrscber} Eicbter. 11) fragen. 12) ricbtig. 13) Ebebrucb treiben. 14) Eid. 15) Ebe. 16) ungültig.

337

mtu iwapo amelewa, kileo *) kimempoteza fahamu 2), akaseina „mke wangu binti fulani nimemwacha si mke wangu," khalafu kileo kimemtoka, na caqili3) ime- mrudi, akada'i4) mkewe sheri'a haimsikizi, iwapo aliposerna neno hilo pana maskäkidi.

ikiwa niwanamke anataka knackwa na mwanamume kwa vissa5) alivofanyiza mwanamume, vikamwuzi 6) mwa- namke, na yule mwanamke na mwanamume wana kitu cha shirka7), ikiwa nj^umba ao shamba ao mtumwa, qadri kitu walicho nacho cha shirka kile kitu chenyewe, na yule mwanamme akamwacha mwanamke läzima mwanamume kumpa mähari 3Take, na kile kitu cha shirka wagawane, mwanamume atoe haqqi 8) 3'ake na mwanamke atoe haqqi yake.

na iwapo yule mwanamume akikana, akimwambia mwanamke „katika kitu hiki humo weye" läzima yule mwanamke alete shähidi, atakayojua, kile kitu kama shirka yeye na mumewe. atokeapo shähidi, aka- shuhudia, kama kile kitu shirka mwanamke yule na mwanamume yule läzima hakim amtoze mwanamme, agawane sawasawa na yule mwanamke, iwapo kile kitu wamegharimu 9) sawasawa, na ikiwa moja wapo arae- zidi, atachukua haqqi yake iliyozidi. na iwapo haku- tokea shähidi , läzima yule mwanamke , anayoda'i, amwambie mwanamume ampe haqqi yake.

na ikiwa yule mwanamke anakana, läzima hakim kumwambia yule mwanamme : „utaweza kuapa yamini, haqqi shirika weye na huyu mwanamke?' awezapo mwanamume ile yamini bassi läzima kugawana. na asipoweza kuapa yule mwanamme, akanena: „na aape

1) Rausch. 2) Verständnis. 3) Verstand. 4) bean- spruchen. — 5) Sachen. 6) kränken. 7) Gesellschaft. 8) Recht. 9) verpflichtet sein.

VelUn, Desturi za Wasuaheli. 22

338

yeye huyu mwanamke," akaapa yamini mwanamke bassi imekuwa hana da'awa x), amma hio ndio desturi.

na ikiwa yule mwanamke na yule mwanamume sliirka yao waliyofanyiza mäthalan kama wameandikia na khatti a) za ushähidi ya shirka yao , akatoa khatti yule mwanamke, ukaonekana na ushahidi wa yule mwa- namme , akaqirri3) katika khatti, ya kama kitu kile shirka yeye na mkewe, iendapo ikionekana kama hayo

läzima kugawa na mkewe.

wa amma ikiwa yule mwanamke na yule mwana- mume wana kitu cha shirka, khalafu wakaachana, na aliyotaka taläqa yule mwanamke, mwanamume akajibu : „sikuachi, na ukitaka kuachwa, sameke4) mahari yako, na kiyo nyumba yetu, tuliyojenga shirika, unachie mimi katika khissa 5) yako , na tenna huyu mtumwa wetu niachie mimi katika khissa yako." na yule mwanamke akinena „nimeridi , nimekusamehe mtumwa wetu wa shirka katika khissa yangu na nyumba yetu ya shirka,

läzima ameachika mwanamke, na kile chake hapati, sababu amesamehe mwenyewe kwa kkiyari") yake.

ikiwa mwanamke na mwanamume wamegombana, khalafu wakaachana, nao wamezaa watoto wao, iwapo wale watoto vijana, hawajapata miaka sabac läzima atawalea yule mwanamke, walakin kula na nguo itatoka kwa baba yao. na yule mwanamke anenapo „mimi si- walei watoto hawa, illa unipe haqqi yangu ya iijira7) kulea watoto wako läzima yule mwanamume kumpa mwanamke ujira wake, amlelee watoto wake. ikipata miaka sabac yule mtoto, husailiwa: „wataka kwenda kaa kwa babayo amma utakaa na mamayo?" na mtoto akipata miaka sabac, eaqili huanza kuingia, anajua neno jema na baya analijua. bassi läzima kusailiwa. anenapo

1) Klage. 2) Schriftstück. 3) anerkennen. 4) ver- zichten. — 5) Anteil. 6) Wunsch. 7) Lohn.

339

„ntakaa kwa baba" atakwenda kwa babaye, anenapo „ntakaa kwa maraa" atakaa na mamaye. wala si läzima yule babaye mtu kumchukua kwa nguvu yule kijana, mädäm amenena „ntakaa na mama," wala si läzima mamaye mtu kumtaka mtoto kwa nguvu anenapo yule mtoto „ntakaa na baba yangu," kwa sababu si mtumwa mtoto mungwana, na mungwana popote atakapo kukaa bukaa. liio ndio desturi ya sheri'a.

desfuri ya sheri'a ya kuzini1).

mtu mwenyi kuzini emeta'adi 2), äjili3) kuzini ha- räm4), mweny'ezimgu 5) amekataza kwa waanawake na waanaume.

na zinä 6) namna mbili : kuna zinä ya kumta'adi muungu na zinä ya kuwataeadi waana Adamu na mu- ungu pamoja. amma zinä ya kumta'adi muungu ni ku- zini na mwanamke, na yule mwanamke liana mume, wala yule mwanamme anayozini na mwanamke bana mke, wote wawili hawana mtu. ile imekuwa ya kumta'adi muungu pekeyake. amma zinä ya kuta'adi muungu pamoja na waana Adamu ni kuzini na mwanamke, na yule mwanamke ana mumewe, ile imekuwa haqqi mbili

ya muungu na waana Adamu. liokümu yake huhoku- miwa wenyi kuzini ote wawili, mwanamke na mwanamme, kwa sherfa ya muungu. na sheri'a hii, iliyokuja katika qoräni, husema: „mwanamme na mwanamke wäjibu7) kupigwa watu wawili bao bakora8) mia kulla mtu, la- kini illa ipatikane baina9) na mashahidi watu wanne." bao mashahidi läzima wawe waanawaume, tenna wawe

1) ehebrechen. 2) Unrecht tun. 3) Grund. 4) verboten.

5) mwenyi 'ezi muungu. 6) Ehebruch. 7) Pflicht. 8) Stockhiebe. 9) Beweis.

22*

340

waungwana, wasiwe watumwa, tenna wawe bälegbi, wa- siwe vijana, tenna wawe na caqili, wasiwe wana kicbaa, tenna wawe wanasali, wasiwe walevi.

iwapo kama wamepatikana masbdbidi kama bao, wakisbubudia kama bivo ndipo wanapopigwa bao wenyi kuzini kulla mtn bakora miamia, na isipopatikana masbahidi na sburuti bizo, tulizozinena bassi bawana läzima ya kupigwa mwanamke wala mwanamme.

maneno bayo ya mtn aliyozini mwanamke na mwa- namume kupata radda1) ya fimbo mia yameandikwa ka- tika qoräni na vitabn vya sheri'a, lakini katika mirima tangu zamani bayakufanyizika mambo bayo, illa mwa- namume aliyokamatwa kwa ugoni *), butozwa fedda tangu reale tbalatbin kutaka, batta reale kumi na mbili kupata. na kama hana fedda bufanyizwa mtumwa.

na incbi nyingine za mrima, upande wa Mtangata, mtu akifumaniwa na mke wa mtu butozwa ngombe watano na riale tano. ao riale kbamso u kbamsin. fedda biyo buitwa fedda ya ugoni.

na incbi nyingine tenna mwenyewe kufanya ubari- bifu 3), akitwaa mke wa mwenzi wake läzima butozwa fedda riale arbac u casberin, ao watumwa wawili.

na iwapo ametwaa mke wa mkubwa wa mji matbali kama jumbe, butozwa fedda, kama anazo, na tenna hu- tolewa mji, akapelekwa mahala pengine, asirudi katika mji, alipofanyiza ubaribifu. lakini butezamwa yule mtu, iwapo ana ndugu wengi, ndugu zake bawaqubali kuto- lewa. ao awapo mtu amemukbussi4) yoye jumbe, matbali kama ndugu yake ao jama'a5) yake, butoa riale settini ao watumwa watano. bio ndio desturi ya zamani.

1) Strafe. 2) Ehebruch. 3) Verderbnis', Schlechtigkeit. 4) eigentümlich sein. 5) Familie.

341

na mtu akimpa mimba *) mtoto mwana mwari bikra2), hutozwa fedda tangu rupia khamsini batta settini ao zäyidi. na baba yake yule mtoto mwanamke atakapo kumwoza yule mtu atamwoza, asipotaka hato- zwi nguvu.

na zamani sana katika inchi za mrima mtu knmpa mtoto wa mtu mimba, hulana njama 3) siku mbili ao tatu, ikesba njama, bumtoza ligombe watano na kosa riale tano. kisba yule mke bumwoza.

aida iwapo mtumwa amezini na mke wa mungwana, hutolewa katika mji buuawa ao buuzwa.

iwapo mtu mwanamume amemkuta mwanamume mwenziwe nyumbani anaongea na mkewe läzima atampiga, bana hokümu. illa kama amemkuta amesha toka nje, bana rukbsa kumpiga. iwapo atampiga läzima atahokumiwa.

na iwapo mtu amekwenda katika nyumba ya mwen- ziwe, billa ya mtu kumwona, lakini imeonekana fimbo yake ao kisu cbake, naye amekataa ya kama „mimi sikuzini na fulani" bumwambia „kisu cbako kime- kwendaje katika nyumba ya fulani? na kama unakataa bukuzini, kula yamini4)." akikataa kula yamini, hujua, ya kama amezini, bumlazimisba fedda kulipa, kama watakävopatana.

wa aida buwa mwanamme amekaa kitako usiku, akimwona mwanamke kwa ule usiko , na pale alipo- mwona kiza bapana taa, akitbanni5) mkewe, akalala naye hokümu yake bakuzini. na ikiwa amempa mimba, akizaa mtoto buwa wake. na buyu mtoto hu- itwa mtoto wa sbubuha 6). naye mtoto wa baläli 7), sa- babu bakuqusudia 8) kuzini na yule mwanamke, alitbanni,

1) Schwangerschaft. 2) Jungfer. 3) kufanya sliauri. 4) Eid. 5) glauhen. 6) Aehnlichkeit. 7) erlaubt. 8) be- absichtigen.

342

kama ni haläli yake. walakin khabari hiyo yahitaji1), iwe mahala penyewe kiza, pasiwe na taa. pakiwa na taa, ao ikiwa mchana hokümu yake amezini.

khabari ya mali ya mtoto yatima2).

aula3) iwapo amekufa mtu, amekhalifu4) watoto wadogo bassi wale watoto liuitwa yatima. na ikiwa yule babaye amekhalifu mali watumwa na nyumba na shamba läzima ile mali, ikiwa yule babaye ana nduguye, huzuia ile mali, hatta akibalegki yule mtoto, akampa mwenj^ewe.

na ile mali, ikiwa watumwa, kuuza, akitwaa yeye kwa themani5), amma huuza kwa watu, walio jirani6) zake, akatwaa fed(Ja, akamwekea yule mtoto. na sababu ya kuza wale watumwa ajili ') mtumwa si mali, ma'ana roho 8), na roho haina buddi 9) inakufa, amma atakimbia.

bassi iwapo amekufa yule mtumwa, amma ame- kimbia, atapata zambi 10) mwenyi kuweka, kwa maeana anajua, ya kama mtumwa roho, läzima kukimbia, tenna läzima anakufa bassi yafaca kuuza kumwekea fed(Ja yule mtoto, ma'ana fegkla haifi.

wa amma shamba si läzima kuuza, ma'ana halifi shamba wala halikimbii. na nyumba kazälika, ikiwa ile nyumba nyenyewe ya mawe, nayo inaonekana itakaa siku nyingi, nayo haitaharibika 11) huwekwa hatta mwe- nyewe akiwa mtu mzima, ana caqili kupewa nyumba yake.

na katika shamba ile na nyumba ikiwa inapati- kana dughuli12) katika vitu hivo läzima kuwekwa

1) erfordern. 2) Waise. 3) ferner. 4) hinterlassen. 5) Wert. 6) Nachbar. 7) Grund. 8) Seele. 9) Ausweg. 10) Sünde. 11) verderbt werden. 12) Einnahme.

343

zile fedda zake za dughuli kuwekewa mwenyewe yule mtoto.

na ikiwa panatakwa chakula cha yule mtoto, ao nguo avae, ao anaugua yule mtoto, anataka dawa, na dawa haipatikani illa kwa fedda wäjibu *) kutoa fedda kununua vitu hivo , walakini kutolewa kwa hesabu 2). wala haifai kabisa kula haqqi 3) ya mtoto yatima, mwe- ny'ezimgu amekataza katika qoräni, akisema katika äya4) : „msile mali ya watoto yatima kwa kutbulumu." 5) wako wengine husema ya kama : „kii mali ya mtoto yatima nayo iko mkononi mwangu ntatwaa mimi, ntatumia, nani atajua?" ile imekuwa uwizi, watu wote watajua. läzima atafutwe mtu mwingine, asiokuwa mbazirifu fi), aliye na asili ya mali, ao hana mali, lakini awe amini7) sana.

1) Pflicht. 2) Rechnung. 3) Recht. 4) Vers, Spruch Korans. 5) rauhen. 6) Verschwender. 7) Vertrauens-

mann.

IV. khabari za desturi za wasiya1).

imejüzu 2) wasiya kuwa kitu ma'alüm 3) kile kinacho- usiwa4). iwe yule mwenyi kuusi ana mali ya fedda, ao ana waturnwa, ao ana shamba, chockote alicko nacho lakini kiwe mali bassi imejüzu kuusi kama: „namwusia fulani atwae qadri ya kaza wa kaza5)."

tenna imejüzu kile kitu, anachousi, iwe kitapatikana, isiwe hakipatikani.

tenna imejüzu kuusi kama kitu kilicho'atkimika 6), walakini kitapatikana kama „mnazi kauna nazi, la- kini mnazi ukizaa nazi na apawe fulani."

tenna mwenyi kuusi aqusudie 7) kule kuusi.

tenna na huo wasiya wake atakaousi na ausi thüluthis) moja katika mali yake. na ikiwa anazidisha katika thüluthi moja, imekuwa makruhu9), tenna harä- mu 10). maneno haya yameharimisliwa n) kuzidisba ka- tika ile tbiilutbi moja katika lile fungu la mawaritki 1-). hubatilika 13) wasiya wake bass, endapo akizidisba, sa- babu kaifai kuwakirihisba u) wale mawaritbi wake.

1) Testament. 2) erlaubt sein. 3) bestimmt. 4) ver- macht werden. 5) ungefähr soundsoviel. G) erhöht sein, in der Ferne liegen. 7) beabsichtigen. 8) ein Drittel. 9) wider- wärtig. — 10) verboten. 11) verboten werden. 12) Erben. 13) ungültig erklärt werden. 14) Widerwillen erregen.

345 -

tenna imejuzu wasii l) yule mwenyi kuusi kile kitu atakachousi kiwe chake, isiwe mali ya mtu mwingine.

wa kazälika imejuzu yule, atakayousi, awe islämu, na tenna ampe islämu mwenziwe dini 2) yao moja. isiwe yule anayompa dini yake mbali, baifai wasii wake.

tenna läzima yule mwenyi kutoa ewe bälegki 3), asiwe kijana. na yule apewayo, akiwa bälegbi akiwa kijana, yote pia bufa'a.

tenna läzima ewe na eaqili4) mwenyi kutoa, asiwe mwenda wazimu.

kazälika imejuzu ewe mungwana, asiwe mtumwa, ajili f>) mtumwa bana izini6) ya kutoa mali kumpa mtu mwingine, kwa sababu yeye mtumwa, ememilikiwa7), na alicho nacho kazälika, baijüzu kutoa kumpa mtu.

tenna imejuzu mwenyi kuusi emeridi 8) kwa ikbiyari9) yake kule kuusi, isiwe emeshurtizwa 10) kwa nguvu „toa mali yako, umpe fulani," bivyo baifai.

kazälika imejuzu ewe amini n) yule mwenyi kuusi, ewe 'adili1*) wa eibäda18), anamjua möla 14) wake mwe- ny'ezimgu 15) kwa kumw'abüdu ie), anamjua na mtume wake Muhammadi bapo inasihi17) kuusi.

wa kazälika imejuzu kuusi kwa ndia18) ya muungu, kama kutoa mali anena „jengeni meskiti19) mali yangu," amma „toeni qädiri kaza wa kaza, mwape maskini za muungu," ao rmchimbe kisima, watu wänywe maji," ao „jengeni nyumba qo'di u) yake ipelekwe meskitini," ao „jengeni nyumba, wakija wageni, watokayo mbali, walale katika nyumba, hawana qo'di."

. 1) Testament. 2) Religion. 3) mündig. 4) Verstand.

5) Grund. 6) Erlaubnis. 7) beherrscht werden. 8) ein- willigen. — 9) Wille. 10) gezwungen werden. 11) vertrauens- würdig. — 12) gerecht. 13) Anbetung Gottes. 14) Herr, Gott.

15) Gott der Allmächtige. 16) anbeten. 17) richtig sein.

18) njia. 19) Moschee. 20) Miete.

346

inajüzu kuusi kwa njia ya haläli1), kama bayo tuliyoyanena, haijüzu kuusi kwa njia ya harämu. ime- jüzu kuusi kwa mtu wa mbali, isiwe kuusi kwake „nikifa, mali yangu mpeni kawara-) yangu." hio en- dapo akausi kwa mwanamke wa nje kubatüika wasii wake.

na iwapo ameusi kwa mtoto wa harämu kwa mwa- namke, aliyotembea naye, lakini akamwoa, na bapo harämu haifai, kwa sababu mtoto wa harämu.

imejüzu katika wasiya kukharijiwa 3) mali yake, ya- liyo mali ya haläli, ma'ana mali aliyofanya kazi, aka- pata, ao mali ya kurithi4), yasiwe mali ya kunyanganya kama mali ya yatima5).

wala haijüzu kuusi kwa mtu, asiyokuwa na kitu, mätbali kama mtoto hana izini kuusi wala ya kuuza wala kununua, ma'ana sberi'a ya mtume wetu Muham- madi mtoto mdogo, asiyopata miaka khamst'ashara, hakufai kuusi kwake, kuuza kwake, wala kununua kwake. na iwapo ameuza kitu kwa mtu mwingine, amma ame- toa kitu burre kumpa mtu mwingine, akitokea aliyo ndugu yake ao baba yake, akajua kama huyu ametoa kitu burre kumpa mtu fulani, ao kauza kitu kwa fu- lani, iwapo hakurithi be^i ile, aliyouza yule mtoto, amma kile kitu alichotoa hubaülisha babaye mtu, naye mwenyi kupewa läzima kurejesba, kwa sababu kijana hana 'aqili, ndio ma'ana be'i yake haifai, na 'atiya6) yake haifai, bassi wa kazälika wasii wake haifai.

wa kazälika wala haijüzu fanyiza wasiya kuzidisha katika yule atakäyorithi kunena „na azidi katika haqqi yangu, hissa7) yake apite wenziwe," amma hayo haifai. na afanyapo hayo, imekuwa makruhu, watakiri- hika , waliobaqi katika mawarithi zake , kwa sababu

1) erlaubt. 2) Geliebte. 3) Verfügung treffen. 4) erben. 5) Waise. 6) Geschenk. 7) Sache, Anteil.

347

mawaritlii sawasawa. ilikuwaje bassi yule rnwingine kumzidisha, naye emerithi sawasawa na wenziwe, na hali yake na hali ya wenziwe sawasawa, amraa liayo hayafai.

wa aida mtu mwenyi kuandika wasii katika niali yake anenapo „nikifa, mali yangu yote na apawe fu- lani," walakini ycye anayo mawarithi zake, naye ha- kunena kama „mpeni nussu" wala „roboc," walakini ametaja kupawa mali yake, naye ana mawarithi zake, ikiwa hivo hapati kitu yule mwenyi kuusiwa, kwa sababu ana mawarithi zake, imejuikana, ya kama hayu maiti1) aliyokufa amefanyiza ukhäini2), kuwazuilia ma- warithi zake, wasipate kitu. illa anenapo „nifapo, ka- tika mali yangu nimeusi, apewe fulani kwa haddi3) ya sheri'a," bassi anenapo hivo, kujulikana bora, kwa kuwa haddi ya sheri'a ni thuluthi moja. amma kwa hivo hupata, kwa sababu amesema neno la sherica, na sheri'a ni thuluthi katika mali yake.

na huyu mwenyi kuusi iwapo amemwusia mtu ku- pewa zayidi ya thuluthi hatta nussu ya mali hu- pewa kwa desturi ya mila, lakini sheri'a imeziwia. na ikiwa ameusi zäyidi ya nussu, hatta kwa mila huka- taza kupewa.

aida ikiwa mtu amekufa, ameusi mali yake katika kaqqi ya thuluthi kupelekwa meskitini, na sekemu4) ku- pewa maskini, na seheniu kuchimbwa kisima bassi haqqi hiyo yote hutoka katika thuluthi moja, haizi- dishwi ba'ada ya thuluthi moja. ileile thuluthi moja ndio itakayokasimiwa 5), kidogo kitapelekwa meskitini, na kidogo kitachimbwa kisima, na gharama 6) hizo zote hu- toka katika thrduthi moja, hiyo ndiyo sahihi7). wala haizidishwi kitu chengine, ijapokuwa lile jengo la meskiti

1) Verstorbene. 2) Verrat. 3) Regel. 4) Anteil. 5) verteilt werden. 6) Kosten. 7) richtig.

- 348

na kile kisima kuchimbwa na wale maskini kupawa kapatakuwa na kitu, kwa sababu inali zake ni haba hutosha, kwa sababu ndio haqqi yake aliyotoa, na sherfa ndivo ilivomsihia. na ikiwa itazidishwa kitu, waonapo ile kazi ni kubwa, na gbarama ndogo, na wale mawa- rithi wakapendelea kutaka fchawabu1), watatoa mawa- ritbi wazidisbe wafanyize ile shughli2), aliyousi yule maiti. walakin watafanyiza kwa kbiyari yao 3) , si lä- zima kule kuzidisba wale mawaritbi. na iwapo wame- kataa kuzidisba wale mawaritbi bassi bapana sharti. biyo ndio desturi.

wa aida ratu akiusi mali yake yote , yapelekwe meskitini, na jam.aea zake wasipate kitu amma ma- neno hayo bayasikizwi, kwa sababu amefanyiza ukhäini kuwakbini mawarithi zake. bassi hayo bakusbika ndia ya sheri'a ya kunena „haqqi yangu wasipate mawaritbi zangu." amma bapo hatta mweny'ezimgu na mtumewe Muhammadi hakuwa radi, kwa ma'ana emekbalifu 4) sbe- rica ya mtume. na sberi'a ya mtume läzima, mtu akiwa na mtoto wake ao baba yake ao mtoto wa ndugu yake, ikiwa amekufa läzima kuritbiwa.

wa aida ikiwa mtu amekufa, naye amekbälifu mali, akausi mali yake, watwae mawaritbi zake, naye akiwa anawiwa deni na watu wa amma wale mawaritbi läzima kulipa haqqi ya watu kwanza , ndipo waritbi kilichobaqi katika ile mali. walakini sherti ile deni anayowiwa iwe na bayana 5), ionekane khatti f;) aliyoan- dika kwa mkono wake, ao kaandika ile khatti kwa ha- kimu7), ipatikane na masbähidi 8) wa kumshuhudia, ya kama anawiwa hapo läzima kulipa wale mawaritbi. na isipotokea masbähidi wa kumshuhudia, läzima yule

1) gottgefälliges Werk. 2) Arbeit. 3) aus eigenem An- trieb. — 4) widerstreben. 5) Beweis. 6) Schriftstück. 7) Kicbter. 8) Zeugen.

349

anayowia aape yamini1), kiapo cha sheri'a ya muungu. akesha apa kiapo, anenapo „sahihi namwia" läzima kupawa haqqi yake. na asipoapa hapati kitu. wala si läzima kuapa wale mawarithi.

aida ikiwa mtu amekufa, naye emeusi kwa wasiya, ikiwa ana watumwa, ikiwa kumi ao 'eskerini wale wa- tumwa, na katika watu kao ameusi yeye mtu moja ao wawili, wawe waungwana. mahurri 2), ikiwa kule kuusi kwake emeandika katika khatti „fulani na fulani na waandikiwe hurri" amma hapo läzima watakuwa wangwana. na iwapo hakuwahi3) kuandika, walakin aliponena wapo mashahidi wa kweli wa kuskuhudia ma- neno yale al^onena yule mtu aliyokufa, macana „fulani na fulani wawe wangwana" hapo läzima watakuwa waungwana. na iwapo yule aliyokufa emewambia wale watumwa „nikifa mimi. na mwe hurri" bassi khiyari yote juu ya wale mawarithi.

na pale atakaponona kuwausia uliurri, ikiwa wapo mashahidi. yakkitajia kule kuusi kwake sherti ewe na eaqili, isiwe roho huku inatoka huku ananena „fu- lani na awe mungwana" amma hapo haijüzu wasiya wake, kwa sababu amenena maneno hapo aliponena hana 'aqili. yu katika wazimu, na mwenyi wazimu hasikilizwi. illa iwapo amenena, na caqili yake timamu4), na roho haijatoka, wala yale maradi 5) hayakumtoa eaqili hapo iwapo wapo mashahidi, aliponena hivo ya wale kuwa waungwana läzima watakuwa waungwana.

wa amma iwapo amenena hayo amelewa, läzima watakuwa waungwana, kwa sababu ulevi hauna hoja ya kunena .;huyu hana eaqili," sababu yeye akanywa ule ulevi, anajua, ya kama caqili yangu itapungua, naye ikiwa anakunywa maqsudi , apunguze 'aqili yake bassi läzima watakuwa waungwana.

l)Eid. 2) Freie. ojkörmeu.— 4) vollkommen. 5) Krankheit.

350

wa aida kazälika mtu mwenyi kuwa na watoto wawili ao watatu, naye hajafa, yuko mzima, akatoa mtumwa moja ao wawili, akampa mtoto wake aliyo yote, akamwambia „nnakupa catiya, hatta nijapokufa mimi wako" amma kao watumwa läzima kumtu- mikia yule aliyopawa. na afapo mwenyi kutoa, hawa- hesabiwi wale watumwa, sababu emetoa mwenyewe kwa kbiyari yake , ili kumpa mwanawe ynle moja katika watoto wake, naye amempa eatiya, na 'atiya hai- rudi.

illa iwapo ametoa hibba1) kumpa yule mtoto wake, akitokea moja anampenda sana katika watoto wake, naye anao watumwa , akimwambia mtumwa „nenda katumike kwa bana wako," akenda mtumwa kutumika, na yule bwana wake, alikompeleka yale mtumwa, ha- kumwambia kama „mtumwa huyu nimekupa catiya," amenena tu ya kama „nimemleta kufanyiza kazi kwako," bassi endapo akifa yule mwenyi kutoa, läzima yule mtumwa atahasibiwa. na mawarithi waliobaqi watamtaka, wamtie katika hesabu , kwa sababu yule mzee wao amemtoa hibba, ili kumpa mwanawe.

ni mfano wa kumwcazima 2) , na mtu mwenyi ku'a- zima kitu cha mtu, amma mwenyi kupewa amäna3) ya mtu, läzima kurejeca kwa mwenyewe, na haya kazälika atareje'a, arithiwe kama skerira.

aida na mtu mwenyi kufa akiwa ana mtumwa , na yule mtumwa hurri, iwapo ameusi katika wasiya wake, yule hurri apawe kitu katika thiilutbi yTa mali yake läzima kupawa.

na iwapo mtu amekufa , amewacha mtumwa wake, bado liajamwandikia hurri , walakini ameusi „fulani aandikwe hurri, na haqqi yake katika mali yangu apawe

1) Stunde, Weile. 2) leihen. 3) Pfand.

351

thulnthi moja," läzima akafa kuandikiwa, naye kupawa thuluthi moja katika mali yake.

na iwapo hnkuandika katika wasii, kanena kwa mdomo tu bass wana ikhiyari wale mawarithi ku- mwandikia hurri, na kumpa kile kilichonenekana. wata- kapo, watampa kkatti ya uhurri na mali watampa. amma iwapo hawakuridi kumpa mali, wakitaka kumwandikia khatti ya uhurri, watamwandikia. na iwapo wamekataa yote mawili kumwandikia kkatti ya uhurri na kumpa mali wamekataa bassi si läzima, kwa ma'ana kaku- andika yule maiti katika wasii wake, ndipo alipokosa yule mtumwa, äjili hapana bayana ya kuandikiwa hurru na kupawa mali, ndipo alipokosa.

aida mtu mwenyi kuusi ya kama mimi sina mtoto, walakini anao mawarithi ndugu zake , na wale ndugu zake yuko moja ana mwanamke, na yule mwa- namke ana mimba, akausi katika wasiya wake akanena „nifapo thuluthi ya mali yangu katika thuluthi moja, azaapo mtoto ndugu yangu kwa hii mimba, aliyo nayo huyu mkewe , na apawe mtoto thuluthi moja." lakini yakhitaji iwe mwezi wa sitta mimba. akifa huyu mwenyi kuusi, akazaliwa mtoto, läzima kupawa thuluthi moja.

aida mtu mwenyi kufa akausi katika thuluthi moja ya mali yake, akawambia mawarithi zake „nimewausia aqrabu1) zangu, ma'ana ndugu zangu, wapewe thuluthi moja katika mali yangu" bassi imekuwa ndugu zao wote katika aqrabu zao wale mawarithi zake läzima kupawa, nao hupata wote sawasawa katika thuluthi moja.

aida iwapo ameusi mtu „katika mali zangu, nikifa, thuluthi moja na wapawe jama'a zangu," akifa mwenyi •kuusi, akazaliwa mtoto, na yale mali hajarithiwa bado,

1) Verwandte.

352

na sasa wanataka kurithi wale mawaritki na yule mtoto atapata, kwa sababu yule aliyokufa amenena „haqqi yangu, nikifa, na wapawe jama'a zangu," na yule mtoto ni jama'a yake, atapata naye. ni iwapo yule mtoto amepata, naye akafa yule mtoto, läzima ile haqqi, aliyopata yule mtoto, kurithi mawarithi zake, kwa sababu imekuwa haqqi ya mtoto wao , si läzima kureje'a kwa wale washirka wake.

ikiwa shamba ya mpunga ao ya mtama amelima mtu, umequrubia kuwiva ile riziqi akifa mwenyi ku- lima, walakini zamani alipokufa emeusi „katika shamba hili kitakacliopatikana katika thuluthi moja nimeusi kupewa fulani" läzima kupawa yule mwenyi kuu- siwa. walakini liutazama kile kilichopatikana , ikiwa inapata jisla1) tano liutoka haqqi ya muungu kupewa maskini , na haqqi ya muungu pishi kumi kwa moja. lakini läzima ipate jisla tano , ndipo inapotoka hivo. hiyo ni färadi -), butolewa kwetu sisi kwa mazehebbu3) yetu Wasuaheli aliyo mzima na afayo , akacha kitu. huhasibiwa . ikipata jisla tano hutoka haqqi ya muungu ma'ana mali ya zaka 4) kwanza. ikesha toka haqqi ya muungu, ndipo inapohasibiwa ile mali thu- luthi moja, akapawa yule mwenyi kuusiwa. hio ndio desturi ya sh.eriea ya Wasuaheli.

na zaka hutoka vilevile mtu akilima, akipata jisla tano, analäzima kutoa zaka. na zaka zake pishi settin kwa pishi moja kupewa maskini. na akichuma fedda vilevile. akifanya kazi, ukatimia mwaka, akipata riale cesherin mali yake, läzima kutoa rnpia, ndio zaka yake. vilevile hupewa maskini.

wa aida ni kuwa mtu ana shamba, ao ana nyumba, ao ana mtumwa , ao ana fedda , naye ana rafiqi yake

1) ein jisla = 60 pishi ä 6 Pfund. 2) göttliches Gebot. 3) religiöse Sitten. 4) Heiligung des Besitzes durch Almosengeber).

353

anampenda , ao inkewe nyumbani , ao mtu tu, lakini anataka kumpa, naye ana khofu, kile kitu anachotaka kumpa isiwe nikifa , mawaritlii zangu wakaja wa- kamta'arratji x) kwa sheri'a bassi huandika khatti. na auwali ya khatti huandika: „aqarri ao iqrari ala nafsihi,"-) ma'ana yake „nirneqirri nafsi yangu, nimetoa mtumwa kumpa fulani, nimempa catiya hai3) yangu, na ba'ada ya mauti4) bana mtu wa kumta'arrida kwa sherica, nimempa eatiya." bassi ikiwa namna biyo, akiwa hai yeye mwenyi kutoa, ijapokuwa yule aliyompa ali- kuwa rafiqi yake, khalafu wakigombana, akitaka ile haqqi aliyotoa kwa yule mtu aliyompa hana sheri'a ya kupata , mädäm 5) kaandika khatti ya kuqirri nafsi yake hapati kitu kwa neno , alilolinena mwenyewe nafsi yake. kazälika na ijapokuwa amekufa , wakija mawarithi zake kutaka ile haqqi , hawapati nao , äjili iko khatti ya kuqirri nafsi yake , kama ile khatti ametoa kumpa yule mtu, ndipo watakapokosa wale mawarithi. hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli. mila ya Wasuaheli katika khabari ya wasiya si wengi sana wanaofanya, sababu haba wenyi vitu. na anayefanya wasiya, humwandikia mwenziwe wasiya ao humwita mtu amtakayo, qabla hajafa, akamwagiza ya kwamba: „mimi nikifa, katika mali yangu twaa thuluthi , ufanyize maziko }rangu tangu sanda hatta khitima6) na karamu7) yangu, na kitakächobaqi katika thiiluthi, nimekupa wewe, na kitakachosalia cha mawa- rithi yangu."

1) sich in den Weg stellen, Hindernis bereiten. 2) ich er- kenne selbst an. 3) bei meinen Lebzeiten. 4) Tod. 5) Wcährend, da. 6) Koranlesung. 7) Festessen, hier Leichen- schmaus.

Tel ton, Desturi za Wasuabeli. 23

354

khabari ya urithi1).

warithi katika waanaume watu kumi ndio wana- worithi :

kwanza : mtoto wako mwanamme atakurithi.

na ya pili: mtoto wa mtoto wako mwanamume atakurithi, na mtoto wa mjukuo atakurithi, iwapo huna watoto wengine illa yeye.

tatu: baba yako.

nne : babuyo, mzaa babako , atakurithi. tenna ba- biye babuyo atakurithi.

kama hawapo hao, atakurithi tano : nduguyo, baba moja mama moja.

kama hayupo nduguyo, atakurithi sitta: mtoto wa nduguyo.

kama hawapo hao, atakurithi sabac: babayo mdogo, aliyozaliwa na babayo, baba moja mama moja.

kama hayupo huyu atakurithi nane : mtoto wake yule baba mdogo yako, aliyozaliwa na babayo.

tisac : na akiwa mwanamke, hurithiwa na mumewe.

kumi: na akiwa hurri'-), aliyoandikwa hurithiwa na bana wake.

na waanawake wanarithi watu sabac:

kwanza: mtoto wako mwanamke atakurithi.

pili: mjukuo, aliyozaliwa na mwanao mwanamume, akiwa mwanamke yule mjukuo, atakurithi.

tatu : mama yako, aliyokuzaa, atakurithi.

nne: bibiyo, aliyozaa mamako, atakurithi.

tano : nduguyo mwanamke, uliyozaliwa naye, baba moja mama moja, atakurithi.

sitta: na mkeo, kama amekufa mumewe, atarithi.

1) Erbschaft. 2) Freigelassener.

355

sabae : na hurri wako , uliyomwandikia, akifa yule liurri, atarithi bibi yake.

* *

*

ukiwa na mtoto wako niwanamme pekeyake, nawe ukiwa na nduguyo , baba moja mama moja yule nduguyo hapati kitu, illa atachukua mali yote yule mtoto wako, kwa sababu mtoto mwanamume.

na iwapo una mkeo , katika ile mali , atakayoritki yule mtoto wako , kulla riale moja atatoa thumni x), ampe mkeo. bio ndio warithi wa mwanamke, atakayo- pata kwa mumewe.

iwapo yule mume ana mtoto yoyote, akiwa mtoto mwanamke ao mwanamume, afapo yule mumewe mwanamke hurithi thumni katika haqqi ya mumewe, kulla riale atapata thumni. qadiri ya mali aliyoacha mumewe, huhesabiwa mwanzo wa fedda, hatta nyumba huuzwa , hatta mashamba huuzwa , hatta watumwa huuzwa ao huthaminiwa 2) kwa themani, na kulla kili- chomo nyumbani, ikahesabiwa fedda, na kulla riale hutoka themuni, akapewa yule mwanamke. kilichobaqi huchukua mtoto wako mwanamume. amma bio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo yule, aliyokufa, ameacha mamake hai3), naye ameacha mtoto wake mwanamume, huhesabiwa mali vilevile kama tulivonena auwali. ikesha julikana ile mali qadri kaza wa kaza4) auwali hutoka sudusi5), ma'ana haqqi ya mamake mwenyi kumzaa, riale sitta kwa moja, settini kwa kumi. kilichobaqi akarithi mtoto na mkewe. mkewe atachukua thumni, na baqi ya mali yote atachukua mtoto wake. amma hiyo ndiyo desturi ya sherfa ya Wasuaheli.

1) ein Achtel. 2) abgeschätzt werden. 3) lebend. 4) ungefähr soundsoviel. 5) ein Sechstel.

356

na iwapo yule maiti, aliyokufa, ana watoto wawili, mwanamume na mwanamke, na mamaye hai, na mkewe yupo auwali huhesabiwa ile mali yake yote, ijuikane themani yake, kisha bassi auwali hutoka südusi, ndio haqqi ya mamaye mtu yule aliyokufa. kilichobaqi hu- hesabiwa, kulla riale lmtoka thumni, akipewa mwanamke yule mkewe. na iliyobaqi katika mali hurithi yule mtoto mwanamme na ndnguye mwanamke. na kuritki kwao : mwanamme huclmkua mafungu mawili, mwanamke fungu moja. amma bio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuakeli.

walakin katika haqqi Im kwanza, akesha twaa südusi mamaye mtu hutoka mahari1) ya mwanamke, kwa qadiri aliyomwolea , ikiwa riale tbalathini ao khamsini ao zayidi.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, bana mtoto, eme- wacba mama yake, emewacha na ndugu yake mwanamke, baba moja mama moja, emewacha na ndugu yake mwa- namme, baba moja mama mbalimbali, emewacha na mkewe yule mama yake atatwaa südusi, ikesha itoke mahari, apewe na mwanamke, kama qiäsi2) cha mahari yake aliyomwolea. khalafu watarithi yule nduguye mwanamke wa baba moja mama moja, na yule nduguye mwanamume wa baba moja mama zao mbalimbali. ata- rithi sawasawa na yule nduguye mwanamke. na asili kurithi sawasawa na yule nduguye mwanamke sa- babu huyu nduguye, aliyokufa, wamezaliwa baba moja mama moja, na yule nduguye wa baba moja si mama moja. kama alikuwa nduguye baba moja mama moja asingalipata kurithi sawasawa na nduguye mwanamume, angalirithi fungu moja, na mawili anga- lipata mwanamme.

na yule mkewe, akesha pewa mahari yake, mädäm 1) Morgengabe. 2) Wert.

357

yule mwanammc aliyokufa hana mtoto hupewa kulla riale roboc, ndio haqqi yake mwanamke , kwa sababu hana mtoto yule mwanamme. kama alikuwa na mtoto, angalipata thumni. amma hiyo ndio desturi ya sherica ya Wasuaheli.

na iwapo ynle maiti, aliyokufa, ameacha mtoto wa mwanawe mwanamume, na yule mjukuu akiwa mwa- namke, emeacha na nduguye mwanamke, baba moja mama moja, emeacha na mama yake, emeacha na mkewe huritki watu hao wote. kwanza hutoka südusi, akipewa mama yake, ikesha ikitoka mahari akipewa mkewe, kilichobaqi huhasibiwa. nussu akatwaa nduguye yule mwanamke, baba moja mama moja, na nussu hutwaa yule mjukuwe mwanamke. kisha hupewa mkewe roboe yake. walakin roboc hutoka katika fungu la huyu mjukuu. yule nduguye huchukua nussu yake kämili1), hatoi kitu. hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, emewacha mtoto wake mwanamke , emewacha na mjukuwe , mtoto wa mwanawe mwanamume, walakini huyu mjukuu mwa- namke , emeacha na mamaye , emewacha na mkewe huyu mamaye mtu hutwaa sudusi, kilichobaqi hutoka mahari , kilichobaqi tenna huhesabiwa , nussu hutwaa mtoto wake mwanamke, na thumuni katika ile mali hutwaa mkewe. na kilichobaqi huchukua yule mjukuwe, mtoto wa mtoto wake mwanamme. amma hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, hana mtoto, wala hana ndugu wa baba moja , ana nduguye wa mama moja , ana na mkewe , ana na babaye mdogo yule mwanamke hutwaa roboe katika ile mali, na yule ba- baye mdogo hutwaa nuss, na yule nduguye wa mama moja baba mbalimbali hupata kidogo naye. naye yafa'a l) völlig.

358

kupata kitu kidogo, kkassa1) ikiwa huyu aliyokufa hana mtoto, wala hana nduguye wa baba moja mama moja, wala hana mjukuwe. hio ndio desturi ya sherfa ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, mwanamke, naye ana mtoto mwanamume, ana na mamaye, ana na mu- mewe hurithi watu watatu hao. auwali hutoka su- dusi, akachukua mamaye mtu. kilichobaqi ataritbi mtoto wake mwanamume. na yule mumewe kulla riale atapata roboc, walakin yule mwanamume läzima kwanza atoe mahari ya mkewe, yacbanganye katika mali, yari- thiwe pamoja ndipo atwae roboc yake mwanamume.

na iwapo yule mwanamke, aliyokufa, ana mtoto mwanamke, ana na mumewe, ana na mamaye auwali hutoa mahari yule mwanamme ya mkewe, ikichanganywa pamoja na mali, aliyoacka mkewe. hutoka sudusi, akatwaa mamaye mtu. kilichobaqi nussu hutwaa yule mtoto mwanamke na nussu huchukua mumewe. na yule mwanamme asingalipata nussu sababu yule mtoto mwanamke ndipo akipata nussu mumewe. kama alikuwa mwanamme yule mtoto wake, angalipata roboe mumewe. hio ndio desturi ya sherica yaWasuaheli.

na iwapo yule mwanamke, aliyokufa, emewacha mwanawe mwanamke , emewacha na nduguye mwana- mume, emewacha na mamaye aliyomzaa, emewacha na mumewe auwali yule mwanamme atatoa mahari. ikesha, ihasibiwe ile mali yote, atwae sudusi mamaye mtu, kilichobaqi nussu atarithi mtoto wake mwanamke, na roboc atachukua nduguye mwanamme, na robo' ata- chukua yule mumewe. amma hio ndio desturi ya sheri'a ya "Wasuaheli.

na iwapo yule mwanamke aliyokufa , emewacha nduguye wa baba moja mama moja mwanamke,

1) besonders.

359

emewacha na mtoto wa nduguye baba moja mama moja

mwanamume, emewacha na mamaye yule mamaye huchukna sudusi yake, kilichobaqi atarithi nussu atatwaa yule nduguye, na nussu atatwaa yule mtoto wa nduguye. na iwapo ana mume, yule mumewe atatwaa roboe, lakini läzima kutoa mahari , na yule mtoto wa nduguye atatwaa roboc, na yule nduguye wa mwanamke atatwaa nussu. amma hio ndio desturi ya sherica ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, mwanamke, hana mtoto , wala hana nduguye wa baba moja mama moja, wala hana mtoto wa nduguye baba moja mama moja, walakini yuko babaye mdogo pamoja na yule mumewe

nussu huchukua babaye mdogo, na nussu huchukua mumewe.

na iwäpo maiti, aliyokufa, mwanamke, naye anaye mtoto wake mwanamke , anaye na mamaye, aliyomzaa, anaye nduguye wa baba moja mwanamume, anaye na mumewe warithi hao . hurithi wote , walakini läzima mwanamme kwanza hutoa mahari , khalafu huhasibiwa mali yote. yule mamaye mtu atachukua sudus , na yule mtoto atachukua nussu, na yule nduguye atachukua roboc, na yule mume atachukua roboe. hio ndio desturi ya sheriea ya Wasuaheli.

aigia ikiwa amekufa mwanamke, na yule mwanamke amewacha mume, amewacha na mtoto wake mwanamume, naye ana mali huhasibiwa ile mali mafungu manne, fungu moja atatwaa mwanamume yule mumewe, na mafungu matatu atachukua mtoto wake mwanamume.

na ikiwa ana watoto wawili, moja mwanamke na moja mwanamume, naye ana na mumewe, warithi wake : yule mwanamume atachukua fungu moja roboe, na inabaqi

watarithi wale watoto wake wawili, mwanamume ata- rithi mafungu mawili, mwanamke atarithi fungu moja.

ikiwa hana mtoto, aliyomzaa, walakin anayo nduguye,

360

baba moja mama moja, amma ana mtoto wa nduguye, warithi wake: yule mwanamme hurithi nussu, na kilicho- baqi wataclmkua wale mawarithi zake. hio ndio desturi ya sheri'a.

na ikiwa amekufa mwanamke , amewacka nduguye mwanamke , amewacka na mtoto wa mwanawe mwana- mume, amewacka na mumewe sasa mawarithi wame- kuwa watu watatu , mali yao kugawiwa mafungu etki- n'askara. mafungu matatu atachukua mwanamume, ndio roboc yake, na mafungu matatu atachukua nduguye mwanamke , ndio tkuluthi yake , na nussu atachukua yule mtoto wa mwanawe. hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo maiti, aliyokufa, mwanamke, emewacha mtoto wake mwanamume, amewacka na babaye mwenyi kumzaa, emewacha na mumewe yule mume läzima kutoa mähari kwanza, akisha toa mahari, hurithiwa yale mali, nussu huchukua mtoto wake mwanamme, na roboc huchukua mumewe, na roboc huchukua babaye mtu. amma hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, mwanamke, amekha- lif u *) mali, naye ana mume, ana na nduguze waanawake, baba moja mama moja. ana na watoto wa nduguze waanawaume, na wale watoto waanaume läzima yule mumewe kutoa mahari, ikisha toa mahari, hurithiwa yale mali, nussu hutwaa nduguze waanawake, baba moja mama moja, na nussu hutwaa yule mumewe. amma hao watoto wa nduguze hawapati kitu, kwa sababu nussu mbili zote zimekwisha. na aliyowazuia wale wa- toto, hatta wakikosa ni yule mume. kama angali- kuwa hana mume, wangalirithi wale watoto pamoja na mama zao, walakini wamekosa sababu hio. ndio desturi ya sherfa ya Wasuaheli. 1) hinterlassen.

361

na iwapo maiti, aliyokufa, mwanamke, naye hana mtoto, wala hana ndugu, wala hana baba, wala hana mama, walakini yuko mtoto wa nduguye mwanamrae hurithi yule mtoto pämoja na mumewe, walakin mwanamme läzima kutoa mahari. na iwapo hana mume, huchukua yule mtoto ile mali yote.

na iwapo maiti, aliyokufa, mwanamke, naye ame- khalifu babaye aliyomzaa, ana na mwanawe mwanamke, naye hana mume amma katika mali ile hugawana sawasawa, nussu huchukua babaye mtu, na nussu huchu- kua yule mtoto.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, akiwa mwanamke ao mwanamme, amekhalifu nduguze wa baba moja mama moja, amekhalifu na baba yake mwenyi kumzaa amma wale nduguze hawapati kitu, kwa sababu baba yake yuko. illa awapo yule maiti ana mkewe, läzima yule mwanamke hupewa mahari. ikisha toka mahari, huhasibiwa yale mali, kulla riale hupewa roboe mwa- namke, na kilichobaqi hupewa nduguze. hio ndio desturi ya sherica ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, mwanamke, ana ndu- guze waanaume, ana na babaye mwenyi kumzaa, ana na mu- mewe — wale nduguze hawapati kitu, sababu baba yake yuko. bassi läzima yule mwanamme kutoa mahari. akesha toa mahari, atapata roboe mwanamme, na iliyobaqi atachu- kua babaye mtu. hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

na iwapo yule maiti, aliyokufa, hana babaye, wala hana mamaye, walakin anaye mtoto wa mtoto wake mwanamme, anaye na mumewe hurithi sawasawa. yule mtoto atachukua nussu, na yule mumewe atachu- 'kua nussu, walakin läzima yule mwanamume kutoa mahari, ndipo arithi.

iwapo yule maiti mwanamke, naye amewacha mali, ana mamaye, ana na babaye, walakin hana mtoto mwin-

Velten, Desturi za Wasuaheli. 24

362

gine, lakini nduguze anao, ana wake na waanaume wale nduguze hawapati kitu, illa mamaye mtu atapata südusi, mali yote atachukua babaye. ndio desturi ya sherica ya Wasuaheli.

na mwanamke akiwa amekufa, naye hana babaye, wala hana mamaye, wala hana nduguye wa baba moja mama moja, wala hana babaye mdogo, wala mtoto wa babaye mdogo, wala hana na babuye, aliyozaa babaye, wala hana babiye, aliyozaa mamaye, illa ana mumewe bassi kaqqi yake, anapokufa, yote huchukua mumewe.

na iwapo maiti, aliyekufa, hana ndugu, wala hana mwana, wala hana babaye mdogo, wala hana mtoto wa babaye mdogo, wala hana mtoto wa nduguye babaye mdogo, wala hana mume, walakin yeye anaye mtumwa wake, lakini yule mtumwa amemwandikia hurru ata- rithi yule hurru.

na iwapo yule , aliyokufa, hurri, naye hana mke, wala hana nduguye, baba moja mama moja, aliyo hurri mwenziwe, akiwa na ndugu yake, aliyo mtumwa, ha- kuandikiwa hafai kumrithi, sababu mtumwa hamrithi mungwana, naye hurri vilevile kama mungwana. ndio desturi ya sheria* ya Wasuaheli.

na iwapo yule hurri anaye mtoto wake, walakin yule mtoto alikomzaa mtumwa, sababu amekwenda mwona mjakazi wa mtu, akamwoa, akazaa mtoto bassi yule mtoto amekuwa mtumwa wa watu, na mtu- mwa hafai kumrithi mungwana.

walakin iwapo yule baba yake amekwenda mwona mwanamke, akamtaka kumwoa, na yule mwanamke hurri, ameandikiwa, akaoa hurri mwenziwe, akizaa mtoto yule mtoto huwa mungwana, sababu mama yake hurri na babaye hurri, na asili ya ungwana ameipata. sasa iwapo hivo wajib *) atarithi yule mtoto. walakini

1) Piiicht.

363

asiwe mtoto wa zina l), amekwenda mwona mwanamke baba yake, akazini naye billa kumwoa mtoto huyu hamrithi.

na iwapo hurri akiwa amekufa, naye hana mtoto, wala bana hurri mwenziwe, aliyoandikiwa pamoja, wala äsili ya bwana zake, waliomwandikia, bawako, afapo mali yake yote buchukua mumewe. hio ndio desturi ya sheri'a ya Wasuaheli.

iwapo maiti, aliyokufa, hana udugu kabisa, imeta- futwa haikupatikana katika äsili yao, hurithi mtu, aliyonyonya naye ziwa moja. na huyo buitwa ndugu hurithi huyu.

asipokuwapo huyo mali yake huenda bet el-mali 2), mafana katika nyumba ya hakim 3). ndipo anaporithi hakim. na yule hakim yahitajia awe dini yao moja na yule ra'ia4) aliyokufa, kwa sababu, akipata ile mali, ata- fanyiza katika njia ya dini yao atafanyiza meskiti, atatoa sadaqa5), atatoa zaka6) kuwapa watu, atachimba visima, atawaona waana wa zuoni 7) , atawapa ndia ya kheris). na yale atakayotoa yote ni kheri kwake jeye hakim na yule aliyokufa, watapata thawabu.

mtu amekufa , amewacha mtoto mwanamume na mwanamke, amewacha na mke wake, na ras el-mali9) yake riale khamsini. na mke amemwoa mahari yake riale arbacini. na maiti huyu amewata 10) deni ya riale mia. sa?a watoto wanataka kurithi katika riale kham- sini, na mke anataka mahari yake na thumni yake, na mdeni anataka fedda yake riale mia. wote wamekwenda

1) Ehebruch. 2) Haus des Vermögens. 3) Herrscher. 4) Untertan. 5) Opfer. 6) Heiligung des Besitzes durch Al- mosengeben. — 7) Schüler, d. h. die den Koran Lernenden. 8) Weg zum Guten. 9) Vermögen, Kapital. 10) acha.

364

kwa hakim kupatanishwa. nani atakayepata, nani ata- kayekosa katika sherfa?

kwanza mwanamke atapewa haqqi yake ya makari, macana neno la läzima juu ya mwanamke kupata. zita- baqi riale kumi, atapewa mdeni katika deni, anayomwia, riale mia. na wale watoto wataondoka mikono mitupu.

Göttingen, Druck dor Univ.-Buchdruckevei von W. Fr. Kaestner,

tefcs&Si:

Veiten, Carl

Desturi za Wasuaheli African Gollection

Afripan Colleotlon

GN658 V4i9x

StiNS

**.>o*j

^V:l

ras

i>i>V„:

3 5282 00190 1845

... -. . ... ■•■ '■